Wakenya watoa hisia mbalimbali kuhusu uteuzi uliofanywa leo
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Wananchi katika sehemu mbalimbali za nchi wametoa hisia mseto kuhusiana na watu kumi na mmoja walioteuliwa kwenye baraza la mawaziri na Rais William Ruto. Hizi hapa ni baadhi ya maoni ya wananchi kuhusu walioteuliwa.
Gen Z ni upepo kutoka kwa mungu kuokoa Kenya ndio maana Ruto anendelea kuchanganyikiwa.
This is the madness of the genzis generation,pole Sana MUNGU AWEZI TUMA PEPO,PEPO NI YA shetani.MUNGU ANATUMA MALAIKA.SAWA😂
@@hellenmaiyo2516seek professional help
i don't support ruto but generation Z means generation ZERO.
Ruto will be Ruto...he will never change
Chirchir mwizi wa Kura za 2017 na 2022, amezeeka aende nyumbani na asipewe hata Udiwani
We're VERY READY FOR TUESDAY
Next week tuko streets hatakuwa biashara as usual
Kindiki hafai kabisa alihusika kuwauwa watoto wetu na tunatazamia apelekwe kotini na wote hao niwahusika na uporaji Mali ya umma
Ruto did not get the point, Gen-Z do not want him or the old generation cabinet.
Mchezo ndani ya mchezo😅
Mbona mnauliza our parents. They don't understand what they are saying
shame on yo foolish parents
kuanzia lini sikio likapita kichwa our elders knows it well and all, let them be, your time is not yet
@@bakitahshanel6329Sisi tutarudi barabarani rasmi sasa
@@bakitahshanel6329yet it is our elders who are corrupt and don't see the problem ..just cause u are an elder doesn't mean u possess wisdom ..it has been demonstrated enough
My fellow Kenyan let us meet on Tuesday
hio nayo laza but tunafaa strategy ndio goons wakue na opportunity
Ruto ashamaliza part yake kisheria. Sasa tuko na wabunge sasa. This time round pitisheni hao watu mkiwa ndani ya tank ya wanajeshi ama through Skype. 😅😅
🤣🤣
Siasa za Mtoto Wetu tena?? We want accountability and competence.
Hii nikucheza na wakenya na sasa hata sign finance bill at sign in,kweli mwa Africa ni mwa Africa
Ruto must Go
Duale he can't go back to Defence or any office ni mchocjezi alisema Gen Zs ni wakora wanaosukumwa na wale walikataa matokeo ya. 2022
We are ready for Tuesday
Endeni maandamano nyinyi...amewarudisha sababu aliskiza gen z na bado wakaendelea kuandamana... Sasa ameona kma ni mbya ni mbya.. juu unaskiza watu unafanya vle wanataka na bado wanaandamana...ata ww utafanya nini kma ww ni Ruto
@@xhilahvhy3811you think you got a point but you stoop too low the message is clear we are tired of him periodt
Ruto is a mad man
Chirchir hainde nyumbani
Dawa ya moto🎉 ni moto tuesday tutawasalimia upuuzi hatutaki
Ruto anacheza na wakenya sana😢
Duale is responsible for githurai massacre 😢, kindiki ako sawa lakini Duale???
Coast region we want our region nothing else
Hongera our President
Kwani ruto anawafanyia nyinyi ka zi aty matungulu
We need responsibility in media houses.
Pongezi rais wetu.
Gen z mission still on
Si juma nne turudi Street tuwasalimie
Ndwareeeee lazimaa aaendee
Tupatane site Tuesday
Machogu aliambiwa alete mutu yake, akaingiza 2022 Running mate. Yule wa kufukuza OCS akaleta Barasa mwenzake ndio kazi iendelee vile ilipangwa, TUKO NA NYINYI BADO
The president has indicated that he is not ready for peace by taking back Duale, only kidiki would be somehow better
To replace Murkomen with Chirchir is a slap on Genz’s face. It’s a good idea to pick Rebecca Miano
😮
Coast hakuna mtu
Ametenga nafasi Ya Gen Z
My opinion,tupee rais nafasi tusiwe haraka na pia waliochaguliwa waonyeshe wakenya bidii yao Caz it's not about ruto but wenye kazi ni kenyan citizen
I wish you all new😊
Hakuna cha mtoto..kwani uko kwenye hakuna mtu mungine.w
Watu wamesoma kwani ni lazima arudishe hao watu??
We need fresh Cabinet not old thieves....
We don't need reshuffling nor Recycling adi uyo Prezo nashindwa nae kabisa.
GenZ kataa hii ujinga
Don't ask this old people. it's like they don't understand what the problem is and what they want.
The president knows his job well kidiki and vdwuale came back it's ok with us ,we don't know about internal security,as they do ,we have our men in somalia ,Haiti, we need strong team for our peaceful kenya,f
Duale & kindiki ana fanya kazi visuri
Ekise utayaona
MAANA ALIPOSIKILIZA MATAKWA YA GENZ BADO WALIENDELEA KUANDAMANA.
poor president ruto with old tactics,,of the late regime of his daddy moi..bure kabisa your days are numbered
Kindiki na duale wamerudishwa ndo wamsaidie kuiba votes 2027..lets be wise...we are ready for tue
Roto ndo anafaa aende
Kulikua na maana gani kuwaondoa wanafiki na kuwarudisha na kuabadilisa majina ya KAZI,
Sasa kama kwa education alikua anstumia which criteria kuchagua ama alikua anafulifil UDA
6 kutoka central 5 ndio amekawa
justin muturi has learnt a HARD LIFE LESSON.
Please let pray for our country.
Css Kindiki and Duale are okay and fits in their positions assigned in
Wapwani wako wapi apo ama pwani sio Kenya tuanguke nayo
Ukambila mt kenya hautawahi isha tena kindiki, nduale aiii
Aki hii Kenya surely 😢😢😢😢😢
MINISTET IS A POLITICAL POST TATHER A PROFESSIONAL POST.
GENZ SBOULD SEEK FOR PROFESSIONAL POSTS.
Kwani hawa wazee ndio walikuwa wanapigania hii ukora ya serikali??citizen mkona ujinga pia
Hehehe sioni mbona uchukie Duale na kindiki .... hao wanapiga kaazi ....ni hapa kazi too ...wako sawa saanah
Hakuna kitu amefanya hapo unarudisha wanyama wale nyama
Muuwanj! Hatutawai kukutambua
Hiyo uteusi haifa sisi wakenya Duale na kindiki hawafai kurudi
Mchezo wa Taoni
Mtoto wetu 😂😂😂😂😂
President n ubaguzi..mbona hakuna wa coast
Talk to gen z
We are not happy
Jamani wakenya mwataka aje?
Hta Mimi nko hapa hta sijielewi🤣🤣🤣🤣
Hatutaki hawa watu waliua our fellow youths
nyanza riftvalley na western ndio kenya mnzima
Ctzen mkona ufala munauliza wazee mbona n ilikuwa kazi y gen z
What people are you seeking opinions from?...you should seek the opinion of the youths... Because this is our fight
how do you seek opinions from GEN Zs who are faceless, clueless, leaderless, rudderless and useless... GEN Z means generation ZERO.
We need new face
Duale is responsible for githurai massacre 😢, kindiki ako sawa lakini Duale???Wahome??
Amechangua kidiki,duale na chirchir ndio wamuimbie Kura 2027
The mtoto wetu nonsense 😏
Why did he dissolved them earlier if he knew he will reappoint them stop brainwashing us
We want new faces there😊
Citizen tv mnauliza haki nanani haki
Very stupid. Eti mtoto wetu. Nkt!! Zakayo aende Nyumbani.
Hao ndio Gen Z citizen?
Ruto is the problem😢
Mlitafuta wazee tafuta feedback from youths
Tribalism iko bado genx na millennial..fool are happy coz of their tribes are back
😂😂
Journalists just approach random loudmouth idiots for such opinions.
Tunakupeleka sugoi mpumbavu wewe
Who cheated you that being the so called gen z is a licence to insult and demean your elders?nyinyi mnakimbia kuliko kiwango chenu
Let's see. Kama parliament walioccupy
Mjinga ww
Kwendeni huko useless
Useless😮
Very useless being they don’t even understand anything
Kwendeni huko hamjui chenye mnaongea
Jingazzzzzz
Ww ndio unajua
this guys doesn't know what is cooking for this country 😭😭😭 if Ruto stays in and appoints the same people ni kubaya watch this space the man will fuck us with no remorse.. spiritualy he's under attack and the person inside him is blood& power thirsty...the spirit in him doesn't care
Kuma chafu ww
Duale is responsible for githurai massacre 😢, kindiki ako sawa lakini Duale???Wahome??