Wakenya watoa hisia mbalimbali kuhusu uteuzi uliofanywa leo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Wananchi katika sehemu mbalimbali za nchi wametoa hisia mseto kuhusiana na watu kumi na mmoja walioteuliwa kwenye baraza la mawaziri na Rais William Ruto. Hizi hapa ni baadhi ya maoni ya wananchi kuhusu walioteuliwa.

Komentáře • 114

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 Před měsícem +23

    Gen Z ni upepo kutoka kwa mungu kuokoa Kenya ndio maana Ruto anendelea kuchanganyikiwa.

    • @hellenmaiyo2516
      @hellenmaiyo2516 Před měsícem +3

      This is the madness of the genzis generation,pole Sana MUNGU AWEZI TUMA PEPO,PEPO NI YA shetani.MUNGU ANATUMA MALAIKA.SAWA😂

    • @thragg00
      @thragg00 Před měsícem

      @@hellenmaiyo2516seek professional help

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 Před měsícem +1

      i don't support ruto but generation Z means generation ZERO.

  • @mohamednagib2594
    @mohamednagib2594 Před měsícem +8

    Ruto will be Ruto...he will never change

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Před měsícem +14

    Chirchir mwizi wa Kura za 2017 na 2022, amezeeka aende nyumbani na asipewe hata Udiwani

  • @esumijacobs
    @esumijacobs Před měsícem +6

    We're VERY READY FOR TUESDAY

  • @mwanaidi444
    @mwanaidi444 Před měsícem +16

    Next week tuko streets hatakuwa biashara as usual

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Před měsícem +13

    Kindiki hafai kabisa alihusika kuwauwa watoto wetu na tunatazamia apelekwe kotini na wote hao niwahusika na uporaji Mali ya umma

  • @elishamgoja8291
    @elishamgoja8291 Před měsícem +15

    Ruto did not get the point, Gen-Z do not want him or the old generation cabinet.

  • @daltonorina7183
    @daltonorina7183 Před měsícem +18

    Mchezo ndani ya mchezo😅

  • @OwenAmiani
    @OwenAmiani Před měsícem +23

    Mbona mnauliza our parents. They don't understand what they are saying

    • @jean-claudem.2515
      @jean-claudem.2515 Před měsícem

      shame on yo foolish parents

    • @bakitahshanel6329
      @bakitahshanel6329 Před měsícem

      kuanzia lini sikio likapita kichwa our elders knows it well and all, let them be, your time is not yet

    • @Mzalendo-n8q
      @Mzalendo-n8q Před měsícem

      ​@@bakitahshanel6329Sisi tutarudi barabarani rasmi sasa

    • @edenangel2267
      @edenangel2267 Před měsícem +1

      ​@@bakitahshanel6329yet it is our elders who are corrupt and don't see the problem ..just cause u are an elder doesn't mean u possess wisdom ..it has been demonstrated enough

  • @user-ck4ox3zr9n
    @user-ck4ox3zr9n Před měsícem +17

    My fellow Kenyan let us meet on Tuesday

    • @Brocco420TV
      @Brocco420TV Před měsícem +1

      hio nayo laza but tunafaa strategy ndio goons wakue na opportunity

  • @dennismcodhis776
    @dennismcodhis776 Před měsícem +8

    Ruto ashamaliza part yake kisheria. Sasa tuko na wabunge sasa. This time round pitisheni hao watu mkiwa ndani ya tank ya wanajeshi ama through Skype. 😅😅

  • @alicekangethe3173
    @alicekangethe3173 Před měsícem +6

    Siasa za Mtoto Wetu tena?? We want accountability and competence.

  • @JavanGwetega
    @JavanGwetega Před měsícem +5

    Hii nikucheza na wakenya na sasa hata sign finance bill at sign in,kweli mwa Africa ni mwa Africa

  • @havvocke.4222
    @havvocke.4222 Před měsícem +1

    Ruto must Go

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Před měsícem +6

    Duale he can't go back to Defence or any office ni mchocjezi alisema Gen Zs ni wakora wanaosukumwa na wale walikataa matokeo ya. 2022

  • @kiprotichtitus6372
    @kiprotichtitus6372 Před měsícem +4

    We are ready for Tuesday

    • @xhilahvhy3811
      @xhilahvhy3811 Před měsícem +1

      Endeni maandamano nyinyi...amewarudisha sababu aliskiza gen z na bado wakaendelea kuandamana... Sasa ameona kma ni mbya ni mbya.. juu unaskiza watu unafanya vle wanataka na bado wanaandamana...ata ww utafanya nini kma ww ni Ruto

    • @user-zu9yh8lt2y
      @user-zu9yh8lt2y Před měsícem

      ​@@xhilahvhy3811you think you got a point but you stoop too low the message is clear we are tired of him periodt

  • @nelsonchege3647
    @nelsonchege3647 Před měsícem +1

    Ruto is a mad man

  • @ammonkipkoech3027
    @ammonkipkoech3027 Před měsícem +7

    Chirchir hainde nyumbani

  • @pamellahanainga7958
    @pamellahanainga7958 Před měsícem

    Dawa ya moto🎉 ni moto tuesday tutawasalimia upuuzi hatutaki

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 Před měsícem +1

    Ruto anacheza na wakenya sana😢

  • @erastusbartaine9440
    @erastusbartaine9440 Před měsícem +4

    Duale is responsible for githurai massacre 😢, kindiki ako sawa lakini Duale???

  • @user-lq3xu7kl2i
    @user-lq3xu7kl2i Před měsícem

    Coast region we want our region nothing else

  • @ruthkarimi2646
    @ruthkarimi2646 Před měsícem +1

    Hongera our President

  • @Geofrycheruiyot
    @Geofrycheruiyot Před měsícem +3

    Kwani ruto anawafanyia nyinyi ka zi aty matungulu

  • @leonardgachenia2200
    @leonardgachenia2200 Před měsícem +1

    We need responsibility in media houses.

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Před měsícem

    Pongezi rais wetu.

  • @BitonAsula
    @BitonAsula Před měsícem +2

    Gen z mission still on

  • @user-eu1pq2fb9x
    @user-eu1pq2fb9x Před měsícem +6

    Si juma nne turudi Street tuwasalimie

  • @josephnganga-cs5zb
    @josephnganga-cs5zb Před měsícem

    Ndwareeeee lazimaa aaendee

  • @theautomotivetv254
    @theautomotivetv254 Před měsícem +3

    Tupatane site Tuesday

  • @dennismcodhis776
    @dennismcodhis776 Před měsícem +2

    Machogu aliambiwa alete mutu yake, akaingiza 2022 Running mate. Yule wa kufukuza OCS akaleta Barasa mwenzake ndio kazi iendelee vile ilipangwa, TUKO NA NYINYI BADO

  • @Destiny-9w
    @Destiny-9w Před měsícem +2

    The president has indicated that he is not ready for peace by taking back Duale, only kidiki would be somehow better

  • @paulnjoro667
    @paulnjoro667 Před měsícem +1

    To replace Murkomen with Chirchir is a slap on Genz’s face. It’s a good idea to pick Rebecca Miano

  • @samir.fatehi7250
    @samir.fatehi7250 Před měsícem

    😮

  • @rashaketsau7015
    @rashaketsau7015 Před měsícem

    Coast hakuna mtu

  • @moto-junior
    @moto-junior Před měsícem +2

    Ametenga nafasi Ya Gen Z

  • @uniqueuniformsunique9107
    @uniqueuniformsunique9107 Před měsícem

    My opinion,tupee rais nafasi tusiwe haraka na pia waliochaguliwa waonyeshe wakenya bidii yao Caz it's not about ruto but wenye kazi ni kenyan citizen

  • @antonyokumu5806
    @antonyokumu5806 Před měsícem

    I wish you all new😊

  • @winslouswanjala213
    @winslouswanjala213 Před měsícem

    Hakuna cha mtoto..kwani uko kwenye hakuna mtu mungine.w
    Watu wamesoma kwani ni lazima arudishe hao watu??
    We need fresh Cabinet not old thieves....
    We don't need reshuffling nor Recycling adi uyo Prezo nashindwa nae kabisa.

  • @wakenyaskytv6937
    @wakenyaskytv6937 Před měsícem +2

    GenZ kataa hii ujinga

  • @evelynundisa1780
    @evelynundisa1780 Před měsícem

    Don't ask this old people. it's like they don't understand what the problem is and what they want.

  • @user-jg9gv3kp5i
    @user-jg9gv3kp5i Před měsícem

    The president knows his job well kidiki and vdwuale came back it's ok with us ,we don't know about internal security,as they do ,we have our men in somalia ,Haiti, we need strong team for our peaceful kenya,f

  • @user-tv6vl3so2m
    @user-tv6vl3so2m Před měsícem +3

    Duale & kindiki ana fanya kazi visuri

  • @ChristopherJuma-k4h
    @ChristopherJuma-k4h Před měsícem

    Ekise utayaona

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Před měsícem +1

    MAANA ALIPOSIKILIZA MATAKWA YA GENZ BADO WALIENDELEA KUANDAMANA.

  • @geoffreywanjala7942
    @geoffreywanjala7942 Před měsícem

    poor president ruto with old tactics,,of the late regime of his daddy moi..bure kabisa your days are numbered

  • @fredkimani7069
    @fredkimani7069 Před měsícem

    Kindiki na duale wamerudishwa ndo wamsaidie kuiba votes 2027..lets be wise...we are ready for tue

  • @robertkimani2420
    @robertkimani2420 Před měsícem

    Roto ndo anafaa aende

  • @RobertomuchungiMnaituli
    @RobertomuchungiMnaituli Před měsícem

    Kulikua na maana gani kuwaondoa wanafiki na kuwarudisha na kuabadilisa majina ya KAZI,

  • @philiskerubo8080
    @philiskerubo8080 Před měsícem +1

    Sasa kama kwa education alikua anstumia which criteria kuchagua ama alikua anafulifil UDA

  • @christopherlipese
    @christopherlipese Před měsícem +2

    6 kutoka central 5 ndio amekawa

  • @jean-claudem.2515
    @jean-claudem.2515 Před měsícem

    justin muturi has learnt a HARD LIFE LESSON.

  • @user-pg2ww8vk2n
    @user-pg2ww8vk2n Před měsícem

    Please let pray for our country.

  • @BenjaminmagandaNduma-di2vu
    @BenjaminmagandaNduma-di2vu Před měsícem +1

    Css Kindiki and Duale are okay and fits in their positions assigned in

  • @JonathanKaingu-c1d
    @JonathanKaingu-c1d Před měsícem

    Wapwani wako wapi apo ama pwani sio Kenya tuanguke nayo

  • @FestusPeter-mv9sv
    @FestusPeter-mv9sv Před měsícem

    Ukambila mt kenya hautawahi isha tena kindiki, nduale aiii

  • @georgeodhiambo2118
    @georgeodhiambo2118 Před měsícem +3

    Aki hii Kenya surely 😢😢😢😢😢

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Před měsícem

    MINISTET IS A POLITICAL POST TATHER A PROFESSIONAL POST.
    GENZ SBOULD SEEK FOR PROFESSIONAL POSTS.

  • @Rickiemorgans1996
    @Rickiemorgans1996 Před měsícem

    Kwani hawa wazee ndio walikuwa wanapigania hii ukora ya serikali??citizen mkona ujinga pia

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 Před měsícem +1

    Hehehe sioni mbona uchukie Duale na kindiki .... hao wanapiga kaazi ....ni hapa kazi too ...wako sawa saanah

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 Před měsícem

    Hakuna kitu amefanya hapo unarudisha wanyama wale nyama

  • @bonifacetruektv
    @bonifacetruektv Před měsícem

    Muuwanj! Hatutawai kukutambua

  • @shugriugas2784
    @shugriugas2784 Před měsícem

    Hiyo uteusi haifa sisi wakenya Duale na kindiki hawafai kurudi

  • @edwinkipngeno7549
    @edwinkipngeno7549 Před měsícem +1

    Mchezo wa Taoni

  • @georgeodhiambo2118
    @georgeodhiambo2118 Před měsícem

    Mtoto wetu 😂😂😂😂😂

  • @Athumanbakari-iv1ic
    @Athumanbakari-iv1ic Před měsícem

    President n ubaguzi..mbona hakuna wa coast

  • @thelegends2182
    @thelegends2182 Před měsícem

    Talk to gen z

  • @raphaelwambua9278
    @raphaelwambua9278 Před měsícem

    We are not happy

  • @ruthkarimi2646
    @ruthkarimi2646 Před měsícem +1

    Jamani wakenya mwataka aje?

  • @aliramishsalim
    @aliramishsalim Před měsícem

    nyanza riftvalley na western ndio kenya mnzima

  • @user-id6zm5fh2z
    @user-id6zm5fh2z Před měsícem +1

    Ctzen mkona ufala munauliza wazee mbona n ilikuwa kazi y gen z

  • @shiqowb5450
    @shiqowb5450 Před měsícem

    What people are you seeking opinions from?...you should seek the opinion of the youths... Because this is our fight

    • @johnbrown3235
      @johnbrown3235 Před měsícem

      how do you seek opinions from GEN Zs who are faceless, clueless, leaderless, rudderless and useless... GEN Z means generation ZERO.

  • @mulingemwangangi5912
    @mulingemwangangi5912 Před měsícem +1

    We need new face

  • @erastusbartaine9440
    @erastusbartaine9440 Před měsícem

    Duale is responsible for githurai massacre 😢, kindiki ako sawa lakini Duale???Wahome??

  • @stevemarksteve2652
    @stevemarksteve2652 Před měsícem

    Amechangua kidiki,duale na chirchir ndio wamuimbie Kura 2027

  • @silvadeachiva
    @silvadeachiva Před měsícem

    The mtoto wetu nonsense 😏

  • @ShukriShunaz
    @ShukriShunaz Před měsícem

    Why did he dissolved them earlier if he knew he will reappoint them stop brainwashing us
    We want new faces there😊

  • @mosesdmakingmoreto
    @mosesdmakingmoreto Před měsícem +1

    Citizen tv mnauliza haki nanani haki

  • @bikosteve6674
    @bikosteve6674 Před měsícem

    Very stupid. Eti mtoto wetu. Nkt!! Zakayo aende Nyumbani.

  • @Brocco420TV
    @Brocco420TV Před měsícem

    Hao ndio Gen Z citizen?

  • @lillianrasoa846
    @lillianrasoa846 Před měsícem

    Ruto is the problem😢

  • @theautomotivetv254
    @theautomotivetv254 Před měsícem

    Mlitafuta wazee tafuta feedback from youths

  • @KenyanBantus
    @KenyanBantus Před měsícem

    Tribalism iko bado genx na millennial..fool are happy coz of their tribes are back

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi9647 Před měsícem

    😂😂

  • @Cocoa_nutz
    @Cocoa_nutz Před měsícem

    Journalists just approach random loudmouth idiots for such opinions.

  • @josephkahindi5988
    @josephkahindi5988 Před měsícem

    Tunakupeleka sugoi mpumbavu wewe

  • @estherndanu8729
    @estherndanu8729 Před měsícem

    Who cheated you that being the so called gen z is a licence to insult and demean your elders?nyinyi mnakimbia kuliko kiwango chenu

  • @syseraodera6721
    @syseraodera6721 Před měsícem

    Kwendeni huko useless

  • @jjclara668
    @jjclara668 Před měsícem

    Useless😮

  • @syseraodera6721
    @syseraodera6721 Před měsícem

    Very useless being they don’t even understand anything

  • @rabeccamutindikivuu
    @rabeccamutindikivuu Před měsícem

    Kwendeni huko hamjui chenye mnaongea

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před měsícem +1

      Jingazzzzzz

    • @walteralulu8483
      @walteralulu8483 Před měsícem

      Ww ndio unajua

    • @creativeshaddyart8252
      @creativeshaddyart8252 Před měsícem

      this guys doesn't know what is cooking for this country 😭😭😭 if Ruto stays in and appoints the same people ni kubaya watch this space the man will fuck us with no remorse.. spiritualy he's under attack and the person inside him is blood& power thirsty...the spirit in him doesn't care

    • @sultanmswahilitv4864
      @sultanmswahilitv4864 Před měsícem

      Kuma chafu ww

  • @erastusbartaine9440
    @erastusbartaine9440 Před měsícem

    Duale is responsible for githurai massacre 😢, kindiki ako sawa lakini Duale???Wahome??