MURO: KUFURU YA PESA! STRICKER LA AFCON KUTUA SIMBA!! MILION 800 KUVUNJA MKATABA! HAPONI MTU...
Vložit
- čas přidán 8. 05. 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
- Sport
Simba mtakosea sana kama mtaleta kocha mgeni na mkamuondoa mazima Mgunda pamoja na usajili wote huo
Simba haina uwezo atahusishwa lakn atabaki kuwa mpenzi Mtazamaji😂😂😂😂😂😂
Mnatuleteaa mbabu vijanaa awapoo
Yanga Kila kukicha anafungiwa na fifa Kwa ajili ya kuwadhulumu wachezaji wake simba ni pepo Kwa wachezaji
Hivi kufungiwa Yanga, wewe kinakuhusu nini. Wachezaji wanazulumiwa Yanga ingekuwepo mpaka leo? Mnadandandia yasiyowahusu, mradi tu mkomenti. Ila Yanga bingwa.
M wemnaongea vitu fya ukwelii
Simba mkimbakiza saidoo mtatushangaza sana mashabiki wenu😮!!!! Make anakera sana😞😞☹️
Uyo mwamba akitua kwel
Atupe listi ya wanao Achwa na simba
Hatari mabururu hajui mpira bora mumlete hata mbape
Muro hiyo miwani nifasheni au sijawahi kuiona usoni zaidi yakichwani
Mmmhhh anakuja kukopwa huyo na ataondoka bila kulipwa naona haijui simba huyo tunamuonea huruma sana!😊
Aende yanga kama wana ubavu.
Jamani muwe mnasema ukweli
Hayo mnayoyaxema yanaukweli lakini mabululu ninaemfaham ndoanaekuja ama maneno.
Camera mbovu mzee
Hayo mnayoyaxema yanaukweli lakini mabululu ninaemfaham ndoanaekuja ama maneno
Story nyingi mnooo.
Huyo ni saido part 2.. Yanga ameshavuka huko kwa kusajili wachezaji ambao wameshatumika Sana...
😂
Kama ni kweli mabululu bado anao umri wa kucheza hata misimu mitatu minne mbele. Jamaa anajua na kafunga magoli afcon ya 2023. Kama kweli anakuja Simba basi ukweli usemwe jamaa anajua mpira.
Tupe habali hadithi nyingi zinatumalizia vifurushi bure
Simba wanaongea tu hakuna usajiri hapo ni maneno tu
Mneno hoyo niya ukwel
Muru wewe unajua sana nakukubali sana ni mchambuzi nanusu
Wewe unayesoma maoni yetu waambie hao na mahadithi yao
Huyo kibabu hatumtaki
Huyo nikama bokotu.leteni wa afconi ya 2023
kama ni kweli mabululu kacheza afcon 2023 na alifunga magoli kama matatu hivi
Kifo kimeumbwa.
Muru wewe unajua sana nakukubali sana ni mchambuzi nanusu