GPS: PUTIN atoa ONYO kali kwa MAREKANI na ULAYA, hofu ya VITA vya NYUKLIA yaongezeka!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 301

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Před 2 měsíci +13

    Kama unaamini kwamba sns media nzuri like hapa 😢😊😊❤

  • @nevers7561
    @nevers7561 Před 2 měsíci +59

    Kama unaikubali SNS gonga like ❤

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před 2 měsíci +20

    Zote nimetizama spitwi na sns🎉 frome Oman 🇴🇲

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t Před 2 měsíci +15

    Huu ndio mfumo mzuri wa uchambuzi wa habar kama hizi..,naomba muendelee hivihivi Kila siku.👍

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 2 měsíci +13

    Ila nyinyi mnadeserve kuwa wanajeshi kabisa kwamana mnaufaham mzuri Sana mashalah mmejaliwa Sana ufaham wa mambo yakimiritary

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc Před 2 měsíci +92

    Hiii urusi ndio nchi ya ahadi sema watu hatujui team Putin tuko hapa like zngu zakutosha

  • @Nuru-zr2yv
    @Nuru-zr2yv Před 2 měsíci +10

    Dj smaa kwenye mambo ya kijeshi huna mpinzani unavyotaja majina duuh salut 🎉

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4g Před 2 měsíci +15

    Tuna wakubali sanaa huku mkoani Mbeya Team ya SNS

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 2 měsíci +10

    SNS mpo vizuri sana..mnatupa madini mazuri sana..nakukubali sana sky na dj smaa

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před 2 měsíci +17

    Gps ni zaidi ya chuo🙏🙏🙏🇹🇿🇿🇲

  • @kombohamad9299
    @kombohamad9299 Před 2 měsíci +13

    ❤SNS no 1 Africa

  • @user-df8uo2lg9t
    @user-df8uo2lg9t Před 2 měsíci +25

    Putin anaweka mambo sawa ulimwenguni maana wamezidi🇸🇮🇸🇮

  • @vuaimakame300
    @vuaimakame300 Před 2 měsíci +2

    Hongereni sana wachambuzi na sns kwa ujumla

  • @Fabricedavid2
    @Fabricedavid2 Před 4 dny

    SNS Big respect kwa uwezo wa kufikiri na kufafanua hali halisi ya Siasa. Niwapongeze kwa pakubwa mnawafungua akili ambao hawajui haya mambo. We’re watching this is a serious matter. Nyie ni magwiji Tanzania kwenye sekta ya Watangazaji kwa siasa. #Respect #Sns to the world 🌎

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau Před 2 měsíci +4

    Ally dah mwanangu Leo nimemuerewa sana🙏🙏

  • @alisalimkenya3972
    @alisalimkenya3972 Před 2 měsíci +7

    Sijawai kosa GPS hata moja, muko vizuri
    Dj sma nakuaminia sana
    Full love from mombasa

  • @user-zj7tt5gv8y
    @user-zj7tt5gv8y Před 2 měsíci +4

    Sns is the best listeenong from 🇲🇸🇲🇸

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 2 měsíci +9

    Uraaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 2 měsíci +7

    Shabiki sugu wa sns , nimesitazama zote. Kutoka 254

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 Před 2 měsíci +1

    Mpo vizuri

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 Před 2 měsíci +32

    Wakwanza leo naombeni like zenu🎉

  • @HalimagalgaloMwinyi
    @HalimagalgaloMwinyi Před 2 měsíci

    Napenda ucbambuzi wenu good information 🎉

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o Před 2 měsíci +2

    Safi sana wakuu ❤ I love you so much SNS

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d Před 2 měsíci +2

    Hongera kwako masund kwakutupa elimu

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 2 měsíci +7

    Russia katuma Submarine na meli bila kuguswa Ulaya imeufyata!!!!!

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Před 2 měsíci +2

    Nawapenda sana 🎉🎉

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 Před 2 měsíci +2

    Keep it up sns, nafatalia GPS nikiwa Belgium

  • @noelmsofe2589
    @noelmsofe2589 Před 2 měsíci +6

    Ally ni nouma Yani anakuchambulia ata ukiwa mbumbumbuu unaelewa

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 Před 2 měsíci +8

    Marengo ya Kremlin yatafiwa haijalishi kwamba Kuna NATO au marekani.

  • @user-ge8gy1ld8u
    @user-ge8gy1ld8u Před 2 měsíci +9

    Akuna atapigwa uyo

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 Před 2 měsíci +1

      huyo aguse marekani ndio ataskiza mziki hajawahi ona

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x Před 2 měsíci

      Ajichokonoe aguse USA kudadeki

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 2 měsíci +1

      ​@@Njiwamichael-km1dm8et9xVita vya nyuklia havijawahi kuwa na mahindi mkuu.Marekani na Umoja wa Ulaya wataweza kumshinda Russia kijeshi Hilo hatukatai ila madhara yao kiuchumi yatakuwa makubwa hakuna mfano na Hadi hapo kutatokea anguko kubwa sana la kiufupi na China atakuwa New superpower katika ulimwengu.Hilo jambo NATO, EU na USA wanalijua fika na hawawezi kamwe kwenda vitani.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před 2 měsíci +1

      ​@@geomangi6123USA ipi hiyo hatari ya kwenye Hollywood..?😂 Ile USA iliyokimbia Vietnam 😂😂😂..? Ile USA iliyokimbia Afghanistan😂😂😂..?

    • @SamweliJacob-bm2ij
      @SamweliJacob-bm2ij Před měsícem

      Kaenderee kunyonya uku waachie wanaume we shoga kaa pembeni

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 Před 2 měsíci +2

    Mimi nimezitazama zote kutoka Zürich Switzerland🇨🇭

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před 2 měsíci +2

    You're the best guys thanks

  • @hemedmbondejr
    @hemedmbondejr Před 2 měsíci +7

    Huyu jamaa nae yupo vzuri kwenye kudadavua vitu

  • @nixsonmkamba2895
    @nixsonmkamba2895 Před 2 měsíci +2

    Dj sma🔥

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 2 měsíci +2

    ❤urraa ❤ Putin ❤ team urus pa1sana hatuna mpizani team urusi kiboko ya mashoga 1

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 Před 2 měsíci +1

    Ahsanteni sana

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před 2 měsíci

    Safi sn Ali salute

  • @user-rp2br1um5y
    @user-rp2br1um5y Před 2 měsíci +1

    Napenda sana mukitoa maelezo na uchambuzi muweke na video munakua munatufanya tujiskie vizur sana

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y Před 2 měsíci +5

    ❤Russian V/ African❤

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn Před 2 měsíci +5

    Mnaongea kwelikweli kabisa

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 Před 2 měsíci

    Hawa ndo wakuwapa nafas kwenye masuala ya ulinz na usalama big up Sana sns wazee

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před 2 měsíci +3

    Nani amegundua kwenye SnS GPS kuna tuvimtu tuwili tutatu tu ndo tunapinga hawa wachambuzi, Tunachekesha sana kuiponda Russia wakati wana uhakika mrusi mkali mno.Napenda sana kuona comments kibao za wana Sns wanao jielewa na hawaamini mainstream media.

  • @bubashabalebanga4183
    @bubashabalebanga4183 Před 2 měsíci

    Asante kwa tarifaa

  • @kitosio
    @kitosio Před 2 měsíci

    Tunawakubali sana sana Taarifa zenu ni Facts.

  • @deocresmodest6148
    @deocresmodest6148 Před 2 měsíci +2

    Nawakubali sana kwa kutupa elimu wanaotuma meseji za ushabiki ata mabom ya mbagara na gongolamboto awajawai kuyaona wanamkubali mmarekani kutokana muvi zake wasamee tu

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 Před 2 měsíci +5

    Ally massoud una akili sana

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f Před 2 měsíci

    Nakubali dj smaa sana tuu❤❤❤

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 2 měsíci +3

    Duh nyie jamaa ni noumaaa sanaaa🙌🙌🙌 yaaan hichi kipindi ni ballaaa, much love from Helsinki Finland 🇫🇮

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 Před 2 měsíci

    Mwenyezi Mungu Atulinde, Norway ni Jirani ya Russia.. 🙏🏼🙏🏼

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před 2 měsíci +1

    tnawafatilia sna dj smaaa uliwai kusema ktk zile option 3 Kuwa urusi haiwezi kutokea kuishindwa vita na ukrei, ispokua kuwe na option 3 moja kuripuka kinu cha zapoziha, pili nato waingie moja kw moja, tatu wakbali matakwa ya urusi. Mpaka sasa urusi wameshindwa vita sasa ulaya imebaki option ya vita tu

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl Před 2 měsíci +1

    Sasa yukrein hanahizozote na ndio urusi wameshindwa kuchukuwa yukrein.

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před 2 měsíci +1

    Cool

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 2 měsíci +2

    Allah yaaram..mwenye ujuzi Zaid ni yeye muumba wetu jinsi dunia inavyokwenda sasaiv

  • @joeboa3139
    @joeboa3139 Před 2 měsíci +4

    Leo mi wa pili

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl Před 2 měsíci

    Usipendelee Rashiya saana

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata Před 2 měsíci +2

    Tupo ma1 na ninyi vizuri zaidi msionekane kuwa washabiki wa vita mtapendwa na wengi

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 Před 2 měsíci +3

    SNS❤

  • @kingpunzy194
    @kingpunzy194 Před 2 měsíci +1

    Kuna watu wanasema Dj sma anauelekeo wa Urusi. Hata mimi ningekuwa sns ningekuwa nipo katika mlango wa Urusi. Nawakumbusha tu Uchambuzi nao pia ni uharakati lazima uelekee kwenyee upande uliosahihi (haki) Uchambuzi wa siasa sio mpira. Mpira hata uchambue vipi hauna natija katika maisha ya binadamu. Amerika ni waovu watangu na tangu, uovu wao ulijificha kwa kigezo cha Demokrasia way back ago, now umedhihirika wazi. Rusia nao ni waovu ila sio wenye misimamo mikali sana. Ukisoma fikra zao za kimaisha (Nidhamu za kiuchumi) Utagundua kuwa Uchumi wa kirasilimali ni mkali sana kwa raia tofauti na uchumi wa kijamaa. So kuna uhafadhali kidogo wa kutawaliwa na MRUSI kuliko MMAREKANI. Hapa ndipo wachambuzi wenye akili kama DJ SMA hawezi kaa kwenye UMAGHARIBI.

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty Před 2 měsíci +1

    Mm nmedhaliwa najikuta nmshabk wa urusi cjui kwnn

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 Před 2 měsíci +3

    Hii GPS ni balaaa lingine nchini Kwa sasa

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před 2 měsíci

    Bro mm sijawah pitwa na GPS au kipindi chochote kile ambacho kuna saut yko hapa SNS #sky

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +5

    Kwanza kabisa masuala ya idadi ya nyukilia hiyo ni Siri ya NCHI husika kuwa Wana idadi ipi sahihi ,lakini yote Kwa yote Putin sio mjinga atapigwa mtu mpaka ashangae yaani kama mbwa mwizi 😂😂😂😂😂

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před 2 měsíci

      Urusi ina silaha nyingi sana za nyuklia kwasababu uranium wanachimba wenyewe wana uranium yakutosha, marekani uranium ananunua 😂

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y Před 2 měsíci +4

    🌍🌍🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🌍🌍

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před měsícem

    Hakika ni kweli km ni hivyo hawatamuweza mrus

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v Před 2 měsíci

    Huyu hatufai anapenda sana rugha za watu sio mzalendo kama dj sma

  • @husseinmanyanga1587
    @husseinmanyanga1587 Před 2 měsíci +1

    Daar nilikua skufatilii ilakuanzia leo nitakua nakufatilien muko vizur sana

  • @sydioslibanais6840
    @sydioslibanais6840 Před 2 měsíci +1

    Nawakubali mnoo Wana SNS family, but naona mna puuzia mnoo nguvu ya marekani japo nikweli akuna muafrika mzalendo wa bara lake au nchi yak ambae anaweza kupenda US, ila UKWELI usemwe kwamva kwenye utabiri wamaandiko ya kiimani utawala wakidunia US imo sofano

  • @vanny387
    @vanny387 Před 2 měsíci

    Asanteni sana kwa iki kipindi.... Mi natokea Burundi ila kwa sasa naishi Afrika Kusini...

  • @JoshuaMwandwanga
    @JoshuaMwandwanga Před 2 měsíci +2

  • @SaidyMwajeka
    @SaidyMwajeka Před 2 měsíci

    Very well 👏

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 2 měsíci +2

    Usisahau kuwa Ulaya ni Nchi ndogo ndogo Sana sana... Russia anaeneo kubwa kama karibu na bara la Afrika....Maeneo yaliyotekwa Na Russia ndani ya Ukreni Yana ukubwa sawa na Nchi ya Ugiriki na ureno......

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +2

      Kumbe ana eneo kubwa na aridhike na eneo lake kubwa.sasa kwa nini yy anataka kupora ardhi ya nchi nyingine ndogo ili hali yy ana eneo kubwa?

    • @Siasia209
      @Siasia209 Před 2 měsíci

      Wewe nae ebu kafwatilie usome uko unatia aibu hp kuuliza swali halina kichwa wala miguu​@@MathewNathan-yb2bz

    • @ernestkunja3472
      @ernestkunja3472 Před 2 měsíci

      Fact Russia anajilinda

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Před 2 měsíci +1

      @@MathewNathan-yb2bz Russia anajilinda na kuwalinda Warusi ndani ya Ukreni...Hata majimbo aliyoteka yanawakazi asili ya urusi....

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před 2 měsíci

      ​@@MathewNathan-yb2bztatizo umekosa elimu 😂

  • @danielmgonja9906
    @danielmgonja9906 Před 2 měsíci

    Kuna sehem jamaa katonywa umeingia ndani sana afu akapotezea aisee daaah

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn Před 2 měsíci

    Nikweli Binadamu nimbaya mara kumi kuliko Shetani

  • @josephm4233
    @josephm4233 Před 2 měsíci +1

    Thank you very much guys, I am impressed by your holistic analysis, which is by far broad and deep, permission to use your conversation to provoke discussion in my lecture sessions🙏

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 Před 2 měsíci

    Contents za GPS zinaenda sana as per views 🔥🔥

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před 2 měsíci

    Wallahi mwana fuse na kikosi chake ni wadadavusi wa kuchakatua maswala ki kwa tecnology ya kisasa hongera sana kwa uchambuzi unao eleweka kwa ufasaha.

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před 2 měsíci +2

    Ila mnajua tunao comment humu ifikapo 2099 tutakua tumekufa tujitahidi kafanya ibada 🙏

  • @habibumnibo4000
    @habibumnibo4000 Před 2 měsíci +1

    GPS🔥🔥🔥🔥

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 2 měsíci +2

    Nataka kujua nani anae pima kujua nchi fulani ina nyuklia nying

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 2 měsíci +2

    Vita vme mahinda anajipendza ulaya markan

  • @user-nv6wt3nx5h
    @user-nv6wt3nx5h Před měsícem

    Ptini kasha kula maisha anataka amalize Kwa kufa na wengine

  • @shoshifataki5825
    @shoshifataki5825 Před 2 měsíci

    Tupo pamoja South Africa 🔉🔉🔈📣🔊

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 Před 2 měsíci +1

    DJ sima naomba namba yako

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 Před 2 měsíci

    Aisee kweli mungu fundi yaani kwenye hiyo safu mliyo nayohapo. Kila mtu ana madini yake. Tukianza naskay dj smaa masubi nahuyo mmwingine kiukweli mmefaa sana.

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Před 2 měsíci

    Vita haina macho watakufa wote

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 Před 2 měsíci +4

    Putin atapigwa tu wanamuacha tu adhoofike kiuchumi watamalizia akiwa dhoofu Sasa Wana zisoma silaha zake zote anazozitumia ssasa hivi

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 2 měsíci

      Unalolisema Lina ukweli mkuu.Ila china Hawezi muacha Russia aanguke kiuchumi maana anamtegemea kwa teknolojia ya kijeshi na usalama pia mkuu, maana china pia anachukuliwa kama adui na Marekani na Umoja wa ulaya.Biashara ya china na Russia sasa hivi ni $ bill 240 mkuu ila wanatarajia ifikie $ bill 487 kufikia mwaka 2030 mkuu.Kumbuka kabla ya vita Russia exports yake kwa ujumla ilikua ni $ bill 586 mkuu, Hadi hapo Ulishaona namna Gani uchina anavyomuokoa Russia kiuchumi.Pia tambua gesi asilia kwa uwingi IPO sana Russia mkuu mwezi wa nane mwaka jana wamegundua reserves ya miaka 97 kutumia pia ukubwa wa nchi kaka sio mchezo eneo la kilometre mill 17.2 sio mchezo.Japo Russia anaumia kiuchumi kwa kiasi kikubwa ila kuanguka sio kwa leo mkuu ila china ikianguka basi hapo tambua Russia pia ndo mwisho wake.

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před 2 měsíci +1

      Kupata vichekesho hv piga 0000😂😂😂

    • @ernestkunja3472
      @ernestkunja3472 Před 2 měsíci +1

      We ni shoga

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před 2 měsíci +1

      upo ulimwengu wa giza 😂😂😂😂😂

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g Před 2 měsíci

      Wewe unafahamu,

  • @besteva499
    @besteva499 Před 2 měsíci

    Mungu ayirinde Africa namajanga yahawa mafisadi

  • @fredoadams7169
    @fredoadams7169 Před 2 měsíci +1

    Sky next time katika Wachambuzi wako awepo 1 au 2 ambao ni pro West/USA ili knowledge iwe pana zaidi

  • @user-ku3om4bu8j
    @user-ku3om4bu8j Před 2 měsíci

    Putin ni raisi bora sana

  • @hamisikingakachu1259
    @hamisikingakachu1259 Před 2 měsíci +1

    Ivyo mnajua marekani anavinu vyanyukili vingapi mnajua anandege zakivita 15000 miaka nane iliyopita inafatia nauchina 4000 urusi yatatu jeshi bora duniani nimarekani linavifaa vyakisasa kuliko jeshi lingine lingingine lolote lile duniani

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před 2 měsíci

      😂😂 unadanganywa na Hollywood movie

  • @georgedalali3852
    @georgedalali3852 Před 2 měsíci

    Mwambie DJ Smaa, kutoonesha mwelekeo ni sifa ya mchambuzi Bora.

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 Před 2 měsíci

    Mrusi Amewashika Pabaya Sana Hawa Mashetani wa West na Mpuuzi Mwenzao Marekani

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 2 měsíci +1

    Wamalekani wanajua Wana Cho kifanya Hakuna taifa litakalo shindana kivita na taifa Hilo wasomaji wa Bibilia wanajua Hilo,

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 2 měsíci +1

    mbona kama sauti ya FA kwa mbali

  • @AyoubHajj
    @AyoubHajj Před 2 měsíci +1

    Me naomb kuuliza
    ivii total number of Ukrainian soldiers
    And how many are remain adii saa

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl Před 2 měsíci

    Kumbukeni , Urusi ndio walitanguliya kuwingiya yukrein

  • @tyivbra
    @tyivbra Před 2 měsíci

    Huyu broo mwanasheria anajua mpk anakera an
    Navituko vyake ety kiini macho
    Never get tired listening

  • @user-cn1ft8sx2q
    @user-cn1ft8sx2q Před 2 měsíci +2

    Yeye mbona anatumia silaha za Iran?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci

    ✌️👊👍.

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 Před 2 měsíci

    Mbeya chapa like ..