from Kenya mombasa,,,,,,mumenifanya nimecheka mpaka nikapliwa Na mate weeee mdogo wangu sele ebu nileteee Maji ya kunywa muone vile.....nawapenda tu bure watu wangu mwafanya kazi nzuri❤❤❤,,,,,leteni like kwangu 🙏🙏
Kiukweli maisha yametusababishia mengi mazuri na mengi mabaya.i love you steve mweusi.Allah akujalie mwisho mwema ,na wewe usiwe kama wale walioanza vizuri alafu wakamaliza vibaya.❤
Wanamme tunateseka ukienda kutafuta maisha kwaajili ya familia yako ukunyuma linaanza darasa kwa watoto baba enu kuwakimbia ukirudi utakuta watoto wanamchukia baba kwanini wanamme tusfe mapema Steve ujumbe umewafikia
Dogo sele tulikukumbuka sanaa mashabiki wa dogo sele naombeni like 10 tu kwaajir ya sele
Hixo like unampelekea😂😂😂
@@amanbashire5611 😂😂😂😂
Dogo yupovizulisana
Steve mweusi hii ya Leo Bomba Sana kwenye jamii zetu hiki kitu kina watesa watoto. Mjomba ni Mama Steveee😂😂😂😂
Steve konyo kweli wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 na wimbo juu Mimi ndie dereva Wakoo🤣🤣
Aahahaa sana mweusi nakubal San hakik Leo sikuwa nalaha il kwahiyo nimecheka ban
Wa congo 🇨🇩 mani wote jambo yenyu kazi nzuri bwana Steven
Nice one Stive, unavokonyeza sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
from Kenya mombasa,,,,,,mumenifanya nimecheka mpaka nikapliwa Na mate weeee mdogo wangu sele ebu nileteee Maji ya kunywa muone vile.....nawapenda tu bure watu wangu mwafanya kazi nzuri❤❤❤,,,,,leteni like kwangu 🙏🙏
Hapo sawa nikiwa kilifi kenya
Nimependa nyimbo uliyoimba naulivyotoa macho 😂😂😂😂😂😂
Ahahaha sitve unavoingia kama umetoka mishemishe😆😆😆😆😆
Mambo vp steve toeni nafasi jamani kwa vijana wanaohitaji saport ya sanaa
Oya steve unajuwa pamoja na team yako
Kazi safi baba
#aboi_4rm_makambako steve nipe tishert moja kubwa kabisa
Following from Homa-Bay, Kenya. Kazi kuntu Steve.
SI baba tu, baba mwenye gari😂😂
Kiukweli maisha yametusababishia mengi mazuri na mengi mabaya.i love you steve mweusi.Allah akujalie mwisho mwema ,na wewe usiwe kama wale walioanza vizuri alafu wakamaliza vibaya.❤
😂😂😂😂 daaah jaman kutoka musoma hapa nasubir pat 2 😂😂 nimecheka oweeeee
Mjomba ni mama 😅😅😅
Nice. Nakubal🎉🎉
Wa kwanza like zangu
Ulipiga bakuri teke bakuri la hela 🤣stevee
Wa kwanza ❤
Mim wa kwanza Léo
Nipeni Likes Zangu Jamani 🇨🇩💪
Mmmm nice content
Steve noma sanaa
😂😂😂hii hatari
Nice sana
Et wakwnza aya mm nisemej
👍👍nakubal San🌷
Please 🙏🙏 next
wmyx
Steve na dogs sele 😂😂best comedy
😂😂😂 hehehe waliorudia mara mbili mbili tujuane 😂😂😂😂hapo mwisho
Nacheka jamn mm et stiv asema ninavyo penda magr mm bac njoo z kuna jamaa anatoa magar buree
Wueh 😳😳😳😳 uwezi kuchukuwa mtto lazima ungaramie ujinga yako mwenyewe 🙄
Kaka ake kuku bata
Mwamba niliisubiria sana
J'aime bien
😂😂😂 napenda hii
Haaaaaaa wanaume munakataa mimba ikisha munaaibika
Ngoma ya ukweli sanaa
Mnaweza sanaaaa🎉🎉❤❤❤
Munguawabarik
Wako wapi wale walokuaa hawajui kuongea kiswahili 🤣
😂😂😂😂stivu baba
Wanamme tunateseka ukienda kutafuta maisha kwaajili ya familia yako ukunyuma linaanza darasa kwa watoto baba enu kuwakimbia ukirudi utakuta watoto wanamchukia baba kwanini wanamme tusfe mapema Steve ujumbe umewafikia
Good project... Mutupe next soon
Naomba likes zangu hapa
Safisana
STEVE HUYU 😂😂😂
Hamisheni likes hapo chini ya hii mbadala😅
Ajira kafuga tako
Watching u frm Kenya nawapenda nyote
Nice
Setev anapenda gari😂😂
Aisee nani kama mama sere Mungu akupe Mwisho mwema saana
Gonga Like apo. N'a mkubali Steeve
Batokeya Congo 🇨🇩
Napeda Steve moses
Part 2 twangoja
Stive 🎉🎉🎉😅😊
Mpo gud
Asante mwanangu Sele is the best
Aliesikia me ni chawa wake tujuane kwa like 🤣
Sele nakupenda sana
Unyamaaaaaaaa
Tumekumicc sana dogo sele
Steve karbu kanairo na huyo nsele
Mi mwenyew siafiki
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Si ni tamu sana
Steve 😅😅😅😅 like from Kenya
JAMANI NASUBILI PART 2 HII KITU IMENIKUTA YAANI USIOMBE
Ahahahah
Like Germany
Dogo sele uko vizur xanaaaa
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
wa mtwara pamoja san
Mjomba ni mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂
Waooo❤❤
👍👍👍
Steve mweusi chawa Mana upo kotekote😂😂😂😂😂😂
Sele wewe nakupenda sana ❤❤❤❤❤🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Congratulations
Mama sele nimeipenda hii😂😂😂😂😂😂😂
kaa!!!
steven hatar san
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂steve wewe
Nzuri nimeipenda❤
Mbona hamweki ya pili jamani
Am waiting for number 2
Ya kwanza like yangu
Part two plz
Mnzul❤
haya thatha
Msitucheweshee video zetu :tunawasubir kwa hamu
Dogo Sele nimempemda anavyoigizà
💗💖💗💖💝💝
Ahmadi kijicho ndiye nani?
💯💯💯
Likes za kwangu zije
❤❤❤
Hatariiii
STEVE