Ruge Mutahaba azungumzia bifu ya Diamond na Alikiba na athari ya timu zao

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Kupitia kipindi cha XXL, Ijumaa ya November 25, Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, alizungumzia mtazamo wake kuhusu bifu ya Diamond na Alikiba na athari ya timu zao, malalamiko mengi kuhusu yeye na station ya Clouds FM.

Komentáře • 47

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 Před 4 lety +1

    You sound in my mind RUGE

  • @shawangijuma1041
    @shawangijuma1041 Před 7 lety +1

    He is so smart

  • @kihiyobakari8062
    @kihiyobakari8062 Před 7 lety +2

    nice boss

  • @sirnyoniinspirationstv5327

    We are the one,tujenge Tanzania yetu.

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Před měsícem

    2024

  • @rashidinassoro9493
    @rashidinassoro9493 Před 7 lety +2

    Huyu Ruge yuko vizuri

  • @mohammedya-assini6455
    @mohammedya-assini6455 Před 7 lety +1

    good tugeh

  • @user-fm9gr6jb6e
    @user-fm9gr6jb6e Před 7 lety +1

    huyu jamaa is really smart

  • @mahamudually6177
    @mahamudually6177 Před 7 lety +3

    ongera ruge mawazo mazuri awa wanao jiita timu kiba wanapenda kutukana wanatuboa tusio penda matusi

    • @salehemkala7775
      @salehemkala7775 Před 7 lety

      iyo tim mond awatukani mbona unapenda majungu wewe achana na kig kiba

  • @benoitniyukuri4959
    @benoitniyukuri4959 Před 5 lety +1

    r i p ruge

  • @frolencedezire7149
    @frolencedezire7149 Před 7 lety +4

    kiukwel toka nizaliwe na nianze kusikiliza interview mbalimbali kwenye radio sijapata kuona mtu mwenye akili na busara ya kujibu maswali kwa ufasaha na uelewa wa hali ya juu kama ruge mutahaba kaka hongera sana lait kama watanzania wangekuelewa kwa hilo tungeufikisha mziki wetu sehemu nzuri sana.

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 Před 7 lety +3

    hawa jamaa hawajui kuuliza maswali bhana!!! hasa maswali hayo kila siku yanaulizwa kuwen wabunifu au kisa boss wenu mm amuogopa?

  • @samwelipogba2971
    @samwelipogba2971 Před 7 lety +1

    woyooo

  • @robatysamwery5748
    @robatysamwery5748 Před 7 lety +4

    team kiba mnapenda matusi xana ila poa chuki zenu haziwezi mfelisha diamond wambongo ss ndivotulivo hukia hunakitu tunaongea upate mafanikio napo tnadis jameni tubadilike alikiba mm namkubali xana ila saivi diamond nyota inang'ara tukubalit

  • @sirnyoniinspirationstv5327

    Huko mbele ya safari naona kama kutatokea East Coast Team na West Coast Team kwa maana ya beef ya Nijeria kuwa na bifu na wasanii Wa East Africa wao West sisi East.
    Maana muziki wetu unakuwa na wao wanataka wabaki walipo

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 6 lety +1

    Ruge kama Budget inaruhusu tengenezeni documentary yenu itakua poa sana na itatia hamasa

  • @dichodaplaiza
    @dichodaplaiza Před 7 lety +1

    nimemuelewa xana huyu jamaaa!!!!

  • @abdukareemhussein2281
    @abdukareemhussein2281 Před 7 lety +1

    tatizo msanii mmoja Ana maneno mabovu sana anaboaaa

    • @khadijawendomwachirenje3513
      @khadijawendomwachirenje3513 Před 7 lety

      Abdukareem Hussein mnapenda awe kimya milele akijibu hoo majibu mabaya

    • @abdukareemhussein2281
      @abdukareemhussein2281 Před 7 lety

      +Khadija Wendo Mwachirenje sio akae kimya kuna vitu vya ukiongea
      Na sio kuongea kufurahisha uma bàadae ikaja ikakuathir kwann kila siku yeye anagombana Na watu yy ndio mwema
      kama c unaz tu kukimbilia media ili uonekanae unaonewa

    • @khadijawendomwachirenje3513
      @khadijawendomwachirenje3513 Před 7 lety

      Abdukareem Hussein hakufurahisha uma bali aliongea ile sawa hata kama Ni wewe usingekubali kwanini yeye atungiwe tu wakati vya kweli vipo asiseme?

    • @abdukareemhussein2281
      @abdukareemhussein2281 Před 7 lety

      +Khadija Wendo Mwachirenje ASeme vyenye maana sio kutukana wenzio Na akumbuke hamna kikubwa Chin ya jua

    • @khadijawendomwachirenje3513
      @khadijawendomwachirenje3513 Před 7 lety

      Abdukareem Hussein kwa hivyo kutukanwa yeye nisawa ila yeye akisema ukweli Ni matusi eee?

  • @reubenreonard6655
    @reubenreonard6655 Před 7 lety +1

    wewe unamtetea sana diamond kwa kuwa una Shea yako kwa diamond

  • @tobiassamson796
    @tobiassamson796 Před 7 lety +1

    Mawazo yako yakopoa

  • @booneyantony1022
    @booneyantony1022 Před 7 lety +2

    wanatetemeka..wanaogopa hawajiamin bado wanamuogop ruge..sasa redio kubwa kam hyo mnashindwa kuweka video ya record yenu ..hamna kitu nyie

  • @mndememsafiri2314
    @mndememsafiri2314 Před 7 lety +1

    mzee wa fursa

  • @dreamerboy4956
    @dreamerboy4956 Před 7 lety +7

    Diamond bwege tena msenge tu.

    • @jumahamis4063
      @jumahamis4063 Před 7 lety +1

      Dreamer Boy unaumwa chiz wewe wewe na d nani bwege

    • @justinmvungi6927
      @justinmvungi6927 Před 7 lety +1

      niangalie kijana hayo matuc yako.

    • @saidsada7902
      @saidsada7902 Před 7 lety +1

      Dreamer Boy matus yanin

    • @mullanochamp3860
      @mullanochamp3860 Před 7 lety +1

      JUMA HAMIS dimo bwege tuuu kwan we unaona mzmaa yulee

    • @justinvianne2242
      @justinvianne2242 Před 7 lety +3

      sasa wewe ukimtukana wadam mwezako hivo eti,bwege wewejee wakwite nani? kaza kamba kwakazi yako,siyo ukaze macho kwawengine.

  • @gottaboy4178
    @gottaboy4178 Před 7 lety +1

    Nina ham kubwa yakujua kiwango chako cha elimu

    • @makerotv8193
      @makerotv8193 Před 6 lety

      huyu jamaa Anamasters ya Business kutoka UK

  • @williammadihi4632
    @williammadihi4632 Před 7 lety +1

    nimeyaelewa majibu ya ruge.

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 Před 5 lety

      Kaka maneno yako yataishi miaka mingi,unaona mbali ulichokiongea zamani nakiona leo,mwenyezi mungu akujalie upone haraka inawezeka usije kuwa tajiri mkubwa wa kifedha lakini maneno yako yakawafanya Watanzania wenyekujitambua kifikra kuwa mbali ktk shughuli zao za kimaendeleo!