Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi... 🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI... 🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO... 🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani... 🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani... 😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio
Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.
Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.
Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.
Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao
Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.
Mahakama zinanuka Rushwa
Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani
Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole
Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi
Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.
Makonda anasafisha mji
Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati
Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa
Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba
Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi
Hongera sana mh Paul Makonda
Wow what r lady
Hello ❤
Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti
Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi
Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda
Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo
Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero
Mchukue mwabukusi WA mbeya
Watu wa Arusha wazuri
Arusha wamepata kichwa 😅
Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini
Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active
Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa
Anaongea kama mangekimambi😅😅😅
Kbs😂😂😂
Baba akiwa na mali ni shida
Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,
Very sad why
Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda
Da rais samia unayskia haya
Du umezeeka pole
Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe
Mama mtafte n waziri slaa
Tatizo mahaka
mama yetu anajua mungu
Mawakili teden haki
Kweli mama
Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz
❤Mungu akuride
Da na jaji mkui yupo yan da
Pole
Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman
MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO
Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?
Rushwa inapofusha
Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama
Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena
Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna
WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.
Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!
🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi...
🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI...
🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO...
🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani...
🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani...
😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...
Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli
Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi