MAMA AVURUGWA KWA MAKONDA | NITAFIA MAHAKAMANI KWA KESI HIZI | MAWAKILI WA ARUSHA HAWAFANYI KAZI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 61

  • @froma3732
    @froma3732 Před 23 dny +6

    Mawakili sio wazembe ni wizi hao ndio wanachafuwa hali hio

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Před 23 dny +8

    Mahakama za Tanzania ni mbaya sana duniani hakuna. Huyo Jaji mkuu anamuangusha mama Samia kimya kimya.

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 23 dny +6

    Mahakama za nchi hii zinahitaji kiongozi kama makonda au slaa kufanya operation za kesi zote zilizoko magakamani.

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Před 23 dny +2

    Makonda hutaweza bila kuondoa rushwa nchi imeja rushwa na rushwa IPO ngazi za juu.

  • @user-ml3zf7mw1y
    @user-ml3zf7mw1y Před 17 dny +1

    Hassan unasema huyu mama ni nyingine na sio raia ina maana ukweli unaujuwa ww na swala la uraia uhamiaji wapo ndio kazi yao

  • @thelalas9204
    @thelalas9204 Před 24 dny +6

    Jamani tuchagueni viongozi vijana waliosoma vizuri hawa wazoefu watupishe sasa,maana tunahitaji kwenda kwa kasi.Hebu angalieni nchi zenye majangwa wanafanya vizuri kuliko nchi zetu zenye neema tele.Problem is leadership tuacheni kushabikia kila kitu.

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Před 23 dny +4

    Mahakama zinanuka Rushwa

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 Před 15 dny

    Makonda ni kiongozi mzurii mwenye imani

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Před 23 dny +6

    Mama umeliwa jina tu la Kamugisha hutoboi pole

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 24 dny +6

    Nchi hii imeharibika sana, kila kitu watoa haki ndio wanao haribi

  • @user-yc1tm4hp4n
    @user-yc1tm4hp4n Před 24 dny +2

    Makamishina na maafisa ardhi ndio chimbuko kubwa la dhulma Viongozi msirubuniwe wasilize vyema wananchi pindi wanapojieleza.

  • @robertmhilu132
    @robertmhilu132 Před 17 dny +1

    Makonda anasafisha mji

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 Před 15 dny

    Watu wanadhulumiwa sana hawajui kama maisha ni mpito unamdhulumu mtu maskini hawajui kama dhulma ni dhulumati

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 Před 20 dny +1

    Mawakili wa tanzania wamekua matapeli kabisa

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 23 dny +4

    Tz,kuna, dhulma nyingi ya ardhi na, nyumba

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 24 dny +3

    Majaji nayo tingi tu tatizohawafukuzwi KAZI hata huyo jaji fukuza kazi

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před 24 dny +5

    Hongera sana mh Paul Makonda

  • @ag3044
    @ag3044 Před 12 dny +3

    Wow what r lady

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 24 dny +4

    Kila ofisi ya mtendaji kuwe na ramani ya kata husika nchi nzima ku kuzuia utapeli na kwa wenyeviti

  • @HassanWarsame-bk3sv
    @HassanWarsame-bk3sv Před 24 dny +3

    Pole sana haki yako makonda ataifanyia kazi

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 24 dny +2

    Pole mama mwenzangu haki itapatkana wapo Viongoz wanaosmama kihaki Makonda

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Před 20 dny

    Mama tapika yote Leo Mtu wa Mungu Yupo Arusha Makonda atawatibuwa wote Matapeli washenzi hao wote Makonda Wazibuwe Leo

  • @jewajua-tv
    @jewajua-tv Před 20 dny

    Nilichogundua kuna kero nyingi sana na sheria na mahakama zimeshindwa kabisa "TOTAL FAILURE" katika kutatua hizi kero

  • @MosesJoseph-tp3dr
    @MosesJoseph-tp3dr Před 23 dny +2

    Mchukue mwabukusi WA mbeya

  • @halimayusuph4931
    @halimayusuph4931 Před 17 dny

    Watu wa Arusha wazuri

  • @davidanselmo4041
    @davidanselmo4041 Před 23 dny +1

    Arusha wamepata kichwa 😅

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 17 dny

    Hakuna haki mahakama za Tanzania hasa kwa maskini

  • @fundimagari5825
    @fundimagari5825 Před 23 dny

    Ndio lengo la makonda kufikisha ujumbe katika jamii ili watawala wajue shida za watu wanaowatawala kuhusu upande wa sheria ayupo active

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 Před 23 dny

    Tabia ya kutanguliza pesa mbele bila utu mmejiona mnajua pesa sana na kizazi chote kinajali pesa kuliko utu hilo linahitaji muda mrefu kuliondoa

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 24 dny +5

    Anaongea kama mangekimambi😅😅😅

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 23 dny +1

    Baba akiwa na mali ni shida

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před 22 dny

    Sasa serikari serika mjalibu kuona kunatatizo mahakamani watu ni wengi na wengi wana lalamika rushwa ,

  • @Charzlomo
    @Charzlomo Před 23 dny +2

    Very sad why

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 23 dny

    Ndio maana huwa nasema mahakama zifutwe abaki makonda

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f Před 23 dny

    Da rais samia unayskia haya

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před 22 dny

    Du umezeeka pole

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 Před 23 dny

    Enyi binadamu ambao mmepewa mamlaka tendeni haki iyo ni dhamana kubwa mmepewe

  • @JohnP-gl1ie
    @JohnP-gl1ie Před 23 dny

    Mama mtafte n waziri slaa

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga6370 Před 24 dny +2

    Tatizo mahaka

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope Před 23 dny

    mama yetu anajua mungu

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před 21 dnem

    Mawakili teden haki

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před 24 dny

    Kweli mama

  • @hellenshayo3454
    @hellenshayo3454 Před 23 dny

    Duuuuu kesi 49 hi ndiyo Tz

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před 21 dnem

    ❤Mungu akuride

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f Před 23 dny

    Da na jaji mkui yupo yan da

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před 23 dny

    Pole

  • @faidhatmagige133
    @faidhatmagige133 Před 17 dny

    Makond a ni jembe wambunge wa mikoa yote wangeig a hivi kusaidia wananchi jaman

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MTOTO MMOJA SASA MBONA MNAFANYIA VIGISU MPENI MAKONDA MPIGE DRONES APO

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 23 dny

    Mahakim wa tz ni rushwa au hawana elimu?

  • @amaniarajiga1902
    @amaniarajiga1902 Před 21 dnem

    Rushwa inapofusha

  • @HassanSheikhghalib
    @HassanSheikhghalib Před 18 dny

    Mama we muongo kwanza inavo inaonekana we sio raia wa Tanzania makonda hana uwezo wa kuingilia mahakama

    • @mahamudali1453
      @mahamudali1453 Před 15 dny

      Mama apate hakiyake na huyu mtapele ashikwe familiya yote msiba tupu angoja mlima lengai itakulipukiya tena

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 23 dny

    Makonda anachofanya kinadhihirisha uwepo wa mfumo bovu na uhitaji wa 👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 23 dny +1

    ujuwe mambo ya kusema mahakama haiingiriwi ndio maana rushwa zinakuwa nyingingi sana mahakamani haki hakuna

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 24 dny

    WE MAMA KUMBUKA MAHAKAMA NI TASISI INAYOJITEGEMEA?. MAKONDA HAWEZI KUINGILIA MAHAKAMA. LABDA MAMA SAMIA.

    • @user-zn6mg3xp3l
      @user-zn6mg3xp3l Před 23 dny

      Lakini an😂aweza kuongea na raisi chap kupitia makondaaa ni simu moja tu!

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 Před 24 dny +2

    🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    👉Jamani huku kwetu kenya mbona hakuna neema hizi...
    🇹🇿 Maana Tanzania kuna MAKONDA WA HAKI...
    🇰🇪 Kenya yetu nayo MAKONDA NI WA MAANDAMANO...
    🇹🇿 MAKONDA WA TANZANIA Kavalia Hekima Kichwani...
    🇰🇪 MAKONDA WA KENYA Kavalia Sufuria Kichwani...
    😒😡😡 Afadhali nikawachunge tu mbuzi wangu wasile mahindi...

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Před 24 dny

      Viongozi, wabunge igeni mfano kwa Mh Makonda wananchi wana dhulumiwa sana kwakweli

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 24 dny +9

    Bunge linashindwa kutunga Sheria nzuri KAZI kugonga meza tu kina kibajaji Sheria hamjuwi