Hongera mkuu ushauri ungeweka utalatibu au niseme kwa wafanya kazi wa masanja wanapo ingia ndani ya bidhaa inapo kobolewa kuwe na utalatibu wa mtu anapo ingia au wafanya kazi kwa ujumla wawe na mpangilio wa mavazi apo kuna shida kidgo wengine wamevaa ndala kitu ambacho binafsi cjakiona kama kipo Sawa
Haya sasa wale wagonjwa wa akili maskini wa fikra mnaisemaga Masanja frimason ufrimason wake huo hapo mwenzenu anaendelea kupambana nyie endeleeni kumwambia frimason
Hongera mkuu ushauri ungeweka utalatibu au niseme kwa wafanya kazi wa masanja wanapo ingia ndani ya bidhaa inapo kobolewa kuwe na utalatibu wa mtu anapo ingia au wafanya kazi kwa ujumla wawe na mpangilio wa mavazi apo kuna shida kidgo wengine wamevaa ndala kitu ambacho binafsi cjakiona kama kipo Sawa
james Custom Sawa
Siyo mashine ya Masanja yeye ni mteja kaja kukoboa tu
Masanjaa I love your efforts
MUNGU.. Kazi a good family maisha yamekamilika 😍😍😍great
Hongera sana mkuu vifungashio Uneviandika UBARUKU MCHELE KUTOKA UBARUKU MBEYA ili waijue vzr UBARUKU YETU MAANA MPUNGA 90% UNALIMWA UBARUKU
Halafu jitu sijuii limekula kiporo oooh masanja anauza mdawa ya kulevyaa msiuu barikiwa sana mchungaji
Waoo nice👍❤
Good broo,,
Inspired so much.
Nitaendelea kujifunza kwako na huwezi amini nimedownload video zako nyingi za uhamasishaji na nazifanyia kazi sana sana.
Unanukia huo mpaka raha
Hongera sn mpendwa na Mungu aendelee kkbariki.
masanja tena ww c mchoyo wa mbinu zakukimo kama mtu atakufatilia kila kitu kipo wazi sana hata mm mama nimejifunza sana kutoka kwako
From Kenya... Nimeipenda sana kazi yako..... Allah AKubariki zaidi...
Imani bila vitendo...bravo 💪 my pastor
Gaudenciar Edwin Umeonaeee
Masanja mchele umepasia simu kwa harufu nzuri,ubarikiwe zaidi
Good job and big up
Daaaahhh hongera sana bro unaninspire kuingia iko et
Kazi nzuri kaka hongera from 254+
Hongera sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe kwa mchele mzur
Da hongera kwa kweli
Hongera sana
Hongera
Nakuku bar brother man
Rugessy Boy Asante
Unapatikana wap
God bless you my Brother!
Isaack Jacob Amen
Bei ya mchele
Big up Kaka Masanja
Be bless
Wow hongera sana kaka
Yasmin Yasmin Asante sana
Mungu akuzidishie .
Vitolo Moh'd Amen
Masanja jaribu kusambaza mchele wako n huku mikoan nasikia una mchele mzur sana
Agatha Thobias sawa
Niajiri na mie
nnamchele wa kahama broo 1900 unachukuwa??
Endeleeni kuongea haa masanja Freemason,huo mchele amelima yeye kwenye mashamba yake,hongera mtumishi juhudi zako nazikubali
Frank Ngoloka Asante sanaa
Machine za kisasa sana zinakoboa vizuri mmliki ni muha wa Kigoma. Ubaruku, Mbarali. Hata mimi nanunua mchele hapo Ubaruku naleta Moshi.
hillary mrema good
Samahani naomba tuwasiliane
Haya sasa wale wagonjwa wa akili maskini wa fikra mnaisemaga Masanja frimason ufrimason wake huo hapo mwenzenu anaendelea kupambana nyie endeleeni kumwambia frimason
unapatkna wap huu mchele
unatisha kaka
Hongera Sana u are Soo bravooo
Masanja ntapata mawasiliano
Kak pamoja sana
Kak ninashid na wew nitmie namba yok tuonge
Kila siku najifunza jambo kutoka kwako,
Prince Aivan Ministries Asante sana ndugu yangu
Nataka mchele Niko Kenya Nairobi
Mungu akubaliki masanja
Gracious Joseph Amen
Haya ndo mambo tunayo hitaji big up M.mkandamizajo
Ongera kaka ni kasinzuri lakini naona wajapakasi ni wakiume Mimi naomba kasi hio
Caroline Wanjala Sawasawa
@@Feelfreechurch Asante nikipata nitakujulisia
Alafu anatokea mjinga mmoja eti masanja mchawi kaloge na wewe mawe uyageuze sukari ... Alafu weka kwa pack ingiza sokoni uone Kama rahisi
Tusajigwe Mathias 🤣🤣🤣
Nataka mchele. Niko moshi
Kg 100 ni sh ngapi?
G M 250,000
kwani ulikanyaga mafuta au unafanya kazi kwa bidii na kumtegemea /maombi/dua/maombi kwa MUNGU
Johanes Mwombeki , jali afya yako, fanya kazi kwa bidii
Nataka mchele. Niko moshi