MATAYARISHO YA MJADALA BAINA YA USTADH SAID NA BACHU | MOMBASA KENYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • MATAYARISHO YA MJADALA BAINA YA USTADH SAID NA BACHU | MOMBASA KENYA

Komentáře • 371

  • @AlIhsaanTv
    @AlIhsaanTv  Před 11 měsíci

    Tazama video mpya munaqasha utakuwa tononoka ground.
    czcams.com/users/live1YJ4ojuouEY?si=VABRrBuE3GjI1lFN

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d Před 3 měsíci

    Alhamdulilah haq haijifichi maandiko yapo waz Qur an hsijaacha kitu,hongera Bachu

  • @abdulali753
    @abdulali753 Před 11 měsíci +5

    Allah awahifadhi ma shekh wetu Wa Twariqah🤲

  • @amirhemed2483
    @amirhemed2483 Před 11 měsíci +5

    Allah atawapa kheri nyote,muendelee kuelimisha umma bila yakuteta

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 Před 11 měsíci +4

    Masha Allah Shikh Aboud Allah azidi kukupa hekma Elima na ufaswaha ktk kuongea

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 11 měsíci +22

    SHEKH ABOOD UMEJUWA SANA KUWAKAMATA HAPO KWENYE BARZANJI ... AHSANTE SANA

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 Před 11 měsíci

      We hujui maudhui yanavyoendeshwa.we si msomi ndo maana unasema hivyo

    • @allyomarysuleiman5232
      @allyomarysuleiman5232 Před 11 měsíci

      Bangi tu izo ukiacha tu kuvuta akili yako itatuli

    • @yazidurashidi8443
      @yazidurashidi8443 Před 11 měsíci

      KITU CHA KUSTAAJABISHA NI KUA MASHEKH WANALAZIMISHA BACHU ASEME KAMSINGIZIA ABUU JAAFAR .ABUU JAAFAR HAJASINGIZIWA KWASABABU KWENYE RISALA YAKE UONGO NA NA MANENO YA SHIRKI YAPO .LABDA MSEME KWENYE RISALA YA ABUU JAAFAR MANENO YA SHIRKI YAPO NA YA UONGO ILA MENGINE NI YA WENZAKE .ILA SIO KITU MUHIMU KUJADILI MANENO YOTE YA ABUU JAAFAR AU BAADHI .HIYO SIO HOJA HOJA HAPA NI KUA MANENO YA BARZANJ KWA UJUMLA WAKE KUNA BAADHI NI UONGO MENGINE NI SHIRKI AMA KUTAJWA BARZANJ MIN BAABIL GHAALIB .TWENDENI KWENYE MJADALA.

    • @AllyNgale
      @AllyNgale Před 11 měsíci

      Mashaallah Tutafunzika wenye kukubali kufunzika Siku hiyo ya Mjadala
      Allahuma Swali Wasalim ghalayhi

  • @issabaruani4433
    @issabaruani4433 Před 11 měsíci +39

    Masheikh wa twariqa wanalugha ya hikma sana ❤❤❤❤❤

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Před 11 měsíci +3

      tumemuona yule 1 akitaka kutoka mafua kwa jazba ila alhamdullah yule shekh aboud amesimamia vizur ila yule mwenzak alikua na jazba

    • @inamxmdsheekh1978
      @inamxmdsheekh1978 Před 11 měsíci +1

      Juu ya hayo yote maulid itabakia kuwa bid'a

    • @abdihassan3655
      @abdihassan3655 Před 11 měsíci

      Hawana hikma tayari hapo wanasema bacho simsomi

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Před 11 měsíci +1

      Hekma ni kufata kitabu na sunna

    • @hassankhalid2753
      @hassankhalid2753 Před 11 měsíci +1

      Kweli sana. Mazungumzi pia.. maoni tu hayo bado maulidi bid'a

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 11 měsíci +18

    Masha Allah vizuri nimefurahi kuskia hi video insha Allah mungu awajalie kila lakheri twarika

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 Před 11 měsíci +3

    Mashallahu Sheikh Aboud Allah azidi kukujaalia Faswaha

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 Před 10 měsíci

    Mashaa Allah❤

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 11 měsíci +7

    Hata mm nishahidi bachu akisema jaffar barzanji ni muongo na kuna ushirikina insha Allah hemu muelimisheni kwa ufasaha

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 11 měsíci +9

    MASHAALLAH SHEIKH ABOUD

  • @alisalum8908
    @alisalum8908 Před 11 měsíci +4

    Baarakallahu fiiqum Nimependa upande wapili jinsi wanavyojitahidi nidhamu ibakie ingawa si upande wangu Allah Awabarik

  • @saeedqaseem3172
    @saeedqaseem3172 Před 11 měsíci +1

    Allah awaongoze ktk kulifanya hili na mengineyo kwa ikhlas amiin

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Před 11 měsíci +1

    Sawa sawa sheikh abud umeni furahisha sanaa mawahabi wataka kipelekwa hivo

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d Před 3 měsíci

    Hongera Bachu

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan8426 Před 11 měsíci +1

    MashaAllah ALLAH awape hikma na maarifa

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Před 11 měsíci +2

    Mashaalah sheikh abood nimekuelewa

  • @allyfundi6405
    @allyfundi6405 Před 11 měsíci +1

    MAASHALLAH mpak hap teyari bachu kala za uso maan hata wawakilishi wake tu teyari washaapoteana

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 11 měsíci +2

    YANI UWELEWA WA UWAHABI NI UKICHAA KABISA ...
    MIMI NAAMINI SANA MANENO YA SHEKH LANGU KUWA UKIJIUNGA NA GENGE LA KIWAHABI BASI HAPOHAPO ALLAH HUCHUKUWA FAHAMU ZAKE KUTOKA KICHWANI MWAKE

    • @mohd39789
      @mohd39789 Před 11 měsíci

      Tatizo lenu nyinyi masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy alisema mtu akiingia katika usufi asbuhi haitofika mchana tayari atakuwa mpumbavu

    • @user-hb1om2ho5r
      @user-hb1om2ho5r Před 11 měsíci

      ​@@mohd39789imamu shafi nayomjua Mimi au kama ninayomjua Mimi umemzulia uongo

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 11 měsíci +12

    Wallahi Wabillahi watallahi hatuoacha kumsifu na kumswalia mtume wetu Muhammad s, a, w mpaka mauti yatufikie, M. Mungu kaanza yeye kumswalia mtume sisi hakuna sababu ya Kukaa kimya

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 11 měsíci +3

      Kabisaaa sheikh Sisi na Mtume Mtume na Sisi fii Kulubina

    • @azizihassan1613
      @azizihassan1613 Před 11 měsíci +6

      Naam lkn kwa namna alivo fundisha Allah na Mtume wake (s.a.w) SI KWA UZUSHI WALA KUPINDUKIA MIPAKA

    • @asalafiyahhussein7767
      @asalafiyahhussein7767 Před 11 měsíci +7

      Al akhi ... hii dini ni isnaad , hatupokei habari Bila daliili katika Quran na Sunnah Kwa ufahamu wa wema waliotangulia .uhai na mauti kilicho na uhakika ni mauti .hakika sisi ni wafu walio hai . Kama maulidi haikuwa dini zama hizo basi Leo haliwezi kuwa dini hata yakafanywa na ulimwengu mzima.haki inapimwa na mizani ya Allah sio makundi ya watu

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 Před 11 měsíci +2

      HAKIKA HAKIKA HATUTO ACHA KUMSWALIA MTUME MUHAMMAD SALALAHU ALAYHI WASALAM HADI MAUTI YATUKUTE
      NA TUTAKUWA NAYE PAMOJA PEPONI AMIN AMIN AMIN

    • @salhakhalfan6513
      @salhakhalfan6513 Před 11 měsíci

      Ewaaaaa Maa Shaa Allah

  • @hishammudhihiri5555
    @hishammudhihiri5555 Před 11 měsíci +1

    Huyo mzee Abu Ahmad ni mswahili kweli walai..acha kuzunguka mbuyu wee mzee bana..kubalini kieleweke

  • @MuhamadHatib-bc1kb
    @MuhamadHatib-bc1kb Před 11 měsíci +1

    Barakallahu fiikum

  • @sharifumajaliwa-pc8kd
    @sharifumajaliwa-pc8kd Před 11 měsíci +4

    Shekhe Abud Alla.akubariki sana unajua kuzngumza wallah

  • @amerabdalla4957
    @amerabdalla4957 Před 11 měsíci +2

    Kwa sababu yakua Na Nia njema mashekhe wakamua wajadiliane. Kwa maoni yangu itakua kupoteza wakati. Debate itaisha Na watu watakua Na hisia Na hamaka no suluhisho itakuwepo Kwa sababu vikundi viwili vinakuka kudebate with attitude Kua moja anamakosa mwengine anajitetea Sio kosa. Ikiwa unaangalia kitu Na umekuja Na Nia yakukosoa definitely utapata kosa moja mbili tatu au zaidi. Ni kama municipal wakija Kwa kazi yangu wanakuja kutafuta kosa Na nilazima watapata hawangalii faida ya kazi yangu.. vitu vyote vilumbwa Na Mungu ziko Na upande mbili yategemea utachakua Jito gani kutizama.

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 Před 11 měsíci +1

    Mjadala tayari umekwisha kufanyika, Masheikh mmemaliza mjadala wote kabla ya Muhammed Bachu na Said.

    • @saidsalim2386
      @saidsalim2386 Před 11 měsíci

      Washa maliza...wamekubali kuwa siyo shirki Wala uongo ni kukosea kuandika.
      Point 2. Wamekubali kuwa bachu alimsingizia kuwa yy bachu ndio muongo 😂

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji Před 11 měsíci +2

    Maa Shaa Allah

  • @salumumangi994
    @salumumangi994 Před 11 měsíci +4

    Mwenye kujibu angekuwa anaongezewa muda Kwa sababu ndio anajibu ni tafauti na muulizaji analieni hilo dakika ziwe nyingi kidogo Kwa mjibuji swali

  • @hafswanaaman2911
    @hafswanaaman2911 Před 11 měsíci +1

    Sheikh boud twaombe tunataka ground mungu akujazi kheri

  • @muhaproduction3325
    @muhaproduction3325 Před 11 měsíci +2

    mashallah raha waislam tunapendeza tukiwa na maelewano hapo

  • @abdallahkassim7602
    @abdallahkassim7602 Před 11 měsíci +3

    Ma sha allah twasubiri mjadala

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr Před 11 měsíci +2

    Masha Allah

  • @user-kh8kf6om6s
    @user-kh8kf6om6s Před 11 měsíci

    In Shaa Allaah iwe ya kheri

  • @sadambakari2579
    @sadambakari2579 Před 11 měsíci

    Inshaalakh mtufundishe ili nasi tusije tupa barazanj tukapata hasara yakutupa ilmu

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 Před 11 měsíci +4

    Shekh abiud ni mwamba

  • @Abdulrasul173
    @Abdulrasul173 Před 11 měsíci +1

    maashaaallah hapo sasa

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Před 11 měsíci +2

    Ust.. Aboud unaongea uko sawa maasha Allah

  • @sharifathman5908
    @sharifathman5908 Před 11 měsíci +2

    Mashallah

  • @abdallahassan2080
    @abdallahassan2080 Před 11 měsíci +17

    Mungu amjaze kheri mwenye kupeka microphone huku na huku

  • @yazidurashidi8443
    @yazidurashidi8443 Před 11 měsíci +1

    Hoja hapa haipo kwa jina la mwenye barazanj. kama kuhusu shirki hata kwa mwenye barazanj shirki ipo .

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 11 měsíci

    ALLAAH atuhifadhi dhidi ya uzushi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 11 měsíci

      Uzushi wewe wajua? Musabaka wa Quran sio uzushi?

  • @abubakarbakari9372
    @abubakarbakari9372 Před 11 měsíci +4

    Mimi maoni yangu bachu asije hawa kina Abuu ahmed wameharibu kila kitu

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před 11 měsíci +6

    Nimependa sana hii arrangement iliofanywa kweli ya kuukubwa sana mmeipa hadhi hii issue

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 Před 11 měsíci +5

    AMSAFISHE BALZANJ KWANZA ILI SIKU NYINGINE AWE ANASOMA KWANZA KABLA YA KULOPOKA

  • @muhsinkaid6662
    @muhsinkaid6662 Před 11 měsíci +2

    Jafar barzanji amepoteza watu wengi sana, katika umma. Itabidi hawa masheikh wa twariqa wafundishwe

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 11 měsíci +1

      In shaa Allah trh 24/9/23 Mwenye Ezi Mungu akitujaalia uzima na afya uje ujue ukweli wa Imam Sheikh Sayyid Jaffar al Barzanji. Jana tu kujajiliana niqash iwe mawahabi mushaanza ujanja janja na urongo. Sijui kama uliona kwa youtube karibu 2 hrs kwapangwa niqash utawaona hao kina Abu Ahmad mashekhe wenu walivyokuwa wataka kuleta ujanja. Ukiona hiyo youtube hapo nani waongoza.

    • @user-vy9oi1mn3k
      @user-vy9oi1mn3k Před 11 měsíci

      Twatiqa kwake kusoma nikufuata amri y bwana MTUME S.A.W bt naomba mujipime kwanda ili mjue ninan hao mlo amua muwe waalim wao

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před 11 měsíci +8

    Dah nazidi kuelewa kumbe mawahabi ufahamu ni 20% tu dah hawa watu ni wazito sana elimu na akili

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Před 11 měsíci

      endelea kufahamu ivo ukiwa unasubir nikashi ya tarehe 24 insha allah

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 11 měsíci

      Yaani kukariri kwao ndio kunawaponza

  • @abulhakim2294
    @abulhakim2294 Před 11 měsíci

    Mashallah nmesikiliza vzr sheikh aboud umewa fahamisha kitu ilikua wawo na huyo bachu walikua hawajui tafauti ya maneno ya barazanji na maimamu wengine. Pia nawa pongeza sn mashekhe wetu wa twarika mulikua sn macho kwa hayo maongezi

  • @shaabanmanase6351
    @shaabanmanase6351 Před 11 měsíci +3

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...hapa hakuna kutoa matusi pande zote mbili twataka kufaidika...Bora pande zote mbili zipo dalili... Kitu kibaya ni kuzua jambo ambalo halikua...walimu wote MaashALLAH wako sawa...

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před 11 měsíci +1

    Sheikh Aboud ninfependa awe mmoja katika Chairman upande wa Sheikh Said.Shukraan.Ama Doktooor Mahmood.

  • @shariffsalim3232
    @shariffsalim3232 Před 11 měsíci +2

    Nivizuri sana mashekhe wa twariqa na mashekhe wa mawahabi kukutana kwa kufahamiyana namba mjadala utakavyo endeshwa

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 Před 11 měsíci

    Nyote mnatawaliwa na KIBRI
    Mnaonshana kwa kibri badala ya kupigana na maadili ya waislam .yanavoporimoka
    MNASHINNDANA KUFAHAM
    INNALILAHI WA INNALILAHI RAJIUN.

  • @khadijamohamed8919
    @khadijamohamed8919 Před 11 měsíci +8

    Tafadhali tunawaomba ifanyike makadara ground.

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 11 měsíci

    Nawaomba Sana mgusie na kuhusu upigaji wa dufu na kuweka wacheza show ya madufu kama wanavofanya wanamuziki ,mana naona wananuchanganya.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 11 měsíci +2

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚

  • @subha.134
    @subha.134 Před 11 měsíci +3

    MashAllah

  • @user-mr1sl6dd7g
    @user-mr1sl6dd7g Před 11 měsíci

    Mawahambi mmeyaqanyaga

  • @salimumbonyumukiza7032
    @salimumbonyumukiza7032 Před 11 měsíci

    Asalamwalekumu mashekh tafazali sisi mamuma mutaduharimbu kweli fanya juhundi Qronn..tukufu ipinge Aga tafazali muwerwann

  • @muhideennoor2458
    @muhideennoor2458 Před 11 měsíci +3

    Mwisho wa kikao abu ahmed sisi ni ndugu n ikhtilafu ziko. Watu wajue hawa mawahabi ni fitna wakipanda mimbar huwaita watu wa twariqa wwashirikina n warongo lazima tujitahadhari na hawa mawahabi ajuae ajua

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 Před 11 měsíci +8

    Walimtaka sheikh fadhil huyo kaja sasa 🤣

  • @MAALIMish
    @MAALIMish Před 11 měsíci

    Hapo kwenye MAUDHUU ndipo tutaona mizozo.
    Wasojua kuwaongoza cha kujadili WANAOJUA ni mtihani.
    Barzanji ni kitabu pekee cha Mawlid.
    Kila zama nikukosoa mawlid... Na hawabadiliki.
    Yalitajwa wajifunze kwanza hayo.
    Ukosefu wa adabu ndio MARADHI yao.
    Hayo ni maradh makubwa kwao.

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol Před 2 měsíci

    mwanahabari umezinguwa

  • @user-nc6ou3ex7p
    @user-nc6ou3ex7p Před 11 měsíci +1

    Masuufi Mutaadhirika Wana Sunna watawakomesha kwa Dalili

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 11 měsíci

      Mawahabi hamuna Dalili hata moja. Kwa ushahidi tu Bachu hana elimu ktk hoja alizozitoa hakujua kama hayo maneno mengine ilikuwa si ya Imam Sayyid Jaffar al Barzanji? Hayumo mtupu wacha aje apewe elimu ambayo hajawai kuisikia

  • @al-akhsalimoo6394
    @al-akhsalimoo6394 Před 11 měsíci +3

    بعد طول الزمان أخيرا وصلنا المرام،
    قال بديع الزمان الهمذاني رحمه الله: ستعلمُ حِيْنَ يَنْجَلِي الغُبارُ أفرسٌ تحتَه أم الحمارُ.
    #Akili huru😎

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 Před 11 měsíci +2

    Ila watu wa bachu wabishi sana na ving'ang'anizi kila jambo wataka wakubaliwe wao

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 Před 11 měsíci +7

    HAHAHAHAHAHAHAH... BACHO NA GENGE LAKE ANATAKA KUKWEPEA..
    AHSANTE SANA SHEKH ABOOD MUHAMAD

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 11 měsíci +3

    Nyinyi mawahabi ndio mwatuka angalia katika mnakasha ongea ukweli muogope Allah

  • @osmanmanbile9327
    @osmanmanbile9327 Před 11 měsíci

    Mawahabii nyinyi mumetoa wpi mambo.ya kugawanya towhidd

  • @salehabdallah4114
    @salehabdallah4114 Před 11 měsíci

    Hakuna dalili ya mafanikio cjui wataenda kuifundisha nini hadhira inaonyesha wazi kua makundio yote hayana haja na haki yana haja ya kulinda makundi yao

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 Před 11 měsíci

    Uongo na ushirikina uliomo ndani ya Barzanji ndivyo anavyosema Bachu.

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage9664 Před 11 měsíci +1

    Daaah makhuraafi Allah awaongozee

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Před 11 měsíci +1

      Awaongoze Mawahabi Waongo Wanaongopa Wazi Wazi Eti Hakusema Ni Muongo

  • @hajimakame7211
    @hajimakame7211 Před 11 měsíci

    BICHWA ehhh !! kumbe bachu !! Unatakiwa umsafishe mzee Barazanji kwa ulivyomchafua

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Před 11 měsíci

    Mtoto wa bachu ni mshenzi sana sarsari ile mbaya hao watu wake pia ni washenzi mumenifurahisha kwa Kutambua mapema hila zao don’t leave any point you must be very careful musikurpuke kama sheikh Sabas. Sheikh sabas ni hodari ubaya Hakua na ushauri it was one man show

    • @mohd39789
      @mohd39789 Před 11 měsíci +1

      Wewe nguruwe mmoja nakuuliza, ni upi ushenzi wa shekh Muhammad Bachu?
      Mshenzi ni wewe usiejue kitu, mzushi mmoja wewe

    • @SaideOmarNaimo-fd9xw
      @SaideOmarNaimo-fd9xw Před 11 měsíci

      ​@@mohd39789Assalamu ãlaykum Shaykh, salama sana? Nakuomba uondoe message hiyo unayomwita mwenzentu jina la mnyama wa haramu!

  • @swalehmohammed3491
    @swalehmohammed3491 Před 11 měsíci +1

    Ustadh Fadhil punguza presure hakuna vita hapo ni vitabu vitasema ukweli wewe mjadala haujaanza waongea kwa hamaki sanaa Kama wataka kupigana na watu mitihani jee mtume alisoma maulidi na maswahaba wake hio yatosha hakuna hoja

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 Před 11 měsíci

      Nashangaa uyu mzee fadhili ana jazba sanaa atakufa na presha

    • @user-or5dx8wy3v
      @user-or5dx8wy3v Před 11 měsíci

      Hapo sasa kitabu wasoma nyote lkn sai wataka kuchanguliya watu wasome mengine mengine yasisome twarika wajua ukweli uko wapi kitabu kiongee mambo yote

  • @seifsalah6843
    @seifsalah6843 Před 11 měsíci +4

    Mada ilikua ni uongo katika kitabu cha barzanji

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 11 měsíci

      Ni urongo na shirki alisema bachu sasa ajee athibitishe

  • @user-xd6js8dp7p
    @user-xd6js8dp7p Před 11 měsíci

    Kuna vitus vyahitaji mazingatio, nafikiri kuna watu wautukana uislam hili ndio la kuliangalia. Lakini kila siku mnauguana nyinyi mashekhe.

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Před 11 měsíci

    HAMNA KAZI HEBU TAFUTENI MADRASA MSOMESHE

  • @abdibwana8636
    @abdibwana8636 Před 11 měsíci +1

    Asalamu aleikum ndugu zangu mm naona west time kwahi hakuna atakayee kubalii kushindwa nihivo hivo wengine Wappingers na wanginee wanted ilaaa sikuyamwisho

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 Před 11 měsíci +1

    Hii Al ihsaan tv ni ya makhurafi pia

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před 11 měsíci +5

    Makhurafii mmeanzaaaa fujoo Kabla ya siku ya hojaaa😊

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 11 měsíci +2

      Makhurafy wameanza hoja kabla siku ya hoja. Lkn hapo kuna twariqa na mawahabi. Sijui ghurafi ni yupi baina ya sufi vs NAJDI

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Před 11 měsíci +1

      😂😂😂Mawahabi waanza uongo kabla ya munaqasha eti hakumuita Muongo hahaha

  • @user-gb6ny3ct7r
    @user-gb6ny3ct7r Před 11 měsíci

    Jamani mukitaka kujadiliana na Ahl'sunna amuwezi mutaumbuka bure kwa sababu Allah huitenguwa baatwil

  • @yusrakhaldun3221
    @yusrakhaldun3221 Před 11 měsíci

    Masheikh wa matwari wajeuri baadhi yao khaswa huyo Fadhil....... hayaa twasubiri siku hiyo INSH ALLAH

  • @ahmedmartin
    @ahmedmartin Před 11 měsíci

    Mim naamini ata ni qash ya Tanga bacho alishindwa ila kwakua aliweka hoja 19 mfulululizo akaona yey kashinda ila wakiweka hoja Moja Moja bachu out kbx

  • @khamisshamis9489
    @khamisshamis9489 Před 11 měsíci

    Hukupaswa kuelezwa asiyoyajua bachu fanya kama ni silaha zako za siri za kushambulia weka munaqash tuone mshindi

  • @salumabdallah3495
    @salumabdallah3495 Před 11 měsíci

    Na aseme kwamba sio mshirikina kama alivosema huyo bacho ni mpumbavu tu hana elimu wacheni kukwepa kukwepa

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Před 11 měsíci

    ikiwezekana iwe live kwenye chanel yoyote live

  • @ismailmsangule1380
    @ismailmsangule1380 Před 11 měsíci

    Maulidi zote zipo sawa mkitaka zote semeni Mawahabi mtaelimishwa
    Lakini nukta ni kutetea maslahi ya imaam albarzanj

  • @walidsaid7807
    @walidsaid7807 Před 11 měsíci

    Nyie kwa mtindo huu mutafarakanisha watu

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 11 měsíci +1

    Huyu abuu ahmad yuwaruka yani mm ntamuita mrongo na yy alikua bachu hoja 19 alisema ni ya jaffar barzanji asiruke

  • @preitykajol2496
    @preitykajol2496 Před 11 měsíci +1

    Aslm Alkm, Naomba ktk mjadala sheikh Izudin na sheikh Badru na sheikh Saïd Ali Hassan na wa Mambrui pia wasikosekane twataka nguvu kubwa. Wacha tuwaonyeshe wao ni wtt kwenye bahri ya Dini wasome kwanza kabla hawajashika spika. Wabillahi Tawfiq Shukran

  • @dhulkifliaboud
    @dhulkifliaboud Před 11 měsíci

    Mungeeka mjadala wakupinga ulawiti ushoga ulopitishwa ingeekuwa boraa zaidi kwaufupi wakati wamijadala unkwesha amkeni ........3lumaa assuuu

  • @abubakarmohammed1924
    @abubakarmohammed1924 Před 11 měsíci

    Yani hali ngumu ya maisha ulimwenguni leo, ushoga na usagaji ukihalalishwa, mitetemeko ya ardhi namafuriko kuanzia moroco hadi libya. Yani wasomi hakuna yakujadili mpaka mijadala hii isiyokuwa na malengo yoyote yakimsingi 😢😢😢😢😢😢😢

    • @hon.fahadijumalikwena1012
      @hon.fahadijumalikwena1012 Před 11 měsíci

      Ni aibu sana kwetu waislam. Mambo ambayo yanayopewa uzito kwenye uislam yanaachwa nyuma tunafikiria tu mambo ambayo yanalengo la kuugawa uislam.

    • @saidsalim2386
      @saidsalim2386 Před 11 měsíci

      Haya pia Yana umuhimu zaidi

  • @suleimanmuhiddin5363
    @suleimanmuhiddin5363 Před 11 měsíci

    Mm naona upumbavu2 kujalidilia kwenye mambo ya maulidi kuna mambo mengi ya kujadili lkn sio ayo kwenye jamii ya kiislam mambo ni mengi sana ya kufundishwa

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Před 11 měsíci

    Ata mimi nilifatilia ule munaksha ule munaksha alisemwa barazanji mshikikina na muongo sio wengine.

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 11 měsíci

    Wallah mtoto wa back anajua kusumbua watu

    • @shabaniissa3464
      @shabaniissa3464 Před 11 měsíci +1

      Mtu wa hamasa na kujivuni

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před 11 měsíci

      kwasababu ukweli mtupu anaosema

    • @hafidhseif1686
      @hafidhseif1686 Před 11 měsíci

      Muongo Kama Wafuasi Wake Hapo Wanavyo tetea Eti Hakumuita Muongo Wakati Clip Dunia Nzima Zimeenea Hahaha Lkn Hatamuogopi Kuongopa SUNNA YENU NI UONGO HILO LIPO WAZI

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před 11 měsíci +1

    Twayib hapo ndipo vitabu viweko mana mtu asitoe mambo kwenye kichwa chao vitabu vitumike na hadithi na simu isitumike itakua uzuri ssna simu isitumike

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 Před 11 měsíci +1

    aanze kutoa klip alieandika neno barzanji juu ya kitabu yaliokua yanajadiliwa ni yaliyomo ndani ya kitabu

  • @user-pk2xu3lg3t
    @user-pk2xu3lg3t Před 11 měsíci +2

    Assalam alaykum mie naomba namba ya dokta mahmood mie naitwa mbarak

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k Před 11 měsíci

    Jamani munakashi ni mzuri lakini bachu atakubali kukosolewa maana anaonekana elimu nyengine haijui kabisa sasa akina akiletewa elimu ya majazi ataelewa huyo na yeye elimu yake ni ubishi tuu

  • @user-xd6js8dp7p
    @user-xd6js8dp7p Před 11 měsíci

    Haya mambo yanaumiza kweli kabisa kwa sababu ni mambo hayana msingi. Mnajaribu kuoneshana eliminate lakini yapo mambo ya kusimamia

  • @user-iw7cl4kk7v
    @user-iw7cl4kk7v Před 11 měsíci

    Muhimu nivipi tutaweza kusaidia watoto wetu wa kislamu future yao academically economically and politicaly