bonge la wimbo mkari sana ...nilikuwa nausubili kwa hamu sana ,,,niliiona clip yake miaka ya nyuma sana kaa mwaka jana hivi ukiwa unaipiga mwenyewe kwenye kinanda ,,,,,,,nimefurai sana kupita kawaida kaka...
I can't get enough of this song since I discovered it a few days ago.This song is filled with God's presence which sets the prayer mode everytime it is played.
Asher mdogoangu,wewe Ni chombo endelea kutumika kwa ajili ya kuwainua wengine,kumjua Mungu zaidi,kweli uko vizuri hata mwanangu wa Miaka mitatu anapenda sana wimbo wako wa Yesu wewe waweza
bonge la wimbo mkari sana ...nilikuwa nausubili kwa hamu sana ,,,niliiona clip yake miaka ya nyuma sana kaa mwaka jana hivi ukiwa unaipiga mwenyewe kwenye kinanda ,,,,,,,nimefurai sana kupita kawaida kaka...
Nimeujua huu wimbo kupitia mtumishi wa Mungu kuhani musa Richard mwacha wa kimara temboni naupenda sana barikiwa nasarry
Umebarikiwa ,na umepakwa mafuta
Mungu mwema Kwakweli azidi kukuinua Mtumishii wa Mungu
🔥 🔥 🔥 🔥
Ni Mungu asiye sahau kabisaaaa maagano
Wimbo huu unanipa nguvu😭
Yesu-Mtunza Maagano🙌🏽
I can't get enough of this song since I discovered it a few days ago.This song is filled with God's presence which sets the prayer mode everytime it is played.
Ooooh nabarikiwa sanaa God bless u💓❤️💓
Amen amen
Ubarikiwe sana Mtumishi endelea kusonga mbele Mungu wetu yuko macho
No matter what the circumstances I pass through, God is my covenant keeper🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Asher mdogoangu,wewe Ni chombo endelea kutumika kwa ajili ya kuwainua wengine,kumjua Mungu zaidi,kweli uko vizuri hata mwanangu wa Miaka mitatu anapenda sana wimbo wako wa Yesu wewe waweza
Waoooo glory to God
Naam. Kijana uzidi kunyenyekea sana. Roho Mtakatifu atakupa mafunuo makubwa zaidi.
Hizi ndizo nyimbo ambazo Mungu anataka kuabudu.❤
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏
Be blessed🙏🙏🙏
Thanks u Lord
Ni kukuabudu,Ww YESU mtunza maagano.
Really God is a covenant keeping God.Nimependa sana huu Wimbo.more grace
Mungu akuinue Zaid Mtumish wa Mungu
Ooooooh wooow what a timely song......Indeed our heavenly father is a Covenant keeper ....His promises are Us and Amen 🙏🙏.
Blessings worshippers ❤
Be blessed kaka wimbo mzuri sana uu❤
Barikiwa sana nakufwata toka congo
Yes Yesu we mtunza maagano na mm Leo nashuhudi agano lako uliloweka ndani yangu I will worship you forever ❤
Nabarikiwa sana mungu akubariki🙏
Hakika wewe usiye badilika !!!Hunakigeugeu Mtunza Maagano
Mtunza maagano ni Mungu peke yake tuu hallelujah Mtumishi Barikiwa kwa wimbo huu
Power of praise: agano langu Mimi na wewe ni kukuabudu Yesu mtunza maagano
Haleleeeeeeeeeluya haleleeeeeeeeeluya MTUMISH WA MUNGU nabarikiwa isivyokawaida uhuhuhuhuhuhuhuu 🥲🥲🥲🥲🥲🥲🥲🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🧎🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏
WIMBO umesheheni mafutaaaaaaaaa ayayayayyayaayyaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🥲🥲🥲🥲🥲🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimjmj. MWINJILIST WASHAWASHA NEEMA AKARO LEMA 🧎🧎🧎🙌
Agano langu Mimi na wewe nikukuabudu BWANA ,hata nipite kwenye moto.. Mungu aliyehai akubariki sana
Nyimbo zako zote zinanibariki Sana🙏 Mungu aendelee kukutunza
Much love from Kenya 🇰🇪 ❤️ BE blessed Mtumishi wa Mungu
MUNGU azidi kukutumia kaka Ashley🎉🎉.... Mtunza maagano❤
Agano langu mimi na wewe ni kukuabudu🙏🏼😭😭😭 omg nimebarikiwa kwa viwango vya juu sanaaa
🙌🙌🙌ninatazama Agano lako kwangu Mungu wa wokovu wangu
Wimbo ni mzuri sana. Mungu azifi kukuinua kwa viwango vya juu mtumishi
what a nice and powerful song! Hope this song heal someone somewhere in the name of the Lord Jesus!. Amen.
Big up man of God, this song is very great, amazing, be Blessed 🙏🎤🇹🇿
Mtunza maagano nakwabudu 🙏🙏.
Such powerful 🙌
Hiio nayo inapendeza sana . Huyu Mungu ni mtunza maagano
😢😢😢😢😢😢 Mungu akupake mafuta mabichi mtumishi Mungu anasikia maombi
MUNGU AKUBARIK WIMBO MZURI MTUMISHI AGANO LAKE LISIONDOKE KINYWANI MWAKO
Oh wow powerful song.
Jesus you are a covenant keeping God.
I bless your name
Hallelujah 🙏, Yesu mtunza maagano.
Chana miamba Jembe la YESU, nyimbo hii ni nzuri sana
Nitakwabudu tu ❤
Truly He is a covenant keeping God. Praise be to the Most High.
The anointed song God bless you brother 🙌🙌🙌🙌🙏🙏 keep it up
My full package powerful song 🙌😭🔥may God preserve you man of God
Wewe ni baraka Sana mtumishi ❤
Woooow! Ubarikiwe kaka nabarikiwe na nyimbo zako.
JUST NASHINDWA NISEME NAMNA GANI LAKINI MUNGU AKUBARILI SANAAAAA NA SANAAA
Woow
🙏🙏🙏🙏
🥰🥰
Barikiwa sana mtumishi. Wito wako mkuu sana
Agano langu , wimbo wa baraka sana
Nice song 💯 bless up 🙏
Nipigie brother
Powerful song🥺nisaidie Yesu🙌
Hata nipite kwenye moto nataza agano lako ❤❤
Be blessed Man of Gog always I appreciate what you do For heaven God❤ AGano langu
NIME BARIKIWA NA HUU WIMBO WA AGANO,MUNGU AZIDI KUKUINUA .
MTUNZA MAAGANO YESU🙏🙏
Neema zaidi mtumishi wa Yesu.
Huu wimbo naupenda sana, It has the move of the Spirit in it,
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu akubariki bto
Mungu azid kukutumia mtumishi wa mungu
Wimbo nzuri sanaaa Mungu akubariki sanaaaa
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🎉🎉
Mungu akubariki kwa wimbo mzuri
Natazama agano langu Tena litatimia tu, aliliniambia BWANA lzm litimie😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akubariki sana bro na aendelee kukukuza
Barikiwa mtumishi wa mungu🙌🙌
Mungu akubariki Sanaa kaka yangu✍️✍️
Mtunza maagano 🙌🏽🙌🏽🔥
Hii song imenibeba bro Ashley
POWERFUL POWER THAN POWERFUL
Ooh my goodness this is so refreshing! The Lord bless you
now you stay at your position that God want’s you ❤❤❤❤🔥🔥🔥
Wow Yesu pokea utukufu
My covenant me and you is to worship you❤Lord
Kazi nzuri cna Ubarikiwe cna
Powerful worship Moments keep it up bro
Kazi nzuri sana kaka
Nakupenda ashery🎉
Big up bro, keep moving ahead 💪
in love with this song already
Agano langu ni kukukwabudu
Barikiwa MOG🙌🙌🙌
God Over Everythings❤
Kazii nzurii minister of God 🔥🔥
Keep going man of God🙌🙌🙌
Amen Ashley God bless you
🔥🔥🔥 Amen
Asante sana 🎉🎉🎉 congratulations bro
Thanks for this blessed song
Ameeeeen
Worship atmosphere 🔥
Love ❤️ this 🎵
Ameen more blessed
Blessed brother 🙏
Congratulations ❤❤