RAIS DKT. MWINYI ALIVYOKAA KWA HUZUNI MSIBANI KWA BABA YAKE/DUA NZITO YASOMWA MAMIA WAMIMINIKA
Vložit
- čas přidán 29. 02. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Mungu amlaze Mahalia pema nafamilia Mungu awaited nguvu
Ameen
Aendee tu
😭😭😭
Allah awape subra in sha Allah 😊
Pole sana kk yetu allah akupe subra ktk mtihani huu mzito,
Allah akupe sabra Raisi wetu japo hatupo Tz tupo pagoda wa zanzibar
Pole sana Muheshimiwa Daktari kipenzi cha Wazanzibari Raisi wa Zanzibar, Wazanzibari tupo pamoja nawe
Pole rais wetu na watanzania kwa ujumla😢😢😢😢
Mungu ampe pumziko jema baba yetu
Ameen
Buliani baba
Buriani na poleni ndugu zetu watanzania Kwa kifo cha rais mstaafu
Mbele yake nyuma yetu apumzike kwa amani