Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Wooiii 😢😢😢may he rest in peace😢
Kilajambo linasababu hata iyo pia ni sabau ya kifo chake bwana ametoa na bwana ametwaa jinalake lihimidiwe
Amen🙏
nani kaelewa wanajakaya walikua wanafanya mafunzo kwenye mwili wa marcos
Pole sana daktari mara ya kwanza nilikuchukia lakini Leo nimekuonea huruma😢😢😢😢
Mungu ndo ajuaye kesho yetu
Apumzike kwa aman muimbaji wetu kipenzi ameacha pengo kubwa
Huyu Amerogwa doct 😂😂😂😂kifooo cha gafla hapana nimekata😢😢😢😢😢
Inawezakana kuwa karogwa
Mungu tusaidie
Tatzo madaktari mna sifa unasema mlijua mmeokoa maisha yake...ila saaa akifa ndo kazi ya mungu nyie mmejitahid kuokoa
Apumzike Kwa aman
Bora mnge mpeleka India to Bora angefia kwenye ndege Sasa hizo 13% ndo nn
Dah inasikitisha sana
Ebu utoe miwani kwanza,tukuone macho
Huyo marco alikua ashapigwa bomu la mauti tayari😢😢😢wachawi mimi hata nilidhani alikua na shida ya moyo tokea kitambo kumbee hapana ilianza mwezi ya nane 😢😢😢😢😢mbona haraka hivyo jameni 😢😢😢wachawi wachawi
Mmh wakokole bhana kila kitu uchawi
Kila nafxi lazma ionje mauti
Wauwaji nyie na wafoasi wa shetani na kikwete wenu
😮😮😮
Dakitari hukupaswa hata kusema kabisa. Inaonekana mejifunzia Kwa huyo jamaa
Wooiii 😢😢😢may he rest in peace😢
Kilajambo linasababu hata iyo pia ni sabau ya kifo chake bwana ametoa na bwana ametwaa jinalake lihimidiwe
Amen🙏
nani kaelewa wanajakaya walikua wanafanya mafunzo kwenye mwili wa marcos
Pole sana daktari mara ya kwanza nilikuchukia lakini Leo nimekuonea huruma😢😢😢😢
Mungu ndo ajuaye kesho yetu
Apumzike kwa aman muimbaji wetu kipenzi ameacha pengo kubwa
Huyu Amerogwa doct 😂😂😂😂kifooo cha gafla hapana nimekata😢😢😢😢😢
Inawezakana kuwa karogwa
Mungu tusaidie
Tatzo madaktari mna sifa unasema mlijua mmeokoa maisha yake...ila saaa akifa ndo kazi ya mungu nyie mmejitahid kuokoa
Apumzike Kwa aman
Bora mnge mpeleka India to Bora angefia kwenye ndege Sasa hizo 13% ndo nn
Dah inasikitisha sana
Ebu utoe miwani kwanza,tukuone macho
Huyo marco alikua ashapigwa bomu la mauti tayari😢😢😢wachawi mimi hata nilidhani alikua na shida ya moyo tokea kitambo kumbee hapana ilianza mwezi ya nane 😢😢😢😢😢mbona haraka hivyo jameni 😢😢😢wachawi wachawi
Mmh wakokole bhana kila kitu uchawi
Kila nafxi lazma ionje mauti
Wauwaji nyie na wafoasi wa shetani na kikwete wenu
😮😮😮
Dakitari hukupaswa hata kusema kabisa. Inaonekana mejifunzia Kwa huyo jamaa