WAZIRI MKUU AIAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA BWALO LA MIL.774 "YEYOTE ALIYEINGIA TUTAMCHUKUA HUKO HUKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 24

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 měsíci +2

    Wanyonge tunazidishiwa makodi na matozo kibao na wakubwa wanabugia mihela mungu awachome moto.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 2 měsíci +1

    Kuna mkubwa alisema kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, RIP MAGUFULI

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 měsíci +2

    Mh Majaliwa ni mtekelezaji.. anaweza kuwachapa viboko

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci +1

    Wafukuzwe wote wahusika hamna jinsi mijizi kwenye Serikali hii imejqa funga wote wataifishwe mali zao

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 2 měsíci +1

    Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu!!! Kazi ni uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa nyoko!!!

  • @Gamba81
    @Gamba81 Před 2 měsíci +1

    Kila kitu hapo atasingiziwa marehemu 😢

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 2 měsíci +1

    Wafukuzwe na Wafungwe miaka mia jela maana rushwa hata dini hazitaki

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Před 2 měsíci +1

    Mkuu uko vizuri

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha Před 2 měsíci

    Hivi serekali mpaka wamalize Pesa Bado ukaguzi kwanini Jamani!!

  • @mazikub5272
    @mazikub5272 Před 2 měsíci +1

    Urefu wa kamba

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 2 měsíci

    Kwa nini hamuanzi wawe wanarudisha pesa na mnawanyonga

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 měsíci

    Warudishe hiyo hela halafu wafungwe miaka 20 jela.

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před 2 měsíci

    Kazi za kupeana hizo

    • @YasiniMkakile
      @YasiniMkakile Před 2 měsíci

      Tanzania ipitishe sheria kwamba kiongozi akiiba achinjwe kichwa ili ufisadi ukome pia atolewe macho.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 měsíci

    Dah milioni 774 kwa lipi

  • @radojembe7347
    @radojembe7347 Před 2 měsíci

    Ni huzuni sanaa

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 2 měsíci

    Kwan ww ulikuwa wap? Kpnd pesa hzo znapgwa? Ofs yako haizungukii mrida?

  • @mwakimedia291
    @mwakimedia291 Před 2 měsíci

    Daaa wanazipiga

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Před 2 měsíci

    nyie hakunalolote wote niwaizi tu nyie hakunalolote

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 měsíci

    Kwanza jengo lona onekana lime kosewa japo sio mtaalam wa ujenz mbona lina sura mbaya hivyo

    • @husseinmramba
      @husseinmramba Před 2 měsíci +1

      Acha kuongea vitu usiojua, haya ni mambo serious

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 2 měsíci

      Mungu ndiye aliyekosea kumuumba akiwa na mdomo wa kuongea. Ajabu Mungu kajificha binadamu hatuwezi kukutana naye kumuhoji kwa nini aliumba mdomo wa fulani kuongea au kutoa maoni kwenye vitu serious. Mwenyewe mamlaka juu ya wenye mwili ni Mungu tu. Vyeo vyetu, utajiri wetu,uzuri wetu. Vyote ubatili chini ya jua. Tungekuwa serious kama vile, huo uzembe usinge tokea.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 2 měsíci

      @@husseinmramba ila kwa kuwa nchi ni mali yao tuwaache wa endelee kufanya watakavyo