Mungu ndiye aliyekosea kumuumba akiwa na mdomo wa kuongea. Ajabu Mungu kajificha binadamu hatuwezi kukutana naye kumuhoji kwa nini aliumba mdomo wa fulani kuongea au kutoa maoni kwenye vitu serious. Mwenyewe mamlaka juu ya wenye mwili ni Mungu tu. Vyeo vyetu, utajiri wetu,uzuri wetu. Vyote ubatili chini ya jua. Tungekuwa serious kama vile, huo uzembe usinge tokea.
Wanyonge tunazidishiwa makodi na matozo kibao na wakubwa wanabugia mihela mungu awachome moto.
Kuna mkubwa alisema kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake, RIP MAGUFULI
Mh Majaliwa ni mtekelezaji.. anaweza kuwachapa viboko
Wafukuzwe wote wahusika hamna jinsi mijizi kwenye Serikali hii imejqa funga wote wataifishwe mali zao
Mkoa tunaviongozi wengi inakuwaje mpaka madawati aje akague Waziri Mkuu!!! Kazi ni uchawa tu kufanya kazi njema ahaaaa nyoko!!!
Kila kitu hapo atasingiziwa marehemu 😢
Wafukuzwe na Wafungwe miaka mia jela maana rushwa hata dini hazitaki
Mkuu uko vizuri
Hivi serekali mpaka wamalize Pesa Bado ukaguzi kwanini Jamani!!
Urefu wa kamba
Kwa nini hamuanzi wawe wanarudisha pesa na mnawanyonga
Warudishe hiyo hela halafu wafungwe miaka 20 jela.
Kazi za kupeana hizo
Tanzania ipitishe sheria kwamba kiongozi akiiba achinjwe kichwa ili ufisadi ukome pia atolewe macho.
Dah milioni 774 kwa lipi
Ni huzuni sanaa
Kwan ww ulikuwa wap? Kpnd pesa hzo znapgwa? Ofs yako haizungukii mrida?
Af we Fala jama Hauhuw Bora Utulie 😂
Daaa wanazipiga
nyie hakunalolote wote niwaizi tu nyie hakunalolote
Kwanza jengo lona onekana lime kosewa japo sio mtaalam wa ujenz mbona lina sura mbaya hivyo
Acha kuongea vitu usiojua, haya ni mambo serious
Mungu ndiye aliyekosea kumuumba akiwa na mdomo wa kuongea. Ajabu Mungu kajificha binadamu hatuwezi kukutana naye kumuhoji kwa nini aliumba mdomo wa fulani kuongea au kutoa maoni kwenye vitu serious. Mwenyewe mamlaka juu ya wenye mwili ni Mungu tu. Vyeo vyetu, utajiri wetu,uzuri wetu. Vyote ubatili chini ya jua. Tungekuwa serious kama vile, huo uzembe usinge tokea.
@@husseinmramba ila kwa kuwa nchi ni mali yao tuwaache wa endelee kufanya watakavyo