BIBLIA 'YAMNYOOSHA' MZEE WA UPAKO KUHUSU WANAWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Mara kwa mara amesikika akisema mambo yenye utata kwa kudai ni Kibiblia. Je Biblia inakubaliana na mtazamo wake?

Komentáře • 58

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před měsícem +1

    ASSNTE SANA MWALIMU. Nitafatilia mafundisho yako

  • @SadockChessa
    @SadockChessa Před měsícem

    Mwa.D.ninakushukuru umekuwa nuru kwa kufundisha neno la Mungu bila konakona umenyooka Mungu Akubariki mwalimu wangu

  • @PAULMNYANYI-e1b
    @PAULMNYANYI-e1b Před měsícem +1

    Mimi ninachoomba watumishi wa Mungu,kumbe mkiendelea hivyo kwafundishana kwa mfumo huo !utatusaidia sana kubaini mafundisho ya uwongo, . Mungu awabariki sana hii mijadala ninaomba iendelee.Mimi napatikana G/mboto. 1:04:11 1:04:15

  • @PAULMNYANYI-e1b
    @PAULMNYANYI-e1b Před měsícem +1

    Kweli Biblia imekamilika kwa mafundisho sahihi.Mwl, Daniel, Mwamkemwa Mungu akubariki sana.

  • @Rashid-w2l
    @Rashid-w2l Před měsícem +1

    Najifundisha sana kutoka kwako mwalimu ubarikiwe.

  • @user-lb1nb2ls9g
    @user-lb1nb2ls9g Před měsícem

    HAYA ANTHON RUSEKELO, LUDI HEWANI. UTOLEE UFAFANUZI MAFUNDISIHO YAKO,UPONYE ROHO ULIZOPOTOSHA

  • @user-lb1nb2ls9g
    @user-lb1nb2ls9g Před měsícem

    Hili ndo NENO LENYE PUMZI YA MUNGU, lafaa watu tujifunze kwa watumishi wa Mungu wanaojua NENO, sio makanjanja,

  • @samuelgacheru4854
    @samuelgacheru4854 Před měsícem +1

    Mwalimu bwana akumbaliki sana Kwa mafunzo mazuri umekua msaanda kwangu nikiwa Kenya.je mwalimu mtu anaweza kukupigia simu

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  Před měsícem

      Ndiyo unaweza kunipigia. Tumia namba hiyo kwenye sceen. Karibu

  • @FeristaKoku-it9nx
    @FeristaKoku-it9nx Před měsícem +1

    Wanaume tuliowengi tumeowa wakezawatu maana tunakuta mashimo yaliokwisha kuchimbwa !!!

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Před měsícem

      Hata wao uolewa na waume wasio wao

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před měsícem

    Uhabawa maarifa wahuyojamaa ziposaba i nyingi zinazoondoa bikira ya msichana ikiwepo mazoezi kamakule Asia ikiweno mazoezi yaluendesha baisikeli namambo mengi lukuku hayo yeye hana anachokijua zaidi yahayo.

  • @saimonijonas1471
    @saimonijonas1471 Před měsícem +1

    Tujiulize.Bikra inakazi gani kiroho? Kwanini Mungu aliiweka? Shida wengi tunafundisha kwakutumia mihemko na matashi ya watu.Tukumbuke Mungu anamchukia Sana mwanaume anaye mbikiri mwanamke na kumuacha.kwanini Mungu anakuwa nahasira katika Jambo hilo?

  • @SadockChessa
    @SadockChessa Před měsícem

    Mwa elewa si kila aitwaye mch, askofu kuwa mtumishi wa wengine ni mawakala wa shetani

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Kwa ishu ya damu ya ubikira ni sahihi

  • @user-uy8cw3zc4b
    @user-uy8cw3zc4b Před měsícem

    . mzee wa upako yupo sawa kwa sababu wewe ni mchungaji kwa hiyo huna haya ya kujipiga vita Mzee wa upoko upo sawa kwa sababu mtu yeyote aliye oa mkee asiye bkraa nimke wenu kwa mujibu wa maelezo ya mzee wa upako yaani mke wa ujana wako mume wa bkiraa huyo ni yele wa kwanza ndiye mume wa kwanza
    Utashinda hoja hiyo kwa hoja nyepesi ukiweka mjadara hasa
    Hutafanikiwa wambie wanawake na wanaume ukweli

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Před měsícem +1

    Kwa mtu aliyebakwa kwakuwa hakutaka ndiyo maana Mungu alitoa msamaha kwa waliobakwa kwasababu umetwezwa nguvu si kwa hiali yao

    • @amedesamki425
      @amedesamki425 Před měsícem

      Ole wake aongezeye au apunguzaye neno rev 22.18 neno la kristo likae kwa wengi ndani yenye.......col 3.16 jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu......3tim.2.15

  • @SadockChessa
    @SadockChessa Před 22 dny

    Mtumishi ninafuatilia kwa mafundisho ni kiwa kazura-kigoma

    • @DanyshazaMbeho
      @DanyshazaMbeho Před 21 dnem

      natamani mzee wa upako angekwepo hapo darasani Ili afundishwe na mwl Daniel maana anapotosha sana na ndio maana wandishi wanampemda maana watuwengi huenda uongo kuliko facts zamaandiko

  • @shukurubaruwani
    @shukurubaruwani Před měsícem

    Mimikijananilitembeyanawanawakewenginitafanyaje

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Před měsícem

    Sawa lakini Mwl Daniel, Mungu alitoa ruhusu wajane waolewa ili kuhifadji uzao kwa huyo mwanamke anakuwa mwaminifu kwanza ila sasa hakuna namna nyingine maana mme wake amefariki au kwa kubakwa ndiyo maana Mungu alitoa ruhusa kwa sababu hawakutoa bikra zao kwa utashi wao na hao hawana hatia mbele za Mungu tofauti na wale wanao kubali wenyewe maana wamehiyali kufanya hivyo

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Upako ni mpotoshi kama IPM

  • @SadockChessa
    @SadockChessa Před měsícem

    Mzee jibu je mtu aliyemtoa ubikira mtu hayupo walikutana vichakani je asiolewe? Muuuuuu huo niuchanga wakimandiko

  • @SadockChessa
    @SadockChessa Před měsícem

    Asijikite kwenye Biblia maana neno Biblia nimkusanyiko vitabu39 ag la kale na vitabu 27ag la jipya naomba atupe katika ag jipya

  • @OmariShuli
    @OmariShuli Před měsícem

    Je, ni sahihi uloeleza kwenye hilo kundi la kwanza la wanawake bikra? maana umetaja: MAKAHABA, NAJISI NA WALOFIWA NA WAUME..." ina maana kibibilia hao ni bikra?

  • @user-mw3oq4vz6k
    @user-mw3oq4vz6k Před měsícem

    Mzee wa upako hajawah kumkana yesu kuwa mwana wa mungu tuonyeshe iyo klip aliyo mkana

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 Před měsícem

    Huyu Mzee wa upako siku hizi simuelewi kabisa na mahubili yake yakupotosha watu kuna krip aliitoa ya kumkana Yesu kua sio Mwana wa Mungu na wala sio Mungu

  • @shukurubaruwani
    @shukurubaruwani Před měsícem

    Sasamimikjananiliyetembeyanawanawakewenginitafanyaje

  • @EzekielJoseph-kx9kn
    @EzekielJoseph-kx9kn Před měsícem

    Mzee wa upako aliisha Ishiwa maada Kavunja miiko aliyopewa alikopita

  • @samuellubunga
    @samuellubunga Před měsícem

    Swali langu mwalimu
    Je kuoa wake zaidi ya umoja ni dhambi nataka maadiko pastor

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  Před měsícem +1

      1 Wakorintho 7:1-2
      [1]Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
      [2]Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.
      Mke mmoja na mume mmoja. Mume anamwakilisha Kristo Ambaye ni mmoja, na mke analiwakikisha kanisa ambalo nalo pia ni moja.
      Waefeso 5:22-24
      [22]Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.
      [23]Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
      [24]Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
      Kristo ni mmoja na Kanisa ni moja.

    • @peterntandu1919
      @peterntandu1919 Před měsícem

      Safi

    • @rweyemamueustace4254
      @rweyemamueustace4254 Před měsícem +1

      HIO 1WSKORINTHO7 DANIEL AMEITAJA MWANZO WA MADA

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr Před měsícem

      ​@@BAYYINATDMTVBarikiwa sanaa mtumishi

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před měsícem

      UKWELI UNATUWEKA HURU LEO PENYE MKE BIKRA NA MME MPYA. NDO HASA MPANGO WA MUNGU HAYA MENGINE TUVUMILIANE TU MAISHA YASONGE.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem

    Kingine cha kusikitisha ni hao watangazaji ( wanahabari ) ,majina yao yanaonyesha kuwa ni wakristo,lakini " Hawaijui Biblia kabisa --- wangekuwa na uelewa kidogo tu wa Biblia,wange mbana kwa maswali --- huyo mzee hana hoja "

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Před měsícem

    Naona kama anukweli huyu mtumishi kwahali fulani mimi

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Před měsícem

    Mwalimu huyu mzee wa upako ni muhuni tu,sasa hivi hatuko kwenye agano la damu yoyote isipokuwa damu iliyomwagwa msalabani.hiyo imefuta damu zote ndiyo maana ndoa bila Yesu hata kama ulimkuta na bikira bado kutakuwa na shida.

  • @EzekielJoseph-kx9kn
    @EzekielJoseph-kx9kn Před měsícem

    Mzee wa upako atender japo si chuoni aende kwa mch Hananja amor darás kwani. Hananja hana shida Atambua au atapigwa spana mpaka aeleweke kwani hajui kitu huyo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem

    Huyu mzee sometimes anaongeaga utumbo mpaka unashangaa --- anawafumgia watu milango ya Mbinguni,sijui kama mwenyewe anaingia --- maana ummmh ! Doctrine yake,ni ya hovyo mno "

  • @mtotojoshuaeliya
    @mtotojoshuaeliya Před měsícem

    Lusekelo,hajui kitu,nipombe zinaongea ndani yake!mlevi chapombe.

  • @kososelmbuwa5718
    @kososelmbuwa5718 Před měsícem

    Sasa binti akijakuta kijana wa kiume ameshapitia mabinti wengi huyo atakuwa mme wa nani? Na. Ninaamini kama hata yeye alikua ameshapitia wengi

  • @yamungummungulo633
    @yamungummungulo633 Před měsícem

    Ila mwalimu we unaelew amri za Mungu zipo ngapi?

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  Před měsícem

      @@yamungummungulo633 suala la amri 10 inahusikaje kwenye somo hili?

    • @peterntandu1919
      @peterntandu1919 Před měsícem

      ​@@BAYYINATDMTVwakikosa hoja wanaanzisha yasiyohusika na kilichopo😂

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 Před měsícem

    Mtapata tabu sana hamna hoja apo uislam ndo njia ilionyooka tu hamna kubabaishana

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Před měsícem

    Ndiyo maana aliyembikri aliuwawa kwahiyo alibaki kama mjane Dina

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  Před měsícem

      Je hakupaswa kuolewa tena? Na yule ambaye angemuoa asingemkubali kuwa ni mke wake kwa sababu siye aliyembikiri?

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před měsícem

    Uarabuni zamani ukimkuta mwanamke sio bikira kesi kubwa sana mwanamke ukatwa kidole na aliyembikiri asipomuoa ukatwa kichwa thus wanawake kule walitoa nyuma ili kulinda mbele ndo chanzo cha ushoga duniani