Mimi ninachoomba watumishi wa Mungu,kumbe mkiendelea hivyo kwafundishana kwa mfumo huo !utatusaidia sana kubaini mafundisho ya uwongo, . Mungu awabariki sana hii mijadala ninaomba iendelee.Mimi napatikana G/mboto. 1:04:11 1:04:15
Uhabawa maarifa wahuyojamaa ziposaba i nyingi zinazoondoa bikira ya msichana ikiwepo mazoezi kamakule Asia ikiweno mazoezi yaluendesha baisikeli namambo mengi lukuku hayo yeye hana anachokijua zaidi yahayo.
Tujiulize.Bikra inakazi gani kiroho? Kwanini Mungu aliiweka? Shida wengi tunafundisha kwakutumia mihemko na matashi ya watu.Tukumbuke Mungu anamchukia Sana mwanaume anaye mbikiri mwanamke na kumuacha.kwanini Mungu anakuwa nahasira katika Jambo hilo?
. mzee wa upako yupo sawa kwa sababu wewe ni mchungaji kwa hiyo huna haya ya kujipiga vita Mzee wa upoko upo sawa kwa sababu mtu yeyote aliye oa mkee asiye bkraa nimke wenu kwa mujibu wa maelezo ya mzee wa upako yaani mke wa ujana wako mume wa bkiraa huyo ni yele wa kwanza ndiye mume wa kwanza Utashinda hoja hiyo kwa hoja nyepesi ukiweka mjadara hasa Hutafanikiwa wambie wanawake na wanaume ukweli
Ole wake aongezeye au apunguzaye neno rev 22.18 neno la kristo likae kwa wengi ndani yenye.......col 3.16 jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu......3tim.2.15
natamani mzee wa upako angekwepo hapo darasani Ili afundishwe na mwl Daniel maana anapotosha sana na ndio maana wandishi wanampemda maana watuwengi huenda uongo kuliko facts zamaandiko
Sawa lakini Mwl Daniel, Mungu alitoa ruhusu wajane waolewa ili kuhifadji uzao kwa huyo mwanamke anakuwa mwaminifu kwanza ila sasa hakuna namna nyingine maana mme wake amefariki au kwa kubakwa ndiyo maana Mungu alitoa ruhusa kwa sababu hawakutoa bikra zao kwa utashi wao na hao hawana hatia mbele za Mungu tofauti na wale wanao kubali wenyewe maana wamehiyali kufanya hivyo
Je, ni sahihi uloeleza kwenye hilo kundi la kwanza la wanawake bikra? maana umetaja: MAKAHABA, NAJISI NA WALOFIWA NA WAUME..." ina maana kibibilia hao ni bikra?
Huyu Mzee wa upako siku hizi simuelewi kabisa na mahubili yake yakupotosha watu kuna krip aliitoa ya kumkana Yesu kua sio Mwana wa Mungu na wala sio Mungu
1 Wakorintho 7:1-2 [1]Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. [2]Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe. Mke mmoja na mume mmoja. Mume anamwakilisha Kristo Ambaye ni mmoja, na mke analiwakikisha kanisa ambalo nalo pia ni moja. Waefeso 5:22-24 [22]Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. [23]Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili. [24]Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo. Kristo ni mmoja na Kanisa ni moja.
Kingine cha kusikitisha ni hao watangazaji ( wanahabari ) ,majina yao yanaonyesha kuwa ni wakristo,lakini " Hawaijui Biblia kabisa --- wangekuwa na uelewa kidogo tu wa Biblia,wange mbana kwa maswali --- huyo mzee hana hoja "
Mwalimu huyu mzee wa upako ni muhuni tu,sasa hivi hatuko kwenye agano la damu yoyote isipokuwa damu iliyomwagwa msalabani.hiyo imefuta damu zote ndiyo maana ndoa bila Yesu hata kama ulimkuta na bikira bado kutakuwa na shida.
Mzee wa upako atender japo si chuoni aende kwa mch Hananja amor darás kwani. Hananja hana shida Atambua au atapigwa spana mpaka aeleweke kwani hajui kitu huyo
Huyu mzee sometimes anaongeaga utumbo mpaka unashangaa --- anawafumgia watu milango ya Mbinguni,sijui kama mwenyewe anaingia --- maana ummmh ! Doctrine yake,ni ya hovyo mno "
Uarabuni zamani ukimkuta mwanamke sio bikira kesi kubwa sana mwanamke ukatwa kidole na aliyembikiri asipomuoa ukatwa kichwa thus wanawake kule walitoa nyuma ili kulinda mbele ndo chanzo cha ushoga duniani
ASSNTE SANA MWALIMU. Nitafatilia mafundisho yako
Mwa.D.ninakushukuru umekuwa nuru kwa kufundisha neno la Mungu bila konakona umenyooka Mungu Akubariki mwalimu wangu
Mimi ninachoomba watumishi wa Mungu,kumbe mkiendelea hivyo kwafundishana kwa mfumo huo !utatusaidia sana kubaini mafundisho ya uwongo, . Mungu awabariki sana hii mijadala ninaomba iendelee.Mimi napatikana G/mboto. 1:04:11 1:04:15
Kweli Biblia imekamilika kwa mafundisho sahihi.Mwl, Daniel, Mwamkemwa Mungu akubariki sana.
Najifundisha sana kutoka kwako mwalimu ubarikiwe.
HAYA ANTHON RUSEKELO, LUDI HEWANI. UTOLEE UFAFANUZI MAFUNDISIHO YAKO,UPONYE ROHO ULIZOPOTOSHA
Hili ndo NENO LENYE PUMZI YA MUNGU, lafaa watu tujifunze kwa watumishi wa Mungu wanaojua NENO, sio makanjanja,
Mwalimu bwana akumbaliki sana Kwa mafunzo mazuri umekua msaanda kwangu nikiwa Kenya.je mwalimu mtu anaweza kukupigia simu
Ndiyo unaweza kunipigia. Tumia namba hiyo kwenye sceen. Karibu
Wanaume tuliowengi tumeowa wakezawatu maana tunakuta mashimo yaliokwisha kuchimbwa !!!
Hata wao uolewa na waume wasio wao
Uhabawa maarifa wahuyojamaa ziposaba i nyingi zinazoondoa bikira ya msichana ikiwepo mazoezi kamakule Asia ikiweno mazoezi yaluendesha baisikeli namambo mengi lukuku hayo yeye hana anachokijua zaidi yahayo.
Tujiulize.Bikra inakazi gani kiroho? Kwanini Mungu aliiweka? Shida wengi tunafundisha kwakutumia mihemko na matashi ya watu.Tukumbuke Mungu anamchukia Sana mwanaume anaye mbikiri mwanamke na kumuacha.kwanini Mungu anakuwa nahasira katika Jambo hilo?
Anakuawa amemchukia
Mwa elewa si kila aitwaye mch, askofu kuwa mtumishi wa wengine ni mawakala wa shetani
Kwa ishu ya damu ya ubikira ni sahihi
. mzee wa upako yupo sawa kwa sababu wewe ni mchungaji kwa hiyo huna haya ya kujipiga vita Mzee wa upoko upo sawa kwa sababu mtu yeyote aliye oa mkee asiye bkraa nimke wenu kwa mujibu wa maelezo ya mzee wa upako yaani mke wa ujana wako mume wa bkiraa huyo ni yele wa kwanza ndiye mume wa kwanza
Utashinda hoja hiyo kwa hoja nyepesi ukiweka mjadara hasa
Hutafanikiwa wambie wanawake na wanaume ukweli
Kwa mtu aliyebakwa kwakuwa hakutaka ndiyo maana Mungu alitoa msamaha kwa waliobakwa kwasababu umetwezwa nguvu si kwa hiali yao
Ole wake aongezeye au apunguzaye neno rev 22.18 neno la kristo likae kwa wengi ndani yenye.......col 3.16 jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu......3tim.2.15
Mtumishi ninafuatilia kwa mafundisho ni kiwa kazura-kigoma
natamani mzee wa upako angekwepo hapo darasani Ili afundishwe na mwl Daniel maana anapotosha sana na ndio maana wandishi wanampemda maana watuwengi huenda uongo kuliko facts zamaandiko
Mimikijananilitembeyanawanawakewenginitafanyaje
Sawa lakini Mwl Daniel, Mungu alitoa ruhusu wajane waolewa ili kuhifadji uzao kwa huyo mwanamke anakuwa mwaminifu kwanza ila sasa hakuna namna nyingine maana mme wake amefariki au kwa kubakwa ndiyo maana Mungu alitoa ruhusa kwa sababu hawakutoa bikra zao kwa utashi wao na hao hawana hatia mbele za Mungu tofauti na wale wanao kubali wenyewe maana wamehiyali kufanya hivyo
Upako ni mpotoshi kama IPM
Mzee jibu je mtu aliyemtoa ubikira mtu hayupo walikutana vichakani je asiolewe? Muuuuuu huo niuchanga wakimandiko
Asijikite kwenye Biblia maana neno Biblia nimkusanyiko vitabu39 ag la kale na vitabu 27ag la jipya naomba atupe katika ag jipya
Je, ni sahihi uloeleza kwenye hilo kundi la kwanza la wanawake bikra? maana umetaja: MAKAHABA, NAJISI NA WALOFIWA NA WAUME..." ina maana kibibilia hao ni bikra?
Mzee wa upako hajawah kumkana yesu kuwa mwana wa mungu tuonyeshe iyo klip aliyo mkana
Huyu Mzee wa upako siku hizi simuelewi kabisa na mahubili yake yakupotosha watu kuna krip aliitoa ya kumkana Yesu kua sio Mwana wa Mungu na wala sio Mungu
Sasamimikjananiliyetembeyanawanawakewenginitafanyaje
Oa mmmoja
Mzee wa upako aliisha Ishiwa maada Kavunja miiko aliyopewa alikopita
Swali langu mwalimu
Je kuoa wake zaidi ya umoja ni dhambi nataka maadiko pastor
1 Wakorintho 7:1-2
[1]Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
[2]Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.
Mke mmoja na mume mmoja. Mume anamwakilisha Kristo Ambaye ni mmoja, na mke analiwakikisha kanisa ambalo nalo pia ni moja.
Waefeso 5:22-24
[22]Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.
[23]Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
[24]Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
Kristo ni mmoja na Kanisa ni moja.
Safi
HIO 1WSKORINTHO7 DANIEL AMEITAJA MWANZO WA MADA
@@BAYYINATDMTVBarikiwa sanaa mtumishi
UKWELI UNATUWEKA HURU LEO PENYE MKE BIKRA NA MME MPYA. NDO HASA MPANGO WA MUNGU HAYA MENGINE TUVUMILIANE TU MAISHA YASONGE.
Kingine cha kusikitisha ni hao watangazaji ( wanahabari ) ,majina yao yanaonyesha kuwa ni wakristo,lakini " Hawaijui Biblia kabisa --- wangekuwa na uelewa kidogo tu wa Biblia,wange mbana kwa maswali --- huyo mzee hana hoja "
Naona kama anukweli huyu mtumishi kwahali fulani mimi
Mwalimu huyu mzee wa upako ni muhuni tu,sasa hivi hatuko kwenye agano la damu yoyote isipokuwa damu iliyomwagwa msalabani.hiyo imefuta damu zote ndiyo maana ndoa bila Yesu hata kama ulimkuta na bikira bado kutakuwa na shida.
Mzee wa upako atender japo si chuoni aende kwa mch Hananja amor darás kwani. Hananja hana shida Atambua au atapigwa spana mpaka aeleweke kwani hajui kitu huyo
Huyu mzee sometimes anaongeaga utumbo mpaka unashangaa --- anawafumgia watu milango ya Mbinguni,sijui kama mwenyewe anaingia --- maana ummmh ! Doctrine yake,ni ya hovyo mno "
Lusekelo,hajui kitu,nipombe zinaongea ndani yake!mlevi chapombe.
Sasa binti akijakuta kijana wa kiume ameshapitia mabinti wengi huyo atakuwa mme wa nani? Na. Ninaamini kama hata yeye alikua ameshapitia wengi
Ila mwalimu we unaelew amri za Mungu zipo ngapi?
@@yamungummungulo633 suala la amri 10 inahusikaje kwenye somo hili?
@@BAYYINATDMTVwakikosa hoja wanaanzisha yasiyohusika na kilichopo😂
Mtapata tabu sana hamna hoja apo uislam ndo njia ilionyooka tu hamna kubabaishana
Bora ungenyamaza tu
Uislamu ni njia ya kwenda Kwa shetani
Mungu haana dini
Ndiyo maana aliyembikri aliuwawa kwahiyo alibaki kama mjane Dina
Je hakupaswa kuolewa tena? Na yule ambaye angemuoa asingemkubali kuwa ni mke wake kwa sababu siye aliyembikiri?
Uarabuni zamani ukimkuta mwanamke sio bikira kesi kubwa sana mwanamke ukatwa kidole na aliyembikiri asipomuoa ukatwa kichwa thus wanawake kule walitoa nyuma ili kulinda mbele ndo chanzo cha ushoga duniani