Hakika ..! Ulijifanya baidi kunitesa makusudi pendo sikulifaidi hukawa wanikaidi ,siku zote mkaidi abadan hafaidï mpaka siku ya idd ujumbe tosha kwa wanawake wanaotusumbuasumbua.!
bonge la taarab hammer q alitisha sana, but kuna wimbo mmoja wa khadija khopa nautafuta sana bila mafanikio siujui jina lakini baadhi ya mashairi yake ni "hebu tueleze una sura gani ya kuturingia......achia ngazi mchuma unaondoka huo..." tafadhali mwenye kuujua wimbo huu anisaidie jinsi ya kuupata.
Nan anaekumbuka mbali kama mm ,wakat akiuckilza huu wimbo 2024💪💪💪💪
Hii nyimbo ilimpa hekaheka mzee yussuph 😁wimbo ulifunika mpaka alichanganyikiwa🙌
Naipenda mpk Leo 2023 ,,,,The best💞🔥🔥🔥🔥
Nani anawatch 2022 ❤️🔥.gonga like twende Sawa Nami hadi tamati 💯💕
Mziki mzuri huishi miaka mingi ❤❤ 11/2/2024🎉🎉🎉
Nmeutafuta sana kwakipind kirefu hatimae nmeupat, wimbo mzur sanaa
Kwa wale bado tunangalia mpka sasa 5 \1/2021 twende sawa
Nani anaangaria 2020 gonga like twende sawa
naichek sahv
Na mm nangalia pia
Nilijua pekeangu
@@evasamwel9385 pe
Pembe.la
Kama huchoki kusikiliza hii ngoma gonga like twende sawa
Pembe la ng,ombe ilisumbua Sana mitaani miaka hiyo very nice song
Tweny Tweny from Kenya with love
Naipenda mno
mwenyewe hii nyimbo naipenda sana hadi my wife anaanza kuhisi vibaya akijua nataka kumtenda..Hama Q we noma sauti swadakta kwa kipaji
eugen john hlo nalo neno
Hahahaaa!
😀😀😀😀😀
Hongera kaka
Ndio shida ya taarabu,unasikiliza kwa raha zako,mwingine anakasirika.
Tarabu za zamani jmn ninzur ninzur ninzur mno mpaka raha saaaaana 🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Asikilize Milisi na WOTE watu wa MASWA
Nzr sana
nyimbo hii inanikumbusha mbali sana, nice song
Hongera sana
Msiniulize nime kumbuka nini ikawa saiv nasikiza huu wimbo. Km kuna mwenzangu tupo pamoja gonga like tujuane
Zanzibar kuna vipaji vitam kweli vya mzik wa mwambao thankx Hama Q zidi kutuburudisha
Naikubali sana
Ngoma moto sana gongeni like kama meaikubali
Noma
2019.... Nani ana watch... like twende sawa
Pembe linanikumbusha mbali Sana
sana.kaka
Good song
Mimi😘
Mimi apa
Hii nyimbo inanikumbusha mbali Sana diamond jubilee alishinda mkali wa taarabu tulimbeba juu
Hii nyimbo haliitendea haki
@..Nani ana watch 2020 ..kama umo twende hapo kwenye like ..@ ..
😂😂4/2/2020 😂😂 imeshafika buchan nyama hairud kuwa ng'omb🐄 💃💃
Dah ! Nakumbuka miaka ya 2011 kwenye ma disco ya skuli kama hili goma halijapigwa hatumwelewi Dj dadek....na ile ya Issa kijoti ...aiseee
Mziki mzuri unaishi miaka na miaka jaman guys wap likes zangu japo5 tyu 2021
Naipenda sana haichuj
Kipindi hicho Wanajiita Watoto wa Kandoro Rc wakipindi hicho before Sadick na Makonda wahenga Ndio tunajua ilitisha Sana hili kundi 2007/2008
2020 achia likeee
Nani anaitazama 2020 hhhh mpaka moyoni
Niko apa pambe kabisa siichoki yani
Kama hadi leo 26. 2. 2019 unackiliza hii nyimbo like tujuane
Niko
@@aliah1732 niko pamoja sana
Nomasanaa hama p
kama unaenjoy kinanda na melody 2wende sawa hapaa
nipo hapa😂miaka 1000
From Oman nyimbo nzuri sana!! Nakumbuka mengi🙏
Naikubali Sanaa pembe la ng'ombe hd 2018 wanaosapoti hii wapige like ya nguvuuuuu.............
Sana tu
Inanikumbusha nikija zanzibar
Poa sn
nuru omar k
Nan Ana watch 2023 🔥🔥
Leo ni 29/02/2020
Zidisha sauti la boofer tu uone balaa 🔥🔥
Nakubali sna ii mpka sasa naskiliza 2021
Nipo nasikiliza
Wimbo mzuri. Mashairi mazuri na melody (tune) ni nzuri. It reached the peak in 2008, ila mpaka leo bado inabamba kwa wanaopenda Swahili coast music.
Wangapi wamependa mdada mwenye suruali jeupe
Huu wimbo unanikumbusha 2010
Namaliza form 4 bubiki secondary
Daa kitambo sana nikiwa mabibo ulikua unapigwa sana kwenye vigodoro
Leo tarehe 20 naicheki hii ngoma , umetisha Sana mzee baba Hammer Q
Hii n january 2020 naichek hii ngoma big up sana artist
dah!kipindi icho tunafungiwa geti kali na mama mzazi
Hii taraabu nzuri sana jamani mpka Leo tunaisikiliza
2019 bado tunasikiliza kama vp ngonga like kama unatetema
Mashahiri bomba, much love frm Kenya East Africa. 😎
C mchezo jamani vitu vya zaman ni lulu
2023/04/27 still we watching this good voice
2024 bado tunaruka nayo 🔥
Naipenda sana nyimbo zenu
Duh enzi izo nimemaliza darasa la saba ata cm siijui nilikuwa naipenda atar
upogoo
Gonga like kma unasikiliza 2020💪💪💪💪
2020 tupo
2020.I like this song so much💯.
Amazing voice ❤ nice song from muscat Omni 🎼🎵🎶😋😋niko na nani hp leo trh 17/6/2024 siku ya Eid elhaji Eid Mubarak
Oman 2023 bado haichoshi mashikioni nzur sana
Ulijifanya bahidi kunitesa makusudi hahahaha wimbo unanikoshaaa mieeee👌
I can't say enough of this song,I have been watching this taarab all the year around.
That last name of yours.... We remember MARIJAN RAJAB! Am just glad I found this particular song after a long search of more than 3 years
😊🌺
Inanukumbusha kipind cha mwambao n bibie Mish b .❤️ Chanel ten .💯 Pembe la ngo'mbe📢
Nani Anasikiliza mpaka leo April 6-2024? Utamu wa hii uwe na li Mama lenye Mzigo
Half year now 2019 🖐 jahrock who listen this song
Lugha imepangwa ikapangika music pia umepangiliwa vizuri kulingana na sauti ya muimbaji. !
gud voice mpk vyombo dah tupende muziki ya kwetu bhn dah mpaka raha
Kwani wao waze wana nini hata sisi tushindwe tuna nini !. Maneno hayo yana tia hamasa ya kusonga mbele!.
Nakublii sna
safi sana
Hakika ..! Ulijifanya baidi kunitesa makusudi pendo sikulifaidi hukawa wanikaidi ,siku zote mkaidi abadan hafaidï mpaka siku ya idd ujumbe tosha kwa wanawake wanaotusumbuasumbua.!
Still nice song😉 2020
2023 gonga like kama tupoo wote🔥🔥🔥🔥🔥
Ukiiweka hii nyimbo mara mbili tu ndan kwako mke wako anakua na Adabu
😂😂😂Woiyeee
Mohamed Diggar 😂😂😂😂😂
Hahaha
Una maana gan aise😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Nanii anaangalia 2024❤
Naisikiliza 2019 Kama nawe unasikiliza gonga like
Upo pouwa
Rahma Hassan "
Bin majid
Nassir Ahmed
nmeona nikumbushie hii nyimbo
Naipenda sana kama aliniimbia mm vile!!
Nani kaja kuskiliza hii 2023, gonga like hapa
Duh kitambo kweli miaka inaenda mbio sana 2019 kipindi hicho nasikia ngoma hii kwenye radio 📻
Imetoka hujazaliwa aisee
Kabra ujafa ujaumbik uctukan wakung uzaz auja kwish pend sana 😘😘 amaq nimekumbuk yanyuma japo yana uma 😭
Kitambo hcho dah nakumbuka mbali Sana hii 2008 🔥 🔥 🔥
Hama q nakubali xn tangu anaimb bongo fleva
Unaeza ukataman siku zirudi nyuma
Kwa sasa ameacha kuimba nasikia amerudi kuwa mwalimu wa madrasa
Engineer Sultan kwelo?
Engineer Sultan kweli?
Ndo vzr
Engineer Sultan kwer
Hiii nyimbo hataree ,,,,2018 mpooo?
Enzihizo sijui kutongoza Dahh maisha haya bana
Watching from Tanzania on 29th of August 2021 !
Nani ana watch hi 2024 gonga like hapa
Mkaidi afaidi mpakasiku yaidi nice song😁😀😀👍👍👍👏👏👏❤💓💓💓pita back like ya 2018
Ilikuwa pambe sana enzi zakeee duh.. 2018 bado naipenda
Uliimba kwa staili ya kusisimua vizur kwa kila anae sikiliza huu wimbo hongera Sana ndugu
2024 hpa km na wewe upo na hii ngoma tia like hap
Unanikumbusha mwaka 2010 nikiwa form two nilikuwa nimeenda kutembea kabindi secondary school iliyopo biharamulo ndio nikakuta Ngoma inapigwa
Hii ngoma atari sana ezi izo musoma bar mikoroshini
Old is gold🌹
Asante Maulid Kitenge kunirudisha kwenye huu wimbo
Mhuuuu radha ya aarabu 2024 weka like hapa ❤❤❤❤❤❤❤❤
2019 mupo
25/6/2019 daah hii nyimbo inanikumbusha mbali sana natamani niback flash miaka lakini ndo basi tena
Waimba tarabu wengi wamepitia madrasa , hii cmiondoko ya qaswida kabisa jamani
Naipenda sana pembe la ngomb kama bado na ww 2020 bsi gonga like ili tujuwane
nyimbo nzuri sana ongera kwa utunzi
Asante wimbo mzuri
Nikiwa 🇦🇪🇦🇪 naagaria pembe lang,ombe 😃😃2020 😍😍😍
Kali xanaaa! ina nikumbusha mbali sana kweli
16 of november.......nice song
nyimbo iko vzr sanaaaa
Aloys Mutayuga
Embe likisha dondoka alirudi tena mtini,Ikisha fika buchani nyama haiwezi kuwa Ngombe Mambo haya ni misemo ya kibantu,Inatufundisha
Nakumbuka Handeni, kwetu kwa ndugu zangu😂😂
Dahh hii nyimbo inanikumbusha mbali sana kama na ww ndo ivo gonga like
Yaaan huu wimbo kama umeniimbia mm hama Q dahh hadi naumia roho nikiuskiliza 😥
Nipo Leo tarehe 16 mwenzi 6 2019
Halima mohammedy homgera sana
Pembe la ng'ombe nikiskilizaga stres huwa znaisha nasahau shda zote
Namiss sana Tz Hammer q endelea hivo hivo
Wow
bonge la taarab hammer q alitisha sana, but kuna wimbo mmoja wa khadija khopa nautafuta sana bila mafanikio siujui jina lakini baadhi ya mashairi yake ni "hebu tueleze una sura gani ya kuturingia......achia ngazi mchuma unaondoka huo..." tafadhali mwenye kuujua wimbo huu anisaidie jinsi ya kuupata.
Ilikuwa ya Nasma Hamisi Kidogo
sio khadija kopa ni nasma khamis kidogo aliimba akiwa na muungano cultural group walikuwa wapinzani wa tot kipindi hicho
Mambo iko huku
Noma yani sana... Nkona audio imebidi nitafute youtube just incase ipotee💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖 the Best of the best taarab. Good job🙌🙌🙌🙌
S
Swit Nush
Astaghfirullah
mashairii...maneno ukisha yatamkaa...hayarudi Tena kinywani
2008 hataree tupu