MWANAFUNZI MWENYE KIPAJI AMUIGIZA RAIS SAMIA KILA MTU KICHEKO TAZAMA!!!!
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- #UhaionlineTv
CONTACT UHAI ONLINE TV +255 752 348 789
E-mail- radiouhaioffice@gmail.com
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
• MCH:DANIEL MGOGO-ANZA ...
HABARI
• RPC TABORA:HUTAUONA MW...
FIKIRI TOFAUTI
• MWL:DEUS KANUNU-BIASHARA
MAKALA FIKRA TUNDUIZI
• DENIS MPAGAZE-UKISUBIR...
SHUHUDA
• EXCLUSIVE NA MKE WA MA...
FAHAMU ZAIDI YA JANA
• FAHAMU ZAIDI YA JANA: ...
SIMULIZI ZA VITABU
• MWANAMKE ALIYEPATA MAT...
BIBLIA YANGU
• BIBLIA YANGU-HAPO MWANZO
NYIMBO ZA INJILI
• PAULCLEMENT -MUNGU AWE...
#danielmgogo,
#pastormgogo,#Mahubiriyadanielmgogo#MchungajiMgogo#DenisMpagaze#AnaniasEdgar#MzeewaKujilipua#Mahubiri#NenolaMungu
ITAZAME ZAIDI HAPA: czcams.com/video/IEp34Tux-7s/video.html
Km umemwona body guard gonga like nyingi sana,,,kawa uso mbuzii
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂Naipenda nchi yangu
Woooow watching from kenya . bodyguard u look so seriously that's gud u can be. Alafu mweshimiwa UAV made my day am proud of u guys,mungu awatie nguvu
THANKS By bodyguard
follow me at. joseph.dezile16@com
Congratulations Talented Student
Boy child Must be considered in every stuation
From 🇰🇪ns in Saudi Arabia
Powerful
Mungu aibariki Tanzania vijana hongereni Sana muweze kufika mbali hongerene San mungu awajaaliye elimu
Body guard hongera sana mno uko chojo kabisa
Hongera Sana mama kwa maneno mazuri siku ya Mei mosi,tunakuombea Sana kwenye Sala zetu za Kila siku
Huyu bodygad ni wa kweli sio ecting
Kudos .....I grew up in such schools here in Kenya.......life is real here
Bodyguard chukua likes zotr
Thanks much By bodyguard
HIYO SAUTI UMEFELI,, IGIZA UNACHOWEZA,, BODYGUARD YUPO SAHIHI
KABISA
Kweli
Kweli sijasikia sauti ya suluhu.
Naam
Cjamuelewa sasa km samia hlo shungii au?
Hongera vijana wetu wa Afrika mashariki. 🇺🇸 🇺🇸
❤️❤️🇹🇿🇹🇿
Hongereni Sana
Vizuri
What a talent, woow!! Am proud of you and you are going far in Jesus mighty name. Amen
Bodyguard hajabakisha hata kimoja👍
Hongera sana rais Samia the second kutoa hotuba with full confidence 🙏
Kweli Ila anaongea fasta
@@fatimambaruku1833 hapo kidogo hakuko sawa. Lakin siyo mbaya san
Bodyguard amevaa uhusika vizuri. Well done kijana
Bado saut haijafanana
😅😮@@fatmaalawy-im8pn
Awesome talent, bless you all, nagi from Australia 🇦🇺🇦🇺
Hongera
Kutoka nchi jirani kenya...Kazi nzuri 🔥🔥
Excellent imitation. Bigup young man there's brighter future in your talent
Body guard ameweza...from Kenya
Congratulations keep it up good job 👏👍
Wapi likes za bodyguard....👍
Yuko bizuri bodyguard
@@miriamdodi7141 Kweli anaonekana mlinzi hodari sana
Excellent,...I like the content ad the game here in kenya
Sauti ni ya kiume lakin Impressions zake ni kama Rais samia!
Ni mwanaune huyo
Mmmh¡
C kwel
Mm siyokweri hajapatia hata kidogo
Mungu ibarik Tanzania barik vipaji
Shukraaan sana
Bordgurd geuza shingo kulia kushoto, umeganda tu sehem moja
🦚🏃
Pongez zimuendee bodyguard kaz nzur mungu akubarik sana
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 body guard yan duniani kilamtu ana rizk yake
Daah!!! Mpaka nimetamani kuja Tabora Kaliua ndo home kwa mama ake mie. Kama umeikubali hiyo mwaga like za kutosha apo chini
Watching from American
Hongera maan hata waigizaj maaruf walianzia mashulen hivyo hogera dogo
Is so very experience for the students 2 show how can copy and pasting am happy 4 that gud creativity
Hakika Tanzania ninchi yenye Upendo na umoja nabmshikamono hiii furaha nikwasababu tunaupendo wakweli Nakupenda nchi yangu Tanzania
kweli kabisa, kwenye vita huwezi ona vipaji hivi
Bodyguard aongezewe mshahara
Yuko vizuri kazi inamfaa
Umeona eee
Thanks so much
Hahaha hongereni Sana vijana Kwa Sanaa nzuri nawapata vema nikiwa oman bahla😂❤️❤️
Nipo nizwa
Bahla nipo sahili al maash
Ibri
@@mwanakombosuleiman6161 duuh mbona tupo wote kalibu
Waoooo jamani tuko wote ibri
Kutoka Kenya...Huyu kijana yuko na kipaji,anafaa kusaidiwa ili kutoa hicho kipawa kikamilifu.
Japo hajapata kamili sauti ya Rais Samia,amejaribu sana.
Hongera dogo,endelea vivyo hivyo.
Big idea
@@aminaibrahim4148 AaáaaáQ ásáaaazá
Ile.suraaaa
Wow ,,love from kenya
From Kenya. Good work
. good idea ... keep on exercises nothing impossible
On top keep up dear
Tanzania nchi yang nchi yenye vpaji ving nakupenda💋💋😂😂
Upo na huku😳😳🚶♂️🚶♂️🚶♂️😂😂
Dogo, hongera. Upo vizuri.
Hongera sana kijana wetu
Mama yetu tunakupenda. MUNGU ibariki TANZANIA
God bless you you are going far
Hongera sana uhai TV mmepaisha dogooo nimefurahiiii San maana comments ni nying na views ni weng wanakaribia laki mojaaaa
Waah...its incredible..God bless Tanzania..luv yuh Tanzania❤
Security is very tight!!
Umefeli anza upya
Wow
Amazing 😍 from kenya
Uhuru gani tunataka watanzania Mungu ibariki Tz Mungu mpe ujasiri Rais wetu mama yetu mpendwa Rais mama Samia
Enzi ya magufuli unaweza igiza ivyo kesho yake unakamatwa , hata ivyo Mungu ni mwema ametuweka huru
@@thadeipeter2592 aaah mkuu Baraka Magufuli ametokea wap
@@thadeipeter2592 bila shaka enzi ya JPM ulikuwa hujazaliwa, au ni chuki tu inakusumbua...cyo kosa lako
@@mussamgonola3983 ilikuwaje kwa Idris sultan na masoud kipanya ?
Umeonaaeee hali ya kuwa furaha full kumwagika Tanzania
Tanzanian my neighbours tunawapenda bureeeeeeee......
Hata kama haifanani kabisa lkn lengo ni zuri la kuthamini uwepo wa Rais wetu.Waendelezwe kipaji wanacho.
All the way from Kenya napenda nyinyi sana ndugu zangu watanzania
Tunawapenda pia
Tunakupenda pia
Lol! This is a boychild making a very good impression of Samia Suluhu😂
Ndicho kilichobaki kwa wanafunzi wetu?creativity iko chini sana watt wanawaza sanaa tu.... Mambo ya kuigaiga...
Bodyguard yuko vizuri mno kwa ukakamavu ila utakuwa mbali kazeni mmejitahidi sana.msikate Tamaa.
Atakua ni skauti labda😂😂
Dogo km huyu anafaa awe Afande mlinda nchi haswaaa
Bado sana kwaupande wa sauti ila bodyguard uko vizuri sana
Very talented
Such amazing talent....kudos
Hongera Sana kijana una kipaji Mungu aendereze kipaji chako🤣🤣🤣
Hajaweza
Hongera sanah sanah tenah zaidi at 254
😂😂😂😂 Hongera kijana
Tz iko na vipawa vizuri.hongera kabisa.
Muigizaji wa sauti bado , ila body gurd yuko vizuri,ni mwanzo mwema .alie mwelewa body gurd anisaidie kwa kuweka like
Hongerath sana vijana. Mungu azidi kuinua vipaji vyenu
Amejitahidi sana...ipo siku atafanya vizuri
🔥🔥🔥🔥from🇰🇪🇰🇪🇧🇭🇧🇭
Kutoka kenya.hii kali sana
🇰🇪🇰🇪
@@shambiraghasi2777 6c
Kenya mwenzangu anaweza😆😆😆
Hampatii, huyu anaongea haraka harakasana na sauti sio laini
🔥🔥🔥🔥
Hongera sana dogo, naona ukienda mbali inshallah 🙏
Bodyguard wow rais mwenyewe ameweza congratulations guy's
Kali sana hongela wakenya wenzangu.
Bodyguard yupo safii but Mdog wangu wa kwa saut ya mama samia jitahid ili uifanye vyema na maafande wamejitahid mnoo
Sauti bado ila kajitahidi
I am from Kenya! Sauti ya kiume Ila maongezi yapo sahihi kabisa. Bodyguard uko sawa kabisa.👏👏👏.
Hongera Sanaa vijana wa kaliua kwetu🤣🤣🤣🤣
Haaaaaa! Kumbe Kaliua High
Hongera sana mh my friend thank for you so much
Nimempenda bodyguard 😆,yupo makini, soon ataiweza iyo job
Yes body gerd
Nice
Kweli kabisa
Hongera muheshimiwa
This is brilliant
Ww Iga Sauti Ya Magufuli Au Makamo Wa Rais Mpango Usiige Usichokiweza Mama Samia Mzanzibar Sauti Ma Sha Allah
Mlinziiii yuko viziri
Excellent move
Wah viongozi wa miako injayo inshallah 🙏
Safi sana hawa ndo viongoz wa badaye👏👏
very happy
to see the countrymen are enjoying with their nations with their mama!!!!!
wazanzibari Neno kama umri kushukuru huwa hawatamki
umli kushukulu na kadhalika
Hongera bodyguard yupo vzr atafika mbali
Congratulations 👍👍
Bodyguard upo vizuri safi nzuri umefanya poa
hahaha..... wamenivunja mbavu. Talanta safi sana. Mie wenu kutoka nchi jirani kenya
Body qurd 💪💪💪
sijaona talent yeyote hapa wanaomsifu kiswahili sio Chao hawafahamu chochote, Rais Samia anaongea kiswahili Cha ZANZIBAR huyu anaongea kiswahili Cha Tanzania bara
lahaja tofauti
Kaigiza maneno lkn si sauti
sauti ya mheshimiwa Samia ni ya kipekee labda mwanawe au mjukuu wake
Kweli kabisa she is uniik
Hongera kw ao wanafunzi
Bodgard likeeeeeeeenyingiiiiii
Sio kwa kupuliziwa pafyumu huko🤣🤣🤣🤣
😄😄😄
Sanitizer
Hongera sana keep it up
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 Body guard karibu aangue kicheko
Sauti umechemka tafuta igizo lingine
Boychild thumbs up from Kenya 🇰🇪
Talented 👍🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Haven't gotten that much time of listening to Mama Samia but if that's how she talks then the lad is talented...
Bodyguard umetisha sana hujaacha kitu😍😍😍😍😍
Kaondoka na hela
Happy day
Umejaribu, lkn huna kipaji hiki jaribu kitu kingine wasaidizi wako wapo vizuri wamekufunika kwa asilimia 100
So talented