MBOWE BALAA! AKINUKISHA MOSHI MJIN, ATANGAZA VITA RASMI NA CCM, WANANCH WAIKATAA CCM, MBOWE ASHANGAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 61

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před měsícem +10

    Hapo nimependa. Wanaume mpo kazini kweli kweli.
    Vyovyote vile ilivyo au itakavyokuwa, kwa sasa mabadiliko ni lazima.

  • @user-ng1zw7gk5w
    @user-ng1zw7gk5w Před měsícem +4

    Mungu ibariki chadema

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem +2

    Nilikuwa ccm kipindi Cha magufuli, toka afe rais wawanyonge ccm siitaji tena

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Před měsícem +1

    Hongera sana Mheshimiwa Mbowe

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Hongera baba hukuna kulala wala kusinzia Mungu akutie nguvu na awatangulie kila mahali

  • @qonquererqanquerer1781

    Viva Chadema ✌️✌️💪 Chadema Ni Mpango Wa MUNGU #CcmMustEnd

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem +8

    Ccm ndiyo maana hawalali wakisikia sauti ya Simba Mbowr ikitema madini yenye afya!

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem +4

    Viongozi hawa viongozi wanadanganya watanzania et wawe wazalendo ili wazidi kuwakandamiza wao wakila kodi zetu ubwege

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před měsícem

      Kwa hiyo wewe unaona Heri ccm iendelee kuiongoza kwa hicho Kikundi kilichopo kwenye baraza la mawaziri tu, na nchi ikiendelea kukatwa vipande vipande sio??

    • @ARABIMAARUFU
      @ARABIMAARUFU Před měsícem

      We Sunday k

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 Před měsícem +3

    Mbowe anastahili kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema,,,Mwamba hayumbi hayumbishwali, tangu namjua ni mzee wa kunyoosha, mpinzani wa kweli asiye na wa kupimana linapokuja swala la vyama vya upinzani

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem +3

    Ndio maana wenzetu wanakusanya wanafunzi na walimu kuhudhuria mikutano yao! Mmmmmh, malori mangapi yangebeba nyomi hiii?

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Před měsícem

    Kwenye Lugha Manga Mkono.Watu Wanaenda na Wakati Tibadilike. CCM Tumewachoka.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 8 dny

    Ukiona wamelegeza macho unadhani watu kimbe wamejaa ubinafisi na uwaji ndani

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Před měsícem +1

    CCM Wabaguzi Sana Kwenye Erimu Ndio Maana. Hata Wabunge Wanajirudia Km Babako Alikua Mbunge Na Ww Utakua Mbunge Ccm Walaniwe

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem +1

    Kenya wako vizuri kielimu

    • @TNgwale-eu3xl
      @TNgwale-eu3xl Před měsícem

      @IssaAlly-lp4uf Sanaa tu na huo ndio ukweli. Elimu yao inawafungua akili na kuwapa uwezo wa kupembua na kuchanganua mambo ya maisha ya jamii, siasa na uchumi. Na wanaijua vizuri Katiba ya Nchi yao: wajibu wao na haki zao. Tofauti na ya Elimu ya Tanzania inayozalisha Machawa kuanzia Profs, Drs, hadi wanaojiita Wasanii.

  • @GasparMfoi
    @GasparMfoi Před měsícem

    Iikitu mbona inaeleweka wa Tanzania tubadilike tujitambue

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 Před měsícem +2

    Tunabaki machinga na boda boda

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před měsícem +1

    Chezea chadema wewe people's powee

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 Před měsícem +2

    Viongozi..wetu .wakiaka..asubuhi..wanashika..tumbu..leo..nile..nini..masikini..anawaza..leo..nitapata..wapi..matembele..na..nyanya..chungu😭😭😭😭😭🙏🙏..wakati..umefika..maisha..ni..yetu

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Před měsícem

    Kufa kondagita kufa derava mabadiriko lazima

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem

    Allah ibariki chadema kwenye ushindi

  • @RodrickMmanyi-lr6lr
    @RodrickMmanyi-lr6lr Před měsícem

    Shkamoo Mh. Mbowe.

  • @STEVENRingo-vf7ox
    @STEVENRingo-vf7ox Před měsícem

    Jamani hizi tozo zinaumiza umeme wameongeza Kodi sasa elfu mbili Kila mwezi vitu muhimu vyote petrol nondo cement bado hata choo tutadaiwa Kodi

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale Před měsícem

    kinachotuleteleza ni nchi kuwa na mambumbumbu wengi,,bahatimbaya hatawasomi,vyuo vikuu nawengine waliotoka ujinga hawana mtazamo wakuitetea nchi. jamani Tanzania tunatia huruma.

  • @GasparMfoi
    @GasparMfoi Před měsícem

    Tunataka kadi jamani

  • @faithagrey962
    @faithagrey962 Před měsícem

    Wametudanganya ,kupeleka umeme vijijini kwa bei rahisi, kumbe ni mpango, wa kupata kodi ya arthi ,mpaka kwenye nyumba za makuti,,

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Před měsícem

    Haya matatizo na ujinga wote huu unaanzia ktk shule zetu. Elimu yetu haitengenezi Critical and analytical thinkers bali watu wasiofikri vizuri na waoga. Watu wasiojielewa na ndio maana tuna wasomi ovyo, wasanii ovyo ..machawa chawa tu wa kutetea matumbo yao ..wapuudhi mno. Angalia wasomi wa Kenya, wasaanii wa Kenya graduates wa kenya wako smart na very intelligent. Mfumo wa elimu inatakiwa ubadilike

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před měsícem

    Kwani hiki chama ni cha kaskaziniiii........😂

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Před měsícem

    Kanda Kaskazini Majimbo yote tuhakikishe yamekuwa upande wetu

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Před měsícem

    Mbowe oyeeee hapa kazi akuna kulala mpaka kieleweke

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem

    Inauma sana. Soko la ajira hatuna. Lugha mama kisukuma, lugha ya pili kiswahili tena cha kuvunjikavunjika aka broken.

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před měsícem

    Waambieni watu wajiandikishe pamoja na mambo yote kila mtanzania wajiandikishe na wapige kura

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Nyerere alijenga viwanda alipotoka tu wakaanza kuviuza. Dhambi mbaya aliyoifanya Mkapw wa CCM na Kikwete anaendeleaza na mpaka leo anamshauri mama yake amemalizia kuuza Bandari zote Tanganyika hapo hapo Zanzibar imejiyoa kwenye muungano lakini CCM wanaimba ati muungano wetu umekuwa kweli akili matope ta watawala wa CCM

  • @user-iv6pr8ze1x
    @user-iv6pr8ze1x Před měsícem +1

    kaza mwendo kamanda

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 Před měsícem

    Kwetu kuna mafao ya wenza wa viongozi ila waztaafu wengine wenza wao anapewa bima ya afya tu😅😅😅

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem

    Mkichukua nchi viongozi wote walipe kodi zao. Katiba mpya ilazimu viongozi walipe kodi. Katiba itoe kinga za viongozi wote wahujumu na waadhibiwe. Wote waliohusika kuhujumu nchi washtakiwe.

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před měsícem

    MWAMBA NADANI YA MOSHI TOWN,PIGENI KAZI WAPENDWA

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před měsícem

    Simba anaguruma tusikilize

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Před měsícem

    Sembe chapa kitambi

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem

    Haya yote ni sahihi alio ongea mbowe kingereza muhimu mwenye akili ataerewa

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo Před měsícem

    Huwa naumiaa Sana ninapoyaona magari yanjano, huku Asante kayumba mtoto anapewa mtihan anaulizwa et katibu was shule anaitwa nani? Jaman inauma Sana jina la katibu wa shule linamsaidia nn mtoto. Daaaa!

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před měsícem

    Ndio mana atupati maendereo ya haraka kwakufuja pesa kwa mamboyao binafsi

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Před měsícem

    Watanzania Bajeti inapitishwa, Mwigulu anawatukana kuwa kama hawataki kulipa tozo waende Burundi ... watoto wa Tanzania .graduate wa Vyuo Vikuu hawana habari ..wanashangilia Manchester United na tamasha za muziki za kipuudhi za Wasanii Machawa 😂😂😂😂

  • @eliudmugendi9619
    @eliudmugendi9619 Před měsícem +1

    Unayempinga kamanda tulia wewe ni chawa

  • @JoseSimon-mt6oc
    @JoseSimon-mt6oc Před měsícem

    Aman ndo kila kitu

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Před měsícem

    Sasa Watu kama kina Mwinjaku na Steve Nyerere Wanachangia nini katika pato la Taifa! Hawa ni Machawa tu ambao kazi yao ni kunyonya kodi za Wananchi.

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f Před měsícem

    Kama kwenu Kenya Nenda zako Tuache Watanganyika na Rais wetu MBOWE

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 Před měsícem

    Waelimishwe. Wajiandikishe kwani hapo.ndipo penye ushindi

  • @user-wh3tb9ve8x
    @user-wh3tb9ve8x Před měsícem

    Mbowe tusemee tupate ajira

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz Před měsícem

    Wacha uongo mm ni mkenya hapa