MWIJAKU AFUNGUKA BIFU ZITO LA RAYVANNY NA MARIOO KISA PAULA/ BASATA WAINGILIE KATI/ WASIJE KUUANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • MWIJAKU Ametema Cheche Jioni Yaleo Wakati Akifutulisha Watoto Yatima Maeneo Ya Sinza #mwijaku #marioo #rayvanny

Komentáře • 62

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Před rokem +29

    Mimi jamani Siwezi kuongea neno baya kwa mtoto wa mtu kwa Sababu na mie nina mtoto😢

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před rokem

    Muogope Mungu mwijaku, haifai kufuatilia maisha ya watu na kuwadhalilisha. Wasitiri na wewe utasitirika siku ya kiama.

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Před rokem +10

    Kweli kwa maneno ya mwijaku kuhusu Rayvan ni wazi kamrdia fayma kulipa kisasi Hakuna upendo wa kweli tena kwao

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Před rokem +7

    Eti nyonya damu jamani 😁😁😁😁🙌❤️

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Před rokem +12

    Nyiee!! Msimlaum marioo Paula nae kazd kujirahisish Kwa wanaume weny pesa marioo kua na Paula sio tatiz rayvany atulie na mkew uko!!

  • @magakany6688
    @magakany6688 Před rokem +3

    Mume na mke ni wafunge ndoa kama hakuna ndoa bc nirafiki ila hakuna mume na mke ukizaa naye ni mzazi mwenzako kwani mtoto alipatikana wakiwa marafiki ila sio mume na mke hapo bdo ni marafiki tombeni Dua afunge ndoa tu

  • @maymbeyu5458
    @maymbeyu5458 Před rokem +1

    Nmemmiss mwijaku jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @OfficialValentin
    @OfficialValentin Před rokem +3

    Darasa la 7 B

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před rokem +7

    haaàa mwejaku iko kazini apo itabidi Ray akulipe mapema

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před rokem +5

    Nyonyadamu😂😂😂matapeli 😂😂😂😂😂

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 Před rokem +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🙌ila mwijaku eti nyonya damu jmn

  • @lama6310
    @lama6310 Před rokem +9

    Wewe Marioo Mtoto wa Mjini .Tofautisha mtu anayetoka Mbeya au Mtwara Na Mtu Aliyezaliwa Dar na Kukulia Hapa hapa😂😂😂.Hanyonywii.kina Harmo na Ray Wameingia Kichwakichwa

    • @rehemafungo7387
      @rehemafungo7387 Před rokem +1

      Kumbuka!mapenzi hayana mtu wa mjini🤔,sidhani kama sisi watu wa Mbeya ni washamba kama unavodhani ndugu,pls!

    • @lama6310
      @lama6310 Před rokem

      @@rehemafungo7387 Kama Sio Ushamba Ni Nn,Yani Rayvanny Alikuwa anajua Paula Aligongwa Na Harmonize.lakin akampeleka Kusoma Uturuki .akamuacha Mke wake wengine wakimgongea .Koh Mpaka Sasa Rayvanny Kagongewa Fahyvanny na Hela Kapigwa.

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +3

    Ila huyu baba daah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 Před rokem +1

    Wauza uchi wa mitandaoni ayo ndio kazi zao apo ni ela tu

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Před rokem +6

    Niwanyonya damu za watu wale😢Mario katachuka chini ty Hadi kwa mziki

  • @lovenesstaim513
    @lovenesstaim513 Před rokem +5

    Rayvan aliachana mda mrefu na Paula , kwasasa amerudiana na mkewe Fayvan, sasa kipi kinacho muwasha Marioo kuwa na Paula???? na endapo akimkasilikia Marioo basi Rayvan bado anampenda Paula, eeeeh! Guys Rayvan mke wako fayma nimzuri sana, lakini anachepuka, mwanaume yeyote ambae hajawai kuchepuka aniite mbwa tafadhali niko pale namngoj

    • @MwajumaOmar-sg1ob
      @MwajumaOmar-sg1ob Před rokem +3

      Wenae usituchoshe nimke au hawala hana talaka 😁 eti mke wew sema mzazi mwenzi kwani alimuoa lini kwa ndoa ipi?

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Před rokem

      Mkewe?😂😂

    • @lovenesstaim513
      @lovenesstaim513 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣 akina juma lokole utawaona tu

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Před rokem +2

      Sasa ulitakaje?Mario na Paula wawe single forever

    • @lovenesstaim513
      @lovenesstaim513 Před rokem +1

      @@agwalubifaridah7079,,,No, ndo kwanza natak kuona mambo mazuri zaidi ya haya yanayo endelea

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +1

    Wewe mwanaume mzima mbona unatoa!!! Unavyowaibia kwa domo lako

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Před rokem

    Kwani dowa ilisha tiari mpaka Ako kwa marioo😅😅😅😅

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před rokem

    Nyonya damuu

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Před rokem +2

    Mabause wann.nikweli....

  • @agnessndaro2897
    @agnessndaro2897 Před rokem

    😂😂😂😂nyonya damu😂😂

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před rokem

    Huyu jamaa mbona ukimuona ndani ya mitandao anaongea mambo ya watu tu

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před rokem

    Afu kihusu mkewe kumnunulia range,yeye anafanya kazi gani huyo mkewe ya zaiiid hadi yeye ndio kuwa mara zote anamnunulia magari mwijaku?

  • @AhmedMbarak-wr4wd
    @AhmedMbarak-wr4wd Před rokem +2

    Hahaha mwambino ana hashuo

  • @yveswasso1350
    @yveswasso1350 Před rokem +2

    😆😁😁

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před rokem

    Hili jamaa limbea sana jitu la hovyo linachafua watu mno lipo kama cyprian musiba

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před rokem +1

    😂😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Před rokem

    Umbea tu umewakaa khaa bongo bwana

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před rokem +1

    😂😂😂nyonya damu mwijaku

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před rokem +5

    Mwijaku 😅😅😅😅😅😅

  • @HalimaJuma-de5gc
    @HalimaJuma-de5gc Před rokem +2

    Marioo kumchukua demu wa rayvanni kazingua sana hawawezi kuwa marafiki kama zamani

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před rokem +1

    Hahahahahaha

  • @maryammwinyi932
    @maryammwinyi932 Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ety mtu km mwambino hawez kumualika.....marioo hawez coz anazini😂😂😂😂😂😂

  • @mohammedwanjiri2057
    @mohammedwanjiri2057 Před rokem

    Umenena ukweli😂😂

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Před rokem

    Mwijakuu eti ataniletea hashuwooo unavituko

  • @bigirumanalululouise4540

    😏😏😏😏😏Mwehu hauna akir🤔🤔🤔mukafili

  • @louangesid
    @louangesid Před rokem +3

    😁😁😁😁😁😁😁 binti ameshamshika masikio