Yeah...safi sana Professor tunahitaji watu waliotuliza akili siyo makelele mengi..kuwa mpinzani siyo dhambi ila dhambi ni chuki na kukosa kiasi,Big up Prof na kambi ya upinzani. Sema nn prof waambie wenzio wale na kiasi ktk siasa, Mungu akusaidie Joseph Haule, Mti mkavu a.k.a Daddy
Wewe ndio professor uyu wetu uku kusini cjui hipapu yake inamsaidia nn maana hua nasikia kelele na kulalamika tu kua ananyanyaswa iv ww unafanyaje kilichotofauti na mbilinyi
Sio hip hop tu ata kutowa taarifa ya abari unawedha
Naomba like zenu jamani kama unamkubali PFS JAY
Safi sana J. Kwa Taarifa nzuri
@SIVICKEY KAGOMA DOG ooooliskia wapi
Yes yes and big yes god bless u mbunge wa watu na wanyama
Yeah...safi sana Professor tunahitaji watu waliotuliza akili siyo makelele mengi..kuwa mpinzani siyo dhambi ila dhambi ni chuki na kukosa kiasi,Big up Prof na kambi ya upinzani. Sema nn prof waambie wenzio wale na kiasi ktk siasa, Mungu akusaidie Joseph Haule, Mti mkavu a.k.a Daddy
Mtu smart sana
Hongera sana J Mungu akupe ulinzi amen
Mikumiii stand up
Wapinzani wako vizuli wakati wooooote.sio hawa vilaza vya ccm komba mwiko
😀😀😀unaimba 🚀🔥🔥🔥
Ndugai mda mngine siyo mnafiki ikifanya hivyo atakwawengine pepo utaiyona
Piga keleleeeeee upinzani ni kioo!!
Upinza hoyeeeee
Ajili nyingi real professor hongera sana
Mpizani moja ni ccm mia
7i0
+€£¥0₩₩₩¥8877543. Hd
*£€€_%90₩
Mzeyaaa
Professor unatakiwa ugombee urais walai
inapendeza sana hoja inassomeka na anaeleweka saloooot
Jaman tuwe makini na huu ugonjwa wa Corona
Wewe ndio professor uyu wetu uku kusini cjui hipapu yake inamsaidia nn maana hua nasikia kelele na kulalamika tu kua ananyanyaswa iv ww unafanyaje kilichotofauti na mbilinyi
Natamani ungekua mmbunge wa korogwe mjini kupitia chama mapiduzí ccm
Rudi CCM utapewa uwaziri
Kaz yenu ccm ndio hiyo. Kuchafua upinzan, mkiona mbunge wa upinzan anafanya vizur mnataka kumnunua, alafu akishaingia ccm mnamnyamazisha kwa kumpandisha nafas, na hapo analua hafai tena.