Professor Jay, Black Rhyno, DonKoli, Mr Teacher & Simple X - KAZA (Official Video)
Vložit
- čas přidán 16. 12. 2019
- #HauleFamily #ProfessorJay
KAZA OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by: The Haule
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com
Follow Haule Family on:
/ blackchatta
/ muonambali
/ tharealsimplex
/ 7donkoli
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz - Hudba
Kazi autaki kufanya ume baki una lalamika Na wenzako wana kucheka .....
Huu mstari kama una Mlenga Barack Da princes gonga like apa
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Wapi likes za legend Pro jay
👇 kaza🔥🔥🔥
Mzee babaaaaaaa nomaaaaaaa
kaza inakaa sawa
Mbunge hujawah kukosea ww bonge LA ngoma
*wanaolike wote like hapa*
Kuimba utamu wa wimbo upo mwishoni
Nani mwengine kacheka baada ya kumuona Jay ana cheza robot
Like tujuane 😁😁😁😁😁😁
Kali sana wale wa 254 twende pamoja hadi kieleweke
It’s another One🔥🏆🇹🇿🇷🇼💯💯💯🇺🇸
tshapa kaz, mwana mziki borah! na fagiliya toka Kongo DRC
Hawa jamaa ni wakali sana sana sana ila hawafanani hata kidogo na kila mtu ana makali yake naomba msikilize kwanzia 1:30 He is Don Koli i call him the Badest Koli #Respect
Haule family daah noma sana
Nakufahamu toka enzi Za kikao cha dharula
Kuna unyama umefanyika ndani ya hii nymbo balaa,Best hip hop 2019
Ni kukaza mpaka kieleweke
Familia ya hip hop noma sana
Kaza maisha ni kamafimbo
Appreciate u all ..father jay dance ako imenifanya Ni comment nakupend sinc katoto cjajua lyf til now nakaza2
As long as we're still alive in one way or the other this song is great ✊
Professor hujawah yumba nakubali ngoni boy mwanalizombe,,,,,,,like hapa
Black rhino katisha nani ana like. izo team zenu zinauwa muziki nyimbo nzuli ziko uku
nimeipenda sasa
Naona uleling'ombe ,wewe ni mkombozi sana , uleling'ombe ilikua haisikiki yaani ila wewe ulifanya isikike na ulikua unaenda
Nakubali Sana Mh. Ni 🔥 🔥 🔥
Wow big up 🇰🇪👏👏👏👑👑🔥🔥🔥
Love this song am from ghana
Kaza kaza kaz
Bonge langomaa kaza Gonga like mazee
Mipango tulipanga na hatua tukachukua.... #Kaza 🔥 🔥 🔥
Nimwendo WA kukaza hakuna kulegeza Asante
DonKoli ametisha Kinoma...
Kazaaaa💪💪💪💪
Zipo familia za mpira, ngumi nk, Ila haule family ni mziki tena Hip Hop
Family over Everything 🔥🔥🔥
Mmetisha wazee kaza tu
Noma kweliiiiiiiiiii
Talented family bonge ya joint asee
Kazaaaaaaaa🙉🙉🙉htr na nusu profesa hapa mwaka ushaisha mbn
Uyo mzee nomaaaaa
Kitaaaaaambo mpaka sasa
nimewaelewa sana aiseee #kaza
Donkolii umeua
KAZA
Safi sana 🇰🇪🇰🇪🙏👌
Kaza kaza
kwny mitandao mtu mmoja anaweza kujigawa mfano mtu anaweza kujifanya team kiba au team mond ata mara5 lkn wajija kwny uhalisia unakuta mashabiki wote ni wale wale wa team kiba mdo team mond kama unawakubali wanaharakati hawa pita na like zangu za kutosha
Kazi tamu sanaaaa
Bonge LA chupa namwelewa sana prof. Kazi zako mzuri bro hujawahi kosea
Kutoka Kenya, Prof Jay anaaminika kweli. Kazi Nzuri
Mzee Haule sio mtu wa kawaida
Kazi nzuli nlikua nimesubili ngoma yako jay
mabraza wametisha sana,kuanzia michano mpaka muenakano,bonge la ngoma,black rhyno bado rap inamuhitaji.
Hata sijui huyo Donkali mnamficha wa nini na kawanyoosha kishenzi mpeni nafasi
hii ngoma yafaa 10 million views.....nani ako hapa april moja......254
+254 tumekubali colabo kali sana ... keep it simple 😎👍🏽
Ngoma Kali
NICE. Hili ni Lizombe kweli. Safi sana.
Kaza ngoma Kali sana
kali sana toka kenya
prof j babalao
nipe discount nilete wageni mikumi
Kaaaaazaaaa
Kaka mkubwa wa prof jay alopiga verse ya pili wanafanana sana sauti na Heavyweight kwa kweli big up this hip hop family u made it.!!!
Mdogoake black rhino
Ngoma imeika vizur sana
Wapi like zenu ndugu zangu wa kilosa-kivungu,myombo,kigunga,ulaya,tindiga,mhenda!!
Wazeeee wanakazaaaa
Daaah hapa wamekutana mafundi
Bonge la ujumbe kwa sisi wapambanaji
Kaza Nimekuelewa Sana mbunge wa watu na wanyama
Hii family ndo Imekaza mwaka kwa mtindo huu🤔🤔🤔🤔
Haule Family mmatosha Kabiiisa kabiiiiisa Kuwa MiGos wetu Bongo
Wooooooza gangster rap music forever
Kwa kweli wa waTZ mnakuanga mmebarikiwa sana kwa upande wa mziki na sio siri nyinyi hamlazimishi usanii.
Jay -chuma cha reli.Hakikauki,hakiozi
Kama unafaham Huyu ni Legendary nipe like please🤗
Ufilwe labdA
🎧📣kza
💪💪💪💪💪💪 kaz na kaza
Asante sana Prof mwanasiasa halisi, njoo kafunze hawa wakenya wakaze 👍👍👍💪
My brother from another mother ,,,,,tiiisha
Kaazaaaa
Achia ngoma mbungee🔥🔥🔥💣💥
Love from Burundi and #BantuBwoy
🔥🔥🔥🔥
kizazi sana kuluhu iko poa kifupi inajua kazi noma sana wapi wa mitulinga mzee jy
Daaaaa mmetish sana kuna dingi hapo mstarabu San cjui nan
@PROFESSOR J LEGEND💗
Ngoma kali sana
Nakubali chief🔥 tukaze tuu hamna namna
kazaaaaaaaa
Jay jay kaza mikumi iwe town kam Chuga 💥💥
Balaaaa zitoooooo 🔥 🔥 🔥 🔥
Mmeua sanaaaa
Wapi A Million Views🚨 Kama kali kali🚒 2020 #Kaza 🇰🇪
Wile kuwa na aibu. Acha kuwafunika kaka zako. Yaani umewakalisha hadi aibu. Mr teacher kaisha hamna kitu.
Mr Teacher flow kali, big up prof
Simple x killed it, this family Iko juu kuliko povu
Mtu wa Kwanza Kuccoment naomba likes za kutosha
Baada ya Chuo kikuu naenderea kukaza a duh relly nakazaa
Haya mabrothers yote yako na vitambi asee🤣!! My best rappers of all time. Keep up the good work ma ngulis wa music
Nakwaminia mzee baba we nihatar
Kaza ni moto 💪💪💪💪 kaza
Pamoja sana
💣💥💥💥 lipua lipua