DAKTARI:UKWELI KUHUSU KULA CHIPSI VITAMBI NA NGUVU ZA KIUME “ZINA MAFUTA”
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Suala la ulaji wa chipsi limekuwa gumzo sana baada yakuelezwa kwamba zinaweza kusabisha uzito kupita kiasi,vitambi pamoja na unene sasa ayo tv imempata daktari Muna ambaye ameelezea hilo kiundani zaidi
Huyo Dkt. ajengewe sanamu
Kula chips fanya mazoezi
Hii ndo point yenyewe... wengi wanakula na hawafanyi mazoezi
BMI >35 hii habaki mtu na kwenye game huezi kabisa ni kimoko chali.
Yan kuacha ni haiwezekani kbsaaaa, kila kitu mnasema kina madhara sasa tule nin? Chips mayai hoyeeeeee
😃😃😃
😂😂😂
kula uyoga
Haya walaji wa chipsi kila siku kazi mnayo😁😁😁😁😁
Zege twalichapa kama kawa
Ila brooh big up elimu ipo kichwani unashuka kama unakula chips yai daah.
Chips mayai sio mbaya, tule kwa kiasi tuu na tujitahidi kuchanganya na vegetables na mazoezi kidogo
Dr ongea kwa vituo upumue kidogo
Duuu hatari kwaiyo tuache kula chipisi🤣
Habari za huko
Huyo jamaa anapunja sana chips yai..
Kha 😂 😂
😥😂😂😂😂😂😂
Kitambi bila pesa chips
Uongo
Natizama hapa nimetoka kula chips yai😝😝😝
Achana nae huyo.. chipsi sio miaka ya karibuni ni enzi na enzi.. mtoto mdogo wa 95
Kweri asate
hicho chuma kinakoshwa lakini heeeeeeeeeee 😳😳
Dah 😭 basi mm nimepata madhara sana maana chips ndio chakula changu
Duuuuh
Kama Mimi asee
Najitahidi nisile kwa kweli naweza kumaliza hata mwezi sijala chips ni tofauti na kipindi cha nyuma
Kila kitu madhara kwenden zenu na udoctor uchwara wenu zege halilali weww
😂😂😂
Nikweli ila ni tamu jamanii mweee kuacha inahitaji msaada Wa ziada
😂😂😂😂
@@latifamohammed61 😂😂😂
😀😀😀😀😀
Msaada wa Ziada?
Ziada mwenyewe anakula chips mayai
Kuna wengine wanakula na hawanenepi
🤣🤣🤣
Huo waya unaochoma nyama 😁 ni hatari kuliko chips mayai... tumia foil
Unaponda lakini unaonekana kila unapotoa oda ya chips humwambia tengeneza ya kushiba🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuumwa si ibada
Mi nazan stress ndio tatizo chips kala MPAKA Adolf hilter na alikuwa na zaidi ya nguvu za kiume.... Ko ifike mahali waje na tafiti za maana AFU NIMEPANIC MJUE😠
🤣🤣🤣🤣
Zege
Uko sahihi sana mkuu, wanaokupinga hasa wanaume achana nao ili uume zao ziwe zinajikuja kwenye uke, yan wawe mdebwedo, maana kama tahadhari ndio hii unawapa
Mazara ni mingi sana tujikinge sana
Watu wale nini sasa
Ule nini? Au watu wale nini? Kaleni Ubwabwa na Maharage, weee vip umesahau ubwabwa na Maharage
Hapa nilipo nipo nakula chips mayai
Sasa itakuaj niache au
😂😂😂
Usiache
@@latifamohammed61 wachanije nikusaidie.
Yan kuacha ni haiwezekani kbsaaaa, kila kitu mnasema kina madhara sasa tule nin? Chips mayai hoyeeeeee
😂😂😂😂😂 Oyeeeeeeeee
🤣🤣🤣🤣