Hakuna place bike inalipwa 1k hiyo sasa ni kipindi juu hata watu wako na bike ya Loan hawalipangi hivo alafu I can advise huyo driver aendee bike yake na aezi lipa more than 650
i remember kwa shosh time ya familt re_unions cuzo akikuongeza mboga unaskia ukitendewa wema sema asante wema ni deni na deni hailipwi kwa mateke. #kioko #presenter_ali #truthdog
Hii kenya ukaeza jaribu kuambia kijanaa Forex ni scam anakitusi ati hio inafanya waendeshe gari.Hizo za celebs ni scam forex haiezi kununulia kitu ya maana
Bro walai we n fala sana 😢😢😅how can you say Forex trading is scam.....bro if you tried and failed wacha kusema n scam .Forex it's real many people do it and are successful 🙂 outside here
@@thehouseofforex9872 its alright.we niite fala bt deep down we both know that forex is gambling and its a scam..loses are always more than gains..FOREX HAIEZI KUPEA KITU YA MAANA ITS JUST A GAMBLE. Hata ukiwin ni once tu
@@TWDOFFICIALke ,sifanyi kazi ya uber ila tu nakushow uwache kuona wasee wakiwa maasai wote, hizo story za 1k kwa nduthi ni hekaya za abunwasi nanii kua mtrue kama jina lako ,no need of sugar coating.😏
Bro am not a rider but kuna kitu inaitwa USIKU SACCO,nduthi yangu unachukua asbui 5/6 unarudisha jioni..hio jioni rider wa usiku anaichukua anafanya nayo job the whole night
@@collinscotienoh2517 , bei ya msee wa nduthi ata akufanyie both day and night ikienda sana ni 800/=, at most bei ya mwenye nduthi hurange from 300ksh to 400ksh na inalingana na upya ya nduthi yako pia.
Kindly let's support TURTH WATCHDOG NEW CHANNEL ==>> youtube.com/@TWD01
Tumbili nipe number tubonge biz
Ungeongea mbaya kuhusu truth watch dog ningefunga hii channel I personally
Yes watch dog is right kwa sababu ya Hawa maseleb...Wana fake life ...Ina fanya wengine wafinywe nyuma
Huyu Jamaa hujifanya mjuaji Sana hakuna kitu hajui 😅😅
the comment i was looking for. hakuna kitu hajuagi hii kenya
ni ukweli hata umuulize kama 2mbili anapigwanga na bibi anajua
ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena🤣🤣🤣🤣
@@luchirimusa231ukweli unauma endeleni Kuprakiwa😂😂
Watu waanikwe! Kwaani!
He is brutally honest about his bike operations.
Enyewe celebs wengi behind the camera wanaumia cause lazima waishi life poa
Realest guy .🔥🦾Keep it up
Amazing sana 🔥🔥 keep them coming 🔥🔥
Hakuna place bike inalipwa 1k hiyo sasa ni kipindi juu hata watu wako na bike ya Loan hawalipangi hivo alafu I can advise huyo driver aendee bike yake na aezi lipa more than 650
wivu itakuua bro hata hauskizi
@@TWDOFFICIALke hakuna story na wivu juu mie niko kwa hii industry ya bike na najua but ulidanganya live on camera bro
@@mirewamirewa3920 amesema 24 hours bro
Wanafanya wengine wetu tunakaa ni kama tulikuja hii dunia kuota jua
Ndio hivyo pole pole hata me nilianza na bike , mungu akanionekania na Subaru mzee yote tunashukuru.
Lets get real like this dudes
Truth 👏👏
3:28 3:29 hio part wins Kwa interview mzima,ati "unashindwa kwani umedinywa haga na the wrong person mtu amesota"😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Truth watch dog vs tumbili Iko sawa bro
i remember kwa shosh time ya familt re_unions cuzo akikuongeza mboga unaskia ukitendewa wema sema asante wema ni deni na deni hailipwi kwa mateke. #kioko #presenter_ali #truthdog
Keep mentoring the youths fam ...
Which Mentorship is their
@@SirJulio254 huwezi elewa tunawrite history uko busy unawrite comment,
@@TWDOFFICIALke 😅 Haitaki hasira mtu wangu
Ambia truth watch dog ajimarket Kama celeb bodyguard pia Walai
Truth tupe ukweli ya pasta show
22 ambia Truth anisakie rider manze,ata kama ni hao wawili wa mchana n wa usiku nitashukuru sana babake
Love you 2 boyz
When i grow up i want to be truthwatchdog 😢
you won't grow up then
ndo nimetoka kuwatch TWD akianika 2mbili
😂😂😂😂😂😂😂UNAONGEA KUHUSU JUSTINA NA UKONA T-SHIRT YAKE
Sio huyo
jii ni ngombe ya wapi juu unaitwa lobby we ndio unaitwa hivyo pekee ? wacha kurent akili
I like how anawamezesha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Eve wee pia mnatapua😂😂😂, fun wako mbaya
Hii kenya ukaeza jaribu kuambia kijanaa Forex ni scam anakitusi ati hio inafanya waendeshe gari.Hizo za celebs ni scam forex haiezi kununulia kitu ya maana
Bro walai we n fala sana 😢😢😅how can you say Forex trading is scam.....bro if you tried and failed wacha kusema n scam .Forex it's real many people do it and are successful 🙂 outside here
@@thehouseofforex9872 forex is a big scam ukikuja apa kuitetea we want screenshot ya deposits na withdrawals
@@peterleyian2627 good one bro,acha aonyeshe io utajiri ametoa kwa forex.yeye ni scammer si unaona hata jina
@@thehouseofforex9872 its alright.we niite fala bt deep down we both know that forex is gambling and its a scam..loses are always more than gains..FOREX HAIEZI KUPEA KITU YA MAANA ITS JUST A GAMBLE. Hata ukiwin ni once tu
😂😂😂😂😂 buda ninini unataka kupingana na msee hafanyi forex ...hata kina kafuri hwafanyi forex ..sa acha kufanya msee a understand
Big up kiongozi
si adi mnipee malikes banaa, 🙂😂
Za nin
Ukipewa likes unaeza Zi convert into pesa?
Hehe anapark mabaseni😆ukweli inachoma.😎
Creation of employment 😂... Congrats TWD
Thao ni mingi sana, mia tatu ndio ya mdosi kwa nduthi
Enda usome mambo ya employers liability ndo ujue
Ati Nani haana place ya kupark hata besheni ya kufua? 🤣🤣🤣
leta nimuonyeshe😅😅
After God fear women 💯
ati kupack mabasini 🤣
#Eti 1k daily for nduthi..hizi ni story za jaba kama wenye uber wengi ndio hukanjwa 1200/= daily sembuse nduthi??😮😮😢😢😢😂😂😂😂
uba mtu anamake 4k before morning we endelea kubeba watu wa 50 sawa
@@TWDOFFICIALke ,sifanyi kazi ya uber ila tu nakushow uwache kuona wasee wakiwa maasai wote, hizo story za 1k kwa nduthi ni hekaya za abunwasi nanii kua mtrue kama jina lako ,no need of sugar coating.😏
Bro am not a rider but kuna kitu inaitwa USIKU SACCO,nduthi yangu unachukua asbui 5/6 unarudisha jioni..hio jioni rider wa usiku anaichukua anafanya nayo job the whole night
@@collinscotienoh2517 , bei ya msee wa nduthi ata akufanyie both day and night ikienda sana ni 800/=, at most bei ya mwenye nduthi hurange from 300ksh to 400ksh na inalingana na upya ya nduthi yako pia.
@@sharktusk4931 let's not forget that Truth told Tumbili in 24 hours/per day hawezi kosa soo nane
Lets be real 💪
Sasa first viewer to comment nini hutu saidia 😂😂
Ati thao kila siku na uko na deni ya 25k ,,
niko na watoto sita under my care hesabu yako ni sweet dream
truth watchdog ni hatari anaeza toa hadi evidence ya jina iko kwa birth cerficate yako ,aproof haikuwa hiyo na akuje na evidence
Kuna Moja najua mliscript kama ya DJ Cibin
You are wrong coz Dj Cibin drives the Crown to his gigs & he owns it...
2mbili iyo luku umepiga ni hatari
Wah
Nduthi ni wapi apo msee analipa thao kwa siku
Learn how to listen and understand
Hapa ni Zimmerman Kwa massai
"FAKE IT TILL YOU MAKE IT" shida iko wapi?
Shida ni fake!
@Bilsam,niligundua uki fake unatumia doh mob sana
Mnapea watu pressure
Smell cap 🧢
2mbili uko gwan wamusyi
Shukran sana my G
Hapa ni zimma
Nadai msee nimpee nduthi aanze kazi. Location Ruiru.
Nipee
I know TWD will watch come to read these comments..
I would like to meet you when I get back home bro...
How can I get in touch with you?