K2ga - Hawataki (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 12. 02. 2020
- Music Video by K2ga performing Hawataki (Official Release) (C)2020 exclusively licensed under Kings Music Records,The Music Video was shot in Dubai, Directed by Chui Chui.
Stream/Download:linktr.ee/K2ga
Listen to K2ga on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/K2ga
Apple Music: / k2ga
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
CZcams: / k2gatz
Spotify:open.spotify.com/artist/1Tg2I...
Follow K2ga on Social media:
Instagram: / k2ga_tz
Facebook: /
Audiomack:audiomack.com/k2ga
Twitter: / k2ga_
+For More Information Booking K2GA:
Contact:Kapastareal@gmail.com
©2020 Kings Music Records.All rights reserved.
#K2ga #Hawataki - Hudba
Daaaah jamaaa jiniazzzzz isee nipeni like za K2ga hapa team kibaaa kingsmusicforlife🔥🔥
Naomba like jamani KINGS MUSIC HAPA
T
Am a top
YAREDI CHIKO oooh my god....!!!! Wow
Kings
@@wilondjaatumbulu9266 yes we are here for the better
Kama mmegundua Ngoma za Karim 2ga Zinasikilizwa zaidi CZcams baada ya Kigagula Kutuondolea takataka pale ufalmeni 👑 💪 🔥
hhh yap
K2GA, Wewe unaitwa Kareem, uendelee kuwa Kareem kweli, usije ukawafuata wale machoko, walipumbazwa na KISIMI CHA DIVA.
wazee wote wamepita mle, km ni njia basi hata majani hayawezi kuota mle!..... TEAM KIBA WOTE WAPO KWA AJILI YA KUKUPA SUPPORT ILI UFIKE MBALI MZEE MWENZANGU.
TEAM GONGENI LIKES HAPO. ZIFIKE 1MIL.
Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views
Hakika yaaaan
😅😅😅😅😅😅😅 munguuu anakuona
Haaaaahaaahaha
Big up
Siku zote mtoto aliezaliwa kwenye ufalme, hata yeye pia ni mfalme.
#Kingsmusicforever
Kama nawe unamkubali #K2ga
Acha likes 100+
K2ga
K2g pumbavuuu nyimbo inaisha wakati mi bado natamani kusikiriza utam inaisha Kama ndo inaanza weweeee 😍😍😍😍😍😍 hongera Sana umeuaaaaaaaaaaaa
Hahahaha
😂😂😂🤣
JECCA ONLINE yaani hio ndio style yakumpongeza😂😂😂
😂😂😂😂
🙏🙏
Zimebaki 2.7K views Tuu.. tufikishe 1m kwny hki kichupa tunakwama wapi kings fans? Lets watch this hit again and again
Ambao bado tunaendelea kuuangalia leo 18/06/2020 .....gonga like hapa
Hii ngoma Dawa..
Me kichwa kimepona...Kama unakubal gonga like Apa
K2ga wewe ni mtoto Mdogo sasa mbona umefanya balaaa zito hili da Valentin yangu itanyooka 👍👇
😂😂😂amekua Akili lakn
@@godlovegeorge2334 o
@@latifa-zv1li Latifa njoo WhatsApp bas
Wa Congo kutoka marekani 🇨🇩🇨🇬🇺🇸 tupoooo?
#randykinamber
Kama una amini mchizi wa uk(k2ga)ndio star wa pili baada ya king kiba like na kushare twende sawa kwenye views 1millions by Wizkiba
Sana yannnnn hatupingiiiii
@@amonicharles9714 bovine
Kabsa haipingw
All the way from South Africa 🇿🇦 to Tanzania 🇹🇿 just for k2ga Nd king’s music like zenu please
Jamani mi sijawahi kupata like kw team KIBA🤴🤴🤴BONGE LA NGOMA SAUTI SASA💃❤❤❤❤
Nouma huyu dogo
@@seleshaban48 nouma na nusu😘
Halima Sulaimani czcams.com/video/M5mQohSJALs/video.html
Naomba jamani subscribe kwenye youtube channel yng tafadhal
iko pw
Kings music haijawai feli ipo juu miaka buku jero RESPECT KINGS MUSIC, tunasubili kwa hamu isiyo kifani uzinduzi wa studio ya KINGS MUSIC, jamon like kwa king kiba
15 to go k2ga kama k2ga leo tunakuzawadia 1m..☝🎶🎧🎤🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥🎻🎼
Bonge la wimbo .. like nyingi kwa wana dubai
Nikopoa hapa
Zimefika
Kabisa
Kama unaiona kasi ya 5G ile kiba 2020 twende swawaaa kings music likess
Nitafurahi sana nikiona hii ngoma imefikisha 1M 🔥✊🏿🙏🏿
hatimae imefika 1M
@@iserehabibu5641 yes ✅💯🔥
Sasa ipo zaid ya 1m
Tushapita
Yeeeeebaba
Huyu ndo mwana wam falme ata kuwa mfame kama baba yake. Team kiba nipe likes hapa 😍ye baba
Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views
Mapenzi shatashata
Bonge LA ngoma, bonge LA kichupa
K2ga nomaa sana mdogo angu! Mie niko geita now unapigwa mpka magereza na vijijini bush!
Usiwasikize hao wapuuzi, wanakata matawi na mizizi niya yao ni kuharibu penzi🎶🎶
Hawataki niwe na ww hapapend niwe nawe...K2ga mziki mzur brooo good perfomens....💪🏻💪🏻💪🏻
Leo nimekuwa wakwanza weka like hapa tem kiba
Xaizi anaeamini ni mwendo wa jiwe juu ya jiwe tujuane💣💣💥💥💥
k-2ga king music 4life forever
Teamkiba wenzangu ngoma mbili za msanii wetu #K2GA kwasasa zimefikisha laki8nakitu,zimepiga hatuwa kubwa tutashindwaje kumalizia mkia mwezi huu tufike 1M,ikiwemo #Omukwano ya #Tommy nayo pia ilituwawe kwenye nafasi nzuri
kabixa inawezekana
Kwanza nakula kiapo nitaendelea kusaport team Kiba King's music daimaa
King music wrote wanajua
Ngoma kam hii unaweza kuidedicate kwa michepuko yako yooote na.ikaaacept mapenz yako kwao.af haichoshi aseeeeh unaweza ukaiacha ikaplay usik kucha
Safi sana k2ga... Nakubali kazi zako .... Team kiba forever 🌍
Yaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mimi hoiiiiiiiii
Mziki tumeushika sasa
Kaza buti 2ga tuko pamoja sanaaaa ATUZIMI DATA CUZ IT'S SO hadi 1M ifike
pamoja kaka
wameniremove kweny group la k2ga ila siach kuview coz am k2ga funs for really king kiba dam
Pole
Ni moto
Daaaah aiseee yan hawa kings sasa mtauaaaa hil goma k2ga shoooow, like kwa fujoooo
Vzr saaana TEAM langu la nguvu mchizi wa UK
Love me for song you
Ningekuwa na hela ningefanya cover maana nasonga freshi sana na huu wimbo mashaallah. KEnyan
Naachaje kumkubali K2ga🎻 sweet Melodies zipo 𝕶𝖎𝖓𝖌𝖘
Uuuwi dogo anakuja juu kuliko hata King mwenyewe K2ga ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King will always be a 👑 king
Hawataki valentine niwenaye
Fanya kulike kama umeielewa hiyo ngoma @k2ga saluti bro upo vizuri
Filan soomali
hii verse ya pili umekamia sana blaza🙌🏻🙌🏻
Ila hili goma bana duh
Ukiwa na furaha lina ukiwa na stress linaenda.. Kwenye huzuni lajiendeaa...uko singo halikatai ukona mtoto mkali sawaa
K2ga fundiiiiiiiii ,,,like kama unamkubar jamaaa
Melody kaliiii , Kama unakubali gonga like Kama zote
🔥🔥🔥hunawahi kosea bishow Wang like kam we teamkiba
Jamaa naomba nisaidie ivi uyu ki2ga alienda wapi yuko tz kwel
alikuwa Dubai ila amesharudi
Du hiii ngoma mbona hatar saan like jaman kwa wale wapenz wa mzk mzr
Jembe zetu zipongezewe kabisa
Watoto wa king of the world Gonga like zakushato sijawahi kupata 📢📢
One million kwa K2ga
Bado kdg tupike million jaman twende sawa
Hi unajua HII NYIMBO NA VIDEO YAKE NIKALI SANAA NA KWANINI HAIJAINGIA TREANDING Ndio utajua mziki wabongo kama hauna moyo unaweza katatamaa
Katoa mashahiri madhuri mnoo
Really dt u say
True
Hahahaha amabhoko imetrend jamna sijui tunakwama wap
Ndio kabisa
Melody Zimeenda Shule🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Balaa
🔥🔥🔥
dah broo bonge lajimbo yani kings musique saivi natembea kifua mbele
K2ga king 4 life
Jamani nimekuwa wa mwisho leo 😩kama nawewe umerudi hii ngoma 2020gonga like twende Sawa #k_2ga 😍😍😍😍
Gomakali sana aibu
K2ga🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma imeturuya turi big-up sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮oyeeee
Richard Ngendakumana kutoka +257 tujuane
Nakubal mchiz wa UK fire
Fundi tulia Kings my bro, hapo ndio penyewe upo vizuri Sana bro
Bro siichok hii nyimbo hongera sana
Atar k2ga
Kaka,wimbo,mtamu,kinoma,kiukweri
Valentine imesindikizwa na kijana wetu kutoka kings music K2GA ninoma ufalmeni raha tyu
💪
Up coming 👑 king
Love nying kwako k2ga
*Furaha yangu itakuwa juu zaidi siku hii ngoma na ile ya "UNANIONA" zikifikisha Views 1M+* 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Gonga like kama unasubiri hili tukii
xote tutafurai sio wew tu na mda si mrefu zitafika
Zafika si mda mrefu
Kama kawa lazima zifikee
Let's continue to view mwanetu afikie 1 million views
Tuziangile zote
K2ga saut romantic...... Penda sana u.... Baki kings music kijana.... 💕💕
Kweliiii kbsa
Penda Sana lav voic
Hii inafaaa kutumia popote hasa siku kama ya leo .....kings music for life..
afu video queen ni high quality Sana huyu,,, hapo ndo utaamini huyu jamaa yupo serious na mziki,,,, Kwan kuna anyebishaaaa!??
ni Legend huyu kwenye Video Vixen - Nelly Kamwelu
*Views 1M soon*
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tuendelee kucheki kichupa freeeee3eee
K2ga fanya kazi brother utafanikiwa
K2ga nakubali sana king music washa🔥🔥🔥
Kings is for Good Music ....💪✊
It's true ma gys
Team kiba Jaman ndugu ye2... Afike 1 million
Nyingine fanya kweli axe itapendeza#k2g
❤❤❤❤❤❤ kwanza upo peke yako wa mimi
Nadhifu Mohamedi nuu
Weeeeeeeee mchizi wa uk🤗🤗🤗
Nimerudii tenaaa after reaching 1mill..... Let's keep on top
Anyone 2024❤
Hatari Sana hiki kichupa piga kaziiiiii Brother 🙏 🙏🙏 🙏
K2ga King's music worldwide
Gonga like twende sawa
K2ga drop ingine bs bwana
2ipush ifike m1 Kwanza mzee
Uko vzr
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
K2ga nakubali xana 🤩 🎵🎶 🎵 Kings music
Hiii hatakama huelewi kiswahili utaipenda kwa uimbaji huu😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥...music is the universal language.....💪💪
Hawataki nimeirudia mara mia yani jaman kings music tujuane kwenye like hapa
Zabib😴😇😇😇😇😆😆😆
Nice
Wanaweza
Hingomasiyamchezo
Hichupasiyamchezo
Bado nyuzi kidogo tushone M
Speed 🏃🏃🏃🏃🏃
So hot
Hawataki 👑 💪 🔥
Kama kuna U JUX flani hiviiiiiiii au nasikia Mimi tu?
Twendeeeeeee Kings music hamjawahi kuniangusha
Sipati picha kama angemshirikisha jux ingekuwa ni shida
🤣🤣💕💕💕Et ujux
Kweli
Ujux ujugu😆😆😆😆
@Khadija Khadija mambo?
Ngoma Kali Sana , K2ga huu ndio aina ya mziki unaotakiwa kufanya zile zouk achana nazo
Kelvin Emerson Steven Yes Umeongea Kikubwa Sana Mzee Anatakiwa Aimbe rnb
Wallah so NYc song nimegundua Kings music hamna Mambo meng hamtumii nguv nying na mmebalikiwa talent aisee I really love this song wallah ,,
k2ga nawe hatariiiiiiiiii🎹🎹🎹🎹2⃣
Team kiba hatnaga uchoyo na like kabisa.nipen hata 11tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umesema kweli
Sana umetisha
Hawataki lyrics ipo youtube 👉 czcams.com/video/PIPP8PQSDuA/video.html pia naomba SUBSCRIBE channel yangu
Nice
twaha 10 kabisa
kings Kings Kings Kings Kings
✌my val song 🌹🌹🌺
Kwenye mchele ht mawe huwa yapo ila huu ndo mchele wenyew sasa kings music mpk kileleni
This is video of the year
Wimbo safi, hujawahi kukosea K2GA ✔
Noma xana
oyooo gonga like kama unaamin k2ga ndo msanii namba moja ukimtoa kiba
Nakubali
Young king 2ga
Wimbo tamu sana🍭🍇😋🍬🔥🔥🔥🔥
K-2GA 🔥 🔥 unaweza bhan
KingMusic Fo life
Sijutiie moyo wako mi ndo chaguo.......
Naipenda sana hii ngoma dah!!
Kama umelielewa kama mm gonga like mana zooootteeee🔥🔥🔥🔥
Naomba like 100 fasta......
Nyimbo ya kuombea mkopo na uapewa bila libaa nakubaliiii
Twebdeni kwa unaniona tukaishambulie ifike 1m faster
This artist is young legend