MR B2K NAKUTAMBUA SANA NA PIA NATUMIA HEKIMA YAKO PIA KUTUNGA MUZIKI WANGU BIG UPS MY ROLE MODEL B2K MNYAMA MORE LOVE FROM KENYA MY DREAM IN STAR BITES ENTATAINMENT ONE DAY KEEP BOOMING....
ukiendelea na hasira izi mdogo wangu utakuja kua tajiri na mfanyabiasha mkubwa tu kupitia huu mziki wako ila tu usipunguze huu moto zaidi we zidi kuchochea zaid na zaidi hadi wote waambiane 💪
B2k nakuku bali sana adi kwasasa sijachoka kuangalia nakuisikiliza daah iyi nyombo iko km imeimbiwa ajili yangu daaaah kama unaikubali kama mimi gongalike apa kama unaipenda sana
B2k kaka unaenda kuwa mkubwa sana huu mwaka album.yako ya changamoto umetisha sana kaka mungu ukusimamie katika safari yako kaka pambana mpaka mwisho kuna siku wataelewa kwamba una kipaji cha kutisha namuona platnumz mwingine kwako
wale tulio Ludia zaid ya Mara mbili tulike apa
B2k umeniweza aisee, eti nikupe ww wazazi wanateseka walionileta duniani
Hii ngoma Kila siku mpya tu 2023 like
Nimeisubiri Jana ulivyonambia unaiweka usiku hadi nikasema doooouh!! Nikajua ulinizuga,
yaani we ni watafauti una vocal na melody za kipekee kwa kwelii ,ipo siku watakuelewa wacha wapewe promo mda utafika
Moshi kibosho manushi sinde gonga like
daah mshikaji wangu hujawahi kufeli kama unamkubali huyu jombaa piga like twend sawa
b2k hujadanganya maana mdem wakileo wanapenda pesa nasiyo mtuuuu
Bora niwe mshamba wa mapenzi ni wafuraishe wazazi nyumbani....💔💔💔
wote walio unlike ni mang'ombe😂 ila hii nyimbo kali
Mnyama mashallah unasauti ajab from Kenya mko wapi tunacomment wapi hapa wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Hii song was sang for .....me ... bravo katir...
NASUBIRI WA 2024 nipeni like zangu jmn ....please like my comment ili niuangalie tena
MR B2K NAKUTAMBUA SANA NA PIA NATUMIA HEKIMA YAKO PIA KUTUNGA MUZIKI WANGU BIG UPS MY ROLE MODEL B2K MNYAMA MORE LOVE FROM KENYA MY DREAM IN STAR BITES ENTATAINMENT ONE DAY KEEP BOOMING....
ukiendelea na hasira izi mdogo wangu utakuja kua tajiri na mfanyabiasha mkubwa tu kupitia huu mziki wako ila tu usipunguze huu moto zaidi we zidi kuchochea zaid na zaidi hadi wote waambiane 💪
That is my oj we love you from u.s.a 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇾
Mwenye mwingine anapo U.S.A anasikiliza hii......weka like....chris*tz*tz
Mdogo wee star. Ngoma zako kaka ni waya wa umeme. Listening to your music non stop all the way from KENYA.
B2k nakuku bali sana adi kwasasa sijachoka kuangalia nakuisikiliza daah iyi nyombo iko km imeimbiwa ajili yangu daaaah kama unaikubali kama mimi gongalike apa kama unaipenda sana
B2k kaka unaenda kuwa mkubwa sana huu mwaka album.yako ya changamoto umetisha sana kaka mungu ukusimamie katika safari yako kaka pambana mpaka mwisho kuna siku wataelewa kwamba una kipaji cha kutisha namuona platnumz mwingine kwako
Mbaka raha jmn you blessed so much mungu akuzidishie nguvu hongera.