Japokuwa mimi mzaliwa wa Kenya, naukumbuka sana wimbo huu ukichezwa (sijui TBC au Radio Free Africa) kila siku majira ya saa mbili usiku. Baadaye kingepeperushwa kipindi kifupi almaarufu ‘Wosia wa Baba’. Kwa utoto wangu, nilifwatilia sana hotuba za Mwalimu. Ila mzee alikuwa mcheshi ati! Eh Mungu endelea kumpumzisha pema. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Afrika.
kazi nzuri, pia Kuna wimbo wa maombolezo ya Nyerere nautafuta 👇 baandhi mashairi yake Bendera iliyosimikwa ipepe mileleee Kwa nguvu utulivu milele na milele ...... Dada na mdogo msije gombana....
Kazi nzuri hakika wimbo huu ni zawadi na tunu kuu kwa selkali ni mda mwafaka sasa selikali iwakumbuke na kuwaona kwa jicho la tatu waimbaji wanaoutangaza na kuuenzi uasisi wa viongozi wa taifa letu
Nani anautazama huu wimbo baada ya kifo cha rais wetu John Pombe Magufur R I P magufuri tutakukumbuka daima 2021
Mimi apaa
16/12/2021
2022
Mungu hawabariki mkiendelea kuhabudu nasikia nikiwa Nairobi Kenya
Daaah mungu amleze pema peponi
Congratulations kwa mwimbaji wa hii ngoma nzuri yenye hisia kali kabisa🙏
Hakika wimbo ni mzuri sana,,hongera kwa kuutolea video yake
Japokuwa mimi mzaliwa wa Kenya, naukumbuka sana wimbo huu ukichezwa (sijui TBC au Radio Free Africa) kila siku majira ya saa mbili usiku. Baadaye kingepeperushwa kipindi kifupi almaarufu ‘Wosia wa Baba’. Kwa utoto wangu, nilifwatilia sana hotuba za Mwalimu.
Ila mzee alikuwa mcheshi ati!
Eh Mungu endelea kumpumzisha pema. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Afrika.
Alikuwa mharibifu tu huyo, alichofanya kikubwa ni kujitukuza binafsi.
wosia wa baba ilikuakipindi moja wapo wa vipindi wa radio free africa........hotuba za mwalimu nyerere zilikua nzuri sana
Mimi pia nakumbuka kaka
Wosia wa baba radio Tanzania ..tbc taifa
I have been wanting this song dangerously
Safi sana kwa nyimbo hii. Kizalendo zaidi. Pumzikaka kwa amani Mwalimu.
Napenda sana nyimbo hizi, napenda sana na zile za captain komba hatari sana
Hongera sana kwa mtunzi wa nyimbo hii Natamani nikupatie zawadi lkn sina chochote cha kukupatia itoshe kwambia Hongera sana
Kama sio juhudi zako JPM hapa tusingefika😭😭😭rest easy Baba
kazi nzuri, pia
Kuna wimbo wa maombolezo ya Nyerere nautafuta 👇 baandhi mashairi yake
Bendera iliyosimikwa ipepe mileleee
Kwa nguvu utulivu milele na milele
...... Dada na mdogo msije gombana....
Mliimba vizusana mubalikiw😊
Nani kautafuta wimbo huu baada ya interview ya alieimba wimbo huu?
@Pakawa Media hakika inavutia
Mimi hapa
Kazi nzuri hakika wimbo huu ni zawadi na tunu kuu kwa selkali ni mda mwafaka sasa selikali iwakumbuke na kuwaona kwa jicho la tatu waimbaji wanaoutangaza na kuuenzi uasisi wa viongozi wa taifa letu
Hakika
@@sadockkabuko8735 tufahamiane.Mimi ndo mwenye wimbo
Hapo mwanzoni utasikia WOSIA WA BABAAA kanaanza hako kagitaa sasa daah safii sanaa
Wimbo una hisia sana huu, ukiimbwa huwa nafunga macho memories nyingi zina tiririka
Aendeleee kupumzka,,,Kwa Aman.,.BABA WA TAIFA....WATANZANIA,,,,Tunakukmbka sana..MUNGU Akupunguzie Adhabu ya kabul..
Hongera sana rev
pumzika kwa amani babu yangu
Nilikua cmjui asee huyu jamaa nikajua keshazeeka kumbe bado ni mchungaji aliyechangamka kabisaa😂😂😂😂big up mchungajii
Kweli huu wimbo unakumbusah mbali san
Ammen baba wa taifa
Siku hizi bado mnatulia kuimba hivyo hivyo??Mbarikiwe saana
I heard this song about 24yrs ago
Daaaaaaaa mmetisha sana
Mweshimiwa rais kama una usikia huu wimbo naomba upatie zawadi 2020
I love you all my Leaders
2023
Nimemiss magufuli na nyerere ❤💚
💚💚
KAMA Sio juhudi za Nyerere
Baba wa Taifa la Tanzania. Daima tutamenzi Baba yetu wa Taifa la Tanzania.
mungu.akuburiki.sana.baba
Wimbo mzuri kama asali ya nyuki
𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐚𝐬𝐢𝐟𝐢𝐰𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐩𝐚𝐬𝐭𝐨𝐫
seen 08/10/2023 👍👍
nimemuona morrison kama nawew umemuona weka like hapa
Wimbo mtamu sana
Pumzika kwa amani Mwalimu JK Nyerere
TBC WANAUHESHIMU SANA HUU WIMBO
Nimekuja kuona
Tar13/3/2024
😭😭😭
We will remember our father of nation
😔😔😔😔😔
Wimbo ju ina utamu kama asali ya nyuki kweli
dah nchi inavyochezewa hii na nikiangalia ilivyopambaniwa natamani kulia
Haijawahi kupambaniwa, aliyeiharibu ni huyo huyo Nyerere unayedhani aliipambania.
@@sebastianmoshi7200 nifafanulie tafadhali ,kama kuna ukweli hapa maana aliwageuka wote waliompokea kwenye harakati za uhuru
Niko hapa
Jaman huyu mtu aangaliwe vizir
morison
😎
😍
Kweli babisaaaa
Magufuli umetuacha baba
#Sadock tufahamiane#mimi ndo mwenye wimbo.0655/0755 954342
Honger kw kaz nzr ya vizazi na vizazi.....
15-03-2022
India hapo kuna nyimbo Ning kisha subscribe
TUNASUBIRI VIDEO YA WIMBO WA TAIFA SIJUI NAYO ITATOKA LINI!!
Sidhan kama ni hawa waimbaji. Hoja ya kwanza video production iliyo fanyika hatukuwa nayo ya aina hii..
KAMA Sio juhudi za Nyerere
nimemuona morrison kama nawew umemuona weka like hapa