Waliofariki kwenye mafuriko mai mahiu wafikia 60
Vložit
- čas přidán 5. 05. 2024
- Idadi ya watu waliofariki katika mkasa wa mafuriko Mai Mahiu imefikia watu sitini baada ya miili mingine miwili kuondolewa kwenye matope wiki moja tangu maporomoko kutokea.
Kamishna wa kaunti ya Nakuru Loyford Kibaara amesema kuwa watu 23 kati ya 112 waliokuwa hospitalini wanaendelea kutibiwa huku shughuli ya kuwasaidia wakaazi walioathirika ikiendelea. watu 30 bado wanatafutwa huku maafisa wa kijeshi na wale wa Huduma kwa taifa NYS wakiendelea kushirikiana katika shughuli hiyo. Kibaara pia anasema kuwa juhudi zaidi zinafanywa ikiwemo kufuata mkondo wa maji ambao sasa umefikia kilomita sitini kuelekea katika kaunti jirani ya Narok. Ibada ya wafuu inatarajiwa kufanyika siku ya Alhamisi.
Poleni sana
asanteni kwa moyo wenu mkarimu lakini bwana maina jenga usadizi wenu umeleta picha nzuri kama Mungu amewajalia Mavuno saidieni wengine na huu uwe mfano mzuri kwa wengine waige sio kuachia serikali majukumu yote asantum asantum nawapenda nyote wakenya jina Hussein kagesho mombasa🇰🇪🇰🇪✌❤✌❤🇰🇪✌❤🇰🇪✌❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤✌
kaunti yenu saidieni wadhiriwa wengine wakenya kwa jumla
Watu wanakufa kama wadudu wallah may their souls rest in eternal peace 😢
Pia wewe utakufa tu
@@itsTheTruthTeller pia wewe utakufa tu
@@shabbyofficial_ exactly, you can't live forever
@@itsTheTruthTeller yes exactly ..I never said that tho so was wondering why your reply sounded harsh as if I said anything wrong
@@shabbyofficial_ it only sounded harsh in your head bruh. Read my comment again but calmly and you'll see there's no harshness in it. Take care 🍻