Nashukuru sana kwa imani ulionayo ya kama ipo siku utaenda umarekani.shauri langu ni hili usizoee sana mchezo wakumpiga Mmeo maana mtoto asije akaone kama vile kawaida. Umeleavyo mtoto ndivyo akuavyo.
Mwenyezi Mungu awabariki Sana, hii couple uwa inanipa Furaha Sana kama lilivyo Jina la mkeo. Mungu awarahisishiye mambo yenu. Nanyinyi vivunja moyo Mungu awatembele
I think your wife she is right because when you are in Africa visiting its because her and your daughter so, if you're working on movie and you can't spend time with family that's not good. so you did good to listen her. maybe if she will say you keep working on movie it's you to know how you will spend time with family and time for movie. it's about you two to sit down and discuss about
Mbone uruma saana uyu dada ni mupole Kabisa, uyu kaka hana uruma kweli kila siku kukuya Kumuona izo pesa siaweke ajikaze abebe uyu dada anawaza kuko maisha yenye uyu dada iko nayo ya fur aha na angali mutoto mudogo ,
Akuna kazi uko nakuya fanya ya kushinda Bibi yako na mutoto Una muachiyaka nini tangiya Uli muowa na uko na famille yako amuwezi Changa pesa uyu dada murembo aende muishi pamoya famille yako aina upendo kabisa ,wala uyu dada ana furahiya iyi maisha.
Sifa ubebe uyu dada acha kuuzi watu aiko zamu yako acha masafari zako azidaidiye uyu dada una kuya kufuatisha uyu mutoto tu kisha mambo ikawiye tena onesha bwanaume yako wezako wana owaka na mwaka aiwezi isha na Bibi ana mukuta weye ni Ma Safari tu na masifa ya Kucheza Film kweli kaka oneya uyu dada uruma .
Jambo dada yangu nimesoma vizuri maoni yako Kifupi nikwamba video ihi inajieleza ukiifwatilia vizuri maana nimeyaeleza mwishoni mwa video kifupi Tuombeane uzima tu dada Yangu Akuna jambo linalo mshinda Mungu panapo huzima Asante!!
Kuleta mwanmke wako inabidi wewe uwe namakaratasi yakuwa mwanainchi wa marekani Kama bwana ake Hana makatatasi hawezi kumureta inabidi Mme wake yeye awe American citizen
Karibu kaka rajabu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤👪👪👪👪👪👪👪👪👪👪💑💑💑💑💑💑💑
Mama Regina na Baba Regina mnaendana sana good family 🤗🤗❤❤
Ongera kwakumsikiliza mkeo mungu awabariki
Hadi raha kweli, 😇😇😇😇 Mubarikiwe wapendwa.
Nashukuru sana kwa imani ulionayo ya kama ipo siku utaenda umarekani.shauri langu ni hili usizoee sana mchezo wakumpiga Mmeo maana mtoto asije akaone kama vile kawaida. Umeleavyo mtoto ndivyo akuavyo.
Mwenyezi Mungu awabariki Sana, hii couple uwa inanipa Furaha Sana kama lilivyo Jina la mkeo. Mungu awarahisishiye mambo yenu. Nanyinyi vivunja moyo Mungu awatembele
Masifa ya safari ya tano
Good job family
Mtoto amekuwa big sister 😘😘
I think your wife she is right because when you are in Africa visiting its because her and your daughter so, if you're working on movie and you can't spend time with family that's not good. so you did good to listen her.
maybe if she will say you keep working on movie it's you to know how you will spend time with family and time for movie. it's about you two to sit down and discuss about
Thanks so much my daughter regina for your advice...!!
@@rajabummeoramsey U are welcome baba I am glad I could share some of opinions 😀
Nice content
Mbone uruma saana uyu dada ni mupole Kabisa, uyu kaka hana uruma kweli kila siku kukuya Kumuona izo pesa siaweke ajikaze abebe uyu dada anawaza kuko maisha yenye uyu dada iko nayo ya fur aha na angali mutoto mudogo ,
Jamni msilaumu huwenda anapenda kumchukua ila kuna vitu vilivyo nje ya uwezo wake
Nawapenda Sana 😍 nawagali kutoka Tanzania dar es salaam
Wow twakupenda pia
Nice family ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Good travel
Nawa penda hawa watu sana 🙏🙏❤️
Twakupenda pia
Akuna kazi uko nakuya fanya ya kushinda Bibi yako na mutoto Una muachiyaka nini tangiya Uli muowa na uko na famille yako amuwezi Changa pesa uyu dada murembo aende muishi pamoya famille yako aina upendo kabisa ,wala uyu dada ana furahiya iyi maisha.
Good family 👪❤
Happy family God bless you
I really miss her so much ❤️😍❤️😍❤️😍❤️❤️😉☺️☺️☺️
😂😂😂 Ruhusa imesha shindikana just vumilia tu😂
Good job family 🙏🙏
Okay 👍
Tim🙏🙏💥
Sifa ubebe uyu dada acha kuuzi watu aiko zamu yako acha masafari zako azidaidiye uyu dada una kuya kufuatisha uyu mutoto tu kisha mambo ikawiye tena onesha bwanaume yako wezako wana owaka na mwaka aiwezi isha na Bibi ana mukuta weye ni Ma Safari tu na masifa ya Kucheza Film kweli kaka oneya uyu dada uruma .
Jambo dada yangu nimesoma vizuri maoni yako
Kifupi nikwamba video ihi inajieleza ukiifwatilia vizuri maana nimeyaeleza mwishoni mwa video kifupi
Tuombeane uzima tu dada Yangu Akuna jambo linalo mshinda Mungu panapo huzima Asante!!
@@rajabummeoramsey Amina Mungu atatenda uchukuwe familia yako
Kaka unachonga
Kuleta mwanmke wako inabidi wewe uwe namakaratasi yakuwa mwanainchi wa marekani Kama bwana ake Hana makatatasi hawezi kumureta inabidi Mme wake yeye awe American citizen
Utatowa movie au unahenda kuangaliya family yako tu??