Tatizo la ajira za madaktari zaendelea kuwa mfupa mgumu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Tatizo la ajira za madaktari limeendelea kuwa mfupa mgumu kutokana na takwimu kuonesha madaktari waliohitimu na kuwa na sifa za kuajiriwa na kusota mitaani kuwa kati ya 3000 hadi 5000.
    Hatua hiyo imesababisha baadhi ya wahitimu wa udaktari kugeukia shughuli nyingine wakiendelea kusubiri ajira mpya zilizotangazwa na Serikali katika mwaka wa fedha 2024/25.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře •