Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏arakini mimi nashàngaa sana kwajuu izo ni ndoto zangu myaka mingi kbs!kuanzia swali la pili mpaka saba hivi !!!sijui nitashinda mwenyewe😭
Barkiwa sana mtumishi wa Mungu nimeota sana mazingira ya nyumbani kwetu kijijini sasa umenipa ufamu npita kwenye hali mbaya ya uchumi na magonjwa namba msaada wako
Amen amen mwalimu Ubarikiwe sana kwa ufunuo juu ya ndoto hizi. Tungependa pia tupate elimu ya kiroho jinsi ya kuziombea maana hizi ndoto huwa zinajirudiarudia na haswa pale tu unapotaka kuinuka kimaisha na ukishaona hivyo mambo hayaendi.
Amina mtumishi ni jinsi gani nitashinda upinzani huu maana mimi naota mara nyingi nipo kwenye mtihani ha sijui kitu cha kuandika hadi mda unaisha nikitafuta msaada kwa mwenzangu anisaidie nahamishwa position...yaani hii ndoto inanisumbua sana
Mi naotaga nikiwa nimerudi shule na hili ndota hua inajirudia mara kwa mara jana nikaota darasa la nne mtumishi wa Mungu nisaidiwe kuifanya ina maana gani
Nimeshukuru mtumishi naomba niulize swali aki na nimesumbuliwa sana na hii ndoto unaona ati unaogelea Kwa maji mingi yaani baharini inamaanisha Nini jani
Mimi nimekuwa naota ndoto za shule ya secondary takribani miezi mitatu now , nakuwa kama nafundishwa na wenzangu, na walimu wale wale niliokuwa nawafahamu, mda mwingine tunakuwa , kama kwenye michezo na wenzangu, mda mwingine nikikosea au kujibu vibaya naadhibiwa , nimekuwa naomba kukataa hiyoo hali lakin Bado na sielewi maana zake ni nn
Mi Leo tarehe 21 nimeona niposhuleni ninafanya mtihani nikawa ninajaza majibu lkn nikakutana na swali gumu Kuna rafiki yangu akanisaidia hlf mwalimu akatuona namimi nikagundua kuwa ametuona lkn rafiki yangu yeye hakugundua kuwa mwalimu ameona mwalimu hakusema chochote alipoona lkn alishangaa tu
Nimeota ndoto kuwa nipo shule ya bording na nimefika nikakosa kitanda lakini wenzangu woote wamepata. Na nilipoingia bafuni hapo shuleni nikakosa ata sehemu ya kusimama kuoga maana waloshajaa na hakuna anayenipa msaada. Nisaidie kuitafsiri baba
Mimi naona nkufanya mtihani lakn simalizi wenzangu wote wanamaliza mimi nabaki hivyo hadi niamke. Nikweli kuwa mimi kila ninachoanzisha haliwi kabisa mahusiano, biashara vyote haviendi
Ubarikiwe sana ,na ukiota unapigwa na mamamkwe mawe katikati ya utosi, na msichana uiomjua akitaka kukata panga na Askari wanakuja wanawafukuza inamaanisha Nini?
Hii ndoto nimeota ninafanya mtihani nimejibu maswali yote na Niko swali la 46 swali la 45 inaonekana jibu la hesabu nakumbuka ila nimesahau na msimamizi anadai muda unakaribia kuisha na moyoni napambana kumaliza japo wengi walirukaruka kujibu maswali nikaamuka
Nimeingia darasani,nikaanza kufundisha,nikakuta darasani Kuna neno limeandikwa,neno Hilo ndiyo nikalitumia kuuliza swali,mwanafunzi wa Kike akawa amenijibu,na jibu la swali sio sahihi,ni nini tafsiri ya ndoto hii?
Baba, mimi ni mama nina watoto, lakini nimeota muda kidogo ndoto imejirudia sana, nimeenda shule na hapo ni mwezi wa 12 yaani wakufunga shule, nikashanhaa sasa nimekuja kumbe kuna mtihani, halafu mwaka mzima sijaonekana shule, sielewi hata cha kujaza,
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏arakini mimi nashàngaa sana kwajuu izo ni ndoto zangu myaka mingi kbs!kuanzia swali la pili mpaka saba hivi !!!sijui nitashinda mwenyewe😭
Ni juzi tu nimeota nimefaulu mtihani kwa alama za juu...Eee Mwenyezi Mungu nakuomba Neema zako zikatawale kwenye hili🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi. Leo nimepata majibu ya maswali yaliyo kua yananisumbua muda mrefu sana
Barkiwa sana mtumishi wa Mungu nimeota sana mazingira ya nyumbani kwetu kijijini sasa umenipa ufamu npita kwenye hali mbaya ya uchumi na magonjwa namba msaada wako
Amina
mimi naota niko shule ya msingi darasani tunaandika lakini mm siwezi kuandika ina maana gani
Asante mtukufu kwa elimu yak mungu akupe nehema zaidi
Amen amen mwalimu Ubarikiwe sana kwa ufunuo juu ya ndoto hizi.
Tungependa pia tupate elimu ya kiroho jinsi ya kuziombea maana hizi ndoto huwa zinajirudiarudia na haswa pale tu unapotaka kuinuka kimaisha na ukishaona hivyo mambo hayaendi.
Amina mtumishi ni jinsi gani nitashinda upinzani huu maana mimi naota mara nyingi nipo kwenye mtihani ha sijui kitu cha kuandika hadi mda unaisha nikitafuta msaada kwa mwenzangu anisaidie nahamishwa position...yaani hii ndoto inanisumbua sana
Na je, ukiota unaenda shule but njiani nilikutana na kijana akataka tupigane sasa sikuendelea na safari yangu ya kwenda shule
Mi naotaga nikiwa nimerudi shule na hili ndota hua inajirudia mara kwa mara jana nikaota darasa la nne mtumishi wa Mungu nisaidiwe kuifanya ina maana gani
Nimeshukuru mtumishi naomba niulize swali aki na nimesumbuliwa sana na hii ndoto unaona ati unaogelea Kwa maji mingi yaani baharini inamaanisha Nini jani
Unafaa uombe sana juu ii humaanisha kifo
Mimi nimekuwa naota ndoto za shule ya secondary takribani miezi mitatu now , nakuwa kama nafundishwa na wenzangu, na walimu wale wale niliokuwa nawafahamu, mda mwingine tunakuwa , kama kwenye michezo na wenzangu, mda mwingine nikikosea au kujibu vibaya naadhibiwa , nimekuwa naomba kukataa hiyoo hali lakin Bado na sielewi maana zake ni nn
Ameen
je ukiota unaendesha gar hii ni ndoto inamaana gan
Mi Leo tarehe 21 nimeona niposhuleni ninafanya mtihani nikawa ninajaza majibu lkn nikakutana na swali gumu Kuna rafiki yangu akanisaidia hlf mwalimu akatuona namimi nikagundua kuwa ametuona lkn rafiki yangu yeye hakugundua kuwa mwalimu ameona mwalimu hakusema chochote alipoona lkn alishangaa tu
Nimeota ndoto kuwa nipo shule ya bording na nimefika nikakosa kitanda lakini wenzangu woote wamepata. Na nilipoingia bafuni hapo shuleni nikakosa ata sehemu ya kusimama kuoga maana waloshajaa na hakuna anayenipa msaada. Nisaidie kuitafsiri baba
Asant mtumishi
Niliota ndoto mke wa mdogo wangu akiambiwa kuwa hata pata mimba wala uchachu uchachu wa mimba maana yake nini
Asantente sana mchungaji umenifumbua macho
Mimi naona nkufanya mtihani lakn simalizi wenzangu wote wanamaliza mimi nabaki hivyo hadi niamke. Nikweli kuwa mimi kila ninachoanzisha haliwi kabisa mahusiano, biashara vyote haviendi
nko Saudi Arabia,nimeota nko kwenye chumba Cha mtihan lkn sijafanya ule mtihan inamana Gani hio
Jana tarehe 20 niliota ndoto nikiondoka kwangu nilivyokuja kurudi nikakuta rafiki yangu amebeba mimba ya mume wangu
Kama unafanya mtihani na hukumaliza na majibu hujui na unasaidiwa na msimamiz inamaana ganii
Ubarikiwe sana ,na ukiota unapigwa na mamamkwe mawe katikati ya utosi, na msichana uiomjua akitaka kukata panga na Askari wanakuja wanawafukuza inamaanisha Nini?
OMBEA NDOA YAKO MPENDWA
Niliwahi kuota nimefanya mtihani nimepata maksi za kulizisha kdg wastan wa alama hz B,B ,C ,C na nilikuwa na furaha sana
Hii ndoto nimeota ninafanya mtihani nimejibu maswali yote na Niko swali la 46 swali la 45 inaonekana jibu la hesabu nakumbuka ila nimesahau na msimamizi anadai muda unakaribia kuisha na moyoni napambana kumaliza japo wengi walirukaruka kujibu maswali nikaamuka
Mtumishi mie kunandoto hii ya kuota mwanangu àmepotea mwanangu wa kike inanisumbua pia nifanyeje kuikataa hii roho isitimie nisaidie
Nimeingia darasani,nikaanza kufundisha,nikakuta darasani Kuna neno limeandikwa,neno Hilo ndiyo nikalitumia kuuliza swali,mwanafunzi wa Kike akawa amenijibu,na jibu la swali sio sahihi,ni nini tafsiri ya ndoto hii?
Umenigusa kwenye kuangalizia majibu.
Nakutakia mafanikio mema
Na ukiota kinyesi inamaanisha nini
Nikweli mana niziota ndoto za shule sana nasasa naona npo kwenye majaribu
Baba, mimi ni mama nina watoto, lakini nimeota muda kidogo ndoto imejirudia sana, nimeenda shule na hapo ni mwezi wa 12 yaani wakufunga shule, nikashanhaa sasa nimekuja kumbe kuna mtihani, halafu mwaka mzima sijaonekana shule, sielewi hata cha kujaza,
Hiyo ndoto yako ata mm nimeiota sana
Ubarikiwe sana Mtumishi. Leo nimepata majibu ya maswali yaliyo kua yananisumbua muda mrefu sana
Unaota na unafanya mutihan unapata diprom nahaifanane nazawengine inamanishanini??