NDOTO ZA SHULE NA MITIHANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 01. 2022

Komentáře • 40

  • @nyambochristelle7640
    @nyambochristelle7640 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu🙏arakini mimi nashàngaa sana kwajuu izo ni ndoto zangu myaka mingi kbs!kuanzia swali la pili mpaka saba hivi !!!sijui nitashinda mwenyewe😭

  • @neysalal6687
    @neysalal6687 Před rokem

    Ni juzi tu nimeota nimefaulu mtihani kwa alama za juu...Eee Mwenyezi Mungu nakuomba Neema zako zikatawale kwenye hili🙏

  • @merinamillanzi422
    @merinamillanzi422 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi. Leo nimepata majibu ya maswali yaliyo kua yananisumbua muda mrefu sana

  • @EllyKimaro-wu9zn
    @EllyKimaro-wu9zn Před rokem

    Barkiwa sana mtumishi wa Mungu nimeota sana mazingira ya nyumbani kwetu kijijini sasa umenipa ufamu npita kwenye hali mbaya ya uchumi na magonjwa namba msaada wako

  • @gladyvictor9094
    @gladyvictor9094 Před 2 lety +2

    Amina

  • @DnieyPite
    @DnieyPite Před měsícem

    mimi naota niko shule ya msingi darasani tunaandika lakini mm siwezi kuandika ina maana gani

  • @abuupanther4470
    @abuupanther4470 Před rokem

    Asante mtukufu kwa elimu yak mungu akupe nehema zaidi

  • @wokovuakarow4909
    @wokovuakarow4909 Před rokem

    Amen amen mwalimu Ubarikiwe sana kwa ufunuo juu ya ndoto hizi.
    Tungependa pia tupate elimu ya kiroho jinsi ya kuziombea maana hizi ndoto huwa zinajirudiarudia na haswa pale tu unapotaka kuinuka kimaisha na ukishaona hivyo mambo hayaendi.

    • @saicaglory6834
      @saicaglory6834 Před rokem +1

      Amina mtumishi ni jinsi gani nitashinda upinzani huu maana mimi naota mara nyingi nipo kwenye mtihani ha sijui kitu cha kuandika hadi mda unaisha nikitafuta msaada kwa mwenzangu anisaidie nahamishwa position...yaani hii ndoto inanisumbua sana

  • @brendaandati3595
    @brendaandati3595 Před 2 lety +2

    Na je, ukiota unaenda shule but njiani nilikutana na kijana akataka tupigane sasa sikuendelea na safari yangu ya kwenda shule

  • @lucywangeci8391
    @lucywangeci8391 Před rokem +2

    Mi naotaga nikiwa nimerudi shule na hili ndota hua inajirudia mara kwa mara jana nikaota darasa la nne mtumishi wa Mungu nisaidiwe kuifanya ina maana gani

  • @nancyonderi893
    @nancyonderi893 Před 2 lety +2

    Nimeshukuru mtumishi naomba niulize swali aki na nimesumbuliwa sana na hii ndoto unaona ati unaogelea Kwa maji mingi yaani baharini inamaanisha Nini jani

    • @ivyxhiku5627
      @ivyxhiku5627 Před rokem +1

      Unafaa uombe sana juu ii humaanisha kifo

  • @marykomba4964
    @marykomba4964 Před 2 lety +1

    Mimi nimekuwa naota ndoto za shule ya secondary takribani miezi mitatu now , nakuwa kama nafundishwa na wenzangu, na walimu wale wale niliokuwa nawafahamu, mda mwingine tunakuwa , kama kwenye michezo na wenzangu, mda mwingine nikikosea au kujibu vibaya naadhibiwa , nimekuwa naomba kukataa hiyoo hali lakin Bado na sielewi maana zake ni nn

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 Před rokem

    Ameen

  • @happinessmkambeni8203
    @happinessmkambeni8203 Před 2 lety +2

    je ukiota unaendesha gar hii ni ndoto inamaana gan

  • @neemaelias626
    @neemaelias626 Před 2 lety +1

    Mi Leo tarehe 21 nimeona niposhuleni ninafanya mtihani nikawa ninajaza majibu lkn nikakutana na swali gumu Kuna rafiki yangu akanisaidia hlf mwalimu akatuona namimi nikagundua kuwa ametuona lkn rafiki yangu yeye hakugundua kuwa mwalimu ameona mwalimu hakusema chochote alipoona lkn alishangaa tu

  • @judithamanzi5528
    @judithamanzi5528 Před 2 lety +1

    Nimeota ndoto kuwa nipo shule ya bording na nimefika nikakosa kitanda lakini wenzangu woote wamepata. Na nilipoingia bafuni hapo shuleni nikakosa ata sehemu ya kusimama kuoga maana waloshajaa na hakuna anayenipa msaada. Nisaidie kuitafsiri baba

  • @magrethlwiva6420
    @magrethlwiva6420 Před 2 lety +1

    Asant mtumishi

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 Před 2 lety +1

    Niliota ndoto mke wa mdogo wangu akiambiwa kuwa hata pata mimba wala uchachu uchachu wa mimba maana yake nini

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas6434 Před 2 lety

    Asantente sana mchungaji umenifumbua macho

  • @user-xc3ik1hu3q
    @user-xc3ik1hu3q Před 5 měsíci

    Mimi naona nkufanya mtihani lakn simalizi wenzangu wote wanamaliza mimi nabaki hivyo hadi niamke. Nikweli kuwa mimi kila ninachoanzisha haliwi kabisa mahusiano, biashara vyote haviendi

  • @rebeccakadzo8057
    @rebeccakadzo8057 Před rokem

    nko Saudi Arabia,nimeota nko kwenye chumba Cha mtihan lkn sijafanya ule mtihan inamana Gani hio

  • @neemaelias626
    @neemaelias626 Před 2 lety

    Jana tarehe 20 niliota ndoto nikiondoka kwangu nilivyokuja kurudi nikakuta rafiki yangu amebeba mimba ya mume wangu

  • @hildageorge1781
    @hildageorge1781 Před rokem +1

    Kama unafanya mtihani na hukumaliza na majibu hujui na unasaidiwa na msimamiz inamaana ganii

  • @namalwagaudencia5637
    @namalwagaudencia5637 Před rokem

    Ubarikiwe sana ,na ukiota unapigwa na mamamkwe mawe katikati ya utosi, na msichana uiomjua akitaka kukata panga na Askari wanakuja wanawafukuza inamaanisha Nini?

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu7446 Před rokem

    Niliwahi kuota nimefanya mtihani nimepata maksi za kulizisha kdg wastan wa alama hz B,B ,C ,C na nilikuwa na furaha sana

  • @marycianakimamle7577
    @marycianakimamle7577 Před rokem

    Hii ndoto nimeota ninafanya mtihani nimejibu maswali yote na Niko swali la 46 swali la 45 inaonekana jibu la hesabu nakumbuka ila nimesahau na msimamizi anadai muda unakaribia kuisha na moyoni napambana kumaliza japo wengi walirukaruka kujibu maswali nikaamuka

  • @marycianakimamle7577
    @marycianakimamle7577 Před rokem

    Mtumishi mie kunandoto hii ya kuota mwanangu àmepotea mwanangu wa kike inanisumbua pia nifanyeje kuikataa hii roho isitimie nisaidie

  • @user-ko7pq1tv2k
    @user-ko7pq1tv2k Před měsícem

    Nimeingia darasani,nikaanza kufundisha,nikakuta darasani Kuna neno limeandikwa,neno Hilo ndiyo nikalitumia kuuliza swali,mwanafunzi wa Kike akawa amenijibu,na jibu la swali sio sahihi,ni nini tafsiri ya ndoto hii?

  • @dorisilukinja4507
    @dorisilukinja4507 Před rokem

    Umenigusa kwenye kuangalizia majibu.

  • @KizaConstantino-cq2vz
    @KizaConstantino-cq2vz Před 2 měsíci

    Nakutakia mafanikio mema

  • @fridaboniface4326
    @fridaboniface4326 Před rokem

    Na ukiota kinyesi inamaanisha nini

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 Před 2 lety +2

    Nikweli mana niziota ndoto za shule sana nasasa naona npo kwenye majaribu

  • @emilygodda8755
    @emilygodda8755 Před 2 lety +1

    Baba, mimi ni mama nina watoto, lakini nimeota muda kidogo ndoto imejirudia sana, nimeenda shule na hapo ni mwezi wa 12 yaani wakufunga shule, nikashanhaa sasa nimekuja kumbe kuna mtihani, halafu mwaka mzima sijaonekana shule, sielewi hata cha kujaza,

  • @merinamillanzi422
    @merinamillanzi422 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi. Leo nimepata majibu ya maswali yaliyo kua yananisumbua muda mrefu sana

    • @mukadiforoadera3250
      @mukadiforoadera3250 Před 2 lety +1

      Unaota na unafanya mutihan unapata diprom nahaifanane nazawengine inamanishanini??