KILICHOMKUTA MAKONDA BAADA YA KUKATAA KUOMBA MSAMAHA KWA WACHAGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 434

  • @honesternanyaro2106
    @honesternanyaro2106 Před 5 lety +11

    Dr Bashiru is not only intelligent but also clever

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 5 lety +3

    That was humble in the part of Makonda. God bless you sir..the up and coming president of Tanzania!!!

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 Před 5 lety

    No hug whatsoever!! This is good to see people taking out what's in their hearts for a good will. Tutakuenzi Dr. Reginardi daima, upimzike kwa amani

  • @deodatieugeni624
    @deodatieugeni624 Před 5 lety

    asante katibu B. Ally, busara yako ndio msingi wa ujenzi wa ccm mpya. asante Mwenyekiti F. Mbowe kwa kutokuwa mnafiki, lingepoa lingepita bila kukemewa. asante Askofu Shoo, kazi yako ya upatanishi tumeiona japo imeonyeshwa dharau umetimiza wajibu wako. R. I. P doctor Mengi. tukukumbuku daima.

  • @mathewlive77
    @mathewlive77 Před 5 lety +6

    Watu walisahau kwamba wapo msibani, shangwe na vigelegele kama vyote. Asante Mungu mana umewasamehe wote katika jina la Yesu .

  • @petrosanga1366
    @petrosanga1366 Před 5 lety +1

    Mimi pia nampenda sana makonda hasa kwa sababu kazi nzuri anayofanya.ulimi hauna mfupa wote tumekutana kumuaga KAMANDA wa vita 'mzee wa I must' tumsamehe bure

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Před 5 lety

    Ni kweli kamsifia mchaga hajakosea, be strong Makonda hujakosea ni tafsiri zao zimekwenda mbali ndio maana, kama unavyosema, Zidi kumuenzi mzee wetu, Allah amrehemu

  • @stevelayda8555
    @stevelayda8555 Před 5 lety +10

    Kwa Mara ya kwanza leo nimeipenda kauli ya kiongozi ccm. Bashiru uko juu kweli we ni msomi.

  • @starmpogoro8044
    @starmpogoro8044 Před 5 lety +31

    Nyie Nikwer wabinafsi Tunawajua Minidreva tunawaona kwenye kampany Wakiwa wachaga kwenye kampany Kuingia kabila lingine Nishida Sana

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde1275 Před 5 lety +1

    Kweli nimeamini ni Mungu pekee ndio anajua yaliyomo mioni mwetu coz cdhani kama Mh. Makonda alikuwa na nia mbaya yakuongea vile ila fikra na mitazamo tu ya watu Ndio imemtafsiri vibaya jamani, binafsi yangu namkubali sana Mh. Makonda na namuona kama kiongozi wa zawadi kwa Tz ila wengi wa watanzania hawalitambui hilo, I love u, I respect u and I salute u Sir √

    • @chachamagoti2400
      @chachamagoti2400 Před 5 lety

      Hassan Kihonde We ndo uliku myoni mwake au we n mwerevu kuzd wtz ambao hawakupendezwa nayo.

    • @hassankihonde1275
      @hassankihonde1275 Před 5 lety

      @@chachamagoti2400 uzuri ni kwamba nipo chanya zaidi na ndio maana nimemuelewa kwa upande chanja na hasi kama wengine,

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    Dr. Bashiru himself msomi wa kweli na ukweli umemukuweka huru nakupenda sana mpenda haki wakati fulani. Makonda unyenyekevu ndio mtaji wewe sio malaika. We love you.

  • @georgemhalla3515
    @georgemhalla3515 Před 5 lety +7

    Iko hivi wachaga weng no mabahiri thus huwa wanafanikiwa Sana , ndomana makondo alichosema, kwamaba anashangaa kumuona mchaga anasaidia masikini!!! BT ala in all ,makonda me namuona alikua sahihi! Wala hakumaanisha kama vile mbole alivyokua amemaanisha!!! Tukutane 2020!!!!

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 Před 5 lety +4

    Wachaga wabahili kweli na mchungaji wao pia ni mchaga ndio maana kawaka 😂😂😂

  • @alexbaynet3426
    @alexbaynet3426 Před 5 lety

    Hiyo ndo kazi ya kanisa. Pia nafurahi sana kumwona mwalimu wangu wa lugha ya alama akitafsiri kwa lugha ya alama mwalimu Protas Mwalongo

  • @yohanakidugala1332
    @yohanakidugala1332 Před 5 lety +5

    Asante saana Katibu mkuu CCM.... upo vzr saana Ongera saana

  • @rajabumlawa6209
    @rajabumlawa6209 Před 5 lety +15

    Nimekuelewa sanaaa katibu mkuu dr bashiru ally

    • @vicentjoshua7507
      @vicentjoshua7507 Před 5 lety

      Kwanini kwenye misiba wanasiasa na wasanii ni shida

    • @rajabumlawa6209
      @rajabumlawa6209 Před 5 lety +1

      @@vicentjoshua7507 yan cjui wapi tunafeli maana ule ni msiba mbowe alipaswa aliseme tatizo nje ya msiba

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 Před 5 lety +13

    HIZO NI ROHO YAKO MBAYA KWA MAKONDA MM NI MLEMAVU NI KWELI HAKUNA KAMA MENGI HAIJAWAHI KUTOKEA KWANI NI UONGO

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 Před 5 lety

      Unatamani kila anaekuja kukusaidia awe anajitambulisha kabila lake mnaongea ujinga ndio maana Mungu analipa kwa njia yake embu nitajie mkabila mwingine unayemjua anakusaidia kila siku kama sio muumba wako ulimi unatuponza watanzania

    • @gadsentz6519
      @gadsentz6519 Před 5 lety

      Scay Road alishawah kukusaidia uyo mengiii ? zaid yakumsikia kwenyenredio

  • @andrewmwita119
    @andrewmwita119 Před 5 lety +1

    Duh Jamaa anakiburi yani alikuwa anataka kukataa kwenda kuomba msamahani tena msibani na kanisani!!!!!

  • @justinemathiasngwandu7715

    Asikofu na bashilu mnalenu Jambo siyo bure, nikipi ambacho Makonda alikisema kibaya? Asante Makonda kwa hekima.

    • @aminabakari3799
      @aminabakari3799 Před 5 lety

      Alivyosema mengi kasaidia walemavu na watu maskini utazani yeye so mchaga, kasema mchaga kutoa pesa yake kwakumsaidia mtu ni ngumu,

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 Před 5 lety +1

    Mungu akubariki Sana Askofu Shoo,hakika Mungu azidi kukutunza Baba,hiyo ndio kazi Bwana Yesu alikuja kufanya Hapa Duniani UPATANISHO!!!!!

    • @imanuelmtui6619
      @imanuelmtui6619 Před 5 lety

      Sioni makonda alipo kesea tuache siasa za kijinga mbowe hatukuelewi

  • @elieshishamy9902
    @elieshishamy9902 Před 5 lety +4

    Kirikuu!!! Chokoza nyuki ukule asali

  • @gidionmlwae3282
    @gidionmlwae3282 Před 5 lety +1

    Bashiru aliingizwa chaka mbowe yupo kisiasa ameona amemkomesha makonda hahahaha makonda alikua sahihi

  • @seifmwinshee3593
    @seifmwinshee3593 Před 5 lety

    Makonda ajakosea sema mnapenda kukuza maneno.wachaga nao tatizo kama mengi ni wachache sana

  • @amariaelieneza1854
    @amariaelieneza1854 Před 5 lety

    Nimekuwa nikifuatilia speech za huyu kiongozi. Mara nyingi amekua akikosa mtiririko wa mawazo mazuri mwishowe kuwakwaza watu. Awe anaandaliwa speech

  • @danielmgogo6484
    @danielmgogo6484 Před 5 lety +5

    MAKONDA UMEOMBA MSAMAHAA TU WAKATI ULISEMA UKWELI UMEWAGUSA SAAANA NA KATIBU MKUU WA CHAMA ANACHUKI BINAFSI NA MAKONDA MAANA ALIUTAKA UKUU WA MKOA WA DAR NDIO MAANA AMEANZA KWA KUMSHAMBULIA MAKONDA HADHARANI AMEONYESHA CHUKI ZAKE WAAZI

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 Před 5 lety +43

    Makonda kaongea points Sana,amesema nimemsfia mchaga katikati ya wachaga that's point hakuna shida n wivu tu🤣🤣🤣🤣

    • @malasimuhidin9510
      @malasimuhidin9510 Před 5 lety +7

      Kaka pale hakuna mchaga pekee. Kuna viongozi na makabila tofauti yanayoishi huko MOSHI na Arusha. Bado tunahitaji viongozi waliofundwa kama Dr. Bashiru alivyosema

    • @twahashekimweri3024
      @twahashekimweri3024 Před 5 lety

      Angemuita tu. Na sio kuumbuana. Busara itumike

    • @twahashekimweri3024
      @twahashekimweri3024 Před 5 lety

      Alafu bora wangeongea ayo mambo baada ya maziko. Mbowe nae hana busara

    • @hamisikabwe3980
      @hamisikabwe3980 Před 5 lety +1

      Umemsifia mchaga kati ya watu wote Makonda kuwa mkweli na ukubali kukosolewa,hapo walikuwepo watu wengi na hata vyombo vya habari viliipeleka sauti yako mbali dunia nzima,hivyo hukustahili kuongea vile.

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 Před 5 lety

      Yp

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 Před 5 lety +25

    Kama ungemsifia msukuma kisha ukawaponda wachaga hapo lingekuwa kosa....lkn umemsifu.mchaga na ukawataka wachaga wengine wawe kama doctor mengi....ukweli siku zote unauma

    • @ikupamwaisoba7379
      @ikupamwaisoba7379 Před 5 lety

      Umeona eee yaani ni shida hizo ni siasa tu lkn amewakomesha sana tafsiri mbaya yao

    • @tikokibila7220
      @tikokibila7220 Před 5 lety

      Nyinyi mamaku acheni ushabiki jamanii.

  • @chrissimbeye208
    @chrissimbeye208 Před 5 lety +22

    Mbowe ni mchonganishi sana makonda yupo sahihi nikweli wa chaga ni wagumu sana hawawez kujitoa kama alivyo kuwa mzee mengi tunajua wapo wengi sana wachaga wenye pesa lakin wenye moyo wa kusaidia hawapo

    • @jacklinechengula4933
      @jacklinechengula4933 Před 5 lety

      kabisa

    • @simulizizakiroho2674
      @simulizizakiroho2674 Před 5 lety +1

      upuuzi unawaza kwani wachaga tu wenye mali nyingi tanzania mbona wao hawajasaidia walemavu kwa kiasi cha Mengi

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 Před 5 lety

      Chris Simbeye mchanga anasaidia ndugu zake tu

    • @chrispinemallya2420
      @chrispinemallya2420 Před 5 lety

      Kwa taarifa yako wapo wachaga wengi wanaosaidia katika jamii pasipo kujulikana.. Ndio maana sehemu yenye wachaga lazima pana msukumo mkubwa wa maendeleo. Nashindwa kuelewa kwann wachaga wanachukiwa! Wakati wanajitahidi kutoa huduma za kiuchumi zinazobadili maisha ya jamii ya eneo walipo.. Mungu ibariki Tanzania.

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 5 lety

      Kuna mchaga kasema wazi kuwa wagumu kutoa kutokana njia wanazotumia kuipata hiyo pesa
      Nyingi so halali

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 5 lety +8

    Makonda upo sawa hujakosea kitu hapo hao wachaga hawajui kiswahili ndo shida

    • @tibrucemushi1735
      @tibrucemushi1735 Před 5 lety +2

      wewe hata katibu mkuu wa ccm anamwambia ukweli halafu kijambo kama wewe unakurupuka hapa.....

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 5 lety

      @@tibrucemushi1735 we mkundu tulia

    • @angelswaum8435
      @angelswaum8435 Před 5 lety +1

      TIBRUCE MUSHI kwani katibu mkuu ndo nani au ndo mingu sasa

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath4330 Před 5 lety +20

    Kwa mfano kama Makonda asingekuwepo mgeongea nini Makonda kamsifia mchaga katikati ya wachaga

  • @stephenhosea1113
    @stephenhosea1113 Před 5 lety

    Mmemdhalilisha Makonda bure shida ni kwamba mmemtafsiri vibaya maana yake haikuwa kuwakosoa wachaga ama kuwadharau na kuwakejeli kulikuwa hakuna haja ya kumuita mbele huo ni udhalilishaji tu kama tayari mlimtangazia msamaha basi mngemuacha atulie sasa mmeleta siasa na hila zenu juu yake kanisani sio vizuri

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 Před 5 lety +11

    Kiongozi anaNAFASI kubwa na huenda akawa anaruhusiwa kuongelea mada yoyote kutokana na mazingira husika au hata mifano kuhusu sehemu au mtu katika mazingira husika lakini tu kisiwe kitu kiendelevu..hapa Unahitajika uwe na ufahamu mzuri kidogo ili kuweza kuligundua hilo la sivyo utakurupuka kuwasilisha reaction yako. Mfano kama kijiji kina fanya mazuri mengi kiongozi anaweza akasema nawapenda sana watu wa kijiji hiki ni watu wazuri sana.. Lakin haimaanishi kama vijiji vingine anavichukia au anaweza hata akasema watu wa kijiji hiki ni wabaya sana kama kukiwa kuna mambo yasiofaa yanaendelea humo, lakin pia hajaimaanisha watu wakichukie kijiji hicho, sasa alivyo sema sio rahisi kumuona mchaga anasaidia watu walemavu hakumaanisha wachaga wabaguliwe au kumlaumu marehemu ila ametoa mfano huo kama kuongeza hadhi kwa marehemu. Sijui kama labda mimi ndo sijaelewa vizuri.!!!

    • @ikupamwaisoba7379
      @ikupamwaisoba7379 Před 5 lety +1

      Yaani wewe ndo uko sahihi sana kuliko mbowe na askofu ubarikiwe mpendwa

    • @nanaimgeri8587
      @nanaimgeri8587 Před 5 lety +1

      Ali Makaba so smart

    • @margretlukindo413
      @margretlukindo413 Před 5 lety +1

      Ndivyo

    • @gloryngomuo127
      @gloryngomuo127 Před 5 lety +1

      Ni ukabila huu.......ukisema w2 wa kijiji hiki ni wazur cjui nn n sawa coz wote n wa2......ss ukianza kutaja makabila haipendezi........

  • @vinmilez5739
    @vinmilez5739 Před 5 lety +16

    Makonda sio mtoto,hadi aje aseme kua huu msiba co wa wachaga,lazma watakua walimbagua,ila ndo kawahiwa hana namna

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 Před 5 lety

    Mchaga au mpare ukimtoa mengi marehemu RIP mungu akulinde uendako baba, mchanga mwingine yeyote yule ukifiwa au ukiwa na sherehe atakuchangia ila sasa mtoto akiungua moto au kurudishwa ada ya shule atakukopesha ,

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 Před 5 lety

    Makonda analogic sana ndicho namkubalia, good boy

  • @japhetmlungu762
    @japhetmlungu762 Před 5 lety +2

    Viongozi wa hawamu hii kweri awajaandaliwa. Katibu wa wachukua chako mapema umesema ukweri wako. Wengi awana kauri nzuri, wengine uwasema maneno Makali kwa mtu ambae ni sawa na mzee wake, babu yake au kaka yake. Bila kueshimu umri. Huu ndiyo udhaifu ulioogelewa na Cag.

  • @magneticfootballtz1607
    @magneticfootballtz1607 Před 5 lety +2

    Mimi sio muumini wa siasa kabsa lakini hapa Makonda kama anadhibiwa kwa visasi tu ametoa sifa katika tafsiri ambayo waliua wanasubiria ateleze waanze manyanyaso tu

  • @jamalimtima6176
    @jamalimtima6176 Před 5 lety +17

    Kwa hili,Makonda yuko sahihi tu Wachaga wana ubaguzi mno

    • @nkubapaul8531
      @nkubapaul8531 Před 5 lety

      Watu hawakumwelewa makonda kwa sababu wanamchukia

    • @simulizizakiroho2674
      @simulizizakiroho2674 Před 5 lety

      sio kweli ndugu,mbona Moo dewji hata misibani hatumuoni usiwe shabiki tu

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 Před 5 lety +1

      Mijitu mingine haijielewi mchagga mchagga sishangai ila wewe unaesema mchagga mbaguzi je ulishawahi kumsaidia hata mtoto wa nduguyo au ndio hivyo tena ufahamu kwisha

    • @jamalimtima6176
      @jamalimtima6176 Před 5 lety

      Getruda Msaki .Tunaishi nao,2nawajua.Njoo mbezi au maeneo yaliyojaa wachaga,hakuna mchaga ambae anaweza kununua hata nyembe dukani kwa m2 ambae cyo mchaga mwenzie

  • @sadockjoseph4555
    @sadockjoseph4555 Před 5 lety +1

    Du! Ndo viongoz hawa sasa.....Mungu atawaumbua sana tu acha tusubir ipo cku ujinga wao utawaisha tu

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 5 lety +2

    Makonda usiombe msamaha
    Uko sawa kabisa

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 Před 5 lety

    kanisa ni kanisa ,serikali ni serikali ,ya Mungu mpeni Mungu na Kaisari mpeni yalio yake,alipaswa kuomba toba kuvinywea divai vyombo vya hekaluni ni madhabahuni pale amewasha moto mgeni ni hatari

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 Před 5 lety +3

    MAKONDA UTABAKI KUWA JUU💪💪💪💪💪

  • @vinmilez5739
    @vinmilez5739 Před 5 lety +5

    Wanasiasa wanafki sana

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 Před 5 lety +17

    mh makonda amefedheheshwa kauli ile haikuwa ya kubeza wachaga Bali hapa uchanganuzi wa sentence ndio ulileta shida ,yeye alimaanisha wachaga ni watu wanaojua pesa sana ,na kila mtu anajua hilo .Mbowe yeye anasumu yake moyoni aliamua kutema nyongo madhabauni ule sio uwanja wa siasa kaka hakuna kiongozi shupavu kama RC makonda mtasubili sana achana na jembe apige kazi msimfanyie demolization.

    • @masagakasunzu7824
      @masagakasunzu7824 Před 5 lety +1

      Boaz Sebastian mmmmh mmmmh mmmmh mmmmmmh ukikosea kubali no one is perfect

    • @beatricegondwe2726
      @beatricegondwe2726 Před 5 lety

      Nonsense

    • @justinemathiasngwandu7715
      @justinemathiasngwandu7715 Před 5 lety +1

      Hata mie sijaona kosa la Makonda, Nimefatilia kauri zake toka msiba umetokea sioni Kama neno lile lilikuwa la Kubebea bakuri namna ile. Lakini Sasa nagundua hapa nikweli kabisa hawa jamaa wanaubaguzi choyo naroho mbaya. Hakika Makonda kwa hili wamemfedhehesha na huyu bashiru sijui tu, hapo Kuna kitu tuache ishabiki wa kisiasa na chuki, eti unamchukia mtu hata huna kisa naye,🤔 hiyo ni Roho ya kishetani kabisa.

    • @jenniferdominic6128
      @jenniferdominic6128 Před 5 lety +1

      yan wamekuza jambo balaa

    • @faidamashala8933
      @faidamashala8933 Před 5 lety +1

      Wamemkosea makonda,ndo tatizo LA siasa

  • @ashahassan4032
    @ashahassan4032 Před 5 lety

    ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upangaa.... alichomfanyia pieree

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 5 lety

    Huyu Mpaka Mh Bashiru anamsema hadharani, Anawakera kwa mengi sana, Tunayobahatika kuyasikia ni yale anayoyaropoka kwenye Kamera.

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    Ukikosolewa ukubali tu kuwekwa sawa.

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 Před 5 lety +1

      Madam Rose makonda yupo sahihi sana kamuongelea mchaga katikati ya wachaga ukabila wanaleta wao

    • @adelaidedaycareprenurseryk6324
      @adelaidedaycareprenurseryk6324 Před 5 lety +1

      @@mussaabdiel9797 Hapana sio kwamba Makonda ndio mdhambii No! But uisikilize vizuri ile speech kuna mahali alithibitisha ukichunguza utagundua kwa nini Katibu Mkuu wa CCM aliamua kuomba msamaha kwa niaba ya. Makonda mimi ni shabiki wake no 1 na ninamfuatilia sana napenda huduma yake sana tu. Anasaidia sana wagonjwa hasa wale wa kipato chani kama mimi kwa mfano Pascal Cassian muimbaji wa Gospel. Makonda ni jiwe la kujikwaa watu wengi hawamuelewi but mimi nakwambua yupo hapo kwa kusudi la MUNGU. Kumbuka yeye si malaika bado anawezakosea tu na huo ndio unyenyekevu.

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 Před 5 lety

      Madam Rose apo ukabila aupo bali ni mtazamo aujuae yeye kama yeye kwan awa watu tunaishi nao na tunajuana vzr

    • @esa_traveller
      @esa_traveller Před 5 lety

      Makonda hakua na nia mbaya tatizo watanzania hata tukiambiwa ukwel tuna mind

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 5 lety +1

    Ktk maisha ukiwa una kauli uchafu basi kila mahali hautakua na thamani

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu1512 Před 5 lety +23

    Nyny ndo wabaguzi,wapi makonda alimbagua mtu,mnaleta kuchomekeana na visasi Hadi msibani.shem on you guys.

    • @daviseliona3507
      @daviseliona3507 Před 5 lety

      Hahahs

    • @godsfinalwarninggfw6492
      @godsfinalwarninggfw6492 Před 5 lety +3

      Wewe labda hujui kiswahili ndo maana hujaona kama amaleta ubaguzi. Lakini wenye akili kama vile Dr Bashiru, Dr Shoo walielewa kuwa huo ni ubaguzi. Wewe tu ndiyo hujaelewa, siyo tatizo lako, ni uelewa tu!

    • @godblessmwanri80
      @godblessmwanri80 Před 5 lety

      hekima ni muhimu sana ...

    • @aminabakari3799
      @aminabakari3799 Před 5 lety +3

      We ulitaka aambiwe kwenye sherehe hali yakua amekosea msiban, au unajitoa ufaham

    • @thomaselibarick8058
      @thomaselibarick8058 Před 5 lety

      innocent paulchillu una akili ndogo fala mkubwa

  • @exhaudyvalentine1767
    @exhaudyvalentine1767 Před 5 lety +11

    Kama Umeona Gnzi ya Mkuu wa Mkoa Magotin kaichana chana kama za Wcb like hapa

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 Před 5 lety +3

    Makonda ni mkuu wa mkoa msimfanye kama mtoto

    • @kyekwew3216
      @kyekwew3216 Před 5 lety

      Novatus Abond ... then he should have acted as an adult,when someone acts foolishly then they are fools. When you apologize you don’t use the same breath to defend your actions.

    • @salmahsharifu7096
      @salmahsharifu7096 Před 5 lety +1

      Mbele za mungu haswa madhabauni hamnaga mtu kubwa wala mdogo ndo maana uliona hata rais magufuli alikusnywa sadaka mwenyewe mbeya bila kujali cheo chake

  • @iambaizo
    @iambaizo Před 5 lety +5

    mbowe ni mchonganishi kwani ni uongo wao si wabahili

  • @theobarddimoso8835
    @theobarddimoso8835 Před 5 lety +1

    Vijana tupo wenye heshima na maadili tumelelewa vyema na wazazi wetu na JKT imetupa uzalendo mkubwa tu lakini mmetusahau na kutuona sisi chapa vumbi hatufai lakini tunazidi kuwaombea hao mnao waona wanafaa ili taifa letu lizidi kuwa salama.

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 Před 5 lety +1

    Barikiwa Kiongozi,hakika una maneno ya hekima mh mbowe,pia Katibu barikiwa Sana

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 Před 5 lety

    Dah aisee Had mazabahun hamuon aibu jaman kwny ishu nyet km hyo #ripmengi

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 Před 5 lety

    BASHIRU WW NI MNAFIKI HIYO SIMIYU ILIKUWA INAHUSIANA NN NA HILI LA LEO

  • @bintihussein502
    @bintihussein502 Před 5 lety +10

    Makonda umeonewa tu..kwani kusema ukweli nishida looh!

    • @hhonest9553
      @hhonest9553 Před 5 lety

      Binti Hussein unajua unachokisema au?? Mbona serikali ikiambiwa ukweli inakua shidah??Double standard ww.

    • @bintihussein502
      @bintihussein502 Před 5 lety

      HHS hs nakijua nannamaanisha.

    • @bintihussein502
      @bintihussein502 Před 5 lety

      HHS hs alafu kumbuka Mimi sio wewe hivyo kamuulize kama nawewe unaakiri zakushikiwa unikomeee

    • @hhonest9553
      @hhonest9553 Před 5 lety

      Binti Hussein najua kama wewe sio mm.Comment yako tu inaonesha huezi lingana na mm ata mara moja.Lapili mimi siingii period.So yah,we are soo different.Go find yaself job.U seems u gat nothing to do.Au kapike japo maandazi ramadhani hii.

    • @bintihussein502
      @bintihussein502 Před 5 lety

      Uliona wapi shoga akaingia period?? Mungu aniepushie

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani4640 Před 5 lety

    Mboye anabivu na Jamaa na sio vngne huwez kumfanyia makonda HVO msiban hapo watu wanaomboleza siasa weka kando

  • @mako331
    @mako331 Před 5 lety +8

    Unnecessary drama in the house of God, baba askofu ungezuia hili

  • @barbarajoh7603
    @barbarajoh7603 Před 5 lety +24

    Makonda hajatambua kosa lake mpaka sasa

  • @tarickadam7294
    @tarickadam7294 Před 5 lety +6

    Kwan uongo!!! wachaga awawezi sahiidia walemavu
    Makonda yupo sahii

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 Před 5 lety +1

      Wewe umewasaidia wangapi

    • @minjashose2159
      @minjashose2159 Před 5 lety +1

      Tarick Adam me naona ni chuki binafsi na usiasa mpk msibani mimi mwenyewe kukusaidia lbd unkute nakula tule wote so nkupe pesa or

    • @tarickadam7294
      @tarickadam7294 Před 5 lety

      @@minjashose2159 kweli kbx

    • @joelsamson6840
      @joelsamson6840 Před 5 lety

      Yupo sahii makonda tatizo nikuambiwa ukweli

  • @sulejiTv
    @sulejiTv Před 5 lety +2

    Uyu mzee mbowe ana heshima sana nime hamini utu huzima dawa.

  • @ndhindilomachibya5514
    @ndhindilomachibya5514 Před 5 lety

    Iv makonda angewasifia wachagga kweli haya yangetoke.?...watu hawatakagi ukweli ...et ukabila...narudia...ata mm sijawahi kuona mchaga anatoa msaada kwa waremavu....vimbeni ila ukweli ndo huo ..nosense nie

  • @glorymrema7138
    @glorymrema7138 Před 5 lety

    U come down makonda

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus6895 Před 5 lety +1

    Palipo na wengi kuna MENGI pia ila yote yote mungu ndo anajua#

  • @bro.thobiassilas421
    @bro.thobiassilas421 Před 5 lety +1

    Umefanya vizuri sana mr mbowe.Makonda elimu ni mdogo akapewa nafasi katika utawala.Yaani umemweza .

  • @barakanyambele4673
    @barakanyambele4673 Před 5 lety +15

    Hii ni sehemu ya ibada ya kuaga mwili wa marehemu, sasa haya mengine yanatokea wapi

    • @dottonatha3770
      @dottonatha3770 Před 5 lety

      Baraka Nyambele 🇲🇺

    • @lamekisimoni2809
      @lamekisimoni2809 Před 5 lety

      Kwenye wengi pana mengi Ila makonda nae kazidi kwa nini kila kitu ni yeye tuu

  • @dsstanzania
    @dsstanzania Před 5 lety

    Safi sana

  • @kilosasofadesigner6218
    @kilosasofadesigner6218 Před 5 lety +1

    Kweli nimeamini Malipo ni hapa hapa duniani Mbinguni hakuna Banki iyooooo!!!!?? #Pierelikwidi_bwana🤣

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před 5 lety +4

    Anaharibu na anabembelezwa, yani kama yai

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 5 lety +6

    MAKONDA = TRUMP

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 Před 5 lety +6

    Siasa msibani, siasa kanisani siasa siasa

  • @ibrahim82649
    @ibrahim82649 Před 5 lety

    Asante mbowe

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 Před 5 lety +2

    Kwenye misiba ya watu maarufu.watu maarufu waliozimika wanapata nafas yakukiki sasa kosa lake lipi hapo mh makonda?hila si vema asaivi mnamuandama sana cheo icho wanakitaka takecare kaka makonda uliokalbu nao ndo wabaya kwako

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Před 5 lety +5

    mchaga na mnyamwezi utani umetokea wapi uwache kuropoka mwanangu kutenda kosa si kosa bali kosa kurudia kosa.

  • @keita.wallet6984
    @keita.wallet6984 Před 5 lety +4

    Ninja sometimes unazingua japo kuwa cheo dhamana

  • @frankmakeula4506
    @frankmakeula4506 Před 5 lety +2

    Mkuu wa mkoa hakuwa na maana mbaya mheshimiwa Mbunge ndio tatizo acha siasa msibani

  • @devothasanga9228
    @devothasanga9228 Před 5 lety

    Mi sijaona kosa hapo mnamuonea kijawa wamungu jamani kasema kile anacho kiona huyo sio mtoto mdogo aseme tu kitu asicho kifaham nimekwazika hatali misamaha bongo kwenden kule

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 5 lety +3

    Hapo Mbowe umeingiza siasa wala Makonda hakubagua, sifa ya Wachaga ni ubahiri kwenye pesa, hawana mchezo na pesa hilo lipo wazi, hamkumwelewa, umetumia ubabe kwenye madhabahu.

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 Před 5 lety

    MAKONDA HAJABAGUA NYIE NDO WABAGUZI HIZI NI CHUKI HAKUONGEA VIBAYA HIZI NI CHUKI TU MAKONDA CHAPA KAZI

  • @mariacassian2738
    @mariacassian2738 Před 5 lety

    Muungwana akivuliwanguo hasimami huchutama lakini huyu makonda kajivua halafu anapiga sarakasi huku anajiona mshindi

  • @esa_traveller
    @esa_traveller Před 5 lety

    Daaaaa af makonda alimind sanaaaa ila hakua na nia mbaya

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 Před 5 lety

    Hahaaha mung wanh Tanzanie kweli iyi ni haya kweli.
    Mbona alikuwa amekata

  • @innocentamani1453
    @innocentamani1453 Před 5 lety +2

    Naamini makonda hajielewi kabisa nguo gani kavaa kama kiongzi mkubwa wa mkoa

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 Před 5 lety

    nikweli hata Mimi namuunga mkono makonda kwanini tufichane hata nyerere alisema kuna makabila yana ubaguzi natusipo semana tutakuwa tunafuga ujinga

  • @amiriabud6521
    @amiriabud6521 Před 5 lety +3

    Makonda hana kosa mbowe ndolinakosa lijibaba lakini likiambiwa ukweli halitaki limekaa kisiasa siasa tangia nizaliwe sijawahi ona mchaga akimsaidia mremavu zaidi ya Dr. Mengi tu

  • @kaaweemwenyewe2872
    @kaaweemwenyewe2872 Před 5 lety +3

    Sema nae ndugu yetu huyu huwa anakurupuka sana cjui ni kwanini. Mda mwingine ukiona huna cha kuzungumza uwage unashukuru kwa mikono tyu👏 cyo kujitia aibu utafanya mpaka tunao kupenda tushushe vyeo vyako na kukuona wa kawaida... 🙄

    • @lukindofloriani4452
      @lukindofloriani4452 Před 5 lety

      Wote mnaoponda makonda mnakurupuka kaeni kmy mm n mmoja wa watu wanaotokea Kilimanjaro ila mengi huwez kumfananisha na mtu yeyote wa Kilimanjaro

    • @reganmartin5485
      @reganmartin5485 Před 5 lety

      Makonda hajakosea popote Mengi ni zaidi ya wachaga Wala hakuna mchaga was kulingana na mengi

    • @daniobrey3718
      @daniobrey3718 Před 5 lety

      Shielding told

  • @ikupamwaisoba7379
    @ikupamwaisoba7379 Před 5 lety +3

    Umekwazwa nini wewe!!! daaah pole bwana mdogo Paul Makonda kweli unachukiwa lkn naamini kbs wewe ni mti wenye matunda nilikufatilia sana pale karimjee kauli yako wala haikuwa ya kuwakwaza watu ht katibu bado sijamuelewa hapo kwanini alisema hivyo alikosea wapi? Km alikosea huko simiyu ok mimi sikuwepo lkn karimjee loh na watu eti wanasema kbs bwana asifiwe kwenye siasa zao yupi asifiwe,lkn nimetambua uchagani si ndo pipoo..wamekulazimisha dogo lkn bado uliwapiga kwa neno zuri kuwa tafasiri haikuwa njema maana ulimsifia mchaga mbele ya wachaga hahahaaaa nakukubali bwana mdogo hakika Makonda jembe

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 Před 5 lety

    Kaka angu makonda hao ni wachaga, ingekuta ni mmasai au mmeru baba dhuu.

  • @robertmshana8730
    @robertmshana8730 Před 5 lety +2

    Nilichokisema mwaka Jana ninakusimamia hichohicho.

  • @hajiharun3587
    @hajiharun3587 Před 5 lety

    Kumbe madhabahuni suruali za stahili ile mbele ya hafla kubwa kwa Mtu mwenye heshma ktk Taifa unamuaga kwa Vazi lile, Dr. Bashiru nimekuelewa.

  • @emmanuelmsangi645
    @emmanuelmsangi645 Před 5 lety +2

    Kweli bashiru nikiongozi bora

  • @happyjose9445
    @happyjose9445 Před 5 lety

    Makonda jifunzee kua na hekima

  • @franckgudluckmpogole1066

    Amen

  • @piijey7977
    @piijey7977 Před 5 lety +9

    Lipo nililojifunza hapa. Kiongozi usitanie watu. Nilichodhani wakati RC Makonda anasema maneno yale pale Karimjee Hall, alikuwa anamsifia Mengi kuwa ni Mchaga tofauti sana na wachaga wengine, na alifanya kutania kwa kusema aliyoyasema. Mimi binafsi niliona ni utani tu. Kumba haikuwa hivyo. Hilo nimejifunza namimi.

    • @aishahassan1179
      @aishahassan1179 Před 5 lety +2

      Kweli kabisa akuwa na nia mbaya

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 5 lety

      Hats hivyo msg sent ni kweli hawasaidigi kama wewe sio mchaga mwenzie
      Utani ulio kweli

  • @lulushambazuri4861
    @lulushambazuri4861 Před 5 lety

    Hakuongea vibaya makonda

  • @thomasmasala9304
    @thomasmasala9304 Před 5 lety +1

    Kwa kweli ni huzun sana.

  • @peterluoga458
    @peterluoga458 Před 5 lety +1

    Mbowe sio mtu mzuri nimemzarau kuanzia leo

  • @denishamka8657
    @denishamka8657 Před 5 lety +3

    Kweli bwana wachaga niwachache wanao toa misaaa Dr mengi ndio shujaaa wa misaaada

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 Před 5 lety

      Je nyie wengine ambao siyo wachagga mnaongonza na nini ? Tuambieni

    • @happynnko9370
      @happynnko9370 Před 5 lety

      Nikabila gani linalotoa misaada sasa !!??kila mtu anatoa kwa wakati na kwa nafas yake

    • @emmanuelmoses7382
      @emmanuelmoses7382 Před 5 lety +1

      Alosema makonda nikwel lkn kakosea ktamka adharani

    • @samwelyngowi6670
      @samwelyngowi6670 Před 5 lety +1

      asilimia kubwa ya wasukuma wapo moshi wameajiriwa. mnataka wachaga watoe misaada gani??

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 Před 5 lety

      Wazaramo wanaongoza kutoa mimba tu na sio misaada.
      Mkoa ambao wananchi matajiri wamejitolea kujenga shule binafsi zinazosaidia kuondoa ujinga wa nchi hii ni Kilimanjaro.
      Na hata huko Dar ni hawa watu wanaofanya uchumi wa nchi hii ukue, kwa mfano tu kafanye tafiti Kariakoo au China kujua idadi ya wafanyabiashara wanaoliingizia taifa hili kodi kati ya hayo makabila mnayojivunia.

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 Před 5 lety +3

    Wachaga mkiambiwa ukweli mkubali wachoyo sasa ninyi wabahili wakubwa ni mengi tu mtoaji mnasaidiaga ndugu zenu tu