asante katibu B. Ally, busara yako ndio msingi wa ujenzi wa ccm mpya. asante Mwenyekiti F. Mbowe kwa kutokuwa mnafiki, lingepoa lingepita bila kukemewa. asante Askofu Shoo, kazi yako ya upatanishi tumeiona japo imeonyeshwa dharau umetimiza wajibu wako. R. I. P doctor Mengi. tukukumbuku daima.
Mimi pia nampenda sana makonda hasa kwa sababu kazi nzuri anayofanya.ulimi hauna mfupa wote tumekutana kumuaga KAMANDA wa vita 'mzee wa I must' tumsamehe bure
Ni kweli kamsifia mchaga hajakosea, be strong Makonda hujakosea ni tafsiri zao zimekwenda mbali ndio maana, kama unavyosema, Zidi kumuenzi mzee wetu, Allah amrehemu
Kweli nimeamini ni Mungu pekee ndio anajua yaliyomo mioni mwetu coz cdhani kama Mh. Makonda alikuwa na nia mbaya yakuongea vile ila fikra na mitazamo tu ya watu Ndio imemtafsiri vibaya jamani, binafsi yangu namkubali sana Mh. Makonda na namuona kama kiongozi wa zawadi kwa Tz ila wengi wa watanzania hawalitambui hilo, I love u, I respect u and I salute u Sir √
Dr. Bashiru himself msomi wa kweli na ukweli umemukuweka huru nakupenda sana mpenda haki wakati fulani. Makonda unyenyekevu ndio mtaji wewe sio malaika. We love you.
Iko hivi wachaga weng no mabahiri thus huwa wanafanikiwa Sana , ndomana makondo alichosema, kwamaba anashangaa kumuona mchaga anasaidia masikini!!! BT ala in all ,makonda me namuona alikua sahihi! Wala hakumaanisha kama vile mbole alivyokua amemaanisha!!! Tukutane 2020!!!!
Unatamani kila anaekuja kukusaidia awe anajitambulisha kabila lake mnaongea ujinga ndio maana Mungu analipa kwa njia yake embu nitajie mkabila mwingine unayemjua anakusaidia kila siku kama sio muumba wako ulimi unatuponza watanzania
MAKONDA UMEOMBA MSAMAHAA TU WAKATI ULISEMA UKWELI UMEWAGUSA SAAANA NA KATIBU MKUU WA CHAMA ANACHUKI BINAFSI NA MAKONDA MAANA ALIUTAKA UKUU WA MKOA WA DAR NDIO MAANA AMEANZA KWA KUMSHAMBULIA MAKONDA HADHARANI AMEONYESHA CHUKI ZAKE WAAZI
Kaka pale hakuna mchaga pekee. Kuna viongozi na makabila tofauti yanayoishi huko MOSHI na Arusha. Bado tunahitaji viongozi waliofundwa kama Dr. Bashiru alivyosema
Umemsifia mchaga kati ya watu wote Makonda kuwa mkweli na ukubali kukosolewa,hapo walikuwepo watu wengi na hata vyombo vya habari viliipeleka sauti yako mbali dunia nzima,hivyo hukustahili kuongea vile.
Kama ungemsifia msukuma kisha ukawaponda wachaga hapo lingekuwa kosa....lkn umemsifu.mchaga na ukawataka wachaga wengine wawe kama doctor mengi....ukweli siku zote unauma
Mbowe ni mchonganishi sana makonda yupo sahihi nikweli wa chaga ni wagumu sana hawawez kujitoa kama alivyo kuwa mzee mengi tunajua wapo wengi sana wachaga wenye pesa lakin wenye moyo wa kusaidia hawapo
Kwa taarifa yako wapo wachaga wengi wanaosaidia katika jamii pasipo kujulikana.. Ndio maana sehemu yenye wachaga lazima pana msukumo mkubwa wa maendeleo. Nashindwa kuelewa kwann wachaga wanachukiwa! Wakati wanajitahidi kutoa huduma za kiuchumi zinazobadili maisha ya jamii ya eneo walipo.. Mungu ibariki Tanzania.
Mmemdhalilisha Makonda bure shida ni kwamba mmemtafsiri vibaya maana yake haikuwa kuwakosoa wachaga ama kuwadharau na kuwakejeli kulikuwa hakuna haja ya kumuita mbele huo ni udhalilishaji tu kama tayari mlimtangazia msamaha basi mngemuacha atulie sasa mmeleta siasa na hila zenu juu yake kanisani sio vizuri
Kiongozi anaNAFASI kubwa na huenda akawa anaruhusiwa kuongelea mada yoyote kutokana na mazingira husika au hata mifano kuhusu sehemu au mtu katika mazingira husika lakini tu kisiwe kitu kiendelevu..hapa Unahitajika uwe na ufahamu mzuri kidogo ili kuweza kuligundua hilo la sivyo utakurupuka kuwasilisha reaction yako. Mfano kama kijiji kina fanya mazuri mengi kiongozi anaweza akasema nawapenda sana watu wa kijiji hiki ni watu wazuri sana.. Lakin haimaanishi kama vijiji vingine anavichukia au anaweza hata akasema watu wa kijiji hiki ni wabaya sana kama kukiwa kuna mambo yasiofaa yanaendelea humo, lakin pia hajaimaanisha watu wakichukie kijiji hicho, sasa alivyo sema sio rahisi kumuona mchaga anasaidia watu walemavu hakumaanisha wachaga wabaguliwe au kumlaumu marehemu ila ametoa mfano huo kama kuongeza hadhi kwa marehemu. Sijui kama labda mimi ndo sijaelewa vizuri.!!!
Mchaga au mpare ukimtoa mengi marehemu RIP mungu akulinde uendako baba, mchanga mwingine yeyote yule ukifiwa au ukiwa na sherehe atakuchangia ila sasa mtoto akiungua moto au kurudishwa ada ya shule atakukopesha ,
Viongozi wa hawamu hii kweri awajaandaliwa. Katibu wa wachukua chako mapema umesema ukweri wako. Wengi awana kauri nzuri, wengine uwasema maneno Makali kwa mtu ambae ni sawa na mzee wake, babu yake au kaka yake. Bila kueshimu umri. Huu ndiyo udhaifu ulioogelewa na Cag.
Mimi sio muumini wa siasa kabsa lakini hapa Makonda kama anadhibiwa kwa visasi tu ametoa sifa katika tafsiri ambayo waliua wanasubiria ateleze waanze manyanyaso tu
Mijitu mingine haijielewi mchagga mchagga sishangai ila wewe unaesema mchagga mbaguzi je ulishawahi kumsaidia hata mtoto wa nduguyo au ndio hivyo tena ufahamu kwisha
kanisa ni kanisa ,serikali ni serikali ,ya Mungu mpeni Mungu na Kaisari mpeni yalio yake,alipaswa kuomba toba kuvinywea divai vyombo vya hekaluni ni madhabahuni pale amewasha moto mgeni ni hatari
mh makonda amefedheheshwa kauli ile haikuwa ya kubeza wachaga Bali hapa uchanganuzi wa sentence ndio ulileta shida ,yeye alimaanisha wachaga ni watu wanaojua pesa sana ,na kila mtu anajua hilo .Mbowe yeye anasumu yake moyoni aliamua kutema nyongo madhabauni ule sio uwanja wa siasa kaka hakuna kiongozi shupavu kama RC makonda mtasubili sana achana na jembe apige kazi msimfanyie demolization.
Hata mie sijaona kosa la Makonda, Nimefatilia kauri zake toka msiba umetokea sioni Kama neno lile lilikuwa la Kubebea bakuri namna ile. Lakini Sasa nagundua hapa nikweli kabisa hawa jamaa wanaubaguzi choyo naroho mbaya. Hakika Makonda kwa hili wamemfedhehesha na huyu bashiru sijui tu, hapo Kuna kitu tuache ishabiki wa kisiasa na chuki, eti unamchukia mtu hata huna kisa naye,🤔 hiyo ni Roho ya kishetani kabisa.
@@mussaabdiel9797 Hapana sio kwamba Makonda ndio mdhambii No! But uisikilize vizuri ile speech kuna mahali alithibitisha ukichunguza utagundua kwa nini Katibu Mkuu wa CCM aliamua kuomba msamaha kwa niaba ya. Makonda mimi ni shabiki wake no 1 na ninamfuatilia sana napenda huduma yake sana tu. Anasaidia sana wagonjwa hasa wale wa kipato chani kama mimi kwa mfano Pascal Cassian muimbaji wa Gospel. Makonda ni jiwe la kujikwaa watu wengi hawamuelewi but mimi nakwambua yupo hapo kwa kusudi la MUNGU. Kumbuka yeye si malaika bado anawezakosea tu na huo ndio unyenyekevu.
Wewe labda hujui kiswahili ndo maana hujaona kama amaleta ubaguzi. Lakini wenye akili kama vile Dr Bashiru, Dr Shoo walielewa kuwa huo ni ubaguzi. Wewe tu ndiyo hujaelewa, siyo tatizo lako, ni uelewa tu!
Novatus Abond ... then he should have acted as an adult,when someone acts foolishly then they are fools. When you apologize you don’t use the same breath to defend your actions.
Mbele za mungu haswa madhabauni hamnaga mtu kubwa wala mdogo ndo maana uliona hata rais magufuli alikusnywa sadaka mwenyewe mbeya bila kujali cheo chake
Vijana tupo wenye heshima na maadili tumelelewa vyema na wazazi wetu na JKT imetupa uzalendo mkubwa tu lakini mmetusahau na kutuona sisi chapa vumbi hatufai lakini tunazidi kuwaombea hao mnao waona wanafaa ili taifa letu lizidi kuwa salama.
Binti Hussein najua kama wewe sio mm.Comment yako tu inaonesha huezi lingana na mm ata mara moja.Lapili mimi siingii period.So yah,we are soo different.Go find yaself job.U seems u gat nothing to do.Au kapike japo maandazi ramadhani hii.
Iv makonda angewasifia wachagga kweli haya yangetoke.?...watu hawatakagi ukweli ...et ukabila...narudia...ata mm sijawahi kuona mchaga anatoa msaada kwa waremavu....vimbeni ila ukweli ndo huo ..nosense nie
Kwenye misiba ya watu maarufu.watu maarufu waliozimika wanapata nafas yakukiki sasa kosa lake lipi hapo mh makonda?hila si vema asaivi mnamuandama sana cheo icho wanakitaka takecare kaka makonda uliokalbu nao ndo wabaya kwako
Mi sijaona kosa hapo mnamuonea kijawa wamungu jamani kasema kile anacho kiona huyo sio mtoto mdogo aseme tu kitu asicho kifaham nimekwazika hatali misamaha bongo kwenden kule
Hapo Mbowe umeingiza siasa wala Makonda hakubagua, sifa ya Wachaga ni ubahiri kwenye pesa, hawana mchezo na pesa hilo lipo wazi, hamkumwelewa, umetumia ubabe kwenye madhabahu.
Makonda hana kosa mbowe ndolinakosa lijibaba lakini likiambiwa ukweli halitaki limekaa kisiasa siasa tangia nizaliwe sijawahi ona mchaga akimsaidia mremavu zaidi ya Dr. Mengi tu
Sema nae ndugu yetu huyu huwa anakurupuka sana cjui ni kwanini. Mda mwingine ukiona huna cha kuzungumza uwage unashukuru kwa mikono tyu👏 cyo kujitia aibu utafanya mpaka tunao kupenda tushushe vyeo vyako na kukuona wa kawaida... 🙄
Umekwazwa nini wewe!!! daaah pole bwana mdogo Paul Makonda kweli unachukiwa lkn naamini kbs wewe ni mti wenye matunda nilikufatilia sana pale karimjee kauli yako wala haikuwa ya kuwakwaza watu ht katibu bado sijamuelewa hapo kwanini alisema hivyo alikosea wapi? Km alikosea huko simiyu ok mimi sikuwepo lkn karimjee loh na watu eti wanasema kbs bwana asifiwe kwenye siasa zao yupi asifiwe,lkn nimetambua uchagani si ndo pipoo..wamekulazimisha dogo lkn bado uliwapiga kwa neno zuri kuwa tafasiri haikuwa njema maana ulimsifia mchaga mbele ya wachaga hahahaaaa nakukubali bwana mdogo hakika Makonda jembe
Lipo nililojifunza hapa. Kiongozi usitanie watu. Nilichodhani wakati RC Makonda anasema maneno yale pale Karimjee Hall, alikuwa anamsifia Mengi kuwa ni Mchaga tofauti sana na wachaga wengine, na alifanya kutania kwa kusema aliyoyasema. Mimi binafsi niliona ni utani tu. Kumba haikuwa hivyo. Hilo nimejifunza namimi.
Wazaramo wanaongoza kutoa mimba tu na sio misaada. Mkoa ambao wananchi matajiri wamejitolea kujenga shule binafsi zinazosaidia kuondoa ujinga wa nchi hii ni Kilimanjaro. Na hata huko Dar ni hawa watu wanaofanya uchumi wa nchi hii ukue, kwa mfano tu kafanye tafiti Kariakoo au China kujua idadi ya wafanyabiashara wanaoliingizia taifa hili kodi kati ya hayo makabila mnayojivunia.
Dr Bashiru is not only intelligent but also clever
That was humble in the part of Makonda. God bless you sir..the up and coming president of Tanzania!!!
No hug whatsoever!! This is good to see people taking out what's in their hearts for a good will. Tutakuenzi Dr. Reginardi daima, upimzike kwa amani
asante katibu B. Ally, busara yako ndio msingi wa ujenzi wa ccm mpya. asante Mwenyekiti F. Mbowe kwa kutokuwa mnafiki, lingepoa lingepita bila kukemewa. asante Askofu Shoo, kazi yako ya upatanishi tumeiona japo imeonyeshwa dharau umetimiza wajibu wako. R. I. P doctor Mengi. tukukumbuku daima.
Watu walisahau kwamba wapo msibani, shangwe na vigelegele kama vyote. Asante Mungu mana umewasamehe wote katika jina la Yesu .
Mimi pia nampenda sana makonda hasa kwa sababu kazi nzuri anayofanya.ulimi hauna mfupa wote tumekutana kumuaga KAMANDA wa vita 'mzee wa I must' tumsamehe bure
Ni kweli kamsifia mchaga hajakosea, be strong Makonda hujakosea ni tafsiri zao zimekwenda mbali ndio maana, kama unavyosema, Zidi kumuenzi mzee wetu, Allah amrehemu
Kwa Mara ya kwanza leo nimeipenda kauli ya kiongozi ccm. Bashiru uko juu kweli we ni msomi.
Nyie Nikwer wabinafsi Tunawajua Minidreva tunawaona kwenye kampany Wakiwa wachaga kwenye kampany Kuingia kabila lingine Nishida Sana
Kweli nimeamini ni Mungu pekee ndio anajua yaliyomo mioni mwetu coz cdhani kama Mh. Makonda alikuwa na nia mbaya yakuongea vile ila fikra na mitazamo tu ya watu Ndio imemtafsiri vibaya jamani, binafsi yangu namkubali sana Mh. Makonda na namuona kama kiongozi wa zawadi kwa Tz ila wengi wa watanzania hawalitambui hilo, I love u, I respect u and I salute u Sir √
Hassan Kihonde We ndo uliku myoni mwake au we n mwerevu kuzd wtz ambao hawakupendezwa nayo.
@@chachamagoti2400 uzuri ni kwamba nipo chanya zaidi na ndio maana nimemuelewa kwa upande chanja na hasi kama wengine,
Dr. Bashiru himself msomi wa kweli na ukweli umemukuweka huru nakupenda sana mpenda haki wakati fulani. Makonda unyenyekevu ndio mtaji wewe sio malaika. We love you.
Iko hivi wachaga weng no mabahiri thus huwa wanafanikiwa Sana , ndomana makondo alichosema, kwamaba anashangaa kumuona mchaga anasaidia masikini!!! BT ala in all ,makonda me namuona alikua sahihi! Wala hakumaanisha kama vile mbole alivyokua amemaanisha!!! Tukutane 2020!!!!
Wachaga wabahili kweli na mchungaji wao pia ni mchaga ndio maana kawaka 😂😂😂
Hahahah umenichekesha Sana wewe
Hiyo ndo kazi ya kanisa. Pia nafurahi sana kumwona mwalimu wangu wa lugha ya alama akitafsiri kwa lugha ya alama mwalimu Protas Mwalongo
Asante saana Katibu mkuu CCM.... upo vzr saana Ongera saana
Nimekuelewa sanaaa katibu mkuu dr bashiru ally
Kwanini kwenye misiba wanasiasa na wasanii ni shida
@@vicentjoshua7507 yan cjui wapi tunafeli maana ule ni msiba mbowe alipaswa aliseme tatizo nje ya msiba
HIZO NI ROHO YAKO MBAYA KWA MAKONDA MM NI MLEMAVU NI KWELI HAKUNA KAMA MENGI HAIJAWAHI KUTOKEA KWANI NI UONGO
Unatamani kila anaekuja kukusaidia awe anajitambulisha kabila lake mnaongea ujinga ndio maana Mungu analipa kwa njia yake embu nitajie mkabila mwingine unayemjua anakusaidia kila siku kama sio muumba wako ulimi unatuponza watanzania
Scay Road alishawah kukusaidia uyo mengiii ? zaid yakumsikia kwenyenredio
Duh Jamaa anakiburi yani alikuwa anataka kukataa kwenda kuomba msamahani tena msibani na kanisani!!!!!
Asikofu na bashilu mnalenu Jambo siyo bure, nikipi ambacho Makonda alikisema kibaya? Asante Makonda kwa hekima.
Alivyosema mengi kasaidia walemavu na watu maskini utazani yeye so mchaga, kasema mchaga kutoa pesa yake kwakumsaidia mtu ni ngumu,
Mungu akubariki Sana Askofu Shoo,hakika Mungu azidi kukutunza Baba,hiyo ndio kazi Bwana Yesu alikuja kufanya Hapa Duniani UPATANISHO!!!!!
Sioni makonda alipo kesea tuache siasa za kijinga mbowe hatukuelewi
Kirikuu!!! Chokoza nyuki ukule asali
Bashiru aliingizwa chaka mbowe yupo kisiasa ameona amemkomesha makonda hahahaha makonda alikua sahihi
Kweli kabisa huyu bashiru kajichomeka
Makonda ajakosea sema mnapenda kukuza maneno.wachaga nao tatizo kama mengi ni wachache sana
Nimekuwa nikifuatilia speech za huyu kiongozi. Mara nyingi amekua akikosa mtiririko wa mawazo mazuri mwishowe kuwakwaza watu. Awe anaandaliwa speech
MAKONDA UMEOMBA MSAMAHAA TU WAKATI ULISEMA UKWELI UMEWAGUSA SAAANA NA KATIBU MKUU WA CHAMA ANACHUKI BINAFSI NA MAKONDA MAANA ALIUTAKA UKUU WA MKOA WA DAR NDIO MAANA AMEANZA KWA KUMSHAMBULIA MAKONDA HADHARANI AMEONYESHA CHUKI ZAKE WAAZI
Makonda kaongea points Sana,amesema nimemsfia mchaga katikati ya wachaga that's point hakuna shida n wivu tu🤣🤣🤣🤣
Kaka pale hakuna mchaga pekee. Kuna viongozi na makabila tofauti yanayoishi huko MOSHI na Arusha. Bado tunahitaji viongozi waliofundwa kama Dr. Bashiru alivyosema
Angemuita tu. Na sio kuumbuana. Busara itumike
Alafu bora wangeongea ayo mambo baada ya maziko. Mbowe nae hana busara
Umemsifia mchaga kati ya watu wote Makonda kuwa mkweli na ukubali kukosolewa,hapo walikuwepo watu wengi na hata vyombo vya habari viliipeleka sauti yako mbali dunia nzima,hivyo hukustahili kuongea vile.
Yp
Kama ungemsifia msukuma kisha ukawaponda wachaga hapo lingekuwa kosa....lkn umemsifu.mchaga na ukawataka wachaga wengine wawe kama doctor mengi....ukweli siku zote unauma
Umeona eee yaani ni shida hizo ni siasa tu lkn amewakomesha sana tafsiri mbaya yao
Nyinyi mamaku acheni ushabiki jamanii.
Mbowe ni mchonganishi sana makonda yupo sahihi nikweli wa chaga ni wagumu sana hawawez kujitoa kama alivyo kuwa mzee mengi tunajua wapo wengi sana wachaga wenye pesa lakin wenye moyo wa kusaidia hawapo
kabisa
upuuzi unawaza kwani wachaga tu wenye mali nyingi tanzania mbona wao hawajasaidia walemavu kwa kiasi cha Mengi
Chris Simbeye mchanga anasaidia ndugu zake tu
Kwa taarifa yako wapo wachaga wengi wanaosaidia katika jamii pasipo kujulikana.. Ndio maana sehemu yenye wachaga lazima pana msukumo mkubwa wa maendeleo. Nashindwa kuelewa kwann wachaga wanachukiwa! Wakati wanajitahidi kutoa huduma za kiuchumi zinazobadili maisha ya jamii ya eneo walipo.. Mungu ibariki Tanzania.
Kuna mchaga kasema wazi kuwa wagumu kutoa kutokana njia wanazotumia kuipata hiyo pesa
Nyingi so halali
Makonda upo sawa hujakosea kitu hapo hao wachaga hawajui kiswahili ndo shida
wewe hata katibu mkuu wa ccm anamwambia ukweli halafu kijambo kama wewe unakurupuka hapa.....
@@tibrucemushi1735 we mkundu tulia
TIBRUCE MUSHI kwani katibu mkuu ndo nani au ndo mingu sasa
Kwa mfano kama Makonda asingekuwepo mgeongea nini Makonda kamsifia mchaga katikati ya wachaga
Mmemdhalilisha Makonda bure shida ni kwamba mmemtafsiri vibaya maana yake haikuwa kuwakosoa wachaga ama kuwadharau na kuwakejeli kulikuwa hakuna haja ya kumuita mbele huo ni udhalilishaji tu kama tayari mlimtangazia msamaha basi mngemuacha atulie sasa mmeleta siasa na hila zenu juu yake kanisani sio vizuri
Kiongozi anaNAFASI kubwa na huenda akawa anaruhusiwa kuongelea mada yoyote kutokana na mazingira husika au hata mifano kuhusu sehemu au mtu katika mazingira husika lakini tu kisiwe kitu kiendelevu..hapa Unahitajika uwe na ufahamu mzuri kidogo ili kuweza kuligundua hilo la sivyo utakurupuka kuwasilisha reaction yako. Mfano kama kijiji kina fanya mazuri mengi kiongozi anaweza akasema nawapenda sana watu wa kijiji hiki ni watu wazuri sana.. Lakin haimaanishi kama vijiji vingine anavichukia au anaweza hata akasema watu wa kijiji hiki ni wabaya sana kama kukiwa kuna mambo yasiofaa yanaendelea humo, lakin pia hajaimaanisha watu wakichukie kijiji hicho, sasa alivyo sema sio rahisi kumuona mchaga anasaidia watu walemavu hakumaanisha wachaga wabaguliwe au kumlaumu marehemu ila ametoa mfano huo kama kuongeza hadhi kwa marehemu. Sijui kama labda mimi ndo sijaelewa vizuri.!!!
Yaani wewe ndo uko sahihi sana kuliko mbowe na askofu ubarikiwe mpendwa
Ali Makaba so smart
Ndivyo
Ni ukabila huu.......ukisema w2 wa kijiji hiki ni wazur cjui nn n sawa coz wote n wa2......ss ukianza kutaja makabila haipendezi........
Makonda sio mtoto,hadi aje aseme kua huu msiba co wa wachaga,lazma watakua walimbagua,ila ndo kawahiwa hana namna
😁😁😁
Mchaga au mpare ukimtoa mengi marehemu RIP mungu akulinde uendako baba, mchanga mwingine yeyote yule ukifiwa au ukiwa na sherehe atakuchangia ila sasa mtoto akiungua moto au kurudishwa ada ya shule atakukopesha ,
Makonda analogic sana ndicho namkubalia, good boy
Viongozi wa hawamu hii kweri awajaandaliwa. Katibu wa wachukua chako mapema umesema ukweri wako. Wengi awana kauri nzuri, wengine uwasema maneno Makali kwa mtu ambae ni sawa na mzee wake, babu yake au kaka yake. Bila kueshimu umri. Huu ndiyo udhaifu ulioogelewa na Cag.
Mimi sio muumini wa siasa kabsa lakini hapa Makonda kama anadhibiwa kwa visasi tu ametoa sifa katika tafsiri ambayo waliua wanasubiria ateleze waanze manyanyaso tu
Kwa hili,Makonda yuko sahihi tu Wachaga wana ubaguzi mno
Watu hawakumwelewa makonda kwa sababu wanamchukia
sio kweli ndugu,mbona Moo dewji hata misibani hatumuoni usiwe shabiki tu
Mijitu mingine haijielewi mchagga mchagga sishangai ila wewe unaesema mchagga mbaguzi je ulishawahi kumsaidia hata mtoto wa nduguyo au ndio hivyo tena ufahamu kwisha
Getruda Msaki .Tunaishi nao,2nawajua.Njoo mbezi au maeneo yaliyojaa wachaga,hakuna mchaga ambae anaweza kununua hata nyembe dukani kwa m2 ambae cyo mchaga mwenzie
Du! Ndo viongoz hawa sasa.....Mungu atawaumbua sana tu acha tusubir ipo cku ujinga wao utawaisha tu
Makonda usiombe msamaha
Uko sawa kabisa
kanisa ni kanisa ,serikali ni serikali ,ya Mungu mpeni Mungu na Kaisari mpeni yalio yake,alipaswa kuomba toba kuvinywea divai vyombo vya hekaluni ni madhabahuni pale amewasha moto mgeni ni hatari
MAKONDA UTABAKI KUWA JUU💪💪💪💪💪
Wanasiasa wanafki sana
mh makonda amefedheheshwa kauli ile haikuwa ya kubeza wachaga Bali hapa uchanganuzi wa sentence ndio ulileta shida ,yeye alimaanisha wachaga ni watu wanaojua pesa sana ,na kila mtu anajua hilo .Mbowe yeye anasumu yake moyoni aliamua kutema nyongo madhabauni ule sio uwanja wa siasa kaka hakuna kiongozi shupavu kama RC makonda mtasubili sana achana na jembe apige kazi msimfanyie demolization.
Boaz Sebastian mmmmh mmmmh mmmmh mmmmmmh ukikosea kubali no one is perfect
Nonsense
Hata mie sijaona kosa la Makonda, Nimefatilia kauri zake toka msiba umetokea sioni Kama neno lile lilikuwa la Kubebea bakuri namna ile. Lakini Sasa nagundua hapa nikweli kabisa hawa jamaa wanaubaguzi choyo naroho mbaya. Hakika Makonda kwa hili wamemfedhehesha na huyu bashiru sijui tu, hapo Kuna kitu tuache ishabiki wa kisiasa na chuki, eti unamchukia mtu hata huna kisa naye,🤔 hiyo ni Roho ya kishetani kabisa.
yan wamekuza jambo balaa
Wamemkosea makonda,ndo tatizo LA siasa
ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upangaa.... alichomfanyia pieree
Huyu Mpaka Mh Bashiru anamsema hadharani, Anawakera kwa mengi sana, Tunayobahatika kuyasikia ni yale anayoyaropoka kwenye Kamera.
Ukikosolewa ukubali tu kuwekwa sawa.
Madam Rose makonda yupo sahihi sana kamuongelea mchaga katikati ya wachaga ukabila wanaleta wao
@@mussaabdiel9797 Hapana sio kwamba Makonda ndio mdhambii No! But uisikilize vizuri ile speech kuna mahali alithibitisha ukichunguza utagundua kwa nini Katibu Mkuu wa CCM aliamua kuomba msamaha kwa niaba ya. Makonda mimi ni shabiki wake no 1 na ninamfuatilia sana napenda huduma yake sana tu. Anasaidia sana wagonjwa hasa wale wa kipato chani kama mimi kwa mfano Pascal Cassian muimbaji wa Gospel. Makonda ni jiwe la kujikwaa watu wengi hawamuelewi but mimi nakwambua yupo hapo kwa kusudi la MUNGU. Kumbuka yeye si malaika bado anawezakosea tu na huo ndio unyenyekevu.
Madam Rose apo ukabila aupo bali ni mtazamo aujuae yeye kama yeye kwan awa watu tunaishi nao na tunajuana vzr
Makonda hakua na nia mbaya tatizo watanzania hata tukiambiwa ukwel tuna mind
Ktk maisha ukiwa una kauli uchafu basi kila mahali hautakua na thamani
Nyny ndo wabaguzi,wapi makonda alimbagua mtu,mnaleta kuchomekeana na visasi Hadi msibani.shem on you guys.
Hahahs
Wewe labda hujui kiswahili ndo maana hujaona kama amaleta ubaguzi. Lakini wenye akili kama vile Dr Bashiru, Dr Shoo walielewa kuwa huo ni ubaguzi. Wewe tu ndiyo hujaelewa, siyo tatizo lako, ni uelewa tu!
hekima ni muhimu sana ...
We ulitaka aambiwe kwenye sherehe hali yakua amekosea msiban, au unajitoa ufaham
innocent paulchillu una akili ndogo fala mkubwa
Kama Umeona Gnzi ya Mkuu wa Mkoa Magotin kaichana chana kama za Wcb like hapa
Makonda ni mkuu wa mkoa msimfanye kama mtoto
Novatus Abond ... then he should have acted as an adult,when someone acts foolishly then they are fools. When you apologize you don’t use the same breath to defend your actions.
Mbele za mungu haswa madhabauni hamnaga mtu kubwa wala mdogo ndo maana uliona hata rais magufuli alikusnywa sadaka mwenyewe mbeya bila kujali cheo chake
mbowe ni mchonganishi kwani ni uongo wao si wabahili
Vijana tupo wenye heshima na maadili tumelelewa vyema na wazazi wetu na JKT imetupa uzalendo mkubwa tu lakini mmetusahau na kutuona sisi chapa vumbi hatufai lakini tunazidi kuwaombea hao mnao waona wanafaa ili taifa letu lizidi kuwa salama.
Barikiwa Kiongozi,hakika una maneno ya hekima mh mbowe,pia Katibu barikiwa Sana
Dah aisee Had mazabahun hamuon aibu jaman kwny ishu nyet km hyo #ripmengi
BASHIRU WW NI MNAFIKI HIYO SIMIYU ILIKUWA INAHUSIANA NN NA HILI LA LEO
Makonda umeonewa tu..kwani kusema ukweli nishida looh!
Binti Hussein unajua unachokisema au?? Mbona serikali ikiambiwa ukweli inakua shidah??Double standard ww.
HHS hs nakijua nannamaanisha.
HHS hs alafu kumbuka Mimi sio wewe hivyo kamuulize kama nawewe unaakiri zakushikiwa unikomeee
Binti Hussein najua kama wewe sio mm.Comment yako tu inaonesha huezi lingana na mm ata mara moja.Lapili mimi siingii period.So yah,we are soo different.Go find yaself job.U seems u gat nothing to do.Au kapike japo maandazi ramadhani hii.
Uliona wapi shoga akaingia period?? Mungu aniepushie
Mboye anabivu na Jamaa na sio vngne huwez kumfanyia makonda HVO msiban hapo watu wanaomboleza siasa weka kando
Unnecessary drama in the house of God, baba askofu ungezuia hili
Makonda hajatambua kosa lake mpaka sasa
Makonda hana kosa kwasbb alichomaanisha yy na mbowe tofaut alichoelewa
Kiuhalisia hana kosa kabisa
@@mustaphyassin5320 yaan kabsa
makonda kosa lake kutaja ukabira,kwani wenye mali nyingi ni wachaga pekee?
kosa lake ukabila kuujata angesema wenye mali wengine
Kwan uongo!!! wachaga awawezi sahiidia walemavu
Makonda yupo sahii
Wewe umewasaidia wangapi
Tarick Adam me naona ni chuki binafsi na usiasa mpk msibani mimi mwenyewe kukusaidia lbd unkute nakula tule wote so nkupe pesa or
@@minjashose2159 kweli kbx
Yupo sahii makonda tatizo nikuambiwa ukweli
Uyu mzee mbowe ana heshima sana nime hamini utu huzima dawa.
Acha ujinga wewe unakuza mambo tu mburula nyie
Iv makonda angewasifia wachagga kweli haya yangetoke.?...watu hawatakagi ukweli ...et ukabila...narudia...ata mm sijawahi kuona mchaga anatoa msaada kwa waremavu....vimbeni ila ukweli ndo huo ..nosense nie
U come down makonda
Palipo na wengi kuna MENGI pia ila yote yote mungu ndo anajua#
Umefanya vizuri sana mr mbowe.Makonda elimu ni mdogo akapewa nafasi katika utawala.Yaani umemweza .
Hii ni sehemu ya ibada ya kuaga mwili wa marehemu, sasa haya mengine yanatokea wapi
Baraka Nyambele 🇲🇺
Kwenye wengi pana mengi Ila makonda nae kazidi kwa nini kila kitu ni yeye tuu
Safi sana
Kweli nimeamini Malipo ni hapa hapa duniani Mbinguni hakuna Banki iyooooo!!!!?? #Pierelikwidi_bwana🤣
Anaharibu na anabembelezwa, yani kama yai
MAKONDA = TRUMP
Siasa msibani, siasa kanisani siasa siasa
Asante mbowe
Kwenye misiba ya watu maarufu.watu maarufu waliozimika wanapata nafas yakukiki sasa kosa lake lipi hapo mh makonda?hila si vema asaivi mnamuandama sana cheo icho wanakitaka takecare kaka makonda uliokalbu nao ndo wabaya kwako
Kosa lake liko kwenye mdomo wake mwenyewe
mchaga na mnyamwezi utani umetokea wapi uwache kuropoka mwanangu kutenda kosa si kosa bali kosa kurudia kosa.
Nani kakudanganya mnyamwezi uyo hujui uriza
Ninja sometimes unazingua japo kuwa cheo dhamana
Mkuu wa mkoa hakuwa na maana mbaya mheshimiwa Mbunge ndio tatizo acha siasa msibani
Waache propaganda wasenge hao.. Mbowe yeye kila kitu kupinga tu...
Mi sijaona kosa hapo mnamuonea kijawa wamungu jamani kasema kile anacho kiona huyo sio mtoto mdogo aseme tu kitu asicho kifaham nimekwazika hatali misamaha bongo kwenden kule
Hapo Mbowe umeingiza siasa wala Makonda hakubagua, sifa ya Wachaga ni ubahiri kwenye pesa, hawana mchezo na pesa hilo lipo wazi, hamkumwelewa, umetumia ubabe kwenye madhabahu.
MAKONDA HAJABAGUA NYIE NDO WABAGUZI HIZI NI CHUKI HAKUONGEA VIBAYA HIZI NI CHUKI TU MAKONDA CHAPA KAZI
Muungwana akivuliwanguo hasimami huchutama lakini huyu makonda kajivua halafu anapiga sarakasi huku anajiona mshindi
Daaaaa af makonda alimind sanaaaa ila hakua na nia mbaya
Hahaaha mung wanh Tanzanie kweli iyi ni haya kweli.
Mbona alikuwa amekata
Naamini makonda hajielewi kabisa nguo gani kavaa kama kiongzi mkubwa wa mkoa
nikweli hata Mimi namuunga mkono makonda kwanini tufichane hata nyerere alisema kuna makabila yana ubaguzi natusipo semana tutakuwa tunafuga ujinga
Makonda hana kosa mbowe ndolinakosa lijibaba lakini likiambiwa ukweli halitaki limekaa kisiasa siasa tangia nizaliwe sijawahi ona mchaga akimsaidia mremavu zaidi ya Dr. Mengi tu
Sema nae ndugu yetu huyu huwa anakurupuka sana cjui ni kwanini. Mda mwingine ukiona huna cha kuzungumza uwage unashukuru kwa mikono tyu👏 cyo kujitia aibu utafanya mpaka tunao kupenda tushushe vyeo vyako na kukuona wa kawaida... 🙄
Wote mnaoponda makonda mnakurupuka kaeni kmy mm n mmoja wa watu wanaotokea Kilimanjaro ila mengi huwez kumfananisha na mtu yeyote wa Kilimanjaro
Makonda hajakosea popote Mengi ni zaidi ya wachaga Wala hakuna mchaga was kulingana na mengi
Shielding told
Umekwazwa nini wewe!!! daaah pole bwana mdogo Paul Makonda kweli unachukiwa lkn naamini kbs wewe ni mti wenye matunda nilikufatilia sana pale karimjee kauli yako wala haikuwa ya kuwakwaza watu ht katibu bado sijamuelewa hapo kwanini alisema hivyo alikosea wapi? Km alikosea huko simiyu ok mimi sikuwepo lkn karimjee loh na watu eti wanasema kbs bwana asifiwe kwenye siasa zao yupi asifiwe,lkn nimetambua uchagani si ndo pipoo..wamekulazimisha dogo lkn bado uliwapiga kwa neno zuri kuwa tafasiri haikuwa njema maana ulimsifia mchaga mbele ya wachaga hahahaaaa nakukubali bwana mdogo hakika Makonda jembe
Kaka angu makonda hao ni wachaga, ingekuta ni mmasai au mmeru baba dhuu.
Nilichokisema mwaka Jana ninakusimamia hichohicho.
Kumbe madhabahuni suruali za stahili ile mbele ya hafla kubwa kwa Mtu mwenye heshma ktk Taifa unamuaga kwa Vazi lile, Dr. Bashiru nimekuelewa.
Kweli bashiru nikiongozi bora
Makonda jifunzee kua na hekima
Amen
Lipo nililojifunza hapa. Kiongozi usitanie watu. Nilichodhani wakati RC Makonda anasema maneno yale pale Karimjee Hall, alikuwa anamsifia Mengi kuwa ni Mchaga tofauti sana na wachaga wengine, na alifanya kutania kwa kusema aliyoyasema. Mimi binafsi niliona ni utani tu. Kumba haikuwa hivyo. Hilo nimejifunza namimi.
Kweli kabisa akuwa na nia mbaya
Hats hivyo msg sent ni kweli hawasaidigi kama wewe sio mchaga mwenzie
Utani ulio kweli
Hakuongea vibaya makonda
Kwa kweli ni huzun sana.
Mbowe sio mtu mzuri nimemzarau kuanzia leo
Kweli bwana wachaga niwachache wanao toa misaaa Dr mengi ndio shujaaa wa misaaada
Je nyie wengine ambao siyo wachagga mnaongonza na nini ? Tuambieni
Nikabila gani linalotoa misaada sasa !!??kila mtu anatoa kwa wakati na kwa nafas yake
Alosema makonda nikwel lkn kakosea ktamka adharani
asilimia kubwa ya wasukuma wapo moshi wameajiriwa. mnataka wachaga watoe misaada gani??
Wazaramo wanaongoza kutoa mimba tu na sio misaada.
Mkoa ambao wananchi matajiri wamejitolea kujenga shule binafsi zinazosaidia kuondoa ujinga wa nchi hii ni Kilimanjaro.
Na hata huko Dar ni hawa watu wanaofanya uchumi wa nchi hii ukue, kwa mfano tu kafanye tafiti Kariakoo au China kujua idadi ya wafanyabiashara wanaoliingizia taifa hili kodi kati ya hayo makabila mnayojivunia.
Wachaga mkiambiwa ukweli mkubali wachoyo sasa ninyi wabahili wakubwa ni mengi tu mtoaji mnasaidiaga ndugu zenu tu
Acha uvivu fanya kazi
The50JOSEPH hahhahahahahahah
Lydia Thadeous yeap