MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Kongamano La 16 la Maombi Kitaifa Dodoma || Day 4 Tarehe 2 Agosti 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Komentáře • 65

  • @SarahMeela-og6li
    @SarahMeela-og6li Před měsícem +2

    Naomba Toba na Rehema juu yangu na watoto wangu katika jina la Yesu.

  • @RozaAlexander
    @RozaAlexander Před 29 dny +1

    Hawa ndio walio tumwa naMungu, Mungu alie ziumba mbingu nanchi,, asante Mungu Baba kwaajili ya zawadi hii Baba tutunzie mtu ulie mleta kwa kusudi tutoke tulipo Ameeeee.

  • @getrudejaphet2819
    @getrudejaphet2819 Před 29 dny

    Amen God protect me and my family i need to worship in my deed

  • @HelenSablaki
    @HelenSablaki Před měsícem

    Mungu akubariki sana baba Mwakasege na familia yako kwa maono haya makubwa, Mungu azidi kuwainua viwango na viwango ameeen

  • @ElibarikiDalei
    @ElibarikiDalei Před měsícem +1

    Mungu nifayie wepesi uwasaidiee wazazi wangu na wadogo Zang ❤❤❤

  • @happygerald7771
    @happygerald7771 Před měsícem +3

    Mungu akubariki mwl Mwakasege

  • @mwendwanoah5225
    @mwendwanoah5225 Před měsícem +2

    Baba wa mbinguni tunaomba amani juu ya nchi za majirani zetu na Africa yote

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala Před měsícem

    Mungu tukumbuke taifa letu pamoja na nchi jirani damu Yako yesu ikanene mema kwenye mipaka yetu yote ikatawale

  • @doreenboniface6742
    @doreenboniface6742 Před měsícem

    Eeee Baba yangu wa mbinguni naomba Rehema na Toba kwa familia yangu Damu yako Yesu itufunike zaburi 114 :1-3

  • @jocyejohn4157
    @jocyejohn4157 Před měsícem +1

    .Napokea hiii Neema ya Mungu kwa unyenyekevu mkubwa

  • @stellacharlesmuhitira8609
    @stellacharlesmuhitira8609 Před měsícem +1

    Mungu akubariki baba

  • @jescakaaya1577
    @jescakaaya1577 Před měsícem +1

    Bwana Mungu neema hii kubwa isinipitr

  • @agnecysylvest2633
    @agnecysylvest2633 Před měsícem

    Mungu azidi kuwalinda familia ya mwakasege na big shop b shonga roho Mtakatifu azidi kuwapa uhamsho kila iitwapo leo❤❤❤

  • @jastinnkya
    @jastinnkya Před měsícem

    Asante yesu napokeya

  • @agnecysylvest2633
    @agnecysylvest2633 Před měsícem

    Najiunganisha na nchi yangu ya Tanzania Mungu naomba utusamehe, Mungu uturehemu.

  • @VenanceKitutu
    @VenanceKitutu Před 27 dny

    na mm najiungamanisha katika meza ya bwana kimfumo kwa ajili yangu na familia yangu juuu ya uchumi na kibiashara

  • @MarianNdabila
    @MarianNdabila Před měsícem +1

    Najiungamanisha Mimi na familia zangu upande was mume wangu na upande wa nyumbani kwetu na watoto wangu Mungu atufungue njia ktk maisha yetu

    • @selinadonald2799
      @selinadonald2799 Před měsícem

      Najiungamanisha Mimi Selina na mume wangu na watoto wangu Mungu atufungue katika vifungo vya maadui. Mungu atusaidie.

  • @VeronicaMakere
    @VeronicaMakere Před měsícem

    Mungu naomba ukafanye kitu kwangu

  • @Cianadvd1
    @Cianadvd1 Před měsícem

    Amen mwakani Mungu niwepo mahali hapo

    • @lydiaaruba6670
      @lydiaaruba6670 Před 22 dny

      Hakika ni pazuri munoo ,2020 niliudhuria nami naomba Mungu anisaidie niwepo🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @vickyraphael4965
    @vickyraphael4965 Před měsícem +1

    Ameen

  • @falajaJoseph
    @falajaJoseph Před měsícem

    Ee MUNGU wa mbinguni nipe neema na kibali mimi na watoto wangu na mume wangu na wadogo zangu tukujue wewe nakukuabudu wewe na Wala siyo miungu mwingine YESU kiristo ukawe mchungaji mwema kwetu

  • @yudithmwamaso7438
    @yudithmwamaso7438 Před měsícem +1

    Asante Yesu Kwa uaminifu wako

  • @VeronicaMakere
    @VeronicaMakere Před měsícem

    Najiunganisha na madhabahu yako Mungu

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Utukufu ni wako Munngu wetu Haleluyaaa

  • @GladnessDevid-gx7gc
    @GladnessDevid-gx7gc Před měsícem +2

    Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu akafanye jambo katika maisha yangu🙏🙏

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Naowaombea ndugu zangu wainuliwe kiroho, hekima, na kiuchumi katika jina la Yesu.

  • @upendokimaro2535
    @upendokimaro2535 Před měsícem

    Najiunganisha mimi na familia yangu,,watoto wangu,mume wangu,baba yangu na wadogo zangu kwa jina Kuuu La YESU KRISTO WA NAZARETI ALIE HAI.

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Mungu aturehemu katika malezi ya vijana wetu wa kiume pale ambapo hatukusimama vizuri katika malezi ya watoto wetu.

  • @neemamwaijumba9195
    @neemamwaijumba9195 Před měsícem

    Naungamanisha familia zetu na Hilo wingu lilofunika viwanja vya kwenye kongamano dodoma

  • @lizkela4231
    @lizkela4231 Před měsícem

    Amen Amen

  • @alicemuli1764
    @alicemuli1764 Před měsícem +1

    Bwana Mungu nitee Mimi Na familia yangu,umponye Baba yangu mzazi Na umpe Kibali Mme wangu katika kazi yako Ee Bwana

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Nawambea watoto wetu wamjue sana Mungu ili wawe na amani na ndivyo mema yatakavyowajia.

  • @edinaephraim
    @edinaephraim Před měsícem

    Amen

  • @SalomeNanyaro-s9d
    @SalomeNanyaro-s9d Před měsícem

    Najiunganisha na madhahu ya kitaifa kwa jina la YESU na malango yangu uzao wa tumbo langu kwa jina la YESU

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Tusamehe kama Taifa, kama kanisa.
    Wanawake waombaji tuendelee kuomboleza kwa ajili ya vijana wetu

  • @upendokimaro2535
    @upendokimaro2535 Před měsícem

    Aaaaaameeen

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Kwa imani na muweka na mwanangu wakamilishe ndoa yao wasiishie kutoa mahari.

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Watoto wangu wapate kazi na kupangiwa sehemu walizoomba.
    Na mwingine apate ufadhili wa garama zote kwenda kusoma masters ulaya au marekani.

  • @liliandaniel1484
    @liliandaniel1484 Před měsícem

    Najiungamanisha na madhabahu yako yèsu mimi pamoja na familia yangu yote.

  • @jatsonboniphace-em7ly
    @jatsonboniphace-em7ly Před měsícem

    Wew mungu niMungu usio shindwa naomba uwasaidie wazazi wangu

  • @NeemaJacob-bo9vg
    @NeemaJacob-bo9vg Před měsícem

    Amen amen thank you Lord

  • @bonifacemkanga6302
    @bonifacemkanga6302 Před měsícem

    Mungu nisaidie niweze kuoa mke wa mapenz yako

  • @HelenSablaki
    @HelenSablaki Před měsícem

    Namshukuru Mungu kwa neema hii kubwa.

  • @TunukiwaKaduma-gw5qm
    @TunukiwaKaduma-gw5qm Před měsícem

    Mungu ibariki Tanzania na mifumo yetu yote

  • @vickyraphael4965
    @vickyraphael4965 Před měsícem

    Ameeen

  • @euphrasiapeter-xn4ne
    @euphrasiapeter-xn4ne Před měsícem

    Hello watumishi ya jioni ndio hii

  • @vickyraphael4965
    @vickyraphael4965 Před měsícem

    Najiunganisha

  • @LEMAABRAHAMLEMAKILEO
    @LEMAABRAHAMLEMAKILEO Před měsícem +1

  • @HelenSablaki
    @HelenSablaki Před měsícem

    Najiungamanisha na madhabahu hii ya kitaifa kuliombea taifa langu la Tanzania.

  • @AbigaelAbigael-r2i
    @AbigaelAbigael-r2i Před měsícem

    Naamin Mungu upo na utafanya njia pasipo na njia

  • @VeronicaMakere
    @VeronicaMakere Před měsícem

    Wewe ni mkuu

  • @felixmanyonyi2955
    @felixmanyonyi2955 Před měsícem

    AMEN🙏🙏🙏

  • @LEMAABRAHAMLEMAKILEO
    @LEMAABRAHAMLEMAKILEO Před měsícem

    Ee BWANA YESU Ninakuomba upako wa dodoma uje kwagu na famila sasa ivi

  • @christinakiula3743
    @christinakiula3743 Před měsícem

    Biashara ya mwangau iongezeke kote katika pande 4 za dunia apate kibali cha biashara na katika ndoa yake.

  • @MaryErastoTarimo
    @MaryErastoTarimo Před měsícem

    Ameeeni

  • @AngelTimoth-zt3wn
    @AngelTimoth-zt3wn Před měsícem

    Najiungamanisha na ibada hii

  • @eunicekileo
    @eunicekileo Před měsícem

    ASANTE Yesu kwa konamano hili

  • @sophyrioba1703
    @sophyrioba1703 Před měsícem +1

    Ameen

  • @emanuelatemu2707
    @emanuelatemu2707 Před měsícem

    Amen

  • @LEMAABRAHAMLEMAKILEO
    @LEMAABRAHAMLEMAKILEO Před měsícem

    Ameeen

  • @MaryGoldence
    @MaryGoldence Před měsícem

    Amen

  • @upendokimaro2535
    @upendokimaro2535 Před měsícem

    Ameen