MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Kongamano La 16 la Maombi Kitaifa Dodoma || Day 4 Tarehe 2 Agosti 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Naomba Toba na Rehema juu yangu na watoto wangu katika jina la Yesu.
Hawa ndio walio tumwa naMungu, Mungu alie ziumba mbingu nanchi,, asante Mungu Baba kwaajili ya zawadi hii Baba tutunzie mtu ulie mleta kwa kusudi tutoke tulipo Ameeeee.
Amen God protect me and my family i need to worship in my deed
Mungu akubariki sana baba Mwakasege na familia yako kwa maono haya makubwa, Mungu azidi kuwainua viwango na viwango ameeen
Mungu nifayie wepesi uwasaidiee wazazi wangu na wadogo Zang ❤❤❤
Mungu akubariki mwl Mwakasege
Baba wa mbinguni tunaomba amani juu ya nchi za majirani zetu na Africa yote
Mungu tukumbuke taifa letu pamoja na nchi jirani damu Yako yesu ikanene mema kwenye mipaka yetu yote ikatawale
Eeee Baba yangu wa mbinguni naomba Rehema na Toba kwa familia yangu Damu yako Yesu itufunike zaburi 114 :1-3
.Napokea hiii Neema ya Mungu kwa unyenyekevu mkubwa
Mungu akubariki baba
Bwana Mungu neema hii kubwa isinipitr
Mungu azidi kuwalinda familia ya mwakasege na big shop b shonga roho Mtakatifu azidi kuwapa uhamsho kila iitwapo leo❤❤❤
Asante yesu napokeya
Najiunganisha na nchi yangu ya Tanzania Mungu naomba utusamehe, Mungu uturehemu.
na mm najiungamanisha katika meza ya bwana kimfumo kwa ajili yangu na familia yangu juuu ya uchumi na kibiashara
Najiungamanisha Mimi na familia zangu upande was mume wangu na upande wa nyumbani kwetu na watoto wangu Mungu atufungue njia ktk maisha yetu
Najiungamanisha Mimi Selina na mume wangu na watoto wangu Mungu atufungue katika vifungo vya maadui. Mungu atusaidie.
Mungu naomba ukafanye kitu kwangu
Amen mwakani Mungu niwepo mahali hapo
Hakika ni pazuri munoo ,2020 niliudhuria nami naomba Mungu anisaidie niwepo🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameen
Ee MUNGU wa mbinguni nipe neema na kibali mimi na watoto wangu na mume wangu na wadogo zangu tukujue wewe nakukuabudu wewe na Wala siyo miungu mwingine YESU kiristo ukawe mchungaji mwema kwetu
Asante Yesu Kwa uaminifu wako
Najiunganisha na madhabahu yako Mungu
Utukufu ni wako Munngu wetu Haleluyaaa
Najiungamanisha na madhabahu hii Mungu akafanye jambo katika maisha yangu🙏🙏
Naowaombea ndugu zangu wainuliwe kiroho, hekima, na kiuchumi katika jina la Yesu.
Najiunganisha mimi na familia yangu,,watoto wangu,mume wangu,baba yangu na wadogo zangu kwa jina Kuuu La YESU KRISTO WA NAZARETI ALIE HAI.
Mungu aturehemu katika malezi ya vijana wetu wa kiume pale ambapo hatukusimama vizuri katika malezi ya watoto wetu.
Naungamanisha familia zetu na Hilo wingu lilofunika viwanja vya kwenye kongamano dodoma
Amen Amen
Bwana Mungu nitee Mimi Na familia yangu,umponye Baba yangu mzazi Na umpe Kibali Mme wangu katika kazi yako Ee Bwana
Nawambea watoto wetu wamjue sana Mungu ili wawe na amani na ndivyo mema yatakavyowajia.
Amen
Najiunganisha na madhahu ya kitaifa kwa jina la YESU na malango yangu uzao wa tumbo langu kwa jina la YESU
Tusamehe kama Taifa, kama kanisa.
Wanawake waombaji tuendelee kuomboleza kwa ajili ya vijana wetu
Aaaaaameeen
Kwa imani na muweka na mwanangu wakamilishe ndoa yao wasiishie kutoa mahari.
Watoto wangu wapate kazi na kupangiwa sehemu walizoomba.
Na mwingine apate ufadhili wa garama zote kwenda kusoma masters ulaya au marekani.
Najiungamanisha na madhabahu yako yèsu mimi pamoja na familia yangu yote.
Wew mungu niMungu usio shindwa naomba uwasaidie wazazi wangu
Amen amen thank you Lord
Mungu nisaidie niweze kuoa mke wa mapenz yako
Namshukuru Mungu kwa neema hii kubwa.
Mungu ibariki Tanzania na mifumo yetu yote
Ameeen
Hello watumishi ya jioni ndio hii
Najiunganisha
❤
Najiungamanisha na madhabahu hii ya kitaifa kuliombea taifa langu la Tanzania.
Naamin Mungu upo na utafanya njia pasipo na njia
Wewe ni mkuu
AMEN🙏🙏🙏
AMEN
Ee BWANA YESU Ninakuomba upako wa dodoma uje kwagu na famila sasa ivi
Biashara ya mwangau iongezeke kote katika pande 4 za dunia apate kibali cha biashara na katika ndoa yake.
Ameeeni
Najiungamanisha na ibada hii
ASANTE Yesu kwa konamano hili
Ameen
Amen
Ameeen
Amen
Ameen