🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • 🔴#LIVE: MAKONDA ATINGA MAKAMBAKO, ANATOA DOZI, WANANCHI WANAFUNGUKA KERO ZAO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 26

  • @pcmofficialtz
    @pcmofficialtz Před 7 měsíci +1

    The next president mungu akulinde makonda

  • @zainab8251
    @zainab8251 Před 7 měsíci

    Pole sana makonda kwa ajali mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 7 měsíci

    Natoa pole kwa Mama Mtoto na asante kwa msaada wa kutoka kwa Wananchi na asante kwa Chama cha CCM ❤ Mungu awabariki na awaongezee

  • @user-Mwasumbi1993
    @user-Mwasumbi1993 Před 6 měsíci

    Mwombeeni Sana kwa mungu awe kusudi la watanzania

  • @user-jc7nh8um1j
    @user-jc7nh8um1j Před 6 měsíci

    PlaeD of makonda

  • @IlalioMbunju-hv7kw
    @IlalioMbunju-hv7kw Před 7 měsíci

    Makonda uwe makini na izo skafu wanazokuvalisha wabaya wako pembeni yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-vb2nc5vn7q
    @user-vb2nc5vn7q Před 7 měsíci

    Tumempoteza magufur tumelia na kuomba mungu atupatie mtu atakae simama kujitoa sadaka tunazani ni nani kama sio huyu hapo ni mdogo je tukimpa zamana atatuambia hadi samaki waliopo baharini hongera sana

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 7 měsíci

    Mama Samia ongeza nguvu- mpatie kazi Sabaya akusaidie ktk ziara hizi wakishirikiana na Makonda. kero za wanachi Sabaya pia anaweza mama

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Před 7 měsíci

    Nimefurahi Sana kumsikia Mwenezi Makonda akihubiri HAKI. Neno geni Sana HAKI Kwa Watendaji serikalini.

  • @emanuelyigwira2511
    @emanuelyigwira2511 Před 7 měsíci

    Makonda anahekima ya juu sana katika kuhoji na kung’ata vzr kama pitbull

  • @AMBINHED
    @AMBINHED Před 7 měsíci

    Mheshimiwa MAKONDA hongera sana na Shukran nyingi sana kwa Mama yetu Raisi Samia Suluhu kwa kujuteuwa. Makonda mimi Sina chama ila kwa haya unayo fanya umenigusa sana . MHESHIMIWA MAKONDA YOU ARE GENIUS ! USIOGOPE KUSEMA UKWELI NA USIWE JASIRI KUDANGANYA 👏👏👏💪💪💪

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga3517 Před 7 měsíci

    Ukweli, Makonda unaeleweka. Mungu akutangulie.

  • @RosemaryKasuka
    @RosemaryKasuka Před 7 měsíci

    Safi sana tunakuombea sana

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 7 měsíci

    Super Mheshimiwa Makonda unasaida Wanyonge hongera sana ❤ kwa kazi nzuri Mungu ni mkubwa akuongezee nguvu

  • @metheomwaloga1701
    @metheomwaloga1701 Před 7 měsíci

    Tukuombee KWa mungu kwakweri nikikumbuka yaliompata magufuri sipati picha

  • @juliusngavatula243
    @juliusngavatula243 Před 7 měsíci

    Kulajua

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 7 měsíci +1

    Huyu jamaa km namuelewa sasa

  • @user-vb2nc5vn7q
    @user-vb2nc5vn7q Před 7 měsíci

    Kuna watu kwaajili ya kutimiza utu wao ni wanafki sana ivi mtu akiwa na tabia mbaya akaamua kubadilika nakufanya mambo mazuri kwanini asipongezwe ukwe hiki kinachoendelea na huyu jamaa ni kitu chamaana sana hongera sana chifu makonda fanya fika huku kusini yani masasi hadi lupaso ujionee watu walivyokwama na hakuna pakulilia

  • @JacobMorogoro-is7kj
    @JacobMorogoro-is7kj Před 7 měsíci

    Duu mtoto ana lawitiwa du.

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 7 měsíci

    MH RAIS LINDA JEMBE LAKO! ASIVISHWE SKAF PLS NI HATARI SSSSSSANA KWAKE!!

  • @gidaybhuko7854
    @gidaybhuko7854 Před 7 měsíci

    Ukiwajulia wananchi Raha sana. unaenda nao jinsi walivyo. Ukija na yako hata yawe ya maana utawatesa Tu kwa kuwa hawatakueewa

  • @martinmkoma-zl1iv
    @martinmkoma-zl1iv Před 7 měsíci

    Ni hatari endelea kutetea wayonge

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman7216 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před 7 měsíci

    Mmmm ukisema una mtihani kuna wenzio wana makubwa hayasemeki

  • @user-ts1pe5fw6y
    @user-ts1pe5fw6y Před 7 měsíci +1

    Saizi wapole wanatafta kula tu