Baadhi ya Wakenya wasifu hatua ya kuongeza saa za kafyu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Hotuba ya rais hii leo imekatiza matumaini ya wakenya wengi ambao walikuwa wakisuburi mwisho wa kafyuu. Lakini licha ya hilo, kuna wale ambao wamepata nafuu baada ya hotuba hiyo, hasa kaunti za kwale na kilifi na pia wakaazi wa eneo la eastleigh hapa nairobi, na kule oldtown, kaunti ya mombasa

Komentáře • 6