Familia zabomolewa makazi yao Khwisero

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 01. 2019
  • Familia moja kutoka kijiji cha Ebuchero eneo bungela Khwisero kaunti ya kakamega imekesha kwenye kibaridi siku ya pili baada ya nyumba zao kubomolewa na watu wasiojulikana. Inaarifiwa kuwa watu hao pamoja na maafisa wa polisi walifika katika boma la Richard Namale na kuanza kubomoa nyumba zao na kufanya uharibifu wa mali wakidai wanafuata amri ya mahakama.
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.com/+CitizenTVKenya
    / citizentvkenya

Komentáře •