Familia moja eneo la Khwisero yazika kimakosa mwili uliopatikana kwenye mto Yala

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2023
  • Familia moja katika kijiji cha Shamsinjiri eneo bunge la Khwisero kaunti ya Kakamega, imedua baada ya kuzika kimakosa mwili uliopatikana kwenye mto yala wakidhani ni jamaa wao. Familia hiyo sasa inaomba serikali kufukua mwili huo usiojulikana,baada ya kugundua kwamba waliyedhani wamemzika yungali hai.
    Connect with KBC Online;
    Subscribe to our channell: t.ly/86BKN
    Follow us on Twitter: / kbcchannel1
    Find us on Facebook: / kbcchannel1news
    Check our website: www.kbc.co.ke/
    #kbcchannel1 #TheGreatKBC #darubiniwikendi

Komentáře •