Ndugu waislamu wezangu ni mmoja tu hakuzaa Wala hakuzaliwa Wala Hana mtoto yeye ni mjuzi wa kuumba uwezo wote ni wa kwake yeye na yeye ndie mwenye kutowa riziki kwa viumbe wote na yeye ndie mwenye malipo siku ya hukumu tumnyenyekee Alla tumuabudu Alla tusimshirikishe shirki yoyote wakati wetu wote tuutumie kwa ibada na kuijua kurani na tafsir yake ili tupate mwisho mwema Amin
Haikubadilika ...haijabdilika ..haitobadilika ..qur an ...n naneno ya Allah .na uislam ndo din ya haki ....Allahu Akbar..tujaalie mwisho mwema amiiin ya Allah.
@@shahakimbeofficial8901 Kwakweli ilinibidi nimwite mwanangu aliezaliwa 30.08.2020 jina la Yusufu kwa kuvutiwa na kisa hiki. nili coment mwaka 2019 kisha mwaka 2020 nikamwita mwanangu jina la Yusufu...Allah atujaalie tuwe wenye kusikia, kuzingatia na kufanyia kazi maneno yake.
MashaaaAllah 🥰 Quraan ni nzur sana M. Mungu akubariki ewe unayetutafsiria M. Mungu akuongoze katika njia iliyo nyoooka aaamin🥰 amin amin amin amin amin
Maashaallah Allah amjaziekila lakheri msomi huyu pamoja na mwenye kutafsiri na alla ajalie jamii zoteza kiisilam ziwe na kheri ktk dunia na akhera ameen
Haichokeshi...Hata ukaskiza walau Aya moja siku nzima...Haijachosha Surah Fatiha Katika swala mara tano Kwa siku.... Ama kweli Qur'an ndio muujiza pekee unaoishi na ambao uko mbele kiwakati❤❤❤ Allah atujaaliye kuiacha duniya hali ya kuwa tuko waumini Mardhiya. Ameen.
Masha Allah Allah akulipe kheri insha kwa kutuelisha napenda sana huyu anaetafsri na msomaji Allah awalinde jina lake nani huyu shekhe anaetafsiri jamani
nimeisikiliza vizur sana haina tofaut naya bibilia sasa nimejuwa Quran na bibilia nikitu kimojaa M/mungu atulinde sote kama umekubaali dondosha like zako hapa.Amina
Ndugu waislamu wezangu ni mmoja tu hakuzaa Wala hakuzaliwa Wala Hana mtoto yeye ni mjuzi wa kuumba uwezo wote ni wa kwake yeye na yeye ndie mwenye kutowa riziki kwa viumbe wote na yeye ndie mwenye malipo siku ya hukumu tumnyenyekee Alla tumuabudu Alla tusimshirikishe shirki yoyote wakati wetu wote tuutumie kwa ibada na kuijua kurani na tafsir yake ili tupate mwisho mwema Amin
Amin!!!
Haikubadilika ...haijabdilika ..haitobadilika ..qur an ...n naneno ya Allah .na uislam ndo din ya haki ....Allahu Akbar..tujaalie mwisho mwema amiiin ya Allah.
MashaAllah Mola Atubariki zaid kuhifadhi na kuifuata Dini ya haki Nakuhifadhi Qur_an kweny vifua vyetu Amiin
SHEIKH mungu akujalie janatil firdaws amin thuma amin
Amin
ا لله اكبى
Amiin 🤲
Masha Allah,naipenda sana Surah Yusuf huwa naskia nafarijika sana na kupata utulivu wa nafsi nikiisikia
Ewe Allah nakuomba utujaalie sisi waislam tuhifadhi qur ani katika vifua vyetu amin amini
Mashaallah
P000pp see pp0pppp0p pp p0pppp pp p0pp
Allahumma amiin kwa sote!
Mash Allah
Ameen am willing hadi sai
Mashaallah 💓❤️❤️ ya Allah tujalie tuhifathi Quran katika vivua vyetu
Yaarab tupe hsunl hatma ,ewe Molamlezi tupe elmu yenye manufaa Dunia wa akhera ,Amin
Allahum amiin y'Arabbi tuongoze siwote waislam tuwe nyuma ya'mte wetu muhammad s.w.slm namshukuru Allah kuniongoza nikawa muislam
Mashaallah ❤….may Allah atusaidie tuhifadhi Quran
Mashaallah mashaallah mashaallah tabaraka llahu shukran wajazaka llahu heri
Ya allahu nijaalie nife nikiwa muislamu
Ameen
Ninapenda sana Surat ur yusuph,, mashallah, Allah wakbar
in shallah
..tena na wingi wa matendo mema.Amin
Mashallahaa mashallahaa Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu kama bado umzm
Allah Allah atujalie mwisho mwema Allahuma Amiin
Allah atupe nuru kwenye noyo zetu tushikane kuisoma na kusikiliza Quran mpaka mwisho wa uhai wetu ameen
Allah hummaa amyiiin thummaa amiin maneno matamu mazito
Masha Allah,Mungu mkubwa
Allhamdulillah Mola wetu ni mwingi warehema ❤
Alhamdullillah ewe mwenyez mungu naomba mwisho mwema
Allah!! Awarehemu
Aisee yusufu alikuwa mzuri kwelikweli maashallah kisa cha yusufu kimeniingia kwelikweli...Allah ajaalie tuwe miongoni mwa watu wema
Ameen.
Napenda tu zaidi tafsir ya quran
Mca
Mie ndo nimekuja leo hapa,🙏2020 Ila honger kwa kumpa mwanao hili jina
@@shahakimbeofficial8901 Kwakweli ilinibidi nimwite mwanangu aliezaliwa 30.08.2020 jina la Yusufu kwa kuvutiwa na kisa hiki. nili coment mwaka 2019 kisha mwaka 2020 nikamwita mwanangu jina la Yusufu...Allah atujaalie tuwe wenye kusikia, kuzingatia na kufanyia kazi maneno yake.
Mashallah, hakika mwenyezimungu anajua zaidi vilivyo ndani yetu na kwahakika qur an ni ufunuo na mafundisho kwa yule mwenye aqili
Mwenyez mungu atujalie tuwemiongoni mwa watu wema in sha allah
MashaaaAllah 🥰 Quraan ni nzur sana M. Mungu akubariki ewe unayetutafsiria M. Mungu akuongoze katika njia iliyo nyoooka aaamin🥰 amin amin amin amin amin
Manshaallaah 🤗🤗🤗❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍😍😍Allaah tujaliye mwisho mwema 🤲🤲🤲 Ameen 💕💕💕💕💕💕
Ameen
Ameen
Napenda sana kusikiliza tafsiri za Qur'an
Nzr
Mashallah
Mca
Mashallah najivunia kua muislam dini ya khaki
Alhamdulillah namshukuru mungu wangu kwakuniumba binaadam naninakuomba UNIFISHE NIKIWA muislam naunichanganishe na watendao mema mim na kizazi changu na wazazi wangu amiin
Ameen yarabi atujalie.mwisho mwema😢
Aamin
Alhmduilah mwenyezi mungu atujalie mwisho wetu
Masha Allah jazakallah kher Allah awap maixh maref mashkh zet inshallah
Mashaallah allahu akbar ewe Allah tujalie tuwe niwenye kukuamini inshaallah na kuwa na hofu juu yako inshaallah 😢😢😢
Allah akujalie katika wajaa wema
Maashaallah Allah amjaziekila lakheri msomi huyu pamoja na mwenye kutafsiri na alla ajalie jamii zoteza kiisilam ziwe na kheri ktk dunia na akhera ameen
Ameen
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 mashaallah
Alhamdulilah
❤maashaallah hakika mwenyezi Mungu nimwenye huruma namwenye kurehemu allah atuifadh naavifungue vifua vyetu kwakuifaz qur,ani Amin Amin yarabira alaminnn😂
Alhamdulillah Allah Akusimamie shukran sana
Mashaalah! Kisa chenye mafunzo
Hakika mwenyeenzi mungu ametukuka,allahu akbar
MashaaAllah😍kisa kizuri mmnooo kina kila Aina ya mafunzo yaaRabiy tuongoe tujaalie na sisi miongoni mwa waja wako wa PEPONI aaaamin
Allahuma aamin
Masha Allah , Allah atuajalie mwisho mwema In shaa Allah
Kwakweli uislamu ni mzuri sana
Kwa hakika kisa hiki hua kinanipa moyo na kutokata tamaa maishani. Subhana Allah
Allah atujaarie mwisho mwema امين
Amiin
inshaala
Mashaallah Allah awalipe kila lenye kheriii
Mashallah Allah akibar hakika Allah atujalie mwisho mwema umat Muhammad (s.a.w) thuma amiin
Ameen
Aamin
Amiin
Mashallah tabaraka llah
Asant umesoma vizur sana
Inshallah
Allah tujaalie mwisho mwama nshaallah
Mungu ajalie tuwe katika makundi yakheri nabaraka makundi yawatu wema
Mashaallh
Ameen
Mashaallah... Mashaallah... Mashaallah
JazzakaAllah kher
Mashaallh yaaraby tupe mwisho mwema
Allah atuepushe na husda
MaashAllah Alhamdulilah
Asante Mungu kuzaliwa kweny Uslamu
Shukran allah
MashaAllah
Hapana mjuzi ila Mwenyezi Mungu
Apo kweli kabisa
Tujàalie ALLAH tuwe wenye kuzingatia maneno yako matukufu na tuwe wenye kuyafanyia kazi kwarehma zako
Insha ah
Alhamdu lilah
Mungu akutangulie popote ulipo
Maa Shaa Allah, Shukran sana.
Ramadhan hii napenda kusikiliza tafsili za Quran tukufu za kiswahili
Mca
JazakaAllah kheir💕💕❤❤
MashaALLAH ww unayetafsiri na mishary ALLAH awajalie jannatul firdaus
Allah akbar
Mashaa Allah
ManshaAllah
Mca
Allah Akbar
Masha allah
Masha Allah
Masha allah nic
Allahu Aqbaru
Somo wangu yusuf namkubali sana
Somo wetu ,tunapaswa tuege n matendo yke
allah is enough
Amiin
Allahu akbar nimejifunza kitu kikubwa mno humu ndani kwamba tusipende kutangaza heri tulizo pewa na allah alhamdurillah
one of my best surah..Alhambulilah
Alhamdulillah kwa kujua kiswa hiki
Mashaallah
Kiukweli Allah Akbar🥰🥰🥰💕💕💕💕💕🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Allah akbar allah akbar allah akbar aallah kareem🙏🙏😅😅😅
L love you allah ik are em🙏🙏🙏🙏🙏
Àlhamdulilah Rabbil alamina 😢😢
Mashallah 💓💓💓💗
May the blessings and peace of Allah be up on our beloved prophet Yusuf!!
Haichokeshi...Hata ukaskiza walau Aya moja siku nzima...Haijachosha Surah Fatiha Katika swala mara tano Kwa siku....
Ama kweli Qur'an ndio muujiza pekee unaoishi na ambao uko mbele kiwakati❤❤❤
Allah atujaaliye kuiacha duniya hali ya kuwa tuko waumini Mardhiya.
Ameen.
Masha Allah Allah akulipe kheri insha kwa kutuelisha napenda sana huyu anaetafsri na msomaji Allah awalinde jina lake nani huyu shekhe anaetafsiri jamani
Maashaalaah.May Allah make us accquited to this tafsir.Amin Amin Amin
Mashaallah alhamdulillah
Mashaallah Allah akbar
Allah atupe mwisho mwem ishaallah
Allhamdulilah
mashAllah
Subhannallah 😓!. ALLAHU AKBAR ALLAH AKRAM 🕋🤍🕋
Allahu Akbaru surat Yusufu nzuri sana kuisikia
Masha'Allah..
Ya Allah make our Emaan stronger
MashaaAllah tabarakaAllah
nimeisikiliza vizur sana haina tofaut naya bibilia sasa nimejuwa Quran na bibilia nikitu kimojaa M/mungu atulinde sote kama umekubaali dondosha like zako hapa.Amina
Hakika #Hazifanani QUR'AN na #Biblia kwani Biblia #yajichanganya kwenye #maandiko_yake_mengi.
Mjuzi ni الله
Hapana Quran ni Quran na biblia.ni biblia, havifanani
inshallah mungu tujalie
Masha Allah naipenda kiruan
Alhamdulillah
kama umependa gonga like twende mbele
NimefurAhi zaidi allah atujalie tuwe miongoni wa wapole wAkweli kama nabii yusuf alsm Allah akbar
Nipo
Mashallah
Manshallah shukran kwa msaada mkubwa ,Allah awabariki , mtusaidiye mu upload qur an yote
manshallah
👏
Shukran
Mash_Allah!! Surah yusuf
mash-llah mwenyezi mungu atujalie na atunusuru na mabaya