Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
barikiwa mchungaji wetu kwa ujumbe wa kristo nainuriwa sana kiroho ninapokusikiriza amina
Mafundisho yako yananiinua imani yangu mungu akupe maisha marefu yenye mwisho mwema
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Nabarikiwa na wewe sana..... Mungu endelea kumlinda huyu mtu
Amen! Jina na Thamani ni la Yesu pekee
Mafundisho yako pastor yamenitoa mbali
Hallelujah mungu ashidi kukuongesa nguvu ili twendelee kupata neno barikiwa sana Amina
Jina la yesu ni ngome yangu, nitamkapo jina hiyo ngome nyingine sins. Damu ya yesu izidi kuniosha nakunitakasa, Amen.
A trick: watch series on Flixzone. Been using it for watching a lot of movies these days.
@Casey Zayne yup, been watching on flixzone for months myself :)
Somo zuri. Naomba kama inawezekana li upload again manake kuna sehemu lina kelele halickiki. Mubarikiwe
Hakika hili jina Yesu lina nguvu
Damu Ya Yesu ina Nguvu.
Mungu anaweza yote
Amen Barikiwa pia Pastor
Amen asante
Barikiwa Sana mtumishi
MUNGU aendelee kukupigania mtumishi
Jina la Yesu ina Nguvu.
amen
Ni kweli kabisa ukikabwa usingizini ukishindwa kutoa sauti ukaita Yesu kimoyomoyo ,kukabwa kunaisha ghafla pap
Amina tunashukuru sana kwakutuombea na kutufundisha.
🙏🏻,ni jina la majina yote.
❤️🙏🙏😢
Damu yake Yesu inanguvu
Amina.
Nina Yesu,sitaogopa mawimbi
Amen Amen
Mungu azidi kukuinua na kukupa nguvu katika kazi yake
pastor naomba uombe nasi siku ya leoo
nipo arusha
Amina
Hizi ni cream za one year ago.
Nyalugusu choir
Kaeni ndani yangu nami ndani yenu,,,,pamekwaruza nimepapenda,,,,natamani nielewe japo kwa ufupi tena,,,,
"ilikuwa hiv kaeni ndani yangu nami ndani yenu alafu sasa ombeni chochote"
Yaani huwezi kuomba chochote kama uko nje ya Yesu,kupitia yeye pekee tunaweza kupata kila kitu
Pr David ongera kwa masomo mazr naitaji number yako ya WhatsApp nipo Lusaka Zambia
pastor nahitaji vitabu vyako
daniel ngakonda Uko wapi
Ninahitaji hicho kitabu cha siri ya maombi yaliyo jibiwa. Nipo Moshi.
Ester Ayubu WAKALA WA MOSHI NI +255 767 053 655
@@MahubiriPrMmbaga asante
barikiwa mchungaji wetu kwa ujumbe wa kristo nainuriwa sana kiroho ninapokusikiriza amina
Mafundisho yako yananiinua imani yangu mungu akupe maisha marefu yenye mwisho mwema
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Nabarikiwa na wewe sana..... Mungu endelea kumlinda huyu mtu
Amen! Jina na Thamani ni la Yesu pekee
Mafundisho yako pastor yamenitoa mbali
Hallelujah mungu ashidi kukuongesa nguvu ili twendelee kupata neno barikiwa sana Amina
Jina la yesu ni ngome yangu, nitamkapo jina hiyo ngome nyingine sins. Damu ya yesu izidi kuniosha nakunitakasa, Amen.
A trick: watch series on Flixzone. Been using it for watching a lot of movies these days.
@Casey Zayne yup, been watching on flixzone for months myself :)
Somo zuri. Naomba kama inawezekana li upload again manake kuna sehemu lina kelele halickiki. Mubarikiwe
Hakika hili jina Yesu lina nguvu
Damu Ya Yesu ina Nguvu.
Mungu anaweza yote
Amen Barikiwa pia Pastor
Amen asante
Barikiwa Sana mtumishi
MUNGU aendelee kukupigania mtumishi
Jina la Yesu ina Nguvu.
amen
Ni kweli kabisa ukikabwa usingizini ukishindwa kutoa sauti ukaita Yesu kimoyomoyo ,kukabwa kunaisha ghafla pap
Amina tunashukuru sana kwakutuombea na kutufundisha.
🙏🏻,ni jina la majina yote.
❤️🙏🙏😢
Damu yake Yesu inanguvu
Amina.
Nina Yesu,sitaogopa mawimbi
Amen Amen
Mungu azidi kukuinua na kukupa nguvu katika kazi yake
pastor naomba uombe nasi siku ya leoo
nipo arusha
Amina
Hizi ni cream za one year ago.
Nyalugusu choir
Kaeni ndani yangu nami ndani yenu,,,,pamekwaruza nimepapenda,,,,natamani nielewe japo kwa ufupi tena,,,,
"ilikuwa hiv kaeni ndani yangu nami ndani yenu alafu sasa ombeni chochote"
Yaani huwezi kuomba chochote kama uko nje ya Yesu,kupitia yeye pekee tunaweza kupata kila kitu
Pr David ongera kwa masomo mazr naitaji number yako ya WhatsApp nipo Lusaka Zambia
pastor nahitaji vitabu vyako
daniel ngakonda Uko wapi
Ninahitaji hicho kitabu cha siri ya maombi yaliyo jibiwa. Nipo Moshi.
Ester Ayubu WAKALA WA MOSHI NI +255 767 053 655
@@MahubiriPrMmbaga asante
Mafundisho yako yananiinua imani yangu mungu akupe maisha marefu yenye mwisho mwema
Mafundisho yako pastor yamenitoa mbali