SIKU UKIFUNGUKIWA KUTAMBUA HILI,UTABADILIKA FIKRA KABISA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 01. 2020
  • SIKILIZA HADI MWISHO

Komentáře • 96

  • @TommyLee-ib5pk
    @TommyLee-ib5pk Před 4 lety +15

    Tuliambiwa tutawatambua kwa matendo hakika wewe ni mtumishi wa Mungu umenifunza vingi sana wewe ndio unatumia 90% ya bundle langu

  • @jordanmashaka50
    @jordanmashaka50 Před 4 lety +9

    Ahimidiwe Mungu wa miungu kwa ujumbe huu madhubuti. Katika jina lake Yesu Kristo, amina.

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 Před 4 lety +4

    Mbinu zote zimenishindikana nimejaribu ila bado. Eeh yesu naikabidhi kwako kuanzia leo
    Navua viatu kama musa na yeshua. Amen from Qatar.

  • @bettyforssell5445
    @bettyforssell5445 Před 4 lety +2

    Napenda na ninafuatilia mafundisho yako pastor. Mungu aendelee kukulinda na kukujaza Roho Mtakatifu ili uendelee kutuelimisha elimu ya kiroho

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 Před 4 lety +1

    Assnte Mungu kwa ufunuo huu. Ni kweli ni kwa neema tu ya Yesu. Pastor kweli viatu tumeshindwa kuvivua. Mungu atusaidie. Ubarikiwe Pastor

  • @sanfanrioba258
    @sanfanrioba258 Před 4 lety +3

    I love the way God has used you pastor, may God's blessing be with you always, hope to meet at jesus's feet.

  • @joyestherbagarura954
    @joyestherbagarura954 Před 4 lety +7

    Eh!!! This man of God is addictive!!! I have to listen to his preachings every day!!!! En i dont regret!!! I should start praying for Him Mungu aendelee kumpa neno la kutulisha!!!!♥♥♥

  • @roselineombati670
    @roselineombati670 Před 2 lety +1

    Amen and amen,hakika unanibariki neno hili limenipa faraja na funzo kwa changamoto ninazopitia,niombee mungu anisaidie kumwelewa

  • @jamesmboga7325
    @jamesmboga7325 Před 4 lety +3

    let us give God a chance when we are empty, will fill us, change us and give direction.Thanks for a promising sermon .May the Lord bless you.

  • @wiza2309
    @wiza2309 Před 4 lety +1

    Bwana Yesu nami naungana na Mtumishi wako huyu Mbaga, kwa Neno uliloliweka ndani yake, namuombea Afya ya Roho na mwili, mtunze mkirimu na umpe tele Neema yako, asimame katika kweli yote, muondolee dhambi ya kujikinai ili adumu katika kweli, siku zote.
    Ninaponywa na kuimarishwa kila siku ninapomsikiliza kupitia channel hii ya Mahubiri TV. Asante kwa somo hili, nami Bwana ninavua viatu vyangu na niko tayari Bwana kukusikiliza, nisaidie Bwana, nifanye nini katika kuujenga mwili wa Kristo

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Před 3 lety +1

    Amina na Amina, Mungu akubariki, ila maombi yako kwakweli nazidi kukumbea sana sana na familia yako. Amina

  • @upendobaina2171
    @upendobaina2171 Před 2 lety +1

    Nabarikiwa sana namafundisho yako mch Mmbaga Mungu akutie nguvu

  • @nyotamabanga8873
    @nyotamabanga8873 Před 3 lety +1

    Amen

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 Před 4 lety +3

    Amina mtumishi unanisaidia sana Mungu akuzidishie

  • @esthermajogoro6119
    @esthermajogoro6119 Před 4 lety +2

    Mungu akubariki sana pastor, Akutangulie sana. Naamini watu wengi watabarikiwa sana kupitia masomo na mahubiri haya.

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 Před 4 lety +4

    Amen,Mungu ni Mkuu

  • @queemwalongo9339
    @queemwalongo9339 Před 4 lety +2

    asante mchungaji kwa somo zuri sana , mimi sio msabato lakini nafwatilia sana mafundisho yako leo yamenitoa kwenye mzigo mkubwa sana ambao umenisumbua kwa muda mrefu sana MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi

  • @MildredShinali
    @MildredShinali Před 8 měsíci

    Ubarikiwe kunitia moyo mtumishi wa mungu Kwa hakika ulitumwa kutuokoa sisi ili tuwe na imani Kwa yesu

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh Před 7 měsíci

    Amen Amen pastor mungu akubariki ansante kwakuniondolea. Kujitwika mizingo mwenye we.

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 Před 4 lety +2

    Muchungaji una maneno ya makali ya kumuchomo shatani ndani ya maisha yetu. Ubarikiwa muchungaji

  • @florencenyaruri5695
    @florencenyaruri5695 Před 2 lety +1

    I am blessed all the time I listen to your presentation. God is using you in a powerful way.

  • @roseweeterkasikila9449
    @roseweeterkasikila9449 Před 3 lety +2

    Heri tumbo lililokuzaa na ziwa ulilo nyonya,,, mahubiri na mafundisho yako hakika yamebadili maisha yangu ya kiroho,, Barikiwa

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Před 7 měsíci +1

    Barikiwa sana mtumishi uko vizur

  • @stevenbenson1499
    @stevenbenson1499 Před 4 lety +7

    yani we pasta umebarikiwa zaidi na zaidi kwenye ufundishaji wa neno la MUNGU

  • @TommyLee-ib5pk
    @TommyLee-ib5pk Před 4 lety +9

    Mimi sio msabato lakini tangu nimekufahamu haiwezi kupita siku bila kusikiliza Mungu anataka kunifundisha kitu gani kupitia wewe

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Před 3 lety

    Asante baba nasikia amani moyoni mwangu kusikiliza mafundisho yako.Mungu azidi kukubariki baba tunapona

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 Před 4 lety +1

    Amen!Mungu akubariki mch.David Mmbaga na familia yako.

  • @user-ew6tr5jk2o
    @user-ew6tr5jk2o Před 6 měsíci

    Asante sana mutumishi wa Mungu umenigusa sana kwa maisha yangu balikiwa sana nakutasama kutoka Saudi Arabia ❤❤❤❤🎉

  • @imangregory8392
    @imangregory8392 Před 4 lety +3

    namshukuru Mungu aliye juu toka nimekufaham nimekuwa najifunza mapya kila siku

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 Před 4 lety +12

    yaan hata kama nikiwa namawazo mengi ila pindi nisikilizapo mahubiri yako mm napona nasonga mbele na naamini huu mwaka lazm nitavuka mahali nilipo kwama kwa mda mrefu mm na familia yangu

  • @deborahmakokha5418
    @deborahmakokha5418 Před 3 lety

    Amen barikiwa sana mchungaji nimebarikiwa sana na hili neno

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki ww na familia yako aifunulie neno kla wakati baraka zishuke juu yako na familia yako

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 Před 4 lety +4

    Haki mtumishi mungu akulinde sikuzote cz ni kweli kabsa kama tutakua tunauliza kila kuchao tufanye nini wengi tungekua mbali sana

  • @JohnThadayo
    @JohnThadayo Před 10 měsíci

    Aminiamini nawaambia mtu yoyote akitaka kunifuata na ajikanye mwenyewe,nitakufuata daima e Mungu wangu niongoze niufukie uflume wako,Mchungaji unatubari kwa mahubiri yako

  • @maryotieno7910
    @maryotieno7910 Před 2 lety

    Mahubiri imenigusa sana sana God bless you Pastor

  • @365basics
    @365basics Před 4 lety +2

    nimejifunza mengi ubarikiwe Pr

  • @DavidKisuya
    @DavidKisuya Před 4 měsíci

    I love the sermon

  • @daveondiek9926
    @daveondiek9926 Před 3 lety +2

    Hallelujah!

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 Před 4 lety +22

    Ee MUNGU endelea kumtunza huyu pastor maana amenijenga mm kukujua ww

  • @maliyadinas9645
    @maliyadinas9645 Před 4 lety +2

    Mungu Wangu niurumie Mimi mwenye kiso baba

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 Před 3 lety

    AMINA🙏.nimecheka,nikabarikiwa na nitaishia kisema asante sana kwa mahubiri yako mchungaji mmbaga;.mungu akubariki sana🙏

  • @racinecarine818
    @racinecarine818 Před 3 lety +1

    Nimebarikiwa sana

  • @user-em1bu1es4p
    @user-em1bu1es4p Před 7 měsíci

    Amina, Amina,Amina.

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Před 3 lety

    Kweli unanibariki kwa maombi yako yananifariji nnapokuwa na matatizo bwana akubariki uzidi kudumu katika neno hakika bwana ni mwema tumshangilie daima

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Před rokem

    Kabisaa mungu akusaidie umeongea kweli mkundi yameuwankanisaa

  • @lreneauma1762
    @lreneauma1762 Před 3 lety

    Amen ubarikiwe sana PR mmbanga kwa mafuso masuri sana 🙏🙏🙌

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 Před 7 měsíci

    AMINAA!!

  • @ephrasienasifiwe3393
    @ephrasienasifiwe3393 Před 4 lety +1

    Asante sana Pastor 🙏

  • @latestfunnyvideo2187
    @latestfunnyvideo2187 Před 3 lety

    Amina sana ubarikiwe

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n Před 7 měsíci

    Amen 🙏🙏

  • @rehemakuyega9979
    @rehemakuyega9979 Před 4 lety

    Pr.Mungu akubariki kwa mafundisho yenye kuleta hisia za kutuinua kiroho tunaoelemewa na matatizo .

  • @navokisembo
    @navokisembo Před 3 lety

    Ameeen Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 Před 4 lety

    Bwana asifiwe...........Asanteni sana muhubiri TV kwa kutuletea NENO hili zuri linalo hubiriwa na mchungaji Mmbaga,,, niko Kenya na ningeomba kuzungumza na mchungaji,, je nifanyeje ili niweze kuongea na mchungaji?

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 Před 4 lety +1

    Napenda sana kutazama mahubir yako

  • @JosephinaBoni-ex8nd
    @JosephinaBoni-ex8nd Před 8 měsíci +1

    ASANTE nimefurahi na nimepona na kupokea maarifa

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 Před 4 lety +1

    NIONGOZE EE YESU

  • @shigazuelias4896
    @shigazuelias4896 Před 4 lety

    Barikiwa sana pastor mmbaga, mengi kwenye biblia nimeyajua kupitia wewe

  • @mirajiomary6037
    @mirajiomary6037 Před 4 lety

    Ahsante mungu kwamahubiri haya. Yamenijenga

  • @yvonneamekakaombeniwimbomu8312

    Amen Amen

  • @magrethngasan6165
    @magrethngasan6165 Před 7 měsíci +1

    Nimebarikiwa ajabu

  • @revocatuschinato8139
    @revocatuschinato8139 Před 2 lety +1

    Pastor kwakwel leo ndo Yesu kajifunua kwangu

  • @pawalupandisha1316
    @pawalupandisha1316 Před 4 lety

    Mchungaji unazidi kunielimishaaa sana mungu akuongozeeee

  • @drchachamatiko7447
    @drchachamatiko7447 Před 4 lety

    barikiwa sana pr kwa ujumbe huu

  • @user-dy2yk8kd8l
    @user-dy2yk8kd8l Před 7 měsíci

    Unasema kweri Muke akasilika chochotte hakiendeki

  • @scholarsticahmaluki9371

    TV

  • @user-rg9ul7to8p
    @user-rg9ul7to8p Před 8 měsíci

    Naomba kuwasilia tafazari

  • @dukeoyugi4467
    @dukeoyugi4467 Před 3 lety

    Pray for me nipone

  • @CadoStudio9898
    @CadoStudio9898 Před 4 měsíci

    Naomba link ya group lenu la telegram

  • @kifacem8248
    @kifacem8248 Před 4 lety

    Amen and Amen 🙏🏾 Mungu akubariki mchungaji. Mrungu ni wedi🙏🏾

  • @wazainakigomaboy2724
    @wazainakigomaboy2724 Před 4 lety +2

    Kuvua viatu ni utakatifu tu usipindishe kabisa

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Před rokem

    Amen

  • @TommyLee-ib5pk
    @TommyLee-ib5pk Před 4 lety +3

    Mimi sio msabato lakini tangu nimekufahamu haiwezi kupita siku bila kusikiliza Mungu anataka kunifundisha kitu gani kupitia wewe

    • @jordanmashaka50
      @jordanmashaka50 Před 4 lety

      Mungu akutie nguvu uendelee kujifunza na kumfahamu yeye.

  • @damchone9478
    @damchone9478 Před 4 lety +1

    Nimebarikiwa sana