ALLY KAMWE" DUBE ATAWAFUNGA SANA/CHAMA HAWEZI KUCHEZA SIMBA TENA/WANAOKOTA OKOTA WACHEZAJI/AZIZ KI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Meneja Habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ali kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Mpenja Tv,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya, Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.
  • Sport

Komentáře • 40

  • @user-rd3zb5rg5s
    @user-rd3zb5rg5s Před 18 dny +4

    Hatunaga mda wa kwenda kuzurura nje ya nchi na kuja kuwa nafasi ya tatu🤣🤣🤣🤣 Simba mtaumia Sana na chama

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m Před 18 dny +2

    Tisubili Ligi tu mengine tutajionea🎉

  • @majiddaud6099
    @majiddaud6099 Před 18 dny +3

    Tuxungumzie kuhusu kuchokonoA 😂😂 🔥 😊

  • @mohdseif2593
    @mohdseif2593 Před 17 dny +2

    Ninani amesema simba hakuna mchezaji wakucheza yanga?

  • @user-qu1ut5ri2z
    @user-qu1ut5ri2z Před 17 dny

    Madrid ya Africa 🌍

  • @AllyJuma-if5xm
    @AllyJuma-if5xm Před 18 dny +1

    Naamin kuwa maneno mengi huwa ayajengi mambo n uwanjan

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před 17 dny +1

    Mimi naamini mchezaji anaweza kuwa bora sana hata kama timu yake inashika nafasi ya kumi nyie mmemchukua kibabage singida fountain gates ambayo iko nafasi ya 10 je anafanya vibaya?

  • @goblessjrtz5464
    @goblessjrtz5464 Před 17 dny

    Mbona Utopolo mna mchezaji anaitwa joyce why mnamkejeli mchezaji wetu Deborah?

  • @DaydreamHimself
    @DaydreamHimself Před 16 dny

    eti FAST & FURIOUS 😂😂😂

  • @user-rd3zb5rg5s
    @user-rd3zb5rg5s Před 18 dny

    Nawashangaa Sana wakinadebora wapowengi humu tupishen bn

  • @hakiba1207
    @hakiba1207 Před 18 dny +1

    Semaji la kafuu😝😝😆😂

  • @jackisonngosha5533
    @jackisonngosha5533 Před 17 dny

    Ivi tukisema simba washuke dalaja inawezekana mwaka huu

  • @EnoqueJoaoMamba
    @EnoqueJoaoMamba Před 18 dny

    Simba hina lia pole jamani

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 Před 17 dny

    Mshafulia vyura..igeni Simba kwenda nje

  • @alkhayriy7014
    @alkhayriy7014 Před 18 dny

    Mbwa akibweka sana harudishi mawe ya adui

  • @user-cq1tf5sd3l
    @user-cq1tf5sd3l Před 17 dny

    Chizi wee hayo yako

  • @christophermpogole4944

    Atarudije wakati umri umeenda, simba haichukui wazee!

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq Před 18 dny

    Kwn debora fc uku Wana fata nn

  • @sethabeidkigodi8541
    @sethabeidkigodi8541 Před 18 dny

    Huna jipya

  • @EliasMwende
    @EliasMwende Před 17 dny

    ww acha

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 18 dny +1

    Mlete mamako basi iili acheze na Debora....
    koma kabisa..fedhuri ..mwanaharamu, nguo Kaa UV maCCM!!

    • @VIVIANMUKULU-kr8xp
      @VIVIANMUKULU-kr8xp Před 17 dny

      Acha matusi 😂😂

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 Před 16 dny

      Ndo wamemletea Mama ako na Dada ako Wacheze nae , Uyo Dada ako Debora 😂

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo Před 16 dny

      @@azizymachadeson3577 .
      Limekuumaee......bwege we....
      Hujui Kuna soka la wanawake bado uone kumtaja mamako ni tusi🤪

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m Před 18 dny

    Chama hawezi kucheza Simba achezee mala ngapi Bado hauja ongea uta ongea tu acha muda useme

    • @raymondeliud5740
      @raymondeliud5740 Před 17 dny

      hahahaha unamuuliza mtu ambaye hata hasomi 😀😀😀😀😀😀

  • @RamsoPedro
    @RamsoPedro Před 18 dny

    Debora wanini sasa shemeji yenu

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 Před 17 dny

    Huna lolote weee subiri msimu uanze

  • @JumanneNdiba
    @JumanneNdiba Před 17 dny

    😂😂😂😂

  • @aileenmphuru5106
    @aileenmphuru5106 Před 18 dny

    Amekaa Simba miaka sita tumemtumia mpaka tumemchoka mchukueni akamalizie mpira wake huko. Mnakwenda nje ya nchi mna hela nyie?

    • @ErickBrichard
      @ErickBrichard Před 18 dny +2

      Mbona kama unahasira hahaha em kunywa maji kdogo bhana e e nmeipenda hyo mwaka huu utakufa wallah duh huu mchezo hauhtaj hasira

    • @aileenmphuru5106
      @aileenmphuru5106 Před 17 dny

      @@ErickBrichard nife kwa sababu ya Chama aliyeikuta Simba na ameondoka akaicha. Kwani yeye ni nani walipita manguli wengi tu na bado Simba ipo. Itakuwa Chama kwani angecheza milele? Simba bila Chama inawezekana sanaaaa♥️🦁

    • @user-er6ox5xx1i
      @user-er6ox5xx1i Před 17 dny

      😅😅😅😅😅😅

    • @user-er6ox5xx1i
      @user-er6ox5xx1i Před 17 dny

      Sizitaki mbichi hizi😅😅😅

    • @aileenmphuru5106
      @aileenmphuru5106 Před 17 dny

      Hizo sio mbichi zimeoza

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Před 17 dny

    Alikamwe bhn😂

  • @hatibulukindo2105
    @hatibulukindo2105 Před 17 dny

    Nyie wote wajinga fanyeni kazi