LIVE:POWER BREAKFAST YA CLOUDS FM | KOTINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #cloudsdigital ipo mubashara kwenye kipindi cha #powerbreakfast Mahakama ni moja ya Muhimili kati ya mihimili mitatu ya Serikali Yaani Bunge - linalotunga Sheria na kuisimamia Serikali, Serikali - inayosimamia na kutekeleza Sheria pamoja na kutunga na kusimamia sera.
    Je namna gani wanakabiliana na vikwazo hivyo, Wananchi wanafikiwaje ili kuwa na uelewa zaidi kuhusu Mahakama, Imani ya Wananchi dhidi ya Mahakama ni moja ya kikwazo pia, Nini kinafanyika kwenye hili la Imani...
    Kwenye Power Breakfast tutakuwa na Kinabo James Minja - Naibu Msajili kutoka Idara ya Usimamizi na ukaguzi Wa Shughuli za Kimahakama, Mrejesho Kwa Umma na Maadili.
    #PBCloudsFM
    #Tumekuverify

Komentáře •