Ustadh Mazinge Amva Kajala Kwa Mala Nyengine Kisa Kuachwa na Harmonize -Bora Ulivyomuacha.........

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Ustadh Mazinge Amva Kajala Kwa Mala Nyengine Kisa Kuachwa na Harmonize -Bora Ulivyomuacha...pro mazingee

Komentáře • 43

  • @peterchande957
    @peterchande957 Před rokem

    Mazinge eneza neno la Mungu achana na kuwafuatilia watu

  • @brotherblood728
    @brotherblood728 Před rokem +7

    Assalaam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh ,,,tunapenda channel zetu za kiislam kupata faida ila muwe makini na sauti

  • @cadreussene4753
    @cadreussene4753 Před rokem

    Ámen ustadh Mazinge 👏👏👏

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Před rokem +1

    Alhamdulillah

  • @anthonymgina2253
    @anthonymgina2253 Před rokem

    Uislam wa stahili hii haupo sheikh. Niliambiwa watoa mihadhara wakunje magoti wasome dini sasa ninaamini.

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Před rokem

    Mazinge hapa mm mmh...umechemka.

  • @salmasalma-pv2ue
    @salmasalma-pv2ue Před rokem +2

    Naam. Bora waachane tu . Maana wana tuletea laana na zinaa walikua wakiifanya. Likajala lenyew likafiri lile

  • @mgazaabeid5873
    @mgazaabeid5873 Před rokem

    Allahamdullilah!

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Před rokem

    Tuombekweli Dua alimroga mno akaiba pesa zote

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 Před rokem

    Amiin

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem +1

    Hahaaaaa sasa simpigishe dini vzr kajala usifurahi kuachana wafundishe dini

    • @amourworldbeats
      @amourworldbeats Před rokem

      Mm Mwenyewe Nafurahi Kuachana Kwa Sababu Hawajaoana,Uzinifu Wao Unazidi Tupe Joto,Mvua Hakuna

  • @ramyramso
    @ramyramso Před rokem +1

    Sauti sheikh dah yan mawaidha mtu anahamu ya kuckiliza ila kwenye sauti inatukatisha hamu

  • @rubeniharuna1874
    @rubeniharuna1874 Před rokem +1

    kiukwel sheikh unakosea sana walinganie watu acha vijembe angalia umliwako naunachongea

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem

      Hio sio vijembe anasema kuhusu waislam kuwa na wanawake makafiri na makahaba

  • @ramcyeejunior7937
    @ramcyeejunior7937 Před rokem

    Ustadh mazinge

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Před rokem +1

    Xsa mazinge ndo kiongozi wa mapenzi au wa ngono usikute ye mwenyew anamtamani uyu kajala ila anashindwa kumpata maana uyu mzee nae kwa kutafuta kiki mitandaoni hajambo

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem

      We unacho kiongea wakijua ama kajala atamaniwe ana uzuri gani shimo kila mtu kapita hpo na Malaya tuu

    • @mwajumamunezero4055
      @mwajumamunezero4055 Před rokem

      Allah akusameh kajala anatamaniwa kwanini???kufuli linalofunguliwa nakila funguo angalia maneno Yako broo

    • @johnsulle4679
      @johnsulle4679 Před rokem

      @@mwajumamunezero4055 mwajuma chokonoe na upo

  • @habibjuma-1138
    @habibjuma-1138 Před rokem

    Shekh habib.tukuelewe vipimpaka wasabi una wasifu.hizo pesa ni za haaramu.hivi karibuni shekh ukajiunga na freemason.ume ingilia kuwa sifu wanao abudi shetani.ume potea muelekeo.ama njaa?

  • @johnmuema4392
    @johnmuema4392 Před rokem +1

    Poor connectivity

  • @biznaz3559
    @biznaz3559 Před rokem

    Msiposti video kablah amjaziangalia Kwanzaa

  • @festosungura5251
    @festosungura5251 Před rokem +1

    Sijawahi kuyaelewa mahubiri ya kiislam Kwa kweli sijui anachohubiri hapa nini

    • @khelefomary4486
      @khelefomary4486 Před rokem

      Utayaelewa tu

    • @ustadhshafiionlinetv
      @ustadhshafiionlinetv  Před rokem +1

      Siku ukifa ndio utayakumbuka mahubiri yetu pia hujalazimishwa kuyaelewa

    • @khelefomary4486
      @khelefomary4486 Před rokem

      @@ustadhshafiionlinetv kwendu malakulmaut atakapo mjia mbele yake maji atayaita mma!

    • @faju4real800
      @faju4real800 Před rokem

      @@ustadhshafiionlinetv mtihani kwakwel Alhamdulillah alaa kulli hali

    • @ZINDUKAMUISILAMU30
      @ZINDUKAMUISILAMU30 Před rokem

      Ww Baki huko huko unakoelewa lkn siku ukifa ndo utayaelewa

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Před rokem

    Ujumbe umefika kabisa

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem

    Hila uyo kajala si alichukuliwa na bwana rajabu lakini ajajipeleka mwenyewe kihele hele chake mwenyewe rajabu kwaiyo asishutumiwe saaana uyo bint wa watu ata kama mkubwa mbona masheikh mnasema muhammad sw alikuwa na jimama uyo wakuitwa bi adijha si mifano yenyewe iyo kwani kuwa na jimama kumeanzia leo ndio maana wengine wanaita kiben teni maana yake ya iyo mtu mzima ana mwanamme sio umli wake tena wapo wengi duniani na awaishi wapo tu

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem

      Elewa anacho ongea sheikh mwanzo jiite jina la kiukafiri alafu tujue coz jina twaona muislam but maneno ya kikafiri sheikh hapa shida sio uzee shida ni ilikua huenda akamtoa harmonize Kwa uislam na uzinifu ulikua unafanywa anassikia uchungu yy alingania watu waje Kwa dini yahaki kisha muislam atolewe Kwa mwanamke tuu ,but hujielewi waongea tuu kaa chiriku

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před rokem

      Huyu ni shehe wa Kiki mdini na mtu wa hovyo

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před rokem

      Andalla kwani mwanaume na mwanamke Nani anamfuata mwenzake

  • @itsoceandior
    @itsoceandior Před rokem +1

    unaroho ya kichawi wewe Shkehe