Xsa mazinge ndo kiongozi wa mapenzi au wa ngono usikute ye mwenyew anamtamani uyu kajala ila anashindwa kumpata maana uyu mzee nae kwa kutafuta kiki mitandaoni hajambo
Shekh habib.tukuelewe vipimpaka wasabi una wasifu.hizo pesa ni za haaramu.hivi karibuni shekh ukajiunga na freemason.ume ingilia kuwa sifu wanao abudi shetani.ume potea muelekeo.ama njaa?
Hila uyo kajala si alichukuliwa na bwana rajabu lakini ajajipeleka mwenyewe kihele hele chake mwenyewe rajabu kwaiyo asishutumiwe saaana uyo bint wa watu ata kama mkubwa mbona masheikh mnasema muhammad sw alikuwa na jimama uyo wakuitwa bi adijha si mifano yenyewe iyo kwani kuwa na jimama kumeanzia leo ndio maana wengine wanaita kiben teni maana yake ya iyo mtu mzima ana mwanamme sio umli wake tena wapo wengi duniani na awaishi wapo tu
Elewa anacho ongea sheikh mwanzo jiite jina la kiukafiri alafu tujue coz jina twaona muislam but maneno ya kikafiri sheikh hapa shida sio uzee shida ni ilikua huenda akamtoa harmonize Kwa uislam na uzinifu ulikua unafanywa anassikia uchungu yy alingania watu waje Kwa dini yahaki kisha muislam atolewe Kwa mwanamke tuu ,but hujielewi waongea tuu kaa chiriku
Mazinge eneza neno la Mungu achana na kuwafuatilia watu
Assalaam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh ,,,tunapenda channel zetu za kiislam kupata faida ila muwe makini na sauti
Ámen ustadh Mazinge 👏👏👏
Alhamdulillah
Uislam wa stahili hii haupo sheikh. Niliambiwa watoa mihadhara wakunje magoti wasome dini sasa ninaamini.
Mazinge hapa mm mmh...umechemka.
Naam. Bora waachane tu . Maana wana tuletea laana na zinaa walikua wakiifanya. Likajala lenyew likafiri lile
Allahamdullilah!
Tuombekweli Dua alimroga mno akaiba pesa zote
Amiin
Hahaaaaa sasa simpigishe dini vzr kajala usifurahi kuachana wafundishe dini
Mm Mwenyewe Nafurahi Kuachana Kwa Sababu Hawajaoana,Uzinifu Wao Unazidi Tupe Joto,Mvua Hakuna
Sauti sheikh dah yan mawaidha mtu anahamu ya kuckiliza ila kwenye sauti inatukatisha hamu
kiukwel sheikh unakosea sana walinganie watu acha vijembe angalia umliwako naunachongea
Hio sio vijembe anasema kuhusu waislam kuwa na wanawake makafiri na makahaba
Ustadh mazinge
Xsa mazinge ndo kiongozi wa mapenzi au wa ngono usikute ye mwenyew anamtamani uyu kajala ila anashindwa kumpata maana uyu mzee nae kwa kutafuta kiki mitandaoni hajambo
We unacho kiongea wakijua ama kajala atamaniwe ana uzuri gani shimo kila mtu kapita hpo na Malaya tuu
Allah akusameh kajala anatamaniwa kwanini???kufuli linalofunguliwa nakila funguo angalia maneno Yako broo
@@mwajumamunezero4055 mwajuma chokonoe na upo
Shekh habib.tukuelewe vipimpaka wasabi una wasifu.hizo pesa ni za haaramu.hivi karibuni shekh ukajiunga na freemason.ume ingilia kuwa sifu wanao abudi shetani.ume potea muelekeo.ama njaa?
Poor connectivity
Msiposti video kablah amjaziangalia Kwanzaa
Sawa inshallah samahani kwa ukataji wa sauti
Sijawahi kuyaelewa mahubiri ya kiislam Kwa kweli sijui anachohubiri hapa nini
Utayaelewa tu
Siku ukifa ndio utayakumbuka mahubiri yetu pia hujalazimishwa kuyaelewa
@@ustadhshafiionlinetv kwendu malakulmaut atakapo mjia mbele yake maji atayaita mma!
@@ustadhshafiionlinetv mtihani kwakwel Alhamdulillah alaa kulli hali
Ww Baki huko huko unakoelewa lkn siku ukifa ndo utayaelewa
Ujumbe umefika kabisa
Hila uyo kajala si alichukuliwa na bwana rajabu lakini ajajipeleka mwenyewe kihele hele chake mwenyewe rajabu kwaiyo asishutumiwe saaana uyo bint wa watu ata kama mkubwa mbona masheikh mnasema muhammad sw alikuwa na jimama uyo wakuitwa bi adijha si mifano yenyewe iyo kwani kuwa na jimama kumeanzia leo ndio maana wengine wanaita kiben teni maana yake ya iyo mtu mzima ana mwanamme sio umli wake tena wapo wengi duniani na awaishi wapo tu
Elewa anacho ongea sheikh mwanzo jiite jina la kiukafiri alafu tujue coz jina twaona muislam but maneno ya kikafiri sheikh hapa shida sio uzee shida ni ilikua huenda akamtoa harmonize Kwa uislam na uzinifu ulikua unafanywa anassikia uchungu yy alingania watu waje Kwa dini yahaki kisha muislam atolewe Kwa mwanamke tuu ,but hujielewi waongea tuu kaa chiriku
Huyu ni shehe wa Kiki mdini na mtu wa hovyo
Andalla kwani mwanaume na mwanamke Nani anamfuata mwenzake
unaroho ya kichawi wewe Shkehe
Na wazee wako Py wana roho za kichawi
Kamchafue wazazi wako jina,Tuachie sheikh wetu mazinge
Huyu mchawi aonesha ndio aona kila mtu mchawi