MBICHI KABISA SERKALI YA KI MAREKANI YA OMBA WAASI WA M23 NA FARDC KU SHIMAMISHA VITA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 6

  • @user-wk1ui4ib4y
    @user-wk1ui4ib4y Před měsícem

    Okapi nyinyi muko mu raha sababu muko wanamemba wa m23/onu

  • @mapendoumoja800
    @mapendoumoja800 Před měsícem

    Marekani hakuna ukweli kuhusu congo🇨🇩 😢 ujanja mtupu hatuamini Wamarekani kufuatana na damu za wakongomani ambazo zimemwengwa sababu yao kujiunga na wanyarwanda kuliko kuingiya Congo🇨🇩 kwa njia halali wanapenda pitiya njia haramu😢😢

  • @user-xp6uk5ov9k
    @user-xp6uk5ov9k Před měsícem

    Mimi naomba kwa serkari ya congo wasikubari mashauri ya aina yoyote kutoka marekani.

  • @reface6780
    @reface6780 Před měsícem

    Iyo ni siasa ya kutaka kuzubaisha serekali ya Congo, hao wahasi kwa nini wasiambiliwe waondoke na fasi ambazo wamekamata?

  • @HappyAtom-qd5sz
    @HappyAtom-qd5sz Před měsícem

    Hivyo wanaona M23 imepingwa wajikusanye tena FRDC isikubali kusimamisha vita.

  • @willlybibentyo
    @willlybibentyo Před měsícem

    Ni walewale