Dully Sykes - Yono (Official Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #DullySykes #Yono #SlideDigital
    Dully Sykes Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    Follow Dully Sykes on:
    / princedullysykes
    / dully_sykes
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Komentáře • 345

  • @yahyajuma2059
    @yahyajuma2059 Před 3 měsíci +4

    Anyone 2024 ?

  • @sebastianmusira7869
    @sebastianmusira7869 Před 7 lety +10

    I always call you Mr much means unajua sana huishiwi ladha....the father of bongo music still run the city milele daima

  • @ramsonmajid2069
    @ramsonmajid2069 Před 7 lety +6

    dully bro unajitahidi sana sijawai sikiliza mziki wako nikaona kosa .. unakipaji sana yani miongoni mwa wasanii ambao katika nyimbo hawakoseagi hupo ... kweli ww ni among legends wa muziki hapa Tanzania endelea na kasi hiyo hiyo bro ....ongeza ubunifu anza fanya kazi kubwa ,shirikiana na wajukuu wako .. weka mikakati mikubwa bro.........inshort keep the good work bro

  • @dianaahdarlingkenya7616
    @dianaahdarlingkenya7616 Před 7 lety +1

    watu wana Wivu Jamani Navenye #Dully ana roho safiii

  • @qeenwcbclassic4485
    @qeenwcbclassic4485 Před 7 lety

    kikongwe yn daaa uwanamkubari..sana uyu kk mm nampendaa sanaa

  • @salvinamhiche5229
    @salvinamhiche5229 Před 7 lety

    Asante kaka kwa kukosha moyo wangu,,,,watu na bongo fleva yao hatareee

  • @emmanuelamosy1978
    @emmanuelamosy1978 Před 7 lety

    huyu jamaa toka ameanza kutoka nyimbo zake huwa hakosei!! big up Mr handsome dully

  • @bobeagy8118
    @bobeagy8118 Před 7 lety

    mentor wangu huyu,lini ntafanya songi nawe dully,kazi balaaaaa jembe langu

  • @michaelfortune5294
    @michaelfortune5294 Před 7 lety

    Af hawa makavu vepeee....ukiona mtu mzima anaenda Sawa na watoto tema mate chini fala wewe....dully mwewe wa bongo flevaaa

  • @Onekombe
    @Onekombe Před 7 lety +5

    +254 ........tumeipata...kudos dully for the comeback ........nice song

  • @arlandamary3922
    @arlandamary3922 Před 7 lety +7

    Forever young looking dully nyimbo nzuri sana yono

  • @abbasmwacheeabbasmwachee5533

    hoyooo nice D ww ni noma😄🙌🙌🙌

  • @benpima2618
    @benpima2618 Před 7 lety +1

    alwys knws wat bongo flv needs...much appreciation....mkubwa

  • @janeshayo7619
    @janeshayo7619 Před 7 lety

    Umefanya kitu braza.....naiskiza toka asubuhi nainjoiii Yonooo#😍😍

  • @kamkubwa
    @kamkubwa Před 7 lety +1

    nyimbo kali alafu itapata sana airtime Uganda hii nautapiga show sana.big up

  • @medpol9422
    @medpol9422 Před 7 lety

    Kaka dully hii ngoma Kali.video iko on point ani ni yakipekee

  • @user-yv3it1ty4o
    @user-yv3it1ty4o Před 9 měsíci

    Tuko live tuko liveeeee na mzee wa kubensa

  • @kazadipaulin2758
    @kazadipaulin2758 Před 7 lety

    iyo uganda ni noma sana ila kwa hapa wataona bure wabongo wanapenda mavi ganyange big up kaka

  • @mumenguvuze5505
    @mumenguvuze5505 Před 7 lety +3

    Wasanii wa zama zile wameamka sasa, Nimetazama wimbo wa Matonya ..Haijaeleweka , am so happy for them . Now wapi Hussein machozi.

  • @estersapali9497
    @estersapali9497 Před 7 lety

    noma kaka ungemshilikisha na mond ingekuaje balsa safi

  • @kamonaabdallah3154
    @kamonaabdallah3154 Před 7 lety

    umwana njagalaa yoooonooo yonoooo

  • @shabanimaibu8474
    @shabanimaibu8474 Před 7 lety

    Umeboronga sana kwahii ngoma bro hebu jitaidi kurudisha uwezo wako

  • @logacrazy6730
    @logacrazy6730 Před 7 lety

    hongera dully wimbo mzuri saana!

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 7 lety

    Tisha sana mzazi amakweli ujuzi hauzeeki nahilo nalithibitisha toka kwako kaka big up sana Brooo umeumiza sanaaaa

  • @isaackakwaya2848
    @isaackakwaya2848 Před 7 lety +7

    ngoma Kali sana sikujua mpaka nimeona clouds ni kasema ngoja nicheck tena. kweli hii inafaa kua tatu bomba za town

  • @teomhume6970
    @teomhume6970 Před 7 lety

    nakuelewaga Sana man ila hii mm chali 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @hassanchake1250
    @hassanchake1250 Před 7 lety +12

    Daah mwenye bongo fleva yako Hongera mzee YONO sema hiki kizalamo nn

  • @frankog0458
    @frankog0458 Před 7 lety

    kali sana.....mimi Dj frank kutoka nairobi naipenda na naicheza kila siku

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r Před 4 měsíci

    Bonge la ngoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 Před 6 lety

    Wimbo mzuri ila wabongo kwa fitna mziki aukupewa nafasi kubwa Hahahahaha bongo bahati mbaya kweli na hayo ma team ya wasenge ndo wanaharibu bongo fleva👃🚬👈🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾🗾💯🗾💯💯💯🔫

  • @cleofasgawasike7696
    @cleofasgawasike7696 Před 7 lety

    Dully ngoma hii naisikiliza kwenye spika umetisha sana

  • @ezekielmwakalobo9341
    @ezekielmwakalobo9341 Před 7 lety

    very nice my brother nmeipenda xana

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 Před 7 lety +11

    NGOMA KALI SANA BRO. 🙌🙌🙌🙌

  • @mamykerrymganiwa1311
    @mamykerrymganiwa1311 Před 7 lety

    mmh ni balaaah ngoma nzur sana

  • @chikida21
    @chikida21 Před 7 lety +1

    safi dully

  • @talhaasilturk7908
    @talhaasilturk7908 Před 7 lety +1

    YONOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

  • @janelyimo2822
    @janelyimo2822 Před 7 lety

    penda xana dully,nice song,

  • @ladysalimkabora9952
    @ladysalimkabora9952 Před 7 lety +1

    I love this song. Dully is the best.

  • @anggarezta3828
    @anggarezta3828 Před 7 lety +8

    Yono Is The Best !!

  • @kulumbarichard2258
    @kulumbarichard2258 Před 7 lety

    dully I can't stop listening to this song......Ugandans let's us watch it like never before.... mejah power says so....@):- awooooo

  • @mageteddy1546
    @mageteddy1546 Před 7 lety +1

    umetisha bro usisikilize ya watu we Fanya yako big up sana

  • @elizabethkyara2277
    @elizabethkyara2277 Před 7 lety

    so addicted kila saa nausikiliza so niice song

  • @rodneylutambuka7714
    @rodneylutambuka7714 Před 7 lety

    Yo gr8 bro....nakukubali sana

  • @nsindabenshareef5315
    @nsindabenshareef5315 Před 7 lety

    STRAIGHT FROM KAMPALA UGANDA

  • @salimumeja7284
    @salimumeja7284 Před 7 lety

    iko poaaa sanaaa ishiii yani

  • @richardmichael4325
    @richardmichael4325 Před 7 lety +1

    Hatar sana braa bonge la ngoma

  • @krismakka2114
    @krismakka2114 Před 7 lety +1

    congratulation dully sykes

    • @krismakka2114
      @krismakka2114 Před 7 lety +2

      you have been maintaining your position in this game for so many years....congrats

  • @danielsanga8654
    @danielsanga8654 Před 7 lety

    dully sikuwezi mzee uko vizur tangu julieta hadi yono tisha saana

  • @leonardkabai5739
    @leonardkabai5739 Před 7 lety

    Daaa ninoma sana

  • @joelbulashi5171
    @joelbulashi5171 Před 4 lety

    who is with me in 2020 in yono

  • @leotena8456
    @leotena8456 Před 7 lety +6

    kweli ng'ombe hazeeki maini,, dully wakitambo lakin wakimbiza hatareeee

  • @reneefreddy6973
    @reneefreddy6973 Před 7 lety

    WE MKALI TANGU ENZI IZO HAD LEO HAD ENZI ZOTE KEEP IT UP ( YONO YONO)

  • @almachusrobert9859
    @almachusrobert9859 Před 6 lety

    Ni motooooooo

  • @stevenjohn4188
    @stevenjohn4188 Před 7 lety

    pamoja sana we ndo baba ya bongo flavor

  • @veronicamateru7787
    @veronicamateru7787 Před 7 lety

    Yono.....😘😘😘

  • @robbymoses2594
    @robbymoses2594 Před 7 lety

    kitu kizuri yaaan km Ugandan vile Dully nooma

  • @sheilaadriano7798
    @sheilaadriano7798 Před 7 lety

    Yono ....very nice song

  • @almatrashid1812
    @almatrashid1812 Před 7 lety +13

    me nawaambia hv kazi ya mwanaume mvulana hawez kuifanya dully unaweza broo

  • @AbuuKhayraat
    @AbuuKhayraat Před 7 lety +1

    Mzee hazeekiii mainiiii

  • @prettyajumy4227
    @prettyajumy4227 Před 7 lety

    hongeraaa mzee baba

  • @kennedyodero8152
    @kennedyodero8152 Před 7 lety

    nice job dully......

  • @bellabenjamin3091
    @bellabenjamin3091 Před 7 lety

    Safi sana bro

  • @richardcastro2386
    @richardcastro2386 Před 7 lety +2

    It takes me back kwenye melody flani kali za dully

  • @dvjtwentyfivedecember4398

    sema ukweli umfanye afanye kilicho bora. broo dully nyimbo ya kawaida sana, na itapotea fasta sana, yani nyimbo yako ya mwisho kufanya vizuri ilikuwa ni bongo fleva. baada ya hapo huna nyimbo kabisaaa.... badilika, tunga nyimbo kweli kweli, kutokana na game ya sasa ili ueleweke na mashabiki, ni lazima utunge kweli kweli. ni hayo2 kila mtu na mtazamo wake

  • @f.a9268
    @f.a9268 Před 7 lety +1

    yono didin pe papa

  • @tintedtempah7407
    @tintedtempah7407 Před 7 lety +23

    Mna muangusha dully mpeni subscribes mie cjaamini kama yy ana subscribes 57😱 ngoma kali thou✌🏿️

    • @isaackakwaya2848
      @isaackakwaya2848 Před 7 lety +1

      tumempa bro

    • @kihanda2554
      @kihanda2554 Před 7 lety +4

      Tinted Tempah Hapost sana kwenye Chanel yake. Tuna subscribe sehem ambayo kuna vipya kila mara. Raha ya Subscribe upate updates kila mara.😂😂😂

  • @lindamwasilu3834
    @lindamwasilu3834 Před 7 lety

    mwenye bongo fleva yake mwenye mziki wake mwnye sauti yake

  • @raditya1572
    @raditya1572 Před 4 lety

    Yono Guntuuurrrrrrrrrr

  • @krushers__krushers__1860
    @krushers__krushers__1860 Před 7 lety +1

    Nice song🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @luluzegema5782
    @luluzegema5782 Před 6 lety

    The best dully

  • @djmandezo6608
    @djmandezo6608 Před 7 lety

    Looooollllll!! Like seriously???? Dully you should re-locate to UG. ♥♥

  • @sultanisengi2519
    @sultanisengi2519 Před 7 lety +1

    ni kali sana

  • @tutenndonga5906
    @tutenndonga5906 Před 7 lety

    iko pouwaaaaaa sana broo

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 Před 7 lety

    a very cool song, safi dully

  • @michaelfortune5294
    @michaelfortune5294 Před 7 lety

    sawaaaaaaaaaaaaaaaaaa......... mtu mzimaaaaaaaa dully weka ladha mamamamamameeee

  • @ommyjeezo848
    @ommyjeezo848 Před 7 lety +1

    jaman ngomaa tam tam hasa kiitikio yono yono😀😀😀😀

  • @calamaraderiesgallant3640

    mtu mzima.... miaaaa

  • @silverrisermkali54
    @silverrisermkali54 Před rokem

    Yonoo kali sana

  • @siamtui8728
    @siamtui8728 Před 7 lety

    nice nice nakukubali sana

  • @taifastephano3394
    @taifastephano3394 Před 7 lety

    Kaka umetisha saaana

  • @ericmassawe8248
    @ericmassawe8248 Před 6 lety

    Mwenye bongo flever yake oyooooooooo

  • @abdulymiraji52
    @abdulymiraji52 Před 7 lety

    respect mwamba bado unabamba

  • @salymmohamed1683
    @salymmohamed1683 Před 7 lety +2

    Salute huhuhuhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu #yono

  • @orlenisimoni2833
    @orlenisimoni2833 Před 7 lety

    kilisitiani.bela utaludi mama

  • @doricemwagala432
    @doricemwagala432 Před 3 lety

    Sana mzee baba

  • @MposiTvVlogs
    @MposiTvVlogs Před 4 lety +2

    2020 Legendary Dully

  • @stephanoseleman6698
    @stephanoseleman6698 Před 7 lety +1

    bonge ya ngoma

  • @ammieabdal4025
    @ammieabdal4025 Před 11 dny

    Nice tune

  • @zaharabakari7835
    @zaharabakari7835 Před 6 lety

    Tisha mtaalam duly wataelewa tu

  • @janeshayo7619
    @janeshayo7619 Před 7 lety +1

    Nice song

  • @mathaenock7045
    @mathaenock7045 Před 7 lety

    dully jembe langu nakukubali sana love

    • @mrromeo760
      @mrromeo760 Před 6 lety

      Tisha mbaya.........ni pamoja na huyo mrembo katika video hiyo...........she's cute.............

  • @hasanidini6184
    @hasanidini6184 Před 7 lety

    Iko vizur hii ngoma

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Před 6 lety

    I like this

  • @abbywizbrizy7481
    @abbywizbrizy7481 Před 5 lety +3

    Kama video nzima umeona watu watatu tu kama mm gonga like twende sawa

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe Před 7 lety

    Kazi kali sana

  • @enocksalanga970
    @enocksalanga970 Před 7 lety

    good music.

  • @pascaldamiano8003
    @pascaldamiano8003 Před 7 lety

    toa hiyo hereni achana na mambo ya ujana

  • @agreykabume4288
    @agreykabume4288 Před 4 lety +1

    Yono twende 2020

  • @shukranikibona2728
    @shukranikibona2728 Před 7 lety

    Big up sana brother angu WA ukweli Dully Sykes.
    Umenikumbusha mbali sana umeshaa niteka nitakutafuta brother ili nikupate mpendwa unishauri kitu.!

  • @mohamedjumbe8443
    @mohamedjumbe8443 Před 7 lety

    Yono nyc👏👏👏👏