Kinata Mc x Ibraah - Do Lemi Go (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 29. 05. 2021
- Download and Stream on all Digital Platforms Link
Subscribe for more official content from Ibraah:
/ ibraah
Follow Ibraah
Instagram: / ibraah_tz
Twitter: / ibraah_tz
Facebook: / ibraah255
Listen to Ibraah
/ ibraah
Audiomack: audiomack.com/ibraah-tz
Apple Music : / ibraah
Spotify : bit.ly/3ybEn3Z
Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/a...
The official CZcams channel of Ibraah. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Ibraahmanagement3@gmail.com
Call: +255 718 712 420
#Kinatamc #DoLemiGo #Ibraah - Zábava
chinga mwenye melody zake 💣💣💣🔥🔥🔥like kwa king of new school 🐘🐘🐘🐘konde gang fc nipen like chama la wana🔥🔥⏱️
Chinga ni wa stima aki weka like tujuane💥💥💥💥💥
Wewe weeeh piga kelele kwa ibraha wake 🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Don lem go kiboko babu💃💃💃
Waaaah hii moto sana 💥💥💥💥
Dogo Ibraah tutakuona mbali siku za usoni, hatarii🔥🔥
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
czcams.com/video/I7L-cxvrZPQ/video.html
Inshallah
🔥🔥🔥
Ibra unauwezo wakushiba sana,umeshika hii ngoma kama we ndio mwenye NAYO..nahii ndio maana halisi ya kushirikishwa unatakiwa unafanya kama yako ili kumuonesha upendo mwana
Kama Umeskua na kuelewa mustari wa Ibrah "mi sio kama dadavany kueka kucha bandia"🤣🤣🤣gonga like twende nalo hadi 1M views
Hahahaha
czcams.com/video/RfNJF4ZMveM/video.html
😀😀😀
😃😃😃
Nakubal mwamba
Unae soma comments huku una watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️
Poa bhana
Amina
Ibta
Ibta
Amen 🙏🏻 wewe pia
Mitaan sas hiv konde boy shikamoo mambo yote pambeeeeeeeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥
Haha Do Lemi Go Hatari Sana!!!
Parody loading ....@Dogo Charlie😂😂
Hiyo parody ikuje
Parody master @dogo charlie
Hey broh..I like your parodies..hope to do one colabo with you soon
Dogo fanya mambo yako😁😁😁
Wanaosikiliza hii ngoma huku wanasoma comments tutambuane apa 👍👍👍
Huyu mc kinata singeli anaiweza haswaa.😍dolemigo
Yaan kafunika
nyimbo kali sana sema kinata Mc sauti haipangilie iko juu sana adi inaboa kuna sehemu anapanda sana adi inakua kama anapiga kelele ila kwa ibra nampa 100% amebalance unaweza sikiliza kipande kimoja zaidi ya mara 10 mziki hunao imba biti ni ya kukimbia na kufoka sasa ukishindana nayo unaharibu
Mm kama ambassador wa wasafi nakubaliiii..Npeni likes za wasafi
Umekuja huku 🤣🤣🤣
@@aysharahman3080 Goma kali
Do Lemi Go 👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nyimbo nzuri sn.... hongera sn #kinata MC feat Ibraah
Daaaaaaa saf sana kitu imebamba
Kumamake Huyu Ibraah Wamoto Mno Hapoi Wala Haboi Dah Konde Gang For Everybody
Ibraaah ni habari nyengine...huwezi mlinganisha na msanii yoyote bongo...wale tuko pamoja gonga like🙏
Kila mmoja anaplay part yake msee tusuport good music zetu n burudani cjui fans tunafeli WAP...mm team konde damuu
🎉❤❤
Ngoma Kali sana respect kutoka 🇸🇸🇸🇸wapi likes za Ibrah
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
Nzuri sana🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Uwiiii chinga kam chingaaa😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍do lemi go
The King is back Ibtah ft kinata MC
Gonga like kama ww ni mwana wa KONDE GANG FC @ harmonize##
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
czcams.com/video/I7L-cxvrZPQ/video.html
🙏🙏🙏
OYAAAAAAH DUDEEEE ILOOOOO PIGA LIKE WANANGUH✌
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
Ngoma Kali bwana ibraah 🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘
Kinata Aya mauno ulio mwaga umu kweli hii ni ya international singeli my blood ibraah more fire 🔥🔥🔥 tume kuelewa ibraah umetisha Sana mzee nakukubali
Pongezi za dhati kwa ibraah na timu nzima ya kondegang, siku zote mpo mbele kupush game la kisingeli 🙏. Jahbless 👊👊👊.
#singelitothetop #kondegang4everybody
#kondegang4life
Hawana kujivuna wakiamua kusapot wanasapot kwakuinesha umahir wanaposhirkishwa
Ibrah safiiiiii naomba like za dolemigo
Ibraah hakamatiki Konde boy For Everybody.🇰🇪🇰🇪
woyooooo.....Goma la moto kitaa halipoi vibanda umiza ndo 🔥🔥✨✨🌟🌟🌟💥
Utamu utamu 😯Jamn Ata like 50 tu zinani tosha mana sija wy pata nioneeni uruma natia uruma masikin from +968
Tupo wote wa +968🔥 wew upo maeneo gan @mariam
ww asant
upo vzr mbon
Vzr
Kiboko ya dada vany🔥🔥🔥
😂😂😂
Ibraah kwa kweli tunakupenda huku Kenya, yaani umebarikiwa kipaji kikubwa sana katika sanaa ya uimbaji
Kinata unaimba mpaka Raha jmn na hivi sauti zetu zinafanana maana sio kukwaruza huku much love
Jamani ukweli usemwe apa dogo apatia saaaaaaaaana ebukama umeukubali nipeni huko like zangu Tanzania 👉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 is in fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💢💯💯💯💯💯💯💯
Dogo lbrah Sai umechanuka ile mbaya ivyo ndo tunataka 🔥🔥🔥🔥
Konde gang forever #Jeshi..... Ibrah anawatesa kweli💯💯💯🔥🔥
Aaaah! Kinataaaa🤗🤗 mmmmh!!
Waaaawaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍tunaingoja
Mweny alikuwa anaisubir na atairudia Hadi iende trend tjuane kwa likes wanang wa Kondegang
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
Pamoja
Lazima tufike trending
Uwakikaaaah ❤️❤️
Kwa mbaaaali kama naliona dalaja la Ahsante #zembwela
Duuuuuuh umeuwa ibraah jitahid
naomba like za ibraaah apa ata 50
Konde tisho uyu Ni mwana tu! Bado baba noma**
iyo nayo motoo🇰🇪🇰🇪
Wasafi wanasema irudiweeeeeee
😂😂😂😂🙌
😅😅😅😅😅😅
Cjawahi Pata like ya Konde Gang Leo Nawaombeni Jamani
Do lemigo oooooo 🔥 Moto umewaka mbaya sana
Do lemigo oooooo 🔥 Moto umewaka mbaya
Don't let me go if my baby you love me forever, if you wanna go my heart break me down.Singeli to the World🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Eeeee
czcams.com/video/RfNJF4ZMveM/video.html
Ibraah umetisha sana
Gongeni like za Kenya hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ibraah hapo ndipo
👊
... Do lemi go
Eti dada vanny kaweka kucha bandia😂😂
Jamani nipewe zangu kumi nihisi vizuri😀😍😍
Chingaa💪🏻👌🏻🔥🔥
Kauwa chuii but ni ukweli
🤣🤣🤣🤣🤣
Kasahu kuimba miwigi
😅🤭
Bdo mawigi
Love....Si kama Dada Vanny Mueka Picha Bandia👏👏👌😀
Ay kondegan farmily twend saw like kama wa ni team kondegan
czcams.com/video/Qtc1rbYzbDs/video.html
Atyaaaaaa atyaaaaaa ♥️♥️♥️♥️
Kinata MC 🔥 Moto umewaka
🔥🔥🔥🔥🔥🔥ngoma la mwaka
Oyaaaa hatareee sana hiiii nani karudia Rudia kama mara zote ngonga like twenzetu on 1 trending 💥💥💥💥💥
Kali,dhuuu bro ibraah tunajivuniya uwepo wako konde gang
Ibraah ameharibika mtoto huyu, moto kama pasi.
Kama unamkubali ibrah na unamuona atafika mbali kweny muziki nipe like me babu yenu 😭
Uyu mtoto n fundi aiseee katishaaaa ni fireeeeeeeee kama umeona ilo ndondosha like yako apo kwajili ya kond gang family
Nani mwengine anarudia kama mm🔥🔥🔥🔥
Vizuri Sanaa ibraah
sio Kam dada van umewekaa kucha ya bandia daaah maraiiii ni 🔥 like zenu jpoo 10
Oyaaaaaa wanangu nimechelewa naombeni like kumi to kwa ibraah huuu ndo mwaka wa ibraah wanangu
P
🤗🤗🤗
Anaweza kusema ukweri
Noma sana
Nawa ona mbali Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nawakilisha Kenya 🔥🔥🔥💯💯
Aliyesikia moyo kudinga ndinga naomba like 😋
Do lemigo oooooo 🔥 Moto umewaka
Inaonekana anajua kama anajua vizur sana
Tayaaaar trend
Kama unamkubali kinata mc achia like twende sawa
Kinata fundi🙏
@@amanichasama9730 nakubali
Hii singeli kalii sana wasee snaaa
Wapi likes za Ibra... Love from Kenya
Much love from +254🇰🇪🇰🇪 wapi love from kenya
Hataliii😍😍
Konde boy ni noma.....kusimamia hawa vijana
Nakubal fundi Wang Ibrah 🙏🏼🙏🏼🔥🔥 Kondegang4life 🤣🤣🤣 Kwan dada vanny mwenyw anasemaj . Daaah goma Kali kicha Wang 🔥🔥🔥🔥🔥💥💥
Konde gang KINDAKI daki naomba 1k Kama wew pia Ni mwanachama gang for everybody
Pamoja
Dogo ibraa shoga ajui mziki dogo m2 gan ana imba kuria kila cku alafu ngoma azi iti masha biki wa konde gen ibra na anjera anjera anajua NEXT LEVEL FOR LIFE
weweeee uko bomba xn
wow! Now this’s how you do singeli #swahilitotheworld 🔥🔥🔥
czcams.com/video/RfNJF4ZMveM/video.html
I'm a fan of Singelii music, what a flavour this music brings.
@@clementhiddi1486 Nm
Kitoko sss ibraah de King🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿✌🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💞💞
Nakukubar xna ibra daah saut nyololo hajawahii kutokea kwhapa bongo
Mungu mwemaaa nusu milion hyoooooooooo
Nimewahi kinata mc weweeeeeee like kwa kinata and IBRA
Singeli kienglish yamoto sanaa 🤗
Wamakonde 💥💥💥bebaneni
@@rashidatymayad5221 hahahaha daah
Koooonde Gaaaaang For Eeevrybaaady Huku Kenya Goma Tumelifanya Wimbo Wa Taiga😂💪💥💯
Kila hatua dua
Haaaaa
@@matridachatila6839 Ndio Hivoo
Nan anapendaa ibra anapo imbaaaa jomn
Jmn kwa goma hili naamin like 100 napata🙏🙏
Hiyo kitu ina nyanyua hadi maadui wanacheza do lemi go hatari😆😆😆😆
We sooooooooooo pw weweeeee3eeeee
Dah ibra umenikosha 😍😍😍
Kama wewe ni mwanajeshi naomba comments ziwe mbili mbili tuingie trending asubuhi na mapema...hakuna kulala..
Pamoja
@@husnanyamvula2372 basiii🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jeshiiii
Haina shida mdgo wangu hakuna wa kutuzuia konde gang4 love
@@yasinkatondopamojasanakaka3831 tusonge basi
Konde gang Kali sana.....tuendeni jamni
Makabila hana mwendo kwa ibrah
Asee mmeua kinyama 😘😘
I played this song in my room, I swear a lizard turned into a dinosaur. Ibraah hoiyee
🙄😅😅😅
🤣🤣🤣
How big is your room
😂😂😂😂
😂😂😂
Dada Vanny kueka kucha bandia😂😂😂who got this from 🇰🇪 agonge likes mbili🤣🤣gonga mbili bana
Tunapetaaa
czcams.com/video/I7L-cxvrZPQ/video.html
Vanny in this song is a commedian called dullvani who dissed harmonize
I thought nime skiya mwenyewe 😂😂😂
czcams.com/video/RfNJF4ZMveM/video.html
Dogo noma sana mnatisha endelea na kazi nzuri.