UVCCM: "CHADEMA Wameandaa Kamati ya Harusi, Hawatashinda NG'O"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Mwenyekiti wa umoja wa vijana UVCCM TAIFA,Kheri James amewataka vijana kwa kufanya kazi nakuacha kutumika katika mambo ya uchochezi.
    Ameyasema hayo kwenye kongamano la vijana lililo andaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es salaam,lililo fanyika katika ukumbi wa Urafiki Social Hall, huku akiwataka vijana kuwajibika nakuji tuma kufanya kazi.
    Hata hivyo amewasisitiza vijana kukumbuka nyumba huku akisema wengi wao husahau walipo toka nakuwataka kujituma nakufanya kazi kwa bidii.
    Subscribe / uwazi1subscribe / uwazi1
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Komentáře • 125