UVCCM: "CHADEMA Wameandaa Kamati ya Harusi, Hawatashinda NG'O"
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- Mwenyekiti wa umoja wa vijana UVCCM TAIFA,Kheri James amewataka vijana kwa kufanya kazi nakuacha kutumika katika mambo ya uchochezi.
Ameyasema hayo kwenye kongamano la vijana lililo andaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es salaam,lililo fanyika katika ukumbi wa Urafiki Social Hall, huku akiwataka vijana kuwajibika nakuji tuma kufanya kazi.
Hata hivyo amewasisitiza vijana kukumbuka nyumba huku akisema wengi wao husahau walipo toka nakuwataka kujituma nakufanya kazi kwa bidii.
Subscribe / uwazi1subscribe / uwazi1
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Mungu akuinue Mwenyekiti Uvccm Taifa, Niko Pamoja na wewe kujenga nchi yangu
Safi sana
CCM raha sanaaaaaaa tukutane kazini
kweli
Mubwa nyie
Hongera Sana
safi mwenyekiti wangu
Nimekuelewa kaka.
ccm oyeeee....
Safi sana. CCM hoyeee. Kidumu Chama cha Mapinduzi
kidum chama tawala
hakika huyu jamaa yupo vizuri sana mwenyekiti wa uvccm
Poleni ayayote mtalipwa na mungu nazani kwa sasa mungu wenu nimakufuli ipo siku mungu atasikia kilio chet
Daaah we jamaa🤔
Ccm safi
uvccm tuko vizur
ahst kiongozi ccm juu
Ongea point
Piga kazi kaka,ushindi wetu.
Tuko kazini mwenyekiti bora wetu
hahahaaaaaaa uwiii ccm oyee
CCM itatosha
Bruno Benny Mpolle eti Kiongoz.....ccm ni chama kubwa sera wanazo nzur...
kweli tunashinda
Oyooooo kipigo hoyeeeee
ninyi sio wanasiasa tena mchana wanasiasa usiku wasiojulikana au magaidi kwenye siasa mmefliska
praymma 555 àaasaaah nimeipenda hiii duuh
Duh, chadema ipo juu
Nipe tano ukawa kwishaa
Ohoooooo!!!!
hahahahahaha,,,asee,,,Awa jamaa banah,,nawakubali kiaina
Mtanzania gan anawaitaji nyinyi ccm
Kipigo ooeeeee
M/kiti bora na mchapakazi
KANDUMILA THE GREAT ubora upi huo ???
ccm ndochama imara,chadema wana Fanya siasa za mitoto watajibeba huyu ni jpm
Hakuna kitu kibaya kama kumchanganya Mungu na siasa
nimekuelewa
kipigo oyeee
Rehema Swalehe oyeeeeee wachalazwe asaa na uyo binyalusi
CHADEMA kidume ccm kwisha kinodoni
Rehema Swalehe oyeeeeeee!!
Inapendeza mwkt
Ondoa ujinga lisu amekutenda nn bwege ww
Ovyooooo
hahahaaa! jaman punguzeni kamanda wa watu akisikia haya atazidiwa
wape wape kijana
ccm oyeeeeeeeeee , usiongee sana kaka jpm amesha piga kampeni tunasubiri ushindi tuu
waambie ukweli wagonjwa hao wapo kibao bongo
Vyema Ndg
Naona ungeomba kazi kwa mzee yusufu coz taarab naona unaiweza sauti yako tu taarab tosha siasa hamna hapo yaarab tupu pole brother
Pasipo kutumia mapolisi kupora Na uvunjifu was amani!sijui....................
Hao c ombaomba na vibaraka wa wazungu, wamemfanya lissu kuwa mtaji wa kuombea misaada. Kila siku Tanzania hakufai lkn kuhama kwenda uko kuliko salama hawahami.
unaonyesha udhaifu wa chama kupitia maneno yako
Utashangaa sana
wambie hao wasiojifaham wamekwisha ccm oyee
kama mtaweza kujibu maswali ya watu kupotea,kushambuliwa na kutekwa basi kura mtapata lakini mpaka hapo bado sijawaelewa.
Ww nae n kiongoz?
kweli wewe msengesaaana
Piga nahuyo tena
huyu nae kumbe hamnazo
Itafahamika tar 17 feb
Wewe ultaka kumuua Tundulisu
Dah ipo siku utayakataa haya maneno yako
Ukawa wamejimaliza wenyewe kila cjama kina tamaa! Chadema atka asimamishe mgombea CUF nao wamo sasa hapo UKAWA wamelogwa na nani?
astakhafirulaaaaaa!eti mnataka upinzani usiwepo nyi mnaubavu wakuvumbua maswala yanaoyopikwa na chama chenu ?km vle takwim,bombadia makinikia n.k acheni kujipendekeza upinzani nchi hii no muhimu mno.
una mvuto wala point mmepata chafya tu
Fikiri kabla ya kuongea
upinzani mtaufuta kwa njia gani toa maelezo vizuri
napita tu
Piga kelele kipigo kitakatifu oyeeeeeeee ccm oyeeeeeeee safi sana najitahid kuwaombea ushindi mtulia oyeeeeeeeee
Kumbe ni biashara!!!!!Ahhh Okkkk
Bibi harusi atashinda
Tatizo lenu misifa yakwenye majukwaa mukija kwenye uchaguzi nibunduki ndio mushinde kaulizie kura halali alizozipata jimbo lakikwajuni ndio uropoke
kwisha nyie,no sera hapo.
Lazima mapov yawatoke sana this time,kwani hamkutegemea,mlijua watasusa. Mmeshikwa pabaya
Nyie mafisadi majizitu
✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
Jenga hoja mbadala hizo sio sera mbona mmevipa usajili vifuteni basi
Iko siku polisi ndio watakimbia mbwa nyinyi
Wewe ni takataka tu
haujui katiba ya jmhl unaruhusiwa hata ww kugombea jmb lolote ndani ya tz
siasa sio uhuni acha kuzungumzia mtu fani yako sisiyasa fani yako kuimba tarabu khadija kopa anakufaa.
Kidu Kidu
piipooooziiiiii?? wanakinondoni msituangushe
Msomi unapgia makofi pumba km hizo? Ama kwl hii n bongo
Munapoteza ela za walipa kodi kazi kumzungumzia mgonjwa baada ya kutuambia kwa nini munarudia Uchaguzi ela za kampeni si Mungenunua chaki pale Kibasila?
nyie ni janga la taifa.
Mtazikwa kijani mbwa nyinyi
Wewe kampe faraja apone unaongea pumba dhidi ya uhai wa mtu
Hakufa sasa.mtaiona namba tu
Kinondoni ni ya chadema tuuu
Acha unafiki, maumivu yake huyajui ongea ya maana
kwani ndo ushaanza kampeni dogo? taratibu bhana plz.
sunajifariji dogo wapiga kura kinondoni tumetulia
huna sera imebaki Michambo tu Mbaazi imeshuka bei Lindi kwa Nape hadi zinaozea shamba kazi Kumchamba mgonjwa Sera imekuwa Mgonjwa ndio matatizo ya Wanakinondoni?Mbona unatia aibu?
Uko kote mlikoshinda jiulize ulishinda kialali nyie mnatawla kimabavu tu kama kweli nyie ni kweli ni chama kitakachoongoza kwa haki kubalini kuingia ktk uchaguzi wa halali Muone kama nikweli mtashinda
Rabiel Kinabo mbowe anawaburuza sana.
mnaleta fujo makusidi ili muonekane mnaonewa zlipendwa
Nakatiza uchochoro
kwaoja hampiti labda muwatumie wale mlozoea kuwatumia
Amshindi labda mtumie dola
wekeni polisi pembeni muone kazi
Wewe ni kibarua wa ccm hauna hoja yeyote ya msingi
watanzania hatupendi siasa za chuki au kubebanabebana atakaye shidwa ashidwe kwa haki
naww kbaluwa wanani? jitazame kabla hujatazama
tatizo unatumia police
Bila shaka unaota hakuna mwanasiasa mwenye weledi awezae toa kauli chafu kama hizo, rudi dsrasani hujakomaa kisiasa wewe 100%100%
Maneno ya shombo alikuwa nayo NAPE ila leo anajutia kwanini hakubakisha akiba ya maneno ???
kwako hatuwezi ona ajabu yoyote
Jenga hoja ww ujitambui
Ulitaka kumuua na hakufa
Atakaeisifia ccm kifo chaje kiko karibu mbwa nyinyi.mnakunya mavi jijani.mnavaa nguo kijani.
Kama una uwezo njoo kibosho uone
Magufuli hawezi kuwa baba yangu labda wewe takataka tuu
Majoka wakubwaa mnafanya kazi gani nyie kama si police nchi hii hakuna ccm maana imefirisika kisiasa mnategemea mitutu hadi mnatia huruma makuma wakubwa.
Tv Saturday one kaka sijui na umri gani maneno yako yanafanana na wewe kuwa na maneno ya staa hizi cku za mwisho shetani ameonekana kwako
WW akili huna eti bla polisi ccm haishindi mnania ya kupata kula kwa fujo? naninchi gani inafanyaga uchaguzi bila polisi? kuwa naakili WW majungu utachelewa ww
Utahama wewe mbwaa wee
mpumbavu wewe.
Hongera Sana
sunajifariji dogo wapiga kura kinondoni tumetulia
huyu nae kumbe hamnazo