MNYIKA KUJIUZURU UKATIBU MKUU,CHADEMA WATOA NENO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 10

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 Před 21 dnem

    Kuna mambo mengi ya kulipoti ww chawa nn

  • @illomowerner7690
    @illomowerner7690 Před 20 dny

    We binti Christina toka Songwe TV mbona unaleta upumbavu kwenye maisha yetu ya maumivu? Mwisho inamaliza kwa kusema umewasiliana na John Mrema na amekuhakikishia hakuna jambo kama hilo, why sasa unaleta hii habari na sababu za Mnyika kujiuzulu wakati ushaambiwa hakuna kitu kama hicho?
    Au umetumwa? Jikite kwenye habari zenye tija kwa taifa na maisha ya watu kama utekaji, ubakaji, ufiraji, mauaji na wizi serioalini na kwenye jamii.
    Acha kutafuta promo kwenye damu za watanzania.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 21 dnem +1

    Chagadema ni balaa saba😢😢Matatizo kati yao pia na serikali kibao..Wachafuzi n a wachonganishi ile mbaya Ni hatari sana😢

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Před 21 dnem

      Nani Hadhihakiwi? Change maneno yako. Hawajui wezi na watekaji na wakati wa nchi ? Unaropoka2 tu! Tumia hekima

  • @KisakaMvungi
    @KisakaMvungi Před 21 dnem

    Uwongo mtupu sikiliza maneno ya mwisho

  • @user-pp1cq9op5y
    @user-pp1cq9op5y Před 21 dnem

    Waongo

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 21 dnem

    SACCOOS 😢

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 21 dnem

    Tutajua ipi mbivu

  • @prosperthomas8864
    @prosperthomas8864 Před 21 dnem

    mbowe naye ajiuzulu yeye ndye Anaye kihujumu chama