MT. ALOYCE GONZAGA YOMBO KIWALANI - UKRISTO NI ZAWADI na Mtunzi Boniface Mlula (Official Video)
Vložit
- čas přidán 27. 06. 2024
- Huu Ni Wimbo Maalumu Kwa Wakristo Wote, Wimbo Ambao Unatukumbusha Sisi Wakristo Wote Kwanza Kujivunia Ukristo Wetu Kwani Ni Zawadi Ambayo Mungu Mwenyewe Ametupa, Lakini Pia Tuache Kutangatanga Kutafuta Miujiza.
KWAYA: MT. ALOYCE GONZAGA YOMBO KIWALANI
WIMBO: UKRISTO NI ZAWADI
MTUNZI: BONIFACE MLULA
MWAKA: 2024
AUDIO AND VIDEO: NEW HOPE PRODUCTION
Hakika ukristo nizawadi kuujua huo ni mpaka uwe na utulivu
Hongereni sanaa wapendwa katika kristo,mmeimbaaaa 🎉
Hongereni aisee mnajua
Tudumu kusali na kuomba❤❤❤
Kazi nzur
HONGERENI SANA WIMBO NI MZURI SAN🎉🎉🎉
Kazi nzuri mno.
🔥🔥🔥🔥
Hapo kwenye kuwatunza watawa na mapadri wetu nakazia.
Hongereni sana wapendwa
Nimeipenda hiyo
Nimeipenda hiyoo
Congratulations on your beautiful singing from kenya🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Thank you so much!!
Mbarikiwe sana kwa zawadi ya wimbo mzuri namna hii. Hongereni pia kwa majitoleo yenu ya utume huu wa uimbaji. Nimebarikiwa sana, ama hakika Ukristo ni Zawadi 🔥🔥
Asante Sana, Endelea Kubarikiwa..
Hongereni sana kwa nyimbo nzuri
Asante Sana
HONGERENI SANA
Mzigo umeendaaaaaa sana yan hongereni sana uncle zangu na Aunt zangu......
MUNGU mwema
Hongereni wana Gonzaga hakika wimbo umefana,
Asante
Hakika ukristo ni zawadi bila Roho Mtakatifu huwezi
❤❤❤ kazi njema
Hongera mwalimu kazi nzur
Asante
Hongereni kazi nzur sana
Asante Sana
Hongereni. Wangu utume wenu uendelee hata Kwa mataofa yote
Ahsante sana
Waooo, wimbo mtamu umeimbwa kwa vituo. Asante kwa kutukumbusha thamani ya tulichonacho na wajibu wetu katika imani hususani kuwatunza watawa ambao mara nyingi tunawasahau.
Kazi Nzuri Wana Gonzaga, Hakika Ukristu Ni Zawadi..
Ongereni sana ndugu zangu kazi umesimama, utume mwema
Shukran sana
Hongereni sana
Asante Sana
❤❤❤ Mungu awe nanyi katika utume mko vzri sana
Ongeren sana
Asante Sana
Hongeren
hongereni kwa kazi nzuri wapendwa
Asante
Amina
Ukristo ni Zawadi nasi tulio ndani tuutunze na tuudumishe
milele Amina.
Hivi ukitaka maombii si saw
Maombi Yapi...
hongereni sana❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kaz nzur sanaa