Iki ni kirusi chekundu bira shaka kinataka dozi broo leave upesi njiti? Kumbe ndo mna hamnaga makocha wembamba mnaon ni chiti kaone kasemaji ketu unakaon janjiti lkn kan tupa raha ona nyie mmenenepa hamn mnachowaza kazi kusinziasinzia tu wew na watu wako kamili tunawatakia kila rakheli na uondoke upesi uende ukolon upesi😢😅
Safi sana hakuna kufuganafugana mpira ni mchezo hauitaji siasa hii imeenda
Asante. Sana. Ally. Kamwe. Umeongea. Kuntu. Kabisa. Baadhi. Yetu. Hata. KADI. Hatulipii. Halafu. Tunataka. Wachezaji. Wazuri. Wanayanga. Tulipie. KADI. Zetu. Kwa. Wakati. Asanteni. Sana
Omeongea la maana Sana,
Allaah Akbar
Kwani hiyo kadi unaweza kutengeneza ukawa unatunzia pesa ikifika wakati wa kulipia mnakata makato ya timu
Kuna option ya renewal
Kwa kiswahili ndo nini
Umenyooka semeji tuchangieeni timu yetu kwa kujisajili......
hivi kwanini msiweke account number ili watu tuchangie wengine hatupo Tanzania sasa tutachangiaje
Haswaa
Ukijisajili kama mwanachama utapata kadi ambayo utakuwa una renew yearly popote ulipo coz hata Madrid tunailipia wakati tuko Tz
@@SILVANUSMAHANDA😅😅😅😅😅 koma sava iii sasa😅
Hiyo kadi bei gani
Mhh
Semaji letu la taifa 😂😂😂😂😂
Hinamana tumeikubali rangi nyengundu kama nembo ya mdhamini??
Safi we ndo msemaji wa viwango vya FIFA na CAF.points tupu we sio kama mwimba tarabu mkimsikiliza hadi unajiuliza huyu Kwa uwezo au ushabiki TU.
Dad is so crazy 😂😂😂
😅😅😅😅
sawa kiongozi tunakuja
Wakwanza leo naomb like zang km zot ❤
Kalipe Ada wewe ndo upate like
@@jassontv5366 me tayar cjuw ww
Leo wa kwanza😂😂😂
Kulipa Ada au?
@@jassontv5366jibu mujarab
Kamwe usituzingue. Aziz Ki hawezi kusajiliwa kwa pesa ya Kadi. Acha bhana😂😂
Kwa hiyo unamaanisha watu wasijisajili wala kulipia kadi za uwnachama au point yako ni ipi haswa🙄
Tatizo ww hujuwi kinachosungumzwa mana usingeandi ivo ni Bora tu ungenyamaza kmy
Shabiki ndio anayeweza Jenga uchumi imara wa TIMU na kuweza sajili mchezaji yeyote yule
Kama hujui na huweli bora kaa kmya
usiongee ivo mbele za watu mtoto
Mimi wale nmb wananitesa pk sshv cad cjapata zaid miezi miezi3
Ntajisajil na ntalippa mniisameh
😂😂
😅😅😅😅 poa broo
Kwa sisi ambao tupo mbali na dar inakuaje?
Njooni mnichukue Mimi Aziz ki aondoke tu usitutishe
Manara tunakutaka wewe
Aje manara wewe hatukutaki
Nahisi umetumwa kamwe kazingua wap? Hatumwiitaji mwingine kwa sasa sisi sio makolo wa kubadilisha viongozi kila kukicha
Afu try to studying yourself
Mfyuu waambie makolo
Huyuu njiti anaongea au analopoka
Wewe utakua Dunduka
Ukiwa nu mwanaYANGA utajua ....waache makolo wanodhani uanachama hauna kitu wazubae
Iki ni kirusi chekundu bira shaka kinataka dozi broo leave upesi njiti? Kumbe ndo mna hamnaga makocha wembamba mnaon ni chiti kaone kasemaji ketu unakaon janjiti lkn kan tupa raha ona nyie mmenenepa hamn mnachowaza kazi kusinziasinzia tu wew na watu wako kamili tunawatakia kila rakheli na uondoke upesi uende ukolon upesi😢😅
Yap waondoke la sivyo namfata kumuondo