Hapa Ndipo Wanapozikwa Watu Maarufu Marekani | Gharama Za Mazishi Huku USA Ni $38,000....!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • Nilitembelea Hollywood Forever Cemetery iliyopo Los Angeles, California. Ni Full-service funeral home, Crematory, Cemetery & Events center. Pia nilipata nafasi ya kupata information kuhusu gharama za mazishi maeneo haya. Tazama video hii ili ujionee yaliyojiri hapa Hollywood Forever Cemetery.
    Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
    My previous video;
    • Beach MAARUFU Inayopen...
    🔸FOLLOW ME ON;
    INSTAGRAM: / jacchalz
    TikTok: www.tiktok.com/@jackchalz
    My Other Channel: / @jackchalz
    #hukuyues #losangeles #mtaani

Komentáře • 306

  • @jackwausa
    @jackwausa  Před 11 měsíci +2

    Please SUPPORT me by joining here;
    patreon.com/JackWaUSA

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Před rokem +7

    The way unavyomshirikisha Mungu katika kazi zako you real inspire me🇹🇿

  • @jackwausa
    @jackwausa  Před rokem +18

    Please Subscribe pia kwenye hii channel yangu nyingine ili ujionee zaidi ⬇️ ⬇️
    youtube.com/@Jackchalz

  • @allfootballscoreliveworld8055

    Kiboko ya afrika Allah akupe umri mulefu kaka kazi nzuri maisha popote kambi

  • @jumakauli
    @jumakauli Před rokem +26

    Sijambo. Haujambo? Mr. Jack, Hii video ni kazi nzuri. Kwani umetukumbusha kifo kipo kwetu sote. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki.

    • @jackwausa
      @jackwausa  Před rokem +2

      Sijambo pia, namshukuru Mungu. Mungu awabariki!

    • @petermakubi
      @petermakubi Před rokem

      Oya, let's make a video about applying for a visa to live there and the job opportunities available there.

  • @johnkiriko7353
    @johnkiriko7353 Před rokem +10

    Am a Kenyan i appreciates your work bro....these are the contents we need now....kudos!!!!

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Před rokem +7

    Nakukubali sana brother, unajiamimi ile mbaya hivyo ndivyo mtoto wa kiume unatakiwa uwe. Ongera sana brother Mungu akubariki sana.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před rokem

      inabid tuwa raise our kids wawe wana jiamin kwenye maisha yetu. ya siku zote tusiwatie uoga hii yote ni juhudi za wazazi wa jack kumraise ili awe hapo alipo

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před rokem +2

    Waafrica huwa tunajituma kufanya vitu ughaibuni ambavyo Mzyungu hawezi kuja kuchambua graves za kinondoni wala kusema nqmnagani Tanzania wana party. Asante kwa kazi ya uchambuzi wa marekani.

  • @almuhtaramzamil
    @almuhtaramzamil Před rokem +4

    Sisi Waislamu mtu akifa anatakiwa afanyiwe mambo yafuatayo haraka sana:
    1.Aoshwe
    2.Akafiniwe (Avishwe Sanda)
    3.Aswaliwe (Swala ya Maiti) na
    4.Azikwe

  • @dionesebutoyi7256
    @dionesebutoyi7256 Před rokem +5

    I follow you from burundi🇧🇮 bro i can't stop telling you that your works are the most apreciated.Umetisha kinoma bro thant you s much🙏🙏

  • @jeremiahsumbuka1995
    @jeremiahsumbuka1995 Před rokem +5

    Jack unafanya vzr kazi yako i hop mda si mrefu you will get huge development nakuombea, my opinion, wape mbinu vijana wenye ndoto za kutengeneza settlement huko,hatua kwa hatua utaratibu wa kuja huko,vibali au uraia,na namna ya kutengeneza makazi na ajira, ili wasipatwe na risk yoyote kama kuwa homless au jobless huko usa

    • @jackwausa
      @jackwausa  Před rokem +1

      Asante. Pia nitalifanyia kazi hilo suala na kupost video itakayotoa maelezo yote!

    • @jeremiahsumbuka1995
      @jeremiahsumbuka1995 Před rokem +1

      Itakuwa vyema kaka.

    • @carloskato1088
      @carloskato1088 Před rokem +1

      Nipende kukazia aliyosema brother Jeremiah Naona utakuwa umetupa mwanga kwenye angle Hiyo maana living in US is a dream for some of us.apart from that Good work brother jack.

    • @jeremiahsumbuka1995
      @jeremiahsumbuka1995 Před rokem +1

      Absollutely, Video Ya Vibali Alitoa But Bado Masuala ya nauli, Na namna Ya Kufit Mazingira Ya Us Kama Mgeni.

  • @JovinBrighton-ci3ji
    @JovinBrighton-ci3ji Před rokem +2

    Brother be blessed for your work. Ofcourse you make us to keep in learning alot of things in USA

  • @habib514
    @habib514 Před rokem +7

    You don't quit when you're tired, u quit when ur done...Thank u Brother

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Před rokem +5

    Umetisha sana jamaa! Nilipenda ile tour ya st. Monica beach

  • @tumainimchwa2773
    @tumainimchwa2773 Před rokem +3

    Umefanya kazi nzuri sana kamanda kutupa elimu ya namna wenzetu wanavyo ishi na hata baada ya kifo na garama za mazishi"Bg up sana

  • @azizsaid6177
    @azizsaid6177 Před rokem +2

    Wangu kazi nzuri, many peoples d'nt knows the situations in Us. From you, now they get an image. Why didnt u go to Pac's cementary? I expected it

  • @Team-t6k
    @Team-t6k Před rokem +3

    AFRICAN kwetu tuna neema nyingi saana na piya katika Uwislam piya tuna neema nyingi saana Alhamdulillah to born Muslim so big up kijana kwa kazi yako na Allah akufanyiye wepesi kunako uzito 🤲

    • @mushken65
      @mushken65 Před rokem

      Dini sikitu cha kujivunia. Dini ni vitu kaundwa na binadamu. It's not an achievement to be Muslim or Christian. Heri hata unelikywa unaabudu mlima kilimanjaro hiyo ingelikuwa kitu cha kujivunia. Tafakari hayo 🇰🇪

    • @Team-t6k
      @Team-t6k Před rokem

      @@mushken65 Tatizo sio dini Tatizo hujapewa hekima ya kuelewa lolote so huwezi kuwa na iyo level ya ufahamu

  • @richiemakini
    @richiemakini Před rokem +7

    Napenda kazi na unavyozidi kutupa moyo na kututia nguvu,,mola akuzidishie mengi maishani mwako

  • @patrickmwaniki3835
    @patrickmwaniki3835 Před rokem +1

    I really appreciate your work, very educative. Nairobi Kenya.

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Před rokem +2

    Bro.hiyo camera 🙌.wanaotupostia video wengi video zao haziko na quality nzuri.hungera bro.good job.
    Thanks jack.

  • @vickyshangwe7339
    @vickyshangwe7339 Před rokem +4

    This is incredible work! Adventure at my own coach 😉😃
    Your character and your work, perfect match!! 👌

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem +4

    So educative!!! Thank you brother!

  • @samtandarus7458
    @samtandarus7458 Před rokem +4

    Nimeioenda hii quotation... You don't quit when you are tired, You quit when you done

    • @jackwausa
      @jackwausa  Před rokem

      Yeah, keep moving untill you make it!

  • @faridakinyaga8179
    @faridakinyaga8179 Před rokem +3

    Hakika pumzi haiuzwi God I'm so grateful for my life

  • @egkisini5753
    @egkisini5753 Před rokem +2

    I like your speech at end God bless you kweli don't give up cos bado unaishi

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 Před rokem +1

    Jack hongera sana umekuwa muhimu sana asante asante na nipejifunza mbo makubwa sana

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před rokem +2

    sauti yako jack inafanana na richi mitindo hongera kwa kazi zuri

  • @Coleunlimited1
    @Coleunlimited1 Před rokem +2

    Nice content Mr Jack💪🏽

  • @salmaseifu4775
    @salmaseifu4775 Před rokem +2

    Amina kaka unaishi malekani hila nampenda sana imani yako ya kimungu

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Před rokem +2

    Unafanya kazi nzuri sana brother,keep it up!!

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Před rokem +2

    We upo vizuri aisee umetufumbua macho big up

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 Před rokem +2

    Mungu akubariki bro kuna vitu vingi tunajifunza kutoka kwako

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Před rokem +2

    Aisee!
    Ahsante sana jack,next naomba uende desney land please!

  • @Maulambo
    @Maulambo Před rokem +5

    Marekani kila kitu gharama kweli sio poa

  • @omarimustapha796
    @omarimustapha796 Před rokem +2

    Salute bro...Allah bless you🙏

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Před rokem +2

    Brother unatupa madini mengi mazuri toka huko USA TANZANIA TUNAKUKUBALI SANA KAKA KWA KAZI ZAKO GOD BLESS YOU WITH YOUR ALL THINGS YOU DOING

  • @richardscofeld9136
    @richardscofeld9136 Před rokem +2

    Appreciate sir 👍 thanks so much for this content

  • @coasterherman
    @coasterherman Před rokem +2

    Kazi nzuri jacki unajitaid sana 💯

  • @hikupskikons8914
    @hikupskikons8914 Před rokem +2

    tunajifunza mengi keep going kazi nzuri

  • @musaguga
    @musaguga Před rokem +4

    We jamaa Leo umeamua kutukumbusha kifo, well well well

  • @Kengele
    @Kengele Před rokem +1

    FIRST TIME HERE FROM KENYA #KENGELE

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 Před rokem +2

    Safi mkali, USA hakuna ubabaifu yani na mambo sio ya kubahatisha,,unaingia upatakapo sio kama huku unaenda sehemu unakua na hofu sana a lot of questions wakat hatuko duniani

  • @daktariwakienyeji
    @daktariwakienyeji Před rokem +2

    Great work Mheshimiwa 👍

  • @sadockmganga4630
    @sadockmganga4630 Před rokem +1

    Mimi ni sadock wa ubungo nimependa injli ya kutukumbusha wajibu wetu barikiwa bro.

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 Před rokem +1

    Big up bro that why I love from Mombasa Kenya Tuko pamoja

  • @ngaboespoir4580
    @ngaboespoir4580 Před rokem +2

    Keep keep pushing brz

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před rokem +3

    💪 safi sana broo

  • @onesmomasawe3331
    @onesmomasawe3331 Před rokem +1

    Nakukubali kaka napia unatufundisha vitu vingi sana good work

  • @victorchris5144
    @victorchris5144 Před rokem +2

    Maneno ya mwisho mwisho kwenye video yamekuwa zaidi ya somo kwenye maisha yetu ya kila siku, keep it up Jack … I really appreciate what you do 🫡

  • @zamberimturi5593
    @zamberimturi5593 Před rokem +2

    Good bro nakufatilia kwa makini sana bampa2bampa

  • @Vees12
    @Vees12 Před rokem +2

    Umetisha sana

  • @judywaciuri6278
    @judywaciuri6278 Před rokem +1

    Thanks Jack for educating us

  • @dionesebutoyi7256
    @dionesebutoyi7256 Před rokem +4

    I follow you from burundi bro i can't stop telling you that your works are the most apreciated.

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před rokem +2

    Kinacho mata ni umefanya nn ulipo kua hai. Uzuri wa kaburi hauna maana yoyote, hata liwe limejengwa kwa dhahabu tupu.

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Před rokem +1

    Pamoja brother

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Před rokem +2

    Mungu akubariki sana kakaangu jack

  • @myhlmn3701
    @myhlmn3701 Před rokem +1

    Tunakubali saf1i sana big up tunatembea na ww mbona

  • @Bachubazonlinetv
    @Bachubazonlinetv Před rokem +2

    Kazi nzuri sana kaka

  • @joleal7941
    @joleal7941 Před rokem +1

    Courage kaka kwa kutupa habari za marekani

  • @nizigiyimanalongin7011
    @nizigiyimanalongin7011 Před rokem +1

    keep up brother. kazi safi sana

  • @mirajiboe6133
    @mirajiboe6133 Před rokem +3

    Jack kaz yko nailewa kinoma an

  • @johnkeya3293
    @johnkeya3293 Před rokem +2

    Good job

  • @happykimaya6631
    @happykimaya6631 Před rokem +2

    Asante Jack

  • @tumainimchwa2773
    @tumainimchwa2773 Před rokem +1

    Mungu akubariki sana kamanda

  • @waltersesuru43
    @waltersesuru43 Před rokem +2

    Ubarikiwe sana.mungu akupe maisha malefu

    • @jackwausa
      @jackwausa  Před rokem

      Amina na Asante. Ubarikiwe pia!

  • @pastitutamogaka7776
    @pastitutamogaka7776 Před rokem +1

    God bless you kwa kazi unayofanya bro really i can't say anything

  • @boazkofficial2247
    @boazkofficial2247 Před rokem +1

    good job brother worching from Kenya bro

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před rokem +2

    Nimeipenda sana video yako, na pia mazingira yalivyo ,ya usafi na pia mpangilio wake, kwani ndivyo inavyotakiwa kumthamini mtu hadi alipolazwa bado pana thamani inabaki kumbukumbu daima, waendelee kupumzika kwa amani. 22.02.23.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem +1

      Kumthamini mtu Kwa kumchoma?

    • @mariamfritsi4943
      @mariamfritsi4943 Před rokem

      @@jumakapilima7295 nimesema yale mazingira yalivyo pale walipozikwa ni mazuri wamezika kwa mpangilio na pia ni pasafi, ndio maana nikasema wanawathamini marehemu wao. sasa hayo ya kuwachoma umesema wewe. na pia kuchoma inakuwaga ni agizo la mtu, kuwa nikifa nichomwe.

  • @hamisaally968
    @hamisaally968 Před rokem +2

    Leo ndugu umenifundisha kitu uwa naangalia filamu za kikorea naona wanakumbukumbu hizo za kuweka kwenye vikabati na picha za marehemu kumbe uwa kunakuwa na majivu pale ya marehemu

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Před rokem +2

    Ubarikiwe sana mwamba

  • @denistimoth7843
    @denistimoth7843 Před rokem +3

    Bro cku moja tupeleke airport LAX tuone inavo fanya kaz itakuwa powa sana

    • @jackwausa
      @jackwausa  Před rokem

      Nitapost hiyo video. Endelea kufuatilia channel yangu!

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Před rokem

    Asante Sana

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 9 dny

    kazi nzuri

  • @mirajiboe6133
    @mirajiboe6133 Před rokem +3

    But next month natak utulushe mpaka new york bloo

  • @hikupskikons8914
    @hikupskikons8914 Před rokem +2

    safi sana

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před rokem +1

    UBARIKIWE...Kaka Mr Jack..🙏

  • @christianmtexas556
    @christianmtexas556 Před rokem +1

    Upo njema sana chief

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 Před rokem

    Kwa uku tz vijijini gharama ni sanda tu ambayo inakost tsh 5500. Geneza lipo msikitini. Hii ni kwa waislamu tu'

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před rokem +3

    Utatokewa na mazombi ya thriller ndugu

  • @official_gakankara
    @official_gakankara Před rokem +1

    Mwanang nipenda sana channel yako 💪💪💪

    • @jackwausa
      @jackwausa  Před rokem +1

      Asante na karibu sana katika channel yangu!

  • @MJM52
    @MJM52 Před rokem +1

    Mwamba umetisha sana

  • @josehaulee1508
    @josehaulee1508 Před rokem +1

    Safii sana mtz mwezetu unatutoa ushamba

  • @fatmasaid4381
    @fatmasaid4381 Před rokem +2

    Well said tuko. Pamoja from Mombasa Kenya...

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před rokem +2

    Alafu utuletee ni wapi huko wanauza mabeli ya nguo za mitumba na shoo room za magari

  • @NuruHasa-zp6cn
    @NuruHasa-zp6cn Před rokem

    Ohoo safi Iv ukitaka mtu akutumie mzigo kutoka uko marekani utaratibu ukoje na ndugu yangu uko ila yeye ajui anitumie vipi

  • @sadicksaid7676
    @sadicksaid7676 Před rokem +2

    Jack wewe ni shujaa dogo unapambana mungu akulinde huko nchi za watu

  • @taifocuscompany9246
    @taifocuscompany9246 Před rokem +1

    Safi sana kiongozi kwa taarifa

  • @kingtabley3405
    @kingtabley3405 Před rokem +2

    Upo makin bro

  • @justinstiga6664
    @justinstiga6664 Před rokem +2

    Brother nimekuelewa xnaa kwa kutuonyesha huko USA wanafanyaje

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Před rokem +1

    One love aoo tausi wanarangi ya Tanzania tuletee aoo wa kwetu

  • @mosesboy5576
    @mosesboy5576 Před rokem

    duuuuh my friend ukifia USA kamahuko vizuri kifedha my friend moses from Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rizikiramadhani7986
    @rizikiramadhani7986 Před rokem +2

    DA JACK UMETISHA SANA MWANA YANI MAREKANI NIKIWA NA BANDO TU NAIONA YOTE SABABU YAKO BOY

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před rokem +1

    Ninakata tamaa ya kuja YuES maana vijana mpo busy na CZcams Tu amsemi kipi cha maana munafanya kutu inspire

  • @bekereomari
    @bekereomari Před rokem +1

    Tutafutiye makaburi ya waisalm. Kazi nzuri sana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před rokem +1

    Good work brotha!

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Před rokem +1

    Daah barikiwa mno

  • @feresianlugera-it8vh
    @feresianlugera-it8vh Před rokem

    Safi Kaka Nimefurahi Sana Yaan Ni Kama Vile Nipo Na Ww Huko

  • @ibrashani8012
    @ibrashani8012 Před rokem +1

    Big up jack

  • @yohanaalimosa332
    @yohanaalimosa332 Před rokem +1

    Barikiwa Bro

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 Před rokem +1

    Nakuelewa sana ndugu