URUSI NI TISHIO KWA NATO, PUTIN ANATAKA KUICHUKUA UKRAINE YOTE - MAREKANI YAONYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

Komentáře • 49

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p Před 2 měsíci +7

    Mbona Ukraine ilikuwa sehemu ya urusi enzi ya Soviet,ni kwamba anairudisha nyumbani,sijui NATO inawauma nini watoke mbaliii wawambanie mtoto asirudi nyumbani

  • @fahadsaid9616
    @fahadsaid9616 Před 2 měsíci +2

    NATO wanajua kabisa hawaiwezi urusi Bali wanajitahidi kuitia hasara urusi, lakini wakatihuo wakiiangamiza Ukraine

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 Před měsícem +2

    Walitaka kuumuua trampo kwenye mkutano huko malekani hpo ndio akiingia madarakani ndio ataiharubu kabisa mipango y misaad kw uklein trampo hataki ujinga w kupambana na urusi koz anaijua hatari xx hili babu baiden jinga limeingia kichw kichw malekani xx inazalilika vbaya mataifa yameshagundua kua nato ndio iko vitani na urusi na wanapigika vibaya san hao nato ushawishi w malekani unapotea vibay

  • @RehaniKharidi-st4oe
    @RehaniKharidi-st4oe Před 2 měsíci +4

    Yaani hawa jamaa hawajitambui walivyo uwa watu wa iraq Afghanistan Yemen libya na kwengineko kwao ilikuwa sawa leo putin kujitetea imekuwa kosa?? Yaani kama putin asinge washtukia mapema looh lingekpata jambo baya sana na afadhali kawawahi

    • @aloycemruma6552
      @aloycemruma6552 Před 2 měsíci

      Urusi. Mungu awabariki lakini Hawa wauani wa nato msiwachekee. Pigeni kazi misiwasikilize

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 Před 2 měsíci +1

      NATO hawana wanachofanya isipokuwa kujilinda.... wote ni waoga wanaolindana tu. Na kibaraka wao tegemezi ni israel na Ukraine.

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed1045 Před 2 měsíci +3

    Mmekaa kikao kumzungunzia mtu mmoja tuu putin ama kweli putin jemedar

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před 2 měsíci +2

    Hamna muungano hapo kila mmoja anamaslahi yake putin atashinda vita

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Před 2 měsíci +3

    Babu kazerka ata akili hana hajitambui

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před 2 měsíci +2

    Utamsimamisha mamaako na sio baba MTAKATIFU viladmir Putin

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 Před 2 měsíci +2

    Mapimbi TU,Hawa, urusi iko imara,

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh Před 2 měsíci +2

    Wanafiki na wasenge tu

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před měsícem

    kazi kuwaulisha waukrin wasiokua na akilikwa maslahi ya Biladen chizi

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Před 2 měsíci +3

    NATO ndio toshio Tena genge la mashetan

  • @JafariHamisi-gu4ef
    @JafariHamisi-gu4ef Před 2 měsíci +1

    Wengine tulikua hatumjui Putin wala nguvu ya urusi mmemtangazia jina mpaka tunainjo😅😅😅😅

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 2 měsíci

    NATO . NATO Hawa ndio wanajipa umuhimu kira Kona..na kuwaamulia Wengine !!!!! Ukreni itafutika kabisa kabisa!!!!! Russia ni kubwa kisayansi.. Russia ni kubwa kijeshi!!!! Mifumo ya Anga na Wanajeshi pia ..semeni Wanajeshi wa NATO na Silaha!!!!!

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 Před 2 měsíci +1

    wanachokitaka watakipata subilini muone putin ni simba!!

  • @Muidineabudoabudopira
    @Muidineabudoabudopira Před měsícem

    Kumamazao mashoga wote wa kafilie

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 Před měsícem

    Nimeamini NATO ILianzishwa Ili kupambana na urusi,,,,hivi mfano vita ya Ukraine,,,Putin angepewa silaha na china ,, north Korea ,direct ingekuwaje

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Před 2 měsíci +1

    Au siyo! Kwamba NATO siyo tishio kwa Urusi 😂😂😂

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel Před 2 měsíci +1

    Urusi tayari ushinditunao

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina2342 Před měsícem

    haya mataifa ya ulaya kwa marekani mbwa anamrisha

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c Před 2 měsíci

    Naam ni kweli shoga hana hadhi wa nguvu😂

  • @gracemkami1343
    @gracemkami1343 Před měsícem

    Acha haichukue kwani Kuna shido

  • @user-vh3hj8mt6l
    @user-vh3hj8mt6l Před měsícem

    Nkikao cha ngapi hicho 😂😂😂na bado mtasema Tu🤣🤣

  • @adamchaka-vl7yk
    @adamchaka-vl7yk Před 2 měsíci

    Acheni figisu,Viva Putin ninyi wamerekani mmemfanya nini Iraq.Afighanistan,Libya nk.

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Před 2 měsíci +1

    So wamarekan walisema jamaa anumwa akil naona ugonjwa unapamba Moto

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina2342 Před měsícem

    haya mataifa ya ulaya kwa marekani ni Kama mbwa

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx Před 2 měsíci

    pumb tupu Putin ni hatari mzee wao vikao 2

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Před 2 měsíci +1

    😂😂😂😂Ndoto kuishinda Urus lazima Mzalilike 😂😂😂

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 Před 2 měsíci

    Kikao cha ngapi icho . Mnamjadili mtu mmoja

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c Před 2 měsíci

    Mungu awashinde hawa wa fafhili wa mashoga

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f Před 2 měsíci

    Kumstopisha Putin, nadhani hii akili itakuwa ya kijinga sana!! Heb ngoja tuone!! Lkn kumstopisha Putin naona ni jambo ambalo haliwezekani kabisaaaaaa.

  • @miruhongin
    @miruhongin Před 2 měsíci

    Siwa pigane wenyewe kama muna nguvu nyinyi hote munaongopa urusi

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 Před 2 měsíci

    Shrtani Ana kazi

  • @AliMwingwa
    @AliMwingwa Před 2 měsíci

    Bado hawaja sema

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 2 měsíci

    PUMBAVU ZAO HAWA NATO. HATA HAWAELEWEKI WANACHOFANYA ISIPOKUWA NI KUWADANGANYA WATU.. HAWA JAMAA NI MALAGHAI NA SASA TUMESHA WAJUWA NIA ZAO NA MIPANGO YAO.
    KWA NINI UKRAINE ? KWA NINI ISIWE KWA GAZA ?
    UNAFIKI UMEWAJAA KTK NYOYO ZAO.
    TUMECHOKA KUDANGANYWA NA MAGABACHOLI HAWA. VIVA RUSIA , VIVA PUTIN.

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Před 2 měsíci

    Wewe mzee nenda ulale muda wako umeisha. Umaarufu wa marekani haupo tena kwa sababu ya uongozi wako dhaifu.

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6k Před 2 měsíci

    Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Před 2 měsíci

    we nikichatu

  • @miruhongin
    @miruhongin Před 2 měsíci

    Myaka 2sasa anaongea Nemo moja

  • @user-tk2sj1mj1f
    @user-tk2sj1mj1f Před 2 měsíci

    Mnachochea vita badala ya mazungumzo

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Před 2 měsíci

    Walete silaha za mkundu Yao watashindwa watajisumbua bure hakuna siku ushoga utatawala dunia
    .