Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 04. 2018
  • Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano
    Wabunge Wa (Cuf) Wametoka Bungeni Baada Ya Mwenyekiti Anaengoza Kikao Jioni Ya Leo Kuzuia Mijadala Kuhusu Muungano Uamuzi huo Ulitolewa na Mwenyekiti, Musa Hassani zungu, Baada Ya, Waziri wa Sera Na Bunge, Jenista Muhagama, Kuomba Muongozo
    Instal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis...naibu SPIKA WA BUNGE
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Komentáře • 240

  • @dubais9018
    @dubais9018 Před 5 lety +6

    Hata mimi moyo wangu umeumia sana juu ya nchi yetu kunyimwa usawa wa Muungano.
    Tupo pamoja na nyie wabunge wote mnaoitetea zaznibar

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Před 4 lety +1

    Uwiiii kazi kweli kweli,hivi si vita vya Panzi hivi ila kuna CORONA jamani,osheni mikono na Mask muhimu Wazanzibar wezangu,mm sina la kusema Naogopa Ammiyy

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 Před 4 lety +1

    Jamani tujitahidini kuitafuta nchi yetu iwe na amani marahiii nilazima tupate Uhuru Zanzibar unguja na Pemba

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 Před 5 lety +2

    Mungu yupo mungu mmoja dunia mapito akhera ndio makazi

  • @mwinyiathuman5786
    @mwinyiathuman5786 Před 6 lety +47

    Mimi natokea Kenya Mombasa lkn naipenda Sana zanzibar.ipo siku Zanzibar itakuwa inchi yakujitegemea kwa uwezo wa ALLAH INSHALLAH

  • @kumulwa
    @kumulwa Před 5 lety +1

    Hata mm nakubaliana nawo wauvije

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 Před 6 lety

    Poleni sana wabunge wa Zanzibar, baadhi ya wabunge hawana uelewa na ndiyo hao wanaoboronga mambo, tutawawajibisha wasituvuruge sisi ni wamoja.

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 Před 6 lety +1

    Ni vizuri mjadiliane tz bara.tz.visiwani ni sawa hakuna pingamizi

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Před 5 měsíci

    Wewe Ali salehe unatwanga maji kinuni Ameanza Baba yao Nyerere Kuichukia Zanzibar na Wazanzibari sababu tu ni uisilamu na waisilamu amesema mwenyewe Nyerere laanatullahi

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 Před 4 lety +1

    Jamani wa Zanzibar tunateseka sana tumekosa Uhuru Zanzibar tunanyanyaswa tunabubuziwa sasa tumechokana na serekali ya uzayuni tunataka serekali mpya ya Zanzibar unguja na Pemba ndio mafanikio yakuikombowa nch yetu mahii inshaallah Zanzibar itapata Uhuru juu yahaq yake Allah atujalie tupate maendeleo tumechoshwa na ccm ya uporaji wahaki za wana nchi Zanzibar unguja na Pemba Pemba wametufungia kazi zetu hawataki tuziendeleze wanatukata ushuru hali yakuwa tumejiajiri wenyewe halafu wsnakuja wanatukata ushuru subhanallah Allah tuokowe na janga hili nchini mwetu Pemba Pemba na unguja

  • @hamadali6379
    @hamadali6379 Před 5 lety +1

    Allah amin

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 Před 4 lety

    Inallah masbriin. Muungano huu uliweza kulindwa na hekma kubwa ya Nyerere, na Karume. Nyerere alisema aliogopa sana kubezwa kuwa ''ameimeza ZNZ'', na pia alishasema ZNZ wanaweza na wako huru wakiamuwa kuvunja mungano, ila akatahadharisha, wakiondoka tu basi yataanza Upemba na UUNguja...Serikali ya mungano iwe na hekma na subra na haki kwa ZNZ. Nilimskia kiongozi mmoja wa juu wa serikali ya mungano akidai atamshughulikia mtu atakaye jaribu kuvunja mungano...ni makossa makubwa...mungano inalindwa na hoja na siyo nguvu...haitawezekana...basi serikali ya mungano ishughulikiye kero za ZNZ na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ZNZ waache jazba…. na madai mengi, zingine hazina msingi. Bungeni kuna malumbano mengi...nasikia wabunge wa ZNZ walikuja juu sana waziri mmoja alipodai kuwa ZNZ siyo Nchi...alikosea kidogo...waziri mkuu angesahihisha kwa kusema….ZNZ na Tanganyika ni nchi sawa ndani ya muungano….lakini serikali ya mungano ni nchi ''pekee'' inayowakilisha ZNZ na Tanganyika ktk jumuia za kimataifa….ni jibu tosha kabisa.

  • @salmaismail9425
    @salmaismail9425 Před 6 lety

    😭😭😭muungano walio unga hao wzee wt hawakuunga kwa ajil ya mfarakano bali waliung kwa ajil ya umoj km wamefikia hali hio ya kutudhalilish br na unavunjwe t maan cc wananzibar tunao uwez wa kujtegemea bdo
    na watuwache tuwe na maish ytu waone km hatutosonga mble kimaendeleo na wal htutokufa njaaa sana dah inaumma san kwa walivyofany watanganyika mungu ibariki zanzbar

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu Před měsícem

    Mimi huku Uganda nawaombea wazanzibar mupate taifa lenu huru

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 Před 5 lety +1

    Hakuna kitu ninachokichukia duniani kama huu muungano wa kishenzi ila iko siku in shaa Allah.

  • @abuudharishahidy3074
    @abuudharishahidy3074 Před 5 lety +2

    Mwili wangu mpana tafadhali nipatiwe koti jengine hili linabana.
    Poleni mmeyataka wenyewe

  • @mussachuo250
    @mussachuo250 Před 5 lety

    Dahhh poleni sana

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 Před 6 lety +5

    Upo sahihi kbs mzee nakuunga mkono

  • @messithedon9502
    @messithedon9502 Před 6 lety +1

    Mpo xawa Wabunge Wa Zanzibar Mm m2 Wa bara Lkn Mnachofanyia co Kitendo cha Ubinaadamu Ila Ipo Cku Mungu Atakulipeni Ndgu Zanguni Nawapenda Xana Wananchi Wa Zanzibar....!!!

  • @nuranzubail1240
    @nuranzubail1240 Před 5 lety +1

    Mimi ni mtanganyika lakin nikiangalia kwa upana wake Zanzibar tunaiangamiza hasa kiuchumi . Sema wabunge wa CCM ndo hawajielewi kabisa

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před 5 lety +2

    Kwanini mnalazimisha kutuletea SUKARI? Au mnataka.kutuwekea sumu.

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 Před 5 lety +1

    muungano ufe mana haunatija

  • @aronbanda4484
    @aronbanda4484 Před 6 lety +3

    Hamjitambui wazanzibar muungano huu munaonewa

  • @hidayamussa4273
    @hidayamussa4273 Před 6 lety

    Safi sana

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde1275 Před 6 lety

    Vumilieni yakheeeeeeee, Mungu yuko pamoja na wenye kusubiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii√

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 4 lety

    Hatuutaki mungano me family yangu ccm lakini hakuna faida y mungano watoeni mashekhe wetuu

  • @brisketkidari1623
    @brisketkidari1623 Před 6 lety +5

    wachane tu unawazonga nini waambieni hatuutaki sisi nyinyi tu uko ndo mnauweka hebu lianzisheni muone kama watapata mfuasi huku znz hatuutaki

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci

    Muungano na uvunjwe wasitukhanithi ssi tunaweza hata kuwaoa na kuwalisha

  • @moodyman7588
    @moodyman7588 Před 5 lety

    Nyinyi tukitaka kuwapiga changa la macho wafanyeni hivi wakiweka ccm Tanganyika Zanzibar tuweke Cuf o Act apo ndo itapatikanwa haki bila ya hivyo bc watatutukana, kwa wazanzibar tunataka independent no blablabla bom bom Think before you done

  • @albertanania3379
    @albertanania3379 Před 5 lety

    Lakini sawa Mimi nimbara lakini muungano auna maana kwasababu zanzabar na tanzania bara ni nchioja lakini ukichukuwa kama been dhaa kama sukari au tivii au friji ama garii ukipeleka tanganyila kama umezipeka Kenya au Uganda wakati ss ninchi moja kwaili wazazibaa twaeaonea

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 Před 6 lety +1

    techokaaaaaa jamani, tanganyika yatudhalilisha sanaaa. yatudhulumuuu.

  • @yasseralhazim2447
    @yasseralhazim2447 Před 4 lety

    Leo wafugaji na wakulima wamekua hawana chakufanya kila kitu kinatoka bara Zanzibar hawana ruhsa ya atakupeleka maji ya drop muungano uwo una faida gani kwa raia viongozi mtakuja kujuta wakati wa kurudi kwa juu ya vyeo mlivyokua navyo

  • @hamedhamiar3201
    @hamedhamiar3201 Před 5 lety

    kila mwenye akili timam analitambua hili kama Zanzibar inabamwa na muungano huu, wew umeona wap upande mmoja ukawa na maamuz kwamwenzake , wananzibar tumetaawaliw coz ya muungano inauma sana kuiyona Tanganyika inasonga mbele wakat Zanzibar inazidi kuteketea sabab ya muungano😴😥

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety

    Bado mnaathari za kisultani!!!

  • @saidikikoko
    @saidikikoko Před 6 lety +3

    Fanyeni cc tupo nyuma yenu kuwasupport. Yan unajua ninyi wazanzibar kiukwel mko conscious sana ukilinganisha na wabunge watanzania bara, ninyi mnasubutu hata kutetea watu wenu lakini wabunge wa bara wao ni matumbo yao wale wa CCM
    Vunjeni tu muungano na cc wabara tunasupport uvunje maana mnaendelea kuumia kipuuzi kwa ajili ya upuuzi wa wabara

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 Před 6 lety

      WEE NAE FANYA UTAFITI HAO WAZANZIBARI WANAUMIA KIVIPI SASA, MBONA WAPEMBA KIBAO TUNAPISHANA NAO MBAGALA HAHAHA WANAFATA NN SASAAA WAENDE KWAO MAV YA BAKAYOKO HAO

    • @fatmahamad2156
      @fatmahamad2156 Před 5 lety

      @@moziidavchonchi3338 ivi unaona wapemba wanahamu sana na kukaa huko,wanakaa huko kwa sababu tu yakutafuta rizki zao,kwani Zanzibar yetu imedumazwa kiuchumi na Tanganyika ,iyo ndo sababu ya kuwaona huko ,is ingekuwa ivyo usingemuona mpemba hata mmoja ww,sasa tuachieni kisiwa chetu,muone km wapemba hawatarudi kwao,ila mnang'ang'ania nini lkn,km mnawapenda wapemba ss hatuna ubakuzi na ss pia tutawapenda lkn kinyume na hapo tutachukia,ni vyema tu mkakiachie kisiwa hiki kidogo

    • @aridiyahya8049
      @aridiyahya8049 Před 5 lety

      Wewe kweli nyumbu. Mbw* koko

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 4 měsíci

    Ss tunaweza kuwaoa na kuwalisha kma wake zetu t ,wasituletee ujinga hapa

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid8381 Před 5 lety +1

    Kila kitu kina mwisho wallahi

  • @ddennisskkattulla5942
    @ddennisskkattulla5942 Před 5 lety

    Mpigeni kimya maisha yaendelee

  • @omarhassan8451
    @omarhassan8451 Před 6 lety +8

    Unguja,Pemba,Mombasa mpaka Malawi yote ilikua zanzibar

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 6 lety +5

    km vipi muungano uvunje wao wabaki na kisiwa chao na sisi tubaki na tanganyika yetu maan haya malalamiko haya ishi

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Před 4 lety

    Yahya sinongo karibu Zanzibar tuje kukunywisha Kakhwa na khaluwa.

  • @sgfdhaikuhusu6086
    @sgfdhaikuhusu6086 Před 4 lety

    Nataka tutukanwe mpaka tumwskwe maji ya chini si munahamu ya muungano hata bado maana mwaona vizuri nyinyi kutukanwa km vele ati km tunataka msaada tuseme tupewe yaan ndo hatujiwezi

  • @musamkala4642
    @musamkala4642 Před 6 lety

    bora

  • @ibrahimmasanja7277
    @ibrahimmasanja7277 Před měsícem

    Ondokeni wakojani tumewachoka kila siku nyie mnaonewa ila nyie mnavyowaonea watu Wabara kwenu hamuoni.

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 5 lety

    Yot sababu ya uislamu

  • @josephlukuba5831
    @josephlukuba5831 Před 5 lety

    Jamna jipya nana

  • @omarhassan8451
    @omarhassan8451 Před 6 lety +2

    Mkiona joto livueni Koti👋

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 Před 6 lety

    Yote haya yanatokea kwenye utawala huu au kuwapo?

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 6 lety

    Jamani tudumishe umoja.

  • @amanisuleiman5628
    @amanisuleiman5628 Před 6 lety +7

    Hakki hiiiiiooooo naiona inarudi kisiwa kime wakwama kooni hakimezeki na mtakitema vijana tupoooo tayari Kwa lolote na tanganyika mna tusoma mzikiwetu salama yenu maalim seif shariff katutuliza lakini akiachia kamba hapatatoshaa

    • @winniefrida1483
      @winniefrida1483 Před 6 lety

      mna mziki gani nyie wakati 1/4 tatu yenu ni mashoga

    • @samiryusuf9492
      @samiryusuf9492 Před 6 lety +2

      we fala kumbe baba ako na babu yako itakuwa nao mashoga ndio maana wabongo mumeumbwa na roho mbaya na sura zenu mbaya

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 Před 6 lety

      Winnie Frida HAHA asilimia kubwa yao vidole juu..

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 Před 6 lety

      MNASHINDIA UROJO UTAMSUMBUA NANI WW PUNGA??? ME NATUSUA FURUSHI LA DONA NIGUSE NIKUTIE KISU CHA MACHO MIXER MADOCHI YA MBAVU MAV WEE AFU MISHOGA MING INATOKA ZENJI NA MZIKI WENU WA TAARABU NA MIDUARA SIJUI VIDAKUDAKU ANI UPUUZI MTUPU

    • @aridiyahya8049
      @aridiyahya8049 Před 5 lety

      Wazanzibar wanapenda kudharau bara lakini wakidharauliwa basi waja juu. Nami ningependa tuvunje muungano ndo mtajuwa umuhimu wa bara kwenu. Hiyo mnayodanganywa eti itakuwa Singapore ya Africa.🤣🤣 . Mara nyingi mnapewa kipaumbele lakini haitoshi nadhani mnataka kuitawala bara.

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před 6 lety

    Hahaaaaaa njaa mbaya sanaa

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 Před 6 lety +1

    Mimi mwenyewe japo ni mtanganyika siutaki muungano ila nalazimishwa tu natamani sana niishi hapa kwa visa, na ukitaka kujua ubaya wa muungano safiri na TV yako na mengine mengi siwezi kuyaandika yote. Ni bora muungano tuupigie nao kura na si kuburuzana tuuu.

    • @suluman1808
      @suluman1808 Před 6 lety

      kwani vp nyie kama limebana livueni halinama.

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 5 lety

    Jamanii eeh hemu Tuende katika uhalisia wa kimaisha hii nchi hat akae cuf,chadema,act wazalendo bc mayahudi hawaiwachi huru wametumia kivuli cha Tanzania bara mayahudi ndo wanaosokot Zanzibar sio Tanzania bara

  • @onlinetv9189
    @onlinetv9189 Před 6 lety

    Bora wajitenge

  • @umadiali5793
    @umadiali5793 Před 5 lety

    Kweli kabisa huu ni muungano sio kutuonea wazanzibar tukawa hatuna haki!!

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 Před 6 lety

    Mmmh mm naona huyu jini hajafa ila wafufuliwe walotuachia jini huyu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 4 lety

    Waambie wanatulea dharau na jeuri hatutaki muungano wizi na hatuna lolote tunalolipata wanafiki .

  • @rashidibrahimshemlugu7845

    funguka babaaaaa wataelewatu

  • @sautisamsu2981
    @sautisamsu2981 Před 5 lety

    tupo pamoja kweli ss wazanbar hatuna maana wanatuonea kwann

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 Před 6 lety

    Muungano wa kisiwa cha zanzibar ni mswala kw wanawake kw wanaume ni mskiti na kukifata kitabu cha Allhah Quran hayo yt yanakaa sw wenyewe ela mungu hamumtaki wazanzibar kweli kutaachwa kulalamika kl sk twaonewaaa jmn dunia hii musijetutia mazilanii

  • @suleimanjngondo6760
    @suleimanjngondo6760 Před 5 lety

    wazanzibar iyo ni laana ya masheikh wenu mulio waweka ndani bila kuwasomea mashitaka

  • @khadijahassan3504
    @khadijahassan3504 Před 6 lety

    sawasaw

  • @pantaleokulaya5308
    @pantaleokulaya5308 Před 6 lety +1

    wabunge wa ccm bila kuamua nyie wengine hamna ubavu

  • @ipmalu9947
    @ipmalu9947 Před 6 lety

    ndo Kwanza mjue leo
    kama Zanzibar inanewa na watanganyika

  • @allymsuya6655
    @allymsuya6655 Před 6 lety

    Tatizo ni unafiki was wabunge was CCM upande was Znzb

  • @bonyenyekahawamoshi9775

    Nyie no cuf

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g Před 4 lety

    Hamna lolote hamna mumuzi yoyote ccm oyee

  • @minaziparasu8748
    @minaziparasu8748 Před 6 lety

    Ikopoa znz kwanza .fanyenikweli musisumbuliwe navilaza vya Ali kesi namsukumaa

  • @iddibama6819
    @iddibama6819 Před 5 lety

    speak up

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 6 lety +5

    Tatizo wabunge wa Zanzibar siku zote mnahisi mnaonewa tu kwanini nyie lakini!!

  • @yasseralhazim2447
    @yasseralhazim2447 Před 4 lety

    Mtoto akililia wembe mpe huooo!
    Cmnaupenda mnapokua uwanja wa amani mnasema tuuduumishe muungano sasa iyo ndio faida yake.

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 Před 6 lety

    Tatizo wazanzbar n watu wa Amani SAANA halafu hawana JESHI lakn kiukweli ZANZIBAR HASA HAWAUTAKI MUUNGANO, TANGANYIKA WANATEGEMEA JESHI KUWANYONYA NA KUWAZULUMU NA KUWATISHA ZANZIBAR

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 Před 6 lety +1

    HATUTAKI ZANZIBAR NI NCHI SISI TUNAMAAMUZI YETU. HATUTAWABEMBELEZA TENA SISI TUMESIKIA NA TUKOPAMOJA WAKITAKA WASITAKE SISI NI NCHI . MUNGU KAZIGAWANYA KWA MATAKWA YAKE . WANACCM MLIJUWE HILO ZANZIBAR KWANZA.

    • @saverynada180
      @saverynada180 Před 6 lety

      kama ni nchi si mjiuzie sukari yenu???

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 Před 6 lety

      HAFU WEE NAE UNAONGEA UTUMBO KUBWA JINGA WEKA HOJA YA KUSEMA MUUNGANO UVUNJIKE NA HOJA KUBWA KUWEPO KWA VITA AMA UCHUMI KUYUMBA SASA ULIONA WAPI KUTOUZIKA KWA SUKARI MUUNGANO UKAFA HAHAHA TATIZO LA BAADHI YA WAZANZIBAR WENGI HAWAKUJIKOMBOA KIHELIMU MPO KIDINI DINI TUU

  • @suleymanalawi9613
    @suleymanalawi9613 Před 5 lety

    mbunge wa zanzibar kupitia ccm hawez kuitetea zanzibar hata siku 1

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb Před 5 lety

    Hivi hawa wabunge wa ccm kutoka Zanzibar hawalioni hili au ndio wameridhika

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 Před 6 lety

    ZANZIBAR IKIJITENGA.ITAKUWA KAMA DUBAI YA AFRIKA.UAE ITAJENGA MAGHOROFA UKIWA JUU UNAONA TAA ZA MBEZI.ZENJI WERAWERA

  • @hajikhatib8840
    @hajikhatib8840 Před 6 lety +5

    vichogo mbona mnaingangania Zanzibar!!!! wachiwe wapumue mmeshawazulum Sana Sana Hadi kuwauwa Kwa kudai haki Yao ..!!! wabunge komaeni hivyo hivyo ...Hata msirubuniwe wacha tuu Zanzibar iwe zanzibar.ya nini mateso ya wasiokupendeleeni mena......((fact))

  • @charlesanselimo6658
    @charlesanselimo6658 Před 5 lety

    Kiti Cha spika Ni dhaifu

  • @mundhirhamad6595
    @mundhirhamad6595 Před 6 lety

    wamezoe hao chukueni hatua

  • @bonyenyekahawamoshi9775

    Hiyo anaonekana anagubu anaona anaenda kufa anataka kufa nawengi mjinga sana

  • @mwanalelee6
    @mwanalelee6 Před 6 lety

    hahahaaaaaa Na bado maalim seif aliposema mulimuona mjinga sasa endeleeni mbele kwa mbele iyooooo

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 6 lety

    WATOTO WA MAMA MMOJA MWAGOMBANA BURE HAKUNA TIJA

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 6 lety

    Vunjaa sisi sio watanzania bara .

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 Před 6 lety

    Bi Rukia umecheza ngoma huijui ujue kuwa Zanzibar zama hizo liikuwa na kiongozi mwinyi mkuu muungano hautovunjwa na wabunge ambao wanajaziba zao binafisi au za vyama vyao

  • @tonedeusmuganyizi5265
    @tonedeusmuganyizi5265 Před 6 lety

    Huyu hana hoja.
    Zanzibar inayo sera ya kuingiza sukari bila kodi. Tanzania bara hatuwezi kuruhusu sukari hiyo kuingizwa hapa bila kodi na kuharibu ushindani. Kaeni na sukari yenu - na wala siyo sukari tu na bidhaa nyingine.

    • @omarjumanne4471
      @omarjumanne4471 Před 6 lety

      Tonedeus Muganyizi huo ndo ukweri wataalamu was uchumi hawsikilizwi Zanzibar ushauri wa kitaalamu hawataki sasa mnayaona Mimi kiwanda cha viatu nimewashauri hawataki sasa mambo hayo tumieni makuluge kujenga viwanda Zanzibar bars watakwama kuzuia bizaa zetu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 6 lety

    Ile hiyo mibunge ya CCM wote ni wabara .nadhani watakubali .

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 Před 6 lety

    Kwanini watanganyika wang'ng'ania huumunganooo

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm8270 Před 6 lety

    Waacheni waende

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 Před 6 lety

    mnaliona leo hilo

  • @omarkhatib4968
    @omarkhatib4968 Před 6 lety

    Haya yooote yanatokana na yule bwege sheni na mabunju ya ccm

  • @youngbreezy6615
    @youngbreezy6615 Před 6 lety

    Awo majamaa sijui wabunge muungano wameukuta apa hamna kuvunjika hawana lolote mxiee zanzibar bora ifanywe mkoa tu kam mikoa mengne maan rais wa uku zanzibar hmna kitu

  • @shaabanhaji2014
    @shaabanhaji2014 Před 5 lety +5

    Tushawazoea awoo wakipewa shilingi tu wanakaa kimnyaaaa.... Haawana loloteee

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson129 Před 6 lety

    Hii michogo mbona inatun,gan,ganiya kuwe na mungano sisi wazanzibari hatutaki muungano machogo

    • @moziidavchonchi3338
      @moziidavchonchi3338 Před 6 lety

      CHOGO NANI ME DUNYA MBONA MIMI MTANZANIA KABILA MTUSI ASILI YANGU RWANDA NI RAIYA WA TANZANIA HUSUSANI BARA AFU NASKIA HUKO KUNA MASHOGA WENGI BILA SHAKA HATA WEWE PIA

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis7245 Před 6 lety

    Mmhhh. kwani simulijiunga wenyewe eti siye tumapinduyya hatutaki muarabuuu bora tujiunge kelele zanini ngojeni uko mwisho mufanywe kama Palestina

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 Před 6 lety

    nyie ni wa serikali gani? kwanza

  • @mariobalotel1329
    @mariobalotel1329 Před 5 lety

    Hawo wanyamwezi si watu wazuri hawoo

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Před 5 lety

      usitukane makabila ya watu, wazanzibari zaidi ya nusu kama si wote wana damu za kinyamwezi labda wawe wameshuka leo kwenye ndege kutoka ulaya kwa utalii

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 Před 6 lety

    Jamanii musijetutia mazilaniii tukakosa jitafutiaa mia kw watt wt mn nyie mpigao kelele hp majukumu yn hamuvijii ahh

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 Před 6 lety

    kiongozi wao ni nani hawa,

  • @arkammohamed711
    @arkammohamed711 Před 6 lety

    KUNA WATU WAMETIWA MFUKONI

  • @maryammajid3213
    @maryammajid3213 Před 6 lety

    Imeona sahiv mshauzwa nyiee komaen